PROFESSOR JAY: DIAMOND tayari, Ningependa kufanya na ALIKIBA
Ойын-сауық
LilOmmyTV channel maalumu ya Burudani na EXCLUSIVE interview kutoka kwa masta unaowakubali.
Hakikisha una Subscribe hapo chini, Angalia show mwanzo mwisho, Gonga Like, Angusha Comment yako kisha Share Link na wenzako kwa Whatsapp au mitandao yako ya kijamii (facebook na twitter).
Ni follow kwenye mitandao ya kijamii.
/ lilommy
/ lilommy
www.lilommy.com
for more interviews, hot news, exclusives, music, videos, artists profiles, gossip etc tembelea lilOmmy.com
Пікірлер: 128
Lilommy nakukubali kinomaa kwenye itaviue zako unapenda kuwagonga wasanii maswalii kama hayuko active anaweza kukimbia stundio hu hu hu hu hu hu hu
Hawa ndio wenye bongo Music nashangaa kenge zingine zinazosimama na kusema wao ni zaid ya wengine Ona Historia hii ilivyotulia Big up Professor J
"ALBUM ni kama KITABU na singles ni kama CHAPTERS". Mh Profesa Jay 👏👏👏 Profesa Hata akiongea ni punchline tosha G.O.A.T
Mtangazaji hapaswi tu kuwa na sauti nzuri na ya mvuto.. Ila nadhani inabidi inabidi ajue kwa undani sana kuhusu kile anachopresent kama entertaininment lazima awe deep huko kwa maana ya kujua wasanii na historia zao.. Sasa ndo mana nasema kwamba lil Ommy ni mmoja kati ya top three zangu za mapresenter wakali sana afrika mashariki... KIZAZI SANA TAMBWEEEEEEE
Professor Jay ndo number one Legend Tanzania kabisa! Wa kina Fid Q wanakuja badae hao. God bless him with long life. Lil Ommy wewe pia ni mtangazaji muzuri sana kabisa. God bless u 2!
Nakukubali sana Prof, nyimbo zako nilikiluwa nimezimeza zote nikiwa primary school,nikiwa na cassate yangu geto,Du nakuelewa sana we jamaa,
Nimetamani sana nielewe safari ya mziki ya Prof Jay, all time favourite Mcee. Hii interview ina majibu yote, Ahsante sana Tambwe
Pr Jay nakukubali kinoma noma na wimbo wako ndio mzee nakumbuka kipind hicho nilikua na saloon ukija offsin kwangu hukosi album zako zote nilikua nazo nakumbuka kipindi hicho ilikua ninomaa
Professor the legend,
#LilOmmy hii interview imenipeleka nyuma kusikiliza NYIMBO karibia zoote za #ProfessorJay.. napenda sana unavouliza alaf unamuacha interviewe afunguke, umefanya the same almost interviews zako zoote.... Fresh sana, #KIBABE... #PAGAMISA
This is the best show in the region, LilOmmy you are a serious and matured interviewer. Prof Jay hata akija Kenya kutafuta ubunge bado tutampa tu, He is the king of Bongo hip hop
MC shupavu, mwana wa msolopagazi balaaa sana ww ni hatariiiii😍😍😍😍😍
yeah
My favorite interview... Professor Jay always ranks #1 and LilOmmy you the best interviewer ever u always ask right question.. tbh you always killed me whenever you said, Kizazi 😂😂😂
mmoja wa mc bora kabisa wa hiphop kutokea bongo anahistoria kubwa sana na amebadili game ya hiphop heshima kwake
Nashangaa kuna 6dislikes unachukiaje interview like this, I wonder what kind interviews do you like? Big up sana #ProfessorJay u still the Greatest Of All Time (GOAT)
@nassstewart181
6 жыл бұрын
Ramazani Mulongeca wivu mzee na roho mbaya 😂😂😂😂
@festoedward1902
6 жыл бұрын
Ramazani Mulongeca @wengine hawajui wanabonyeza tu 😂😂😂
@RamazaniMulongeca
6 жыл бұрын
Festo Edward1 😀😀😂😀😂Wanafikirije yani...
@RamazaniMulongeca
6 жыл бұрын
Nass Stewart Kweli kabisa, au fikra fupi kama umeme waLuku...😁😁😁😂
Huyu professor ni fundi sana
Jay nakuelewaga sana Mzee Baba najua wangekuwa wale wengine no, yes, offcoz, yayaaah zingekuwa nyiiiingi hapo
Wapi prof. Ludigoooo EA fanyeni mumtafute bhana tuchonge nayee, Nigga J nimekuelewa sana big up, kama unasaport LIKE
A true Fan Playlist No Moja Haina Makeke Bless Fan Hon.Jizee ((THE REAL 0NE))ShoutOut Tambwe Eeeh Oii Salut💥🙌🏽♥️🎶🔥❤️🇰🇪🙌🏽🙏🏾
Nmesikitika sana hapo aliposema awards zimevunjika pindi nyumba ikibomolewa
Jey umetoka mbali isey JAH BLSS U
Jina langu... the hottest
mbunge anaeongoza binadam na wanyama 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
respect brother j umeitoa mbali bongo fleva
Big up the #MVP&Professor
Big up to y'all#Prof Jay&Tambwee
From moz nakukubali prof Jay
Tambweeeeee.. Prof yuko vizuri sana.
Safy prof j. Nakukubali balaa..mungu akubariki
upo vizuri mzee
Wewe Prof hakika unastahili,,
tambwe you are the best entertainer presenter all over the eastern side of the continent blesses on bro
Ndioo nimekupata. @Dj_Prof_J_Uncle. Namkubali. Sana. @Joseph_haule. Kiufupi ana @kazinzuli sana
Good jay umetisha
From kenya💕💕 first viewer
@LilOmmyTV
6 жыл бұрын
Pamoja sana, Bless
@daudisimwinga1324
6 жыл бұрын
From Kenya
@edwinmbugua7738
6 жыл бұрын
kizazi sana ...from Nairobi
#Big up sana blood lilOmmy mamb ni motto upo na professor j
Professor Jay namkubali sama
Mwana Hip Hop Bora Kati Yawanojua East Africa
More respect Big. I appreciate the way you step.
Heshima kwako profesa
@yassiribrahim8137
6 жыл бұрын
htr
Good jize
kazi nzuli sana 10 kwa 10
Mwenye ngoma za HBC afanye kweli bc
swag kal mzazi,jiunge wcb sasa lil omy
Analog recording!!! Noma sana
@InnohubGroup
5 жыл бұрын
MaBulldozer walioparua wakatengeneza njia, halaf watu wengine wanaleta mapozi!!
Vizuri jay Wewe ni legend wa zaidi
Definitely 😁😁😁@lilomy
Namkubali Sana professor
The fest rapper in my top Five, profisa J ,fid Q, joh makin ,mwana F ,darasa wa enzi zile
@peterkarisa5029
Жыл бұрын
Young killer umenuacha nje
Professor
Nakubali
Yaaap respect intervew
show ya moto sana
Shoo lakibabe
Pease jina lake nani MC wahatali congratulation bro
Heavy weight Mc Pr J
kweli Pro ni Icon
I appreciate
LEGEND!!!!!!!
🔥🔥🔥
Professor niatari j upo the first one
nakubari san omi
Godfather great inspiration
🔥
@aureliebeatrice5952
6 жыл бұрын
medylove_tz medylove_tz poa vp
Heri ya mafanikio bro interview zako ziko poa xna
🎉
bg
Piga kazi bro maneno muachie Afande sele wa ngara
@abrahamkilele4365
4 жыл бұрын
Hahahahah
🇰🇪👍
Mubunge anaeongoza binadam na wanyama
Hataree pendaa untaviw zako omy
Legend🔥🔥
kweli kwa jide Umenena ila wenye bifu naye wajibebe tuuu
💣💣💣💣💥💥💥💥
Prof J uko Good
kubali sana l
LilOmmy no one like uuuuuu bro clouds have already die
The icon tangu na tangu
tambwe unaujua mzik San yan unamhoji MTU mpk mtazamaj anafeel
professor jay ni mgodi unaotembea
Tambweee noma sana mwamba
@seifhassan3811
3 жыл бұрын
Professor jay nakubal Sana ndg pia kipid kile unatoa show pale kakora bulyahuru mwaka 2000 year , ludi Sasa tupo pamoja tunasubiria mashahiri yako!!
Huyu ndio wa kuchonhewa sanam wapumbavu nyoooo nyoo
J m2mzima miaka mia
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@eliasikaratayebaba1845
4 жыл бұрын
Fireeeee
Mtazamo ni katiba ya Mziki wa Tanzania
heavyweight mcee
Tambwee
Pr jizze really legendary
the heavy weight mc
xana j
prf jay ukofa ww nitauzunika sana
@issamikidadi995
6 жыл бұрын
Omary Mbalala point gan izoo utatangulia ww xx
@Majambo_Duniani_Tv
6 жыл бұрын
unauhakika ataanza yy akuache ukiwa hai..??
@jeremiahkaaya9990
6 жыл бұрын
Omary Mbalala
kzread.info/dash/bejne/Yqyco9qJZbDdqJM.html *Nyimbo iliyo mfanya diamond amtafute yamungu 👇👇* kzread.info/dash/bejne/Yqyco9qJZbDdqJM.html ongea Gusa link kuona alicho kizungumza *daimond platinumz*
@josembuzi1223
6 жыл бұрын
BONGOLIVE huyu jamaaanatishaaa
Kuhusu kiba hpo potzea brz coz kiba hawez fanya kaz na mtu ambaye mond kshfny nae
@nassororamadhan2515
6 жыл бұрын
Mbona naye kashafanya inteview na liomy
@machedaboy2520
6 жыл бұрын
I mean collabo braza
Nisubirini me bado naangalia
Bonge la interview
@temonyteobadteobad3958
6 жыл бұрын
jey umetisha san
kingwendu
tambweee Niko kosaga interview zako sijielew
@dogokumba6233
6 жыл бұрын
uko good j
Twataka nn amapaka mungu atupe gunia la chawa
Mwenye ngoma za HBC afanye kweli bc