Maashaallah darsa nzuri Allah akuhifadh kwa hakika uzushi sio dini
@salimbaalwy93885 ай бұрын
ALLAAH YAHFADHK YAA AKHIL HABIYB
@user-uf6qf9lx4y6 ай бұрын
Subhanallah
@OmarAlly-iz8ot6 ай бұрын
Enyi majuhalaa wa kisufi, hawa ndio Mashekhe wa kiwahabi kama mulikua hamuwajuwi. Shekh Allaah akulipe kila lakheri, masufi wanakera sana
@user-cz4ed2kv3w6 ай бұрын
Jazakumllah khairan
@Rashid-vm1fk6 ай бұрын
YESU KRISTO ndiye njia na kweli na uzima na ndiye Nuru ya ulimwengu usipomwamini Yesu uko gizani.
@khalfanikimanta6663
6 ай бұрын
We naawe sijui hata umetokea waapi ati!
@khalfanikimanta6663
6 ай бұрын
Sasa alokwambia waislamu hawamuamini yesu ni naani?
@idrisamara6510
6 ай бұрын
shetani amekupambia ukafiri wako... dini ya mitume haichafuliwi ndio maana unaona wachamungu wanaondoa lisilo la dini. Nabii Issa alikuwa akimsujudia Allah na siti tunaendelea
@Rashid-vm1fk
6 ай бұрын
Yote kwa yote subilini mtakuja kukumbuka haya maneno yangu nyie kashifuni tu,kama mnamwamini mnamwamini kinafiki ila usipokiri kuwa Yesu Kristo ni Bwana siku moja utanikumbuka
@abubakarothman7249
5 ай бұрын
Mda huo ukiwa motoni au @@Rashid-vm1fk
@user-qq6no9em1f6 ай бұрын
من يهده الله فلا مضلله ومن يضللي فلا هاديله
@bakarijuma86976 ай бұрын
Sheee unasema kweli
@huseynmaitaya90026 ай бұрын
Jamani nitayapati wapi hayo maneno kimaandishi nisaidie jamani niyapate
@ABUUAMINAABDALLAH6 ай бұрын
Allah akulipe sheikh haki isimame
@bagalucha6 ай бұрын
Maneno mazito
@user-iw5hu3mc7l6 ай бұрын
Ana upeo mkubwa sana wa ufaham namkubali sana
@sadiqselengu4197
6 ай бұрын
😂😂😂 Ukisoma vzuri ndio utajua huyu mzee anavyozunguka zunguka na anavyofasiri atakavyo vitabu vya wenzao kwa kuzungusha na kubadili maana.. HANA MUDA MREFU anaporomoka huyu bwana
@maftahmusa9513
6 ай бұрын
Mohammad ismail hukurupuka tu hamna lolote kichwani. Huyu Abuu ismaili anafikiria huko TAMTA alipitia tu hamna alichoambua kichwani mwake anahangaika kutafuta nafasi Bakwata ili wamuone naye ni mpabanaji wa kutetea bidaa.
@maftahmusa9513
6 ай бұрын
Ahsante shekh wangu wafundishe hao mambumbubu wataka kujikweza kwa elmu wakati ni watupu
@maftahmusa9513
6 ай бұрын
@@sadiqselengu4197 wewe huna unchojua hapo bora ukae kimya kuliko kudhihirisha ujinga uliokuanao
@ayububakari9942
6 ай бұрын
@@sadiqselengu4197 kama atakuwa katika bidaa ataporomoka kweli
@user-iw5hu3mc7l6 ай бұрын
Shekh huyu kichwa jamani ana upto mkubwa sana wa ufaham pamoja kasoma kW haoahahao makhurafi masufi mana nimwanafunzi pia wa shekh muhammad ayubu
@ZubeirTahir-ep1tp6 ай бұрын
Kwni kuna mtu aliyesema kua Maulid ni Dini? Hivi Sheikh kwa ufahamu wako kuna Dini inaitwa Maulidi?
@banihashim53476 ай бұрын
Kumbe sheikh muhammad abubakar Alburhani Amesema maulidi si ibada? Na ni jambo la kuzuka!!? Sasa mbona hamumuiti Wahabi???????😊
@shazyahya4121
6 ай бұрын
Hawa masheikh wote waliosoma TAMTA wanajua maulid ni bi'dah njaa tu ndio inayowasumbua sababu jinsi maulid ilivyoingia Africa mashariki kutoka Yemen adi Comoros 🇰🇲 kisha kuna Sheikh kutoka Comoros ndio aliepeleka maulid mombasa then ikaingia tanga maulid ni mchongo wa biashara tu kama ilivyokua kanisa Catholic zote ni business tu
@bagalucha6 ай бұрын
Eeh maulidi si ibaada
@kaidiSaid-ot9nl6 ай бұрын
نبتد ب اللهم صلي وسلم وبارك عليه ثم نقول الجنة ونعيمها سعاد لمن يصلى ويسلم وبارك عليه وبعد ها نبتدء بسم ذات العلي shekhe unatafieije manenohaya?__ shekhe wengu siuone aibu mbona unatuaibisha ?
Basi pumzikeni tena Maulidi yawekeni pembeni Mujipange kwa ajili ya Ramadhani kujakuwalisha watu mchana wa Ramadhani na kuwafungisha kabla ya Ramadhani
@user-cy1od5xr8x5 ай бұрын
Huyu nae mtu mzima badala kumuabudu Mwenyezi Mungu na kungoja fuka anaingia ktk mizozo isiyoleta tija isipokuwa mipasuko na chuki na vita baina ya waislam
@huseynmaitaya90026 ай бұрын
Nakusudia maneno ya muhamad bakari , alipo sema sisi hatusemi maudi ni ibada
@jahmbenyjahmbia2106 ай бұрын
hvy vitabu kama. vipo .vyapatikana wapi tukanunue
@user-qq6no9em1f6 ай бұрын
KUNAMIPUMBAVU YATAONA KAMA UNAROPOKA AMAKWELI KUFIKIRI KUNAHITAJIKA
@ZubeirTahir-ep1tp
6 ай бұрын
Na kuna mijinga itaona kanakwamba huyu anaongea kweli wakati hata hoja zake zinakingana
@AhmedSaid-mk7qs6 ай бұрын
Wew skh unazeeka vibaya wala hujasoma kwa skh mohd ayuo
@abedishafii20546 ай бұрын
Basi mwalimu wako hajakucha vizur
@yahkiwera36116 ай бұрын
Wewe mwenyewe huna radhi ya shekh aliekufundisha umekosa Radhi ya shekhe mohamamd Ayyubu
@Issa-ud6sy6 ай бұрын
Uwahab nani kakufumdisha?
@mahadhikawia36106 ай бұрын
Muhammad Idi ni muflis ,anatafuta hadhi serikalini / bakwata
@moringesokoine4614
6 ай бұрын
Hata ww umezuka shekh hukuwepo kipind cha mtume
@Issa-ud6sy6 ай бұрын
Ni lazima uhame dhehebu au ni kuacha kufanya ambacho hakifai kufanywa
@mohamedswalehe44426 ай бұрын
Sheikhe muogope Allah sheikhe Muhammad Ayoubu nimpenzi wa maulidi
@SHAMSULMAARIFKONDOA6 ай бұрын
Kufasir quruan hawez hv awezaj kutoa radiiiiii???
@banihashim5347
6 ай бұрын
Gogo kasoma tamta kwa Sheikh muhammad ayubu Allah amrahamu miaka 25 kisha asiweze mutatfsiri Qur,ani?.nyie si mwasema kila mara Waliosoma tamta ndio wenye Elim?!! Au akiwa mwanasunnah ndio inakua hana elim? Na akiwa mwana bid,ah anakuwa anaelim???!
Sheykh unazungumza vizuri lkn kumtaja sheykh Muhammad Iddi vibaya si katika Dini
@TheIslam1681_
6 ай бұрын
Unazitizama video za jahil mohamed idi? Mbona hua anawataja watu kwa majina kabisa na ana husda kali sana.
@mussakatoro80796 ай бұрын
Hicho kitabu kina hojja za mwahabi na za sheikh. Huyu anasoma za Mawahabi na anamsngzia sheikh. Wallahi MAWAHABI huwa hawaogopi uongo nyie.
@d153556 ай бұрын
MSIINGILIE UHURU WA WATU WENGINE FANYENI YA KWENU KAMA MNAONA MAULID HAIFAI MSIFANYE ACHENI NA WANAOONA MAULID INAFAA MUWAACHE WAYAFANYE MKIWAINGILIA MTAKUWA WAKOROFI MNAVUNJA SHERIA NA HATUTAKUBALI SABABU MTAKUWA WACHOKOZI
@sabrinaman5630
6 ай бұрын
Ww pia unavunja sheria kumzuia asiseme maadam amesema kweli
@user-lp3gi5wd4e6 ай бұрын
MAWAHABI NI VIBARAKA WA SAUDIA. Hamna jipya kazi kuongea uongo.
@jumasalim61266 ай бұрын
Toeni maoni yenu kwa uhuru sio kusena huyu anavuta bangi,? au huyu hana elimu, wewe unaweza kufikisha kama hayo
@hamzakimaro37646 ай бұрын
Siku zote MOHAMED EID ni mtu wa kitafuta vyeo na ukubwa!! Na kufitinisha watu wa HAKI kwa mamlaka!!
@shifaaplusherbalmedicine
6 ай бұрын
Nikweli anapenda cheo uyo Mzee na fitna tu
@pira74396 ай бұрын
jamani mashekhe wetu mna nini hamwishi kugombana?ikiwa munahitilafiana kaeni ndani mufahamiane, sio mbele ya hadhara za watu,hivi si mnaudhalilishe uislamu ? makafiri wanatupiga vita, na sisi tunapishana vita wenyewe, pili tuwache kukhutubu ngono ktk misikiti aibu.
@masanjalaissa1660
6 ай бұрын
We utajuaje iyo haki
@ZubeirTahir-ep1tp6 ай бұрын
Zile sherehe za kumtukuza na kumuenzi Muhammad Abdulwahhaab kule Saudia mboni hamulikalii juu ya Membari na kuliwekea madarasa?
@TheIslam1681_
6 ай бұрын
Zile ilibidi mzizungumze nyie. Lakini Maulidi si ktk Dini na pia ni uzushi wa kukaa nao mbali. Hilo litazungumzwa ht dunia nzima wasipotaka kubadilika. Haki ndivyo ilivyo, kukitokeza tu hapa na kutoa maoni yako basi Daawa imekufikia vzr Alhamdulillah
@abakibibi99176 ай бұрын
HAYO HAYAKUANZA LEO KWA MARA YA KWANZA KUSWALI EID KWENYE VIWANJA VYA WAZI WALIKWENDA POLISI KUZUIA WAUMINI KUSWALI ,WAKIFANYA MIHADHARA MINGI KUWAFAHAMISHA WATU WASIENDE MISIKITI YA ANSWAR NA YOTE WALISHINDWA MWAMBUNGU ASHASEMA SANA KWENYE CHANAL TEN HAKUNA KITU .
@user-iw1ro5lh9d
6 ай бұрын
Uislamu umetimia:Mtume wa Allah"Hakufiçha kitu,katuelekeza Nàmna ya kuheshimiana katika kukosowana.Pia Elimu ya Dini hii ni Kubwa napana Sana! Sijui Kwa nini hoja Zetu zina vuka mipaka ,nakupelekea Kuvunjiana Heshima,katika Vyombo vya Habari! Ndio Alivyo tuagiza Mtume (SAW?)Naomba Trudi katika Mafundisho yake..ili Tunusuru Imani hii Tukufu. 😢.
Waislam wote YESU KRISTO anawapenda msipomwani kuwa ni Mwana wa Mungu na kubatizwa hamtaingia katika ufalme wa Mungu
@idrisamara6510
6 ай бұрын
manabii wote siti tunawaamini na nabii Issa mtoto wa Maryam. Nyinyi makafiri ndio mmemkataa na kumzushia uongo bila aibu. Mmemuita Issa mtoto wa Mungu kama Mayahudi walivyomuita Ezra kuwa mtoto wa Mungu. Mmefuata upotevu wa washirikina wa zamani
@AusiSaidi
5 ай бұрын
Mashekh mitandao ikitumiwa Kwa kudhlilishana wewe unasema sheikh hadhalilishwi angalia maneno haya .anavuta bangi amekosa radhi .Hana ilmu kilasiku maulidi si ibada hivi HAkuna maneno mengine eleweni watu wameshaelewa kuhusu maulidi tafuteni mengine.kwa maulidi watu wameshaelewa tatizo liko wapi jiangalie unasema peke yako kinakuchekesha nin?watu wako ndio wanakuelewa.
@AhmedSaid-mk7qs6 ай бұрын
Hawa mawahabi wanafadhiliwa na mayahudi ili kuumaliza uislam
@MohammadJumah-qk2xc
6 ай бұрын
Utaenda kutoa ushahid na Kwa allaah subhaanahu wataala kuhusu hili ulilolisema
@user-iw5hu3mc7l6 ай бұрын
Nimefaham kumbe mohamad idd ni mvuta bangi?
@jamalishoo38026 ай бұрын
Kwani mahala pa kumswalia mtume ni wapi
@joauchitlango3547
5 ай бұрын
Soma mafundisho mtume kafundisha yoote hayo wapi kwa kumswalia
@fatmaahmed86376 ай бұрын
NI MOHAMED IDD SIO MOHAMMAD !
@shifaaplusherbalmedicine
6 ай бұрын
F unakosoa wakati unakosea uyo ni muhamdi idi iyo ndio sahihi kwaiyo mtumie nae ni muhamedi
@jamalishoo38026 ай бұрын
Mbona hoja zako ni za kiujanja ujanja
@binaamour3186 ай бұрын
Yn ukimrad mtu au sheikh mpaka umtukane cju ndio uslub wa dini hii na ndio mafundisho hayo jamani?
@d153556 ай бұрын
NAKUSHAURINI MAWAHABI MUACHE KUTUFUATILIA FANYENI YA KWENU KAMA MAULID TUNAFANYA SISI NYIE INAWAUMA NINI MASHETANI NYIE,BWANA WENU MBS KAWASALITI SASA HAMNA NGUVU TENA MMEBAKI YATIMA,
@user-nw1ib6qg5x
6 ай бұрын
Acha jazba ndugu yangu vp uwaite waisilamu wenzio mashetani wala hakuna anae kufatilia bali haki ibainishwe mwenye kuelewa aelewe na atakae bakia na mazoea yake aendelee kwani tuli wafata kwenye mikusanyiko ya maulidi tuka wafanyia fujo? hadi useme tuna kufatilieni.!
@Issa-ud6sy6 ай бұрын
Mwaka 1977,ulikuwa mhhabi au ulikuwa sunnat walijamaa
@iddijuma6152
6 ай бұрын
alikuwa sufi
@abuushakiraddausiy8666
6 ай бұрын
Alikua darasani
@al-bidaya85166 ай бұрын
Huyu mzee video yake ya kwanza kuhusu barazj hapo wallah wabilahi nilijua kiwango chake cha elimu ni kidogo twasubr arltakufaje tuu
@ayububakari9942
6 ай бұрын
we ndio utakufa vibaya kama utabakia kwenye bidaa
@BushirWahad6 ай бұрын
Shehe mbon kama Ivo kwann musiwekane chonjo munatuhanganya cc wafuasi wenu tuwatemegea kwa meng pia tuwapa faida makafiri kfupi munatuvuluga yn daaaa!!!
Wew ni wahabi nenda kwa sk mohd idi akakusomeshe huna ilmu wew ni zumbukuku
@swahibal-karama1456 ай бұрын
@all Huyu Mzee ni Mpumbavu hana Jambo la Maana Ata Moja: anapenda sana kutaka nae aonekane katika Media.
@abuukauthar525
6 ай бұрын
upumbavu wake uko wap hapo???
@ayububakari9942
6 ай бұрын
wewe utakuwa una makarama ya masheytwani kwani huwezi kujiita صاحب الکرامة halafu usiwe na karama bali ukawa na mitusi ya kisheytwaan !!
@abuushakiraddausiy8666
6 ай бұрын
Mpumbavu ni babako
@al-bidaya85166 ай бұрын
Sijaona elimu hapoo
@ABUUAMINAABDALLAH
6 ай бұрын
Huna akili hujaelewa nini elimu ipo wazi kasome mpuuzi wewe acha kuwa mfuasi bila ya elimu
@d153556 ай бұрын
NAONA UNAJUTA SASA KWANINI ULITOKA HUKU UKAINGIA KWENYE HICHO CHAMA SIASA CHAA MAWAHABI BADALA YA DINI NYIE NI WANASIASA NA HUO NI UKWELI MTAZAME PONDA MWENZENU KAMA SI WANASIASA NI KITU GANI? HATA JINA LENU MNAJIITA WANAHARAKATI
@user-nw1ib6qg5x
6 ай бұрын
Acha ushabiki kwenye dini utapotea sikiliza vitu kwa makini uelewe muft zuber ana msemo wake anapenda kuusema badilika acha mazoea sasa hata kama umezoea kufanya maulidi
@user-nw1ib6qg5x
6 ай бұрын
Maulidi si ibada hata mashekhe wenu wna thibitisha
@d15355
6 ай бұрын
mashindano ya kusoma quraan pia ni bidaa na sio ibada na taraweh ni bidaa mtume hakufanya hayo pia utabisha?@@user-nw1ib6qg5x
@saidramadhani8678
6 ай бұрын
Kwann kila muhabi akisimama kupinga maulidi anaporomoka
@d15355
6 ай бұрын
Maulidi inalindwa na mtume mwenyewe wataangaika sana hawataweza kuna sheih wa kiwahabi Mombasa waliapizana na sheikh wa twariqa kuhusu maulid kwamba kama maulid sio sahihi basi yule wa twarika afe na kama ni sahihi basi yule wa Mawahabi afe hazikuchukua hata dakika nyingi yule wa Mawahabi alikufa palepale sio hivyo nina visa vya masheikh wengi tu wa mombasa enzi hizo waliopinga Maulid matokeo yake walikufa vifo vibaya saana nakama mauliid ingekuwa haifai mawalii wetu waliokuwa wanawasiliana na Allah direct kama sh.muhammad nassor alqadiry,sh.suleiman alawi,abdallah bakathir,abubakar bin sumeit,omar bin sumeit na wengine wengi wangekwisha tuambia zamani sasa anakuja huyu wahabi mwanasiasa atakae msikiliza nani hivi vitu haviibui tu bali vina silsila yake@@saidramadhani8678
@abubakarabuu99496 ай бұрын
Pumbav acheni mipasho katika dini
@Sheikhmadaba-cm2hw6 ай бұрын
Hy mzeee kumbe hajui lolote alokwambia mtume had atajwe ndo aswaliwe ni nani ndevu kama panya
@yahkiwera36116 ай бұрын
Hapo hamnakitu kwanza alikosa radhi ya shekhe wake huyo
@abiabi93536 ай бұрын
Huyu sheikh wakiwahabi ni muongo. eti sheikh muhammed Ayubu kasema maulidi si ibada. sasa kama ni hivyo miaka yote sheikh alisoma na kusimamia maulidi ili apate nini? siyo kweli hili jahili lakiwahabi ni laghai la maneno tu.
@user-uf6qf9lx4y6 ай бұрын
Mbona waislamu nchini hawapendi mazungumzo ya Dini? Maneno muhimu kama haya kisha msikiti mweupe nyinyi waislamu vipi?
@user-lp3gi5wd4e
6 ай бұрын
MWAHABI ni wahuni ndo maana hamna watu.
@user-lp3gi5wd4e
6 ай бұрын
Sheik wacha uongo!.Kwani kitabu cha Muasisi wa KIWAHABI kinasemaje
@ngarejumaa17306 ай бұрын
Ww nimzuka shekh m ayubu amepoteza muda kumfundisha mtuambae kichwa chake ni nta kichwakitupu kama karatasi ndoma surayako haina nuru kumbe haunaradhi yashekh wako khabbith ww
Пікірлер: 114
Maashaallah darsa nzuri Allah akuhifadh kwa hakika uzushi sio dini
ALLAAH YAHFADHK YAA AKHIL HABIYB
Subhanallah
Enyi majuhalaa wa kisufi, hawa ndio Mashekhe wa kiwahabi kama mulikua hamuwajuwi. Shekh Allaah akulipe kila lakheri, masufi wanakera sana
Jazakumllah khairan
YESU KRISTO ndiye njia na kweli na uzima na ndiye Nuru ya ulimwengu usipomwamini Yesu uko gizani.
@khalfanikimanta6663
6 ай бұрын
We naawe sijui hata umetokea waapi ati!
@khalfanikimanta6663
6 ай бұрын
Sasa alokwambia waislamu hawamuamini yesu ni naani?
@idrisamara6510
6 ай бұрын
shetani amekupambia ukafiri wako... dini ya mitume haichafuliwi ndio maana unaona wachamungu wanaondoa lisilo la dini. Nabii Issa alikuwa akimsujudia Allah na siti tunaendelea
@Rashid-vm1fk
6 ай бұрын
Yote kwa yote subilini mtakuja kukumbuka haya maneno yangu nyie kashifuni tu,kama mnamwamini mnamwamini kinafiki ila usipokiri kuwa Yesu Kristo ni Bwana siku moja utanikumbuka
@abubakarothman7249
5 ай бұрын
Mda huo ukiwa motoni au @@Rashid-vm1fk
من يهده الله فلا مضلله ومن يضللي فلا هاديله
Sheee unasema kweli
Jamani nitayapati wapi hayo maneno kimaandishi nisaidie jamani niyapate
Allah akulipe sheikh haki isimame
Maneno mazito
Ana upeo mkubwa sana wa ufaham namkubali sana
@sadiqselengu4197
6 ай бұрын
😂😂😂 Ukisoma vzuri ndio utajua huyu mzee anavyozunguka zunguka na anavyofasiri atakavyo vitabu vya wenzao kwa kuzungusha na kubadili maana.. HANA MUDA MREFU anaporomoka huyu bwana
@maftahmusa9513
6 ай бұрын
Mohammad ismail hukurupuka tu hamna lolote kichwani. Huyu Abuu ismaili anafikiria huko TAMTA alipitia tu hamna alichoambua kichwani mwake anahangaika kutafuta nafasi Bakwata ili wamuone naye ni mpabanaji wa kutetea bidaa.
@maftahmusa9513
6 ай бұрын
Ahsante shekh wangu wafundishe hao mambumbubu wataka kujikweza kwa elmu wakati ni watupu
@maftahmusa9513
6 ай бұрын
@@sadiqselengu4197 wewe huna unchojua hapo bora ukae kimya kuliko kudhihirisha ujinga uliokuanao
@ayububakari9942
6 ай бұрын
@@sadiqselengu4197 kama atakuwa katika bidaa ataporomoka kweli
Shekh huyu kichwa jamani ana upto mkubwa sana wa ufaham pamoja kasoma kW haoahahao makhurafi masufi mana nimwanafunzi pia wa shekh muhammad ayubu
Kwni kuna mtu aliyesema kua Maulid ni Dini? Hivi Sheikh kwa ufahamu wako kuna Dini inaitwa Maulidi?
Kumbe sheikh muhammad abubakar Alburhani Amesema maulidi si ibada? Na ni jambo la kuzuka!!? Sasa mbona hamumuiti Wahabi???????😊
@shazyahya4121
6 ай бұрын
Hawa masheikh wote waliosoma TAMTA wanajua maulid ni bi'dah njaa tu ndio inayowasumbua sababu jinsi maulid ilivyoingia Africa mashariki kutoka Yemen adi Comoros 🇰🇲 kisha kuna Sheikh kutoka Comoros ndio aliepeleka maulid mombasa then ikaingia tanga maulid ni mchongo wa biashara tu kama ilivyokua kanisa Catholic zote ni business tu
Eeh maulidi si ibaada
نبتد ب اللهم صلي وسلم وبارك عليه ثم نقول الجنة ونعيمها سعاد لمن يصلى ويسلم وبارك عليه وبعد ها نبتدء بسم ذات العلي shekhe unatafieije manenohaya?__ shekhe wengu siuone aibu mbona unatuaibisha ?
Nenda kasometena wadanganyawatu unatafuta umaarufu
Basi pumzikeni tena Maulidi yawekeni pembeni Mujipange kwa ajili ya Ramadhani kujakuwalisha watu mchana wa Ramadhani na kuwafungisha kabla ya Ramadhani
Huyu nae mtu mzima badala kumuabudu Mwenyezi Mungu na kungoja fuka anaingia ktk mizozo isiyoleta tija isipokuwa mipasuko na chuki na vita baina ya waislam
Nakusudia maneno ya muhamad bakari , alipo sema sisi hatusemi maudi ni ibada
hvy vitabu kama. vipo .vyapatikana wapi tukanunue
KUNAMIPUMBAVU YATAONA KAMA UNAROPOKA AMAKWELI KUFIKIRI KUNAHITAJIKA
@ZubeirTahir-ep1tp
6 ай бұрын
Na kuna mijinga itaona kanakwamba huyu anaongea kweli wakati hata hoja zake zinakingana
Wew skh unazeeka vibaya wala hujasoma kwa skh mohd ayuo
Basi mwalimu wako hajakucha vizur
Wewe mwenyewe huna radhi ya shekh aliekufundisha umekosa Radhi ya shekhe mohamamd Ayyubu
Uwahab nani kakufumdisha?
Muhammad Idi ni muflis ,anatafuta hadhi serikalini / bakwata
@moringesokoine4614
6 ай бұрын
Hata ww umezuka shekh hukuwepo kipind cha mtume
Ni lazima uhame dhehebu au ni kuacha kufanya ambacho hakifai kufanywa
Sheikhe muogope Allah sheikhe Muhammad Ayoubu nimpenzi wa maulidi
Kufasir quruan hawez hv awezaj kutoa radiiiiii???
@banihashim5347
6 ай бұрын
Gogo kasoma tamta kwa Sheikh muhammad ayubu Allah amrahamu miaka 25 kisha asiweze mutatfsiri Qur,ani?.nyie si mwasema kila mara Waliosoma tamta ndio wenye Elim?!! Au akiwa mwanasunnah ndio inakua hana elim? Na akiwa mwana bid,ah anakuwa anaelim???!
wee tubakuhua umeshakosa radhi zashekhewako mjinga ww
Sheykh unazungumza vizuri lkn kumtaja sheykh Muhammad Iddi vibaya si katika Dini
@TheIslam1681_
6 ай бұрын
Unazitizama video za jahil mohamed idi? Mbona hua anawataja watu kwa majina kabisa na ana husda kali sana.
Hicho kitabu kina hojja za mwahabi na za sheikh. Huyu anasoma za Mawahabi na anamsngzia sheikh. Wallahi MAWAHABI huwa hawaogopi uongo nyie.
MSIINGILIE UHURU WA WATU WENGINE FANYENI YA KWENU KAMA MNAONA MAULID HAIFAI MSIFANYE ACHENI NA WANAOONA MAULID INAFAA MUWAACHE WAYAFANYE MKIWAINGILIA MTAKUWA WAKOROFI MNAVUNJA SHERIA NA HATUTAKUBALI SABABU MTAKUWA WACHOKOZI
@sabrinaman5630
6 ай бұрын
Ww pia unavunja sheria kumzuia asiseme maadam amesema kweli
MAWAHABI NI VIBARAKA WA SAUDIA. Hamna jipya kazi kuongea uongo.
Toeni maoni yenu kwa uhuru sio kusena huyu anavuta bangi,? au huyu hana elimu, wewe unaweza kufikisha kama hayo
Siku zote MOHAMED EID ni mtu wa kitafuta vyeo na ukubwa!! Na kufitinisha watu wa HAKI kwa mamlaka!!
@shifaaplusherbalmedicine
6 ай бұрын
Nikweli anapenda cheo uyo Mzee na fitna tu
jamani mashekhe wetu mna nini hamwishi kugombana?ikiwa munahitilafiana kaeni ndani mufahamiane, sio mbele ya hadhara za watu,hivi si mnaudhalilishe uislamu ? makafiri wanatupiga vita, na sisi tunapishana vita wenyewe, pili tuwache kukhutubu ngono ktk misikiti aibu.
@masanjalaissa1660
6 ай бұрын
We utajuaje iyo haki
Zile sherehe za kumtukuza na kumuenzi Muhammad Abdulwahhaab kule Saudia mboni hamulikalii juu ya Membari na kuliwekea madarasa?
@TheIslam1681_
6 ай бұрын
Zile ilibidi mzizungumze nyie. Lakini Maulidi si ktk Dini na pia ni uzushi wa kukaa nao mbali. Hilo litazungumzwa ht dunia nzima wasipotaka kubadilika. Haki ndivyo ilivyo, kukitokeza tu hapa na kutoa maoni yako basi Daawa imekufikia vzr Alhamdulillah
HAYO HAYAKUANZA LEO KWA MARA YA KWANZA KUSWALI EID KWENYE VIWANJA VYA WAZI WALIKWENDA POLISI KUZUIA WAUMINI KUSWALI ,WAKIFANYA MIHADHARA MINGI KUWAFAHAMISHA WATU WASIENDE MISIKITI YA ANSWAR NA YOTE WALISHINDWA MWAMBUNGU ASHASEMA SANA KWENYE CHANAL TEN HAKUNA KITU .
@user-iw1ro5lh9d
6 ай бұрын
Uislamu umetimia:Mtume wa Allah"Hakufiçha kitu,katuelekeza Nàmna ya kuheshimiana katika kukosowana.Pia Elimu ya Dini hii ni Kubwa napana Sana! Sijui Kwa nini hoja Zetu zina vuka mipaka ,nakupelekea Kuvunjiana Heshima,katika Vyombo vya Habari! Ndio Alivyo tuagiza Mtume (SAW?)Naomba Trudi katika Mafundisho yake..ili Tunusuru Imani hii Tukufu. 😢.
Mwalimu Ayub aliposema mauldi sio ibada je, alihama dhehebu?wewe njaa inakutesa Mzee.
Waislam wote YESU KRISTO anawapenda msipomwani kuwa ni Mwana wa Mungu na kubatizwa hamtaingia katika ufalme wa Mungu
@idrisamara6510
6 ай бұрын
manabii wote siti tunawaamini na nabii Issa mtoto wa Maryam. Nyinyi makafiri ndio mmemkataa na kumzushia uongo bila aibu. Mmemuita Issa mtoto wa Mungu kama Mayahudi walivyomuita Ezra kuwa mtoto wa Mungu. Mmefuata upotevu wa washirikina wa zamani
@AusiSaidi
5 ай бұрын
Mashekh mitandao ikitumiwa Kwa kudhlilishana wewe unasema sheikh hadhalilishwi angalia maneno haya .anavuta bangi amekosa radhi .Hana ilmu kilasiku maulidi si ibada hivi HAkuna maneno mengine eleweni watu wameshaelewa kuhusu maulidi tafuteni mengine.kwa maulidi watu wameshaelewa tatizo liko wapi jiangalie unasema peke yako kinakuchekesha nin?watu wako ndio wanakuelewa.
Hawa mawahabi wanafadhiliwa na mayahudi ili kuumaliza uislam
@MohammadJumah-qk2xc
6 ай бұрын
Utaenda kutoa ushahid na Kwa allaah subhaanahu wataala kuhusu hili ulilolisema
Nimefaham kumbe mohamad idd ni mvuta bangi?
Kwani mahala pa kumswalia mtume ni wapi
@joauchitlango3547
5 ай бұрын
Soma mafundisho mtume kafundisha yoote hayo wapi kwa kumswalia
NI MOHAMED IDD SIO MOHAMMAD !
@shifaaplusherbalmedicine
6 ай бұрын
F unakosoa wakati unakosea uyo ni muhamdi idi iyo ndio sahihi kwaiyo mtumie nae ni muhamedi
Mbona hoja zako ni za kiujanja ujanja
Yn ukimrad mtu au sheikh mpaka umtukane cju ndio uslub wa dini hii na ndio mafundisho hayo jamani?
NAKUSHAURINI MAWAHABI MUACHE KUTUFUATILIA FANYENI YA KWENU KAMA MAULID TUNAFANYA SISI NYIE INAWAUMA NINI MASHETANI NYIE,BWANA WENU MBS KAWASALITI SASA HAMNA NGUVU TENA MMEBAKI YATIMA,
@user-nw1ib6qg5x
6 ай бұрын
Acha jazba ndugu yangu vp uwaite waisilamu wenzio mashetani wala hakuna anae kufatilia bali haki ibainishwe mwenye kuelewa aelewe na atakae bakia na mazoea yake aendelee kwani tuli wafata kwenye mikusanyiko ya maulidi tuka wafanyia fujo? hadi useme tuna kufatilieni.!
Mwaka 1977,ulikuwa mhhabi au ulikuwa sunnat walijamaa
@iddijuma6152
6 ай бұрын
alikuwa sufi
@abuushakiraddausiy8666
6 ай бұрын
Alikua darasani
Huyu mzee video yake ya kwanza kuhusu barazj hapo wallah wabilahi nilijua kiwango chake cha elimu ni kidogo twasubr arltakufaje tuu
@ayububakari9942
6 ай бұрын
we ndio utakufa vibaya kama utabakia kwenye bidaa
Shehe mbon kama Ivo kwann musiwekane chonjo munatuhanganya cc wafuasi wenu tuwatemegea kwa meng pia tuwapa faida makafiri kfupi munatuvuluga yn daaaa!!!
Muzushi niwewe mbona daresay yako watuniwatano mikoba yababu yako yakusumbuwa yakichawi
Wew ni wahabi nenda kwa sk mohd idi akakusomeshe huna ilmu wew ni zumbukuku
@all Huyu Mzee ni Mpumbavu hana Jambo la Maana Ata Moja: anapenda sana kutaka nae aonekane katika Media.
@abuukauthar525
6 ай бұрын
upumbavu wake uko wap hapo???
@ayububakari9942
6 ай бұрын
wewe utakuwa una makarama ya masheytwani kwani huwezi kujiita صاحب الکرامة halafu usiwe na karama bali ukawa na mitusi ya kisheytwaan !!
@abuushakiraddausiy8666
6 ай бұрын
Mpumbavu ni babako
Sijaona elimu hapoo
@ABUUAMINAABDALLAH
6 ай бұрын
Huna akili hujaelewa nini elimu ipo wazi kasome mpuuzi wewe acha kuwa mfuasi bila ya elimu
NAONA UNAJUTA SASA KWANINI ULITOKA HUKU UKAINGIA KWENYE HICHO CHAMA SIASA CHAA MAWAHABI BADALA YA DINI NYIE NI WANASIASA NA HUO NI UKWELI MTAZAME PONDA MWENZENU KAMA SI WANASIASA NI KITU GANI? HATA JINA LENU MNAJIITA WANAHARAKATI
@user-nw1ib6qg5x
6 ай бұрын
Acha ushabiki kwenye dini utapotea sikiliza vitu kwa makini uelewe muft zuber ana msemo wake anapenda kuusema badilika acha mazoea sasa hata kama umezoea kufanya maulidi
@user-nw1ib6qg5x
6 ай бұрын
Maulidi si ibada hata mashekhe wenu wna thibitisha
@d15355
6 ай бұрын
mashindano ya kusoma quraan pia ni bidaa na sio ibada na taraweh ni bidaa mtume hakufanya hayo pia utabisha?@@user-nw1ib6qg5x
@saidramadhani8678
6 ай бұрын
Kwann kila muhabi akisimama kupinga maulidi anaporomoka
@d15355
6 ай бұрын
Maulidi inalindwa na mtume mwenyewe wataangaika sana hawataweza kuna sheih wa kiwahabi Mombasa waliapizana na sheikh wa twariqa kuhusu maulid kwamba kama maulid sio sahihi basi yule wa twarika afe na kama ni sahihi basi yule wa Mawahabi afe hazikuchukua hata dakika nyingi yule wa Mawahabi alikufa palepale sio hivyo nina visa vya masheikh wengi tu wa mombasa enzi hizo waliopinga Maulid matokeo yake walikufa vifo vibaya saana nakama mauliid ingekuwa haifai mawalii wetu waliokuwa wanawasiliana na Allah direct kama sh.muhammad nassor alqadiry,sh.suleiman alawi,abdallah bakathir,abubakar bin sumeit,omar bin sumeit na wengine wengi wangekwisha tuambia zamani sasa anakuja huyu wahabi mwanasiasa atakae msikiliza nani hivi vitu haviibui tu bali vina silsila yake@@saidramadhani8678
Pumbav acheni mipasho katika dini
Hy mzeee kumbe hajui lolote alokwambia mtume had atajwe ndo aswaliwe ni nani ndevu kama panya
Hapo hamnakitu kwanza alikosa radhi ya shekhe wake huyo
Huyu sheikh wakiwahabi ni muongo. eti sheikh muhammed Ayubu kasema maulidi si ibada. sasa kama ni hivyo miaka yote sheikh alisoma na kusimamia maulidi ili apate nini? siyo kweli hili jahili lakiwahabi ni laghai la maneno tu.
Mbona waislamu nchini hawapendi mazungumzo ya Dini? Maneno muhimu kama haya kisha msikiti mweupe nyinyi waislamu vipi?
@user-lp3gi5wd4e
6 ай бұрын
MWAHABI ni wahuni ndo maana hamna watu.
@user-lp3gi5wd4e
6 ай бұрын
Sheik wacha uongo!.Kwani kitabu cha Muasisi wa KIWAHABI kinasemaje
Ww nimzuka shekh m ayubu amepoteza muda kumfundisha mtuambae kichwa chake ni nta kichwakitupu kama karatasi ndoma surayako haina nuru kumbe haunaradhi yashekh wako khabbith ww
@abuushakiraddausiy8666
6 ай бұрын
Muhammad iidii