RAILA ODINGA NDANI YA SGR TANZANIA,ASEMA WAZAWA WAFUNDISHWE ILI SIKU MOJA WAJENGE BILA WAGENI.
DAR ES SALAAM TANZANIA
Жүктеу.....
Пікірлер: 105
@desmondlosekonewel91655 жыл бұрын
Wangapi wanamuunga Baba mkono nipe like💥💥💥
@Deggoo5 жыл бұрын
Wakenya wapi likes za ndugu zetu Wtz
@freddymello32275 жыл бұрын
Karibu Tanzania Mh. Raila Odinga. pamoja tunajenga East Afrika endelevu.
@danielonyango72345 жыл бұрын
Karibu sana Mhe. Raila Amolo Odinga aka BABA. Na sisi hapa TZ pia tuna BABA, anaitwa Mh. Rais Dkt John Joseph Pombe Magufuli, na ndiye anayeyafanya hayo yote mazuri unayoyaona. Ni mtu anayeipenda nchi yake kwa do dhati na sisi pia tunampenda sana.
@batromeombogo71315 жыл бұрын
Baba yetu Odinga jisikie upo nyumbani.. sisi watanzania tunakupenda sana
@WorldIn360channel5 жыл бұрын
Sisahau pia ni Representative mkuu wa ujenzi yaani (Infrustructure) wa African Union (AU). So he travels throughout Africa, has offices in SA, Nairobi, West Africa etc: Tafakari haaaya!
@festuskanga84955 жыл бұрын
HONGERA SANA SANA WA TANZANIA, KWA UKALIMU MUKO NAYO MUKARIPISHA HUYO KIONGOZI WETU YA WA KENYA!! UKU KENYA TUNAMUCHAKUA LAKINI WANAMUNYAN'GANYA TU KURA ZAKE. SISI TUNAMUTAMBUA KAMA PEOPLES PRESIDENT HON ENGINEER RAILA AMOLO ODINGA.
@mushken655 жыл бұрын
Wewe baba najua unapenda maendeleo walakini waizi hapa Kenya wamekataa kabisa utawale. Baba tunakupenda sana hapa kenya.Siku moja utatawala hii Kenya yetu utupeleke mbele na ukomeshe wizi sugu ambao majangili ndani ya serikali wanaita jina pole la ufisadi ili kupumbaza wananchi wakawaida
@rehemaahamadiahmadi566
5 жыл бұрын
InshaAllah
@mushken65
5 жыл бұрын
@@rehemaahamadiahmadi566 naomba tuu. Sinauwezo wa kupambana hawa wezi naeza poteza maisha kama Msando
@naiskaurrai2464
5 жыл бұрын
Leaders come from God na kuna reason he has never won any elections. Mungu alimkataa huyu jamaa. Let's pray God atupee another Raila.
@rehemaahamadiahmadi566
5 жыл бұрын
@@mushken65 Ni kweli kabisa ila Mungu yupamoja nasi lnshaAllah one day
@habelkalume90115 жыл бұрын
Together lets build East Africa.....
@kimariongalaingalai81675 жыл бұрын
Karibu sana Dar es salaam mheshimiwa Raila Amolo Odinga
@alexchungu88235 жыл бұрын
Wabongo tuliopo ughaibuni turudi nyumbani kumenoga... From US
@ibrahimsheha215
5 жыл бұрын
Usirudi juwakali sana njaaa kama uwanini rudu lakini kama hufanyi kazi uko bora nyumbani njoo uta amini
@alexchungu8823
5 жыл бұрын
Haha nime miss zile foleni za dar
@alexchungu8823
5 жыл бұрын
@Ali Ali unanitisha, Nina 20yrs mbaka sasa huku...
@josephgomalo41
5 жыл бұрын
@@alexchungu8823 Ali ni wale amabao hawana mtaji wala ujuzi.. welfare inahusika. Akirudi atakuwa mzigo tu Tz bora abaki aliko..! Lakini kama wewe una ujuzi mtaji na wazo la kufanya kwani una upana wa mawazo .. nyumbani kumenoga.. kidogo ulichonacho unaweza kikuza..! kwani wale wahindi tuliokuwa tuwaaabudu Tz si walitoka nje na ideas na mtaji tu..? Usisikilize wazamiaji wasio na elimu..!
@alexchungu8823
5 жыл бұрын
@@josephgomalo41 una maana nimezamia?
@martinmwaura70415 жыл бұрын
Long live EAC..long live Afrika..
@dekuleh44855 жыл бұрын
Raila Amolo Odinga - An institution unto himself!
@henryndosi38005 жыл бұрын
Zitto kabwe njoo ukaribishe mgeni
@agnessjosephath4330
5 жыл бұрын
Henry Ndosi atasema matangazo ya kishetani hahahahaahahahaha Zito soma hiyoooooo
@mamahustru
5 жыл бұрын
Jamani kunani tena na Zitto? Mwageni maelezo tahadhari. Wengine hatujasikia aliyosema Zitto.
@samateryussuf5938
5 жыл бұрын
Zitto hawezi kuja kwenye upuuzi huu , kizuri chajiuza , sgr inajitembeza
@allpotentials8420
4 жыл бұрын
@@samateryussuf5938 unaota ww blood idiot 😏😏
@sponsor78825 жыл бұрын
KAZI NZURI SANA MAGUFULI, JAPO MM ACT
@abuugubi2295 жыл бұрын
Vizur sana tz
@josephinemakungu84475 жыл бұрын
KENYA and TANZANIA tunapendana 😍😍love
@athumanomary14385 жыл бұрын
Ewe mwenyez MUNGU asante kwa kuzidi kuripa nuru ya kupendwa zaidi taifa retu miradi yetu mikubwa na raisi wetu ewe mwenyez MUNGU mkuu
@ifgodsayyes.nobodycansayno17965 жыл бұрын
GOOD JOB MR MAGUFULI
@williamsville34935 жыл бұрын
Karibu sana Raila Odinga jirani mwema
@tumainipeter67135 жыл бұрын
Safi sana Mgeni wetu
@kandumilathegreat13325 жыл бұрын
Waziri mkuu mstaafu wa Kenya kumbe anapeperusha bendera!, I didn't know!
@ntabayemwaka4271
5 жыл бұрын
KANDUMILA THE GREAT hilo ni gari analotumia balozi wa Kenya nchini Tanzania na yeye kama VIP lazima bendera ipeperushwe
@ronnieb9233
5 жыл бұрын
He is the minister of infrastructure and development of Africa
@AnalystTosh
5 жыл бұрын
Ronald onyango MINISTER? eh! Omera you’re too much
@DrTony-tk2rh
5 жыл бұрын
@@AnalystTosh in charge of.... not Minister....but why is that bothering your ass
@agnessjosephath43305 жыл бұрын
Zitooooo soma hiyoooo
@mamahustru
5 жыл бұрын
Jamani kunani tena na Zitto? Mwageni maelezo tahadhari. Wengine hatujasikia aliyosema Zitto.
@lucianodeo41035 жыл бұрын
Project zote nilizowahi kufanya wanyonge huwa tunaishia kuwa vibarua ktk angle zote na wasomi wetu ofisini but experts bila kujali ukubwa wa Elimu zao huwa field fully aware.... tubadirike sasa
@muddymkamba3524 жыл бұрын
mungu asaidie mradi huu ufikie malengo,....sema @TRC mi nataka kujua ukitaka sehemu ya kufanyia biashara ndani ya vituo unapataje?
@dannyosolo27525 жыл бұрын
Enigma of African politics......Raila Amollo Odinga
@davidluangisa451514 күн бұрын
Baba,,,anapendwa sana uku Tanzania
@nassirhassan49985 жыл бұрын
Mheshimiwa Raila ndie Alie leta demcrasia nchini kenya na Anapambana naufsd mkubwa unao fnywa naviongozi waknya...nae magufuli Amekomesha ufcd tz ..sahii nchi ya tanzania ina sifa nzur katika bara la Afrika kwakukomsha ufsd..kwan ufsd niadui waumaskni ..wa Tanzania nyote mpendeni Rais wenu magufuli ...
@tinasanta40805 жыл бұрын
Baba in Tz,tunakuheshimu Sana
@Saintman19665 жыл бұрын
Namkubali sana Ben Mwanantala jaman
@charlesmakuri7925 жыл бұрын
Hii ni nzuli sana sio kuleta maugovi ,umoja ni nguvu
@Saintman19665 жыл бұрын
Hakikaa watanzania lazima tuelew hiii
@Mpakauseme3 жыл бұрын
Nchi ya Africa mashariki , Lazima kuwe na United ndio Africa tutashinda tuache mashindano sisi sote ni ndugu
@masagapaul50395 жыл бұрын
Asante rail kwa Kuja
@musaabubakary77115 жыл бұрын
Hongera sn Mh Odinga we n mfano w kuigwa
@shariffrajab60634 жыл бұрын
Baba odinga karibu
@patrickhart48565 жыл бұрын
Raila is busy doing nothing he was a pm who did nothing
@tafari988
5 жыл бұрын
Your ignorance is appalling.!!! 😂😂😂
@patrickhart4856
5 жыл бұрын
@@tafari988 He's busy doing shit mzee mtoto fuck him
@zjuniorofficial24645 жыл бұрын
I like it
@lordOfSalem5 жыл бұрын
Seems different contractor from the 1 who did the Kenya line. This 1 especially the overhead platforms look very different
@9yearsago844
4 жыл бұрын
Tanzania first phase is being done by a turkish contracting firm kenya's was done by chinese contracting firm. they are both similar heavy rail. kenya's system allows double stacking of containers. Tanzania's doesn't. Tanzania system is electrified, kenya's isn't.(option available at a cost). Tanzania's sourced funds internally, plus bank loans from standard chartered. Kenya dealt with Chinese government on a state to state basis.
@charlesmakuri7925 жыл бұрын
Wapinza wtz wanasema hiyo ni upuuza magu angegaia masikini hizo hela,kwa kua hakuna ajila,tuongeze mishahara, tunenepe,
@evanscalito405 жыл бұрын
Kongole kwa ndugu zetu WaTanzania
@piusjaphet27605 жыл бұрын
Sasa yule jamaa anaye hangaika huko ulaya akiiponda Tanzania je anayaona haya?
@neemakilomoni4258
5 жыл бұрын
Pius Japhet kichaa yule hawezi ona yy ana hangaikia tumbo lake sio Tanzania 🇹🇿
@ntabayemwaka42715 жыл бұрын
anajiandaa kuchukua Kenya nini maana naona Mh Uhuru Kenyatta anampa kipaumbele sana kuliko DP Ruto
@melvinwafula6379
5 жыл бұрын
Ruto ni mwizi ...
@MrMaboboz
5 жыл бұрын
Kweli kabisa
@allananam66315 жыл бұрын
Baba is always right.
@jaredmutego68845 жыл бұрын
maendeleo ndio msingi ya wanainchi hongera Tanzania pia odinga nakuli
@eliyawilliammagesamarwa84135 жыл бұрын
RAIS WA KWELI KENYA RAILA ODINGA ASANTE
@odagojacob5586
5 жыл бұрын
Amolo baba
@mondaonyancha88235 жыл бұрын
Baba juuuuuuu
@eliudymhapu17505 жыл бұрын
Jambo sijambo bwana Habari Habari gani
@jamesokello98125 жыл бұрын
Bado nakumbuka MV Victoria. Tutumia hiyo kuenda Mwanza na Port Bell uko Kampala nikiwa mudogo.
@johnmlay4759
4 жыл бұрын
Isharudi baada ya matengenezo makubwa yaliyohusisha pia engine mpyaa na kila kitu ni chakisasa kwa hiyo meli so iko kwa safari za majaribio ndo ikabidhiwe ianze kazi yaani soon jiandae kuitumia coz kwa Sasa niya kisasa
@faridsalehmohamed12305 жыл бұрын
Chakushangaza huyu ni mpinzani kenya mbona anakuja kwetu anatukuzwa lakini wapinzani wa hapa hawapewi heshima hio
@patrickKitambo
4 жыл бұрын
We kwenu huko Yemen wanapewa?
@neefguys92085 жыл бұрын
Fala anazugunza kama nani raia
@decoloniz_afro5 жыл бұрын
President of poverty....odinga
@kiswahilikitukuzwe25475 жыл бұрын
Baada ya kumaliza awamu yake ya pili ya kuwa rais wa Tanzania, sisi wana Afrika Mashariki tutamchagua Mheshimiwa Dr. John Pombe Magufuli kuwa rais wa kwanza wa Shirikisho la Afrika Mashariki kwa jumla.
@rostamkamazima10125 жыл бұрын
Akili za odinga zina tofauti gani na waswahili wengine wa hovyo?
@DrTony-tk2rh
5 жыл бұрын
Akili zako na za nyumbu zina tofauti gani?
@paulikachoi8683
5 жыл бұрын
Years
@lavieawuor78125 жыл бұрын
Tanzania muko nyuma sana,kenya is the future of Africa 🇰🇪🇰🇪
@Vanisikaka
5 жыл бұрын
Tanzania inajenga railways kwa hela yake....kenya imejengewa na china😀
@mlkjnr2016
4 жыл бұрын
Una kichaa.
@johnmlay4759
3 жыл бұрын
Kweli mko mbele na diesel sgr
@Mpakauseme
3 жыл бұрын
Tabia za mashindano si nzuri inabidi tuziache, mashindano hayana mpango ndugu yangu kenya na Tanzania hakuna mpishano mkubwa kiasi chakuwekeana mabifu
Пікірлер: 105
Wangapi wanamuunga Baba mkono nipe like💥💥💥
Wakenya wapi likes za ndugu zetu Wtz
Karibu Tanzania Mh. Raila Odinga. pamoja tunajenga East Afrika endelevu.
Karibu sana Mhe. Raila Amolo Odinga aka BABA. Na sisi hapa TZ pia tuna BABA, anaitwa Mh. Rais Dkt John Joseph Pombe Magufuli, na ndiye anayeyafanya hayo yote mazuri unayoyaona. Ni mtu anayeipenda nchi yake kwa do dhati na sisi pia tunampenda sana.
Baba yetu Odinga jisikie upo nyumbani.. sisi watanzania tunakupenda sana
Sisahau pia ni Representative mkuu wa ujenzi yaani (Infrustructure) wa African Union (AU). So he travels throughout Africa, has offices in SA, Nairobi, West Africa etc: Tafakari haaaya!
HONGERA SANA SANA WA TANZANIA, KWA UKALIMU MUKO NAYO MUKARIPISHA HUYO KIONGOZI WETU YA WA KENYA!! UKU KENYA TUNAMUCHAKUA LAKINI WANAMUNYAN'GANYA TU KURA ZAKE. SISI TUNAMUTAMBUA KAMA PEOPLES PRESIDENT HON ENGINEER RAILA AMOLO ODINGA.
Wewe baba najua unapenda maendeleo walakini waizi hapa Kenya wamekataa kabisa utawale. Baba tunakupenda sana hapa kenya.Siku moja utatawala hii Kenya yetu utupeleke mbele na ukomeshe wizi sugu ambao majangili ndani ya serikali wanaita jina pole la ufisadi ili kupumbaza wananchi wakawaida
@rehemaahamadiahmadi566
5 жыл бұрын
InshaAllah
@mushken65
5 жыл бұрын
@@rehemaahamadiahmadi566 naomba tuu. Sinauwezo wa kupambana hawa wezi naeza poteza maisha kama Msando
@naiskaurrai2464
5 жыл бұрын
Leaders come from God na kuna reason he has never won any elections. Mungu alimkataa huyu jamaa. Let's pray God atupee another Raila.
@rehemaahamadiahmadi566
5 жыл бұрын
@@mushken65 Ni kweli kabisa ila Mungu yupamoja nasi lnshaAllah one day
Together lets build East Africa.....
Karibu sana Dar es salaam mheshimiwa Raila Amolo Odinga
Wabongo tuliopo ughaibuni turudi nyumbani kumenoga... From US
@ibrahimsheha215
5 жыл бұрын
Usirudi juwakali sana njaaa kama uwanini rudu lakini kama hufanyi kazi uko bora nyumbani njoo uta amini
@alexchungu8823
5 жыл бұрын
Haha nime miss zile foleni za dar
@alexchungu8823
5 жыл бұрын
@Ali Ali unanitisha, Nina 20yrs mbaka sasa huku...
@josephgomalo41
5 жыл бұрын
@@alexchungu8823 Ali ni wale amabao hawana mtaji wala ujuzi.. welfare inahusika. Akirudi atakuwa mzigo tu Tz bora abaki aliko..! Lakini kama wewe una ujuzi mtaji na wazo la kufanya kwani una upana wa mawazo .. nyumbani kumenoga.. kidogo ulichonacho unaweza kikuza..! kwani wale wahindi tuliokuwa tuwaaabudu Tz si walitoka nje na ideas na mtaji tu..? Usisikilize wazamiaji wasio na elimu..!
@alexchungu8823
5 жыл бұрын
@@josephgomalo41 una maana nimezamia?
Long live EAC..long live Afrika..
Raila Amolo Odinga - An institution unto himself!
Zitto kabwe njoo ukaribishe mgeni
@agnessjosephath4330
5 жыл бұрын
Henry Ndosi atasema matangazo ya kishetani hahahahaahahahaha Zito soma hiyoooooo
@mamahustru
5 жыл бұрын
Jamani kunani tena na Zitto? Mwageni maelezo tahadhari. Wengine hatujasikia aliyosema Zitto.
@samateryussuf5938
5 жыл бұрын
Zitto hawezi kuja kwenye upuuzi huu , kizuri chajiuza , sgr inajitembeza
@allpotentials8420
4 жыл бұрын
@@samateryussuf5938 unaota ww blood idiot 😏😏
KAZI NZURI SANA MAGUFULI, JAPO MM ACT
Vizur sana tz
KENYA and TANZANIA tunapendana 😍😍love
Ewe mwenyez MUNGU asante kwa kuzidi kuripa nuru ya kupendwa zaidi taifa retu miradi yetu mikubwa na raisi wetu ewe mwenyez MUNGU mkuu
GOOD JOB MR MAGUFULI
Karibu sana Raila Odinga jirani mwema
Safi sana Mgeni wetu
Waziri mkuu mstaafu wa Kenya kumbe anapeperusha bendera!, I didn't know!
@ntabayemwaka4271
5 жыл бұрын
KANDUMILA THE GREAT hilo ni gari analotumia balozi wa Kenya nchini Tanzania na yeye kama VIP lazima bendera ipeperushwe
@ronnieb9233
5 жыл бұрын
He is the minister of infrastructure and development of Africa
@AnalystTosh
5 жыл бұрын
Ronald onyango MINISTER? eh! Omera you’re too much
@DrTony-tk2rh
5 жыл бұрын
@@AnalystTosh in charge of.... not Minister....but why is that bothering your ass
Zitooooo soma hiyoooo
@mamahustru
5 жыл бұрын
Jamani kunani tena na Zitto? Mwageni maelezo tahadhari. Wengine hatujasikia aliyosema Zitto.
Project zote nilizowahi kufanya wanyonge huwa tunaishia kuwa vibarua ktk angle zote na wasomi wetu ofisini but experts bila kujali ukubwa wa Elimu zao huwa field fully aware.... tubadirike sasa
mungu asaidie mradi huu ufikie malengo,....sema @TRC mi nataka kujua ukitaka sehemu ya kufanyia biashara ndani ya vituo unapataje?
Enigma of African politics......Raila Amollo Odinga
Baba,,,anapendwa sana uku Tanzania
Mheshimiwa Raila ndie Alie leta demcrasia nchini kenya na Anapambana naufsd mkubwa unao fnywa naviongozi waknya...nae magufuli Amekomesha ufcd tz ..sahii nchi ya tanzania ina sifa nzur katika bara la Afrika kwakukomsha ufsd..kwan ufsd niadui waumaskni ..wa Tanzania nyote mpendeni Rais wenu magufuli ...
Baba in Tz,tunakuheshimu Sana
Namkubali sana Ben Mwanantala jaman
Hii ni nzuli sana sio kuleta maugovi ,umoja ni nguvu
Hakikaa watanzania lazima tuelew hiii
Nchi ya Africa mashariki , Lazima kuwe na United ndio Africa tutashinda tuache mashindano sisi sote ni ndugu
Asante rail kwa Kuja
Hongera sn Mh Odinga we n mfano w kuigwa
Baba odinga karibu
Raila is busy doing nothing he was a pm who did nothing
@tafari988
5 жыл бұрын
Your ignorance is appalling.!!! 😂😂😂
@patrickhart4856
5 жыл бұрын
@@tafari988 He's busy doing shit mzee mtoto fuck him
I like it
Seems different contractor from the 1 who did the Kenya line. This 1 especially the overhead platforms look very different
@9yearsago844
4 жыл бұрын
Tanzania first phase is being done by a turkish contracting firm kenya's was done by chinese contracting firm. they are both similar heavy rail. kenya's system allows double stacking of containers. Tanzania's doesn't. Tanzania system is electrified, kenya's isn't.(option available at a cost). Tanzania's sourced funds internally, plus bank loans from standard chartered. Kenya dealt with Chinese government on a state to state basis.
Wapinza wtz wanasema hiyo ni upuuza magu angegaia masikini hizo hela,kwa kua hakuna ajila,tuongeze mishahara, tunenepe,
Kongole kwa ndugu zetu WaTanzania
Sasa yule jamaa anaye hangaika huko ulaya akiiponda Tanzania je anayaona haya?
@neemakilomoni4258
5 жыл бұрын
Pius Japhet kichaa yule hawezi ona yy ana hangaikia tumbo lake sio Tanzania 🇹🇿
anajiandaa kuchukua Kenya nini maana naona Mh Uhuru Kenyatta anampa kipaumbele sana kuliko DP Ruto
@melvinwafula6379
5 жыл бұрын
Ruto ni mwizi ...
@MrMaboboz
5 жыл бұрын
Kweli kabisa
Baba is always right.
maendeleo ndio msingi ya wanainchi hongera Tanzania pia odinga nakuli
RAIS WA KWELI KENYA RAILA ODINGA ASANTE
@odagojacob5586
5 жыл бұрын
Amolo baba
Baba juuuuuuu
Jambo sijambo bwana Habari Habari gani
Bado nakumbuka MV Victoria. Tutumia hiyo kuenda Mwanza na Port Bell uko Kampala nikiwa mudogo.
@johnmlay4759
4 жыл бұрын
Isharudi baada ya matengenezo makubwa yaliyohusisha pia engine mpyaa na kila kitu ni chakisasa kwa hiyo meli so iko kwa safari za majaribio ndo ikabidhiwe ianze kazi yaani soon jiandae kuitumia coz kwa Sasa niya kisasa
Chakushangaza huyu ni mpinzani kenya mbona anakuja kwetu anatukuzwa lakini wapinzani wa hapa hawapewi heshima hio
@patrickKitambo
4 жыл бұрын
We kwenu huko Yemen wanapewa?
Fala anazugunza kama nani raia
President of poverty....odinga
Baada ya kumaliza awamu yake ya pili ya kuwa rais wa Tanzania, sisi wana Afrika Mashariki tutamchagua Mheshimiwa Dr. John Pombe Magufuli kuwa rais wa kwanza wa Shirikisho la Afrika Mashariki kwa jumla.
Akili za odinga zina tofauti gani na waswahili wengine wa hovyo?
@DrTony-tk2rh
5 жыл бұрын
Akili zako na za nyumbu zina tofauti gani?
@paulikachoi8683
5 жыл бұрын
Years
Tanzania muko nyuma sana,kenya is the future of Africa 🇰🇪🇰🇪
@Vanisikaka
5 жыл бұрын
Tanzania inajenga railways kwa hela yake....kenya imejengewa na china😀
@mlkjnr2016
4 жыл бұрын
Una kichaa.
@johnmlay4759
3 жыл бұрын
Kweli mko mbele na diesel sgr
@Mpakauseme
3 жыл бұрын
Tabia za mashindano si nzuri inabidi tuziache, mashindano hayana mpango ndugu yangu kenya na Tanzania hakuna mpishano mkubwa kiasi chakuwekeana mabifu
Safi sana Mgeni wetu