Praise Team TAG Forest ya Kwanza ft John Lisu - UTUKUFU (Official Live Video)
Музыка
#PraiseTeamTAGForestOne #JohnLisu #Utukufu #Gospel #NgommaTz
Utukufu (live recorded song) sung by Praise and Worship team TAG Forest One Mbeya featuring Minister John Lissu from Tanzania.
The song UTUKUFU is among the nine songs in a live recorded DVD Album titled UNAISHI.
Be Blessed.
The DVD is available For TSH 5000/=
Call #+255655871759 or #+255756801416
Kindly Share, Comment and don't forget to subscribe the channel.
Video: stevetobs media
Audio: Frester Records (Masanja)
watch "peke yako" here: • Praise Team TAG Forest...
Watch Yesu wa Thamani here: • Praise Team TAG Forest...
Watch Pokea Sifa here; • Praise Team TAG Forest...
©2019 Administered by Ngomma VAS Limited.
Пікірлер: 139
Gonga like km unaamini bwn ndie wakupewa sifa
@rehellongo9125
3 жыл бұрын
Kweli kabisa naaamin hivyo mungu anafurahi Sana waimbaji n wengi wanaimwia
@ediusgabriely615
3 жыл бұрын
👍👍
Utukufu upewe BWANA na heshima ni zake wastahili wewe tuu umezungukwa na sifa
Utukufu kwako Yesu
Hallelujah 💃💃yesu umezungukwa na sifa🙌🙌🙌
Raha sana jaman mmeimba vizuri sana
The backing vocalists did their homework excellently!...kuanzia 4:40 solo guitarist alinyimwa sauti sound engineer njoo ule kiboko kimoja kkk
Ukuwaji wa huduma hizi za kusifu na kuabudu inchini kaka John Lissu unahistoria Mungu aendelee kukuimalisha, kukuinua na kukubariki kiroho na mwilini amina.
@edinamkubwa2629
11 ай бұрын
Hakikaa mtumishi na vijana wanao fanya hizi live performance wanapaswa kuutambua mchango wa John lisu kwasababu ni legend
Waooo waoooo Nabarikiwa sana, Mungu azidi kuwainua. Hakika wimbo huu unanifanya nijisikie kumwabudu Mungu muda wote.
Napenda huu wimbo sana sana🙏🙏🙌🙌🙌
Mmenibariki moyo wangu wapendwa hakika Mungu amezungukwa na SIFA
Hongera sana yaani mungu awabariki
Bwana amezungukwa na sifa🙏🙏
Umezungukwa na sifa wastahili heshima
Jamani natamani sana kuhudhuria kwenye hizi huduma, huwa mnafanya wapi na lini
Mnajua jaman duuuu!! Hadi raha
Kawimbo katam, mbarikiwe
Mungu awabariki wapendwa kwa kazi nzuri.... Tunaisubiri UNAISHI
Mungu awabariki Sana waimbaji
Bwana awabariki mnoo
Baraka 🙏
Mungu awabariki sana kazi njema sana awainue zaidi
Nzuri sana...Be blessed watumishi wa Mungu
Nzuri sana
Napemda San jamn daaaa
Sifa na heshima na adhama zinawew baba utukuzwe
Kaka aliyeanzisha ameimbisha vema kabisa ILA INGEPENDEZA ZAIDI ATAMKE MANENO KATIKA UHALISIA WAKE KULIKO KUTAMKA KATIKA NAMNA KIINGEREZA
@furahamgimba765
4 жыл бұрын
Hakuna sehemu walipoimba kwa kiingereza
@andrewmandia3440
4 жыл бұрын
ok
Mungu wetu anastshili sifaa,,,mubarikiwe sana wana wa Mungu
Asanteni mnazidi kutubariki...Mungu awabless sana kutoka Nairobi kenya
Kazi nzuri nyimbo ina upako
Mungu azidi kuwabariki
Mungu apewe sifa
Amen blessed after listening to this song
wastahiri wewe tu Bwana
Mbarikiwe sanà huduma yenu n njema
Mungu awabariki kazi nzuri
Mungu awabariki .....kazi nzuri tunawaamini tunawapenda pia
@frankgabriely9294
3 жыл бұрын
Mko vizuri
@frankgabriely9294
3 жыл бұрын
Mko vizuri
So sweet and powerful
Mbarikiwe
Benja agiza Pepsi nakuja lipa.. Mmenibariki One Baba🙌
Much love from Kenya 🇰🇪 ,am immensely blessed
@praiseteamtagforestyakwanza
5 жыл бұрын
Ameen.. kindly share and get blessed!
@yosiahstephano5822
3 жыл бұрын
Amen be blessed my friend
Umezungukwa na sifa 🙏🙏
I attended heaven gate prayer mountain...i heard hii song mara ya kwanza ikabidi nitafute
Wakufiwa ni Mungu pekee hastahili yeyote kuutwaa utukufu huooo
mmenifanya nitamani kumuimbia bwana
Mungu awabariki sana
John lissu wakiwa 200 Tanzania kutakuwa na mlipuko wa injili usio kawaida huyu jamaa ananibariki sana am so proud to be Christian
@godwinkaponda3805
5 жыл бұрын
Its blessing
Benjaaaaaaaa bass. Daaah jaman nmefanya kaz nzuri sana
Hongereni Sana......wimbo mzuri
The song is sweet
Brother Onesimo be blessed more i see there at the top more than sky
BWANA YESU anastahiri Sifa na utukufu
@philipbahonyia3025
2 жыл бұрын
🙏🙏🙏
Haleluya Jehova utukufu n wako milele..stay blessed
Utukufu na heshima apewe Bwana Anastahiri......Bro Onesmo & Lisu....with all team be blessed kazi nzuri hakika Glory to Living God
It blesses so much touched
Saf sana
Utukufu upewe bwana,na heshima ni zako, wastahili wewe tu bwana ,umezungukwa na sifa,,........Lord receive my praise.
barikiweni sana wana wa Mungu hadi mshangae. nasubiri muutupie wimbo wa UNAISHI. Huwa unanitoa machozi kila mara maana unanifanya niutafkari ukuu wa Mungu kwa hali ya juu sana. weka like hapa kama na ww unausubiri wimbo huo.
@praiseteamtagforestyakwanza
5 жыл бұрын
ameen, barikiwa pia.. soon tutauachia, cha kufanya subscribe kwenye Channel ili upate notification. ila kwa sasa unaweza pata DVD, piga 0655871759
Mungu awabariki sana. Kuna raha katika kuifanya kazi ya Bwana
Hallelujah!!!
Mbona sijaizoea hii ya John Lissu? Kama alikuwa ameimba sana
Good werk
Kazi nzuri saana hakika utukufu ni wake aliye juu. Good song and so powerful
💪💪 powerful enough
Huu ndio mlipuko wa sifa😍😍,, UTUKUFU APEWE BWANA,, HAKIKA AMEZUNGUKWA NA SIFA!! MBARIKIWE SANA ONESMO, LISU NA TEAM NZIMA 🔥🔥🔥
Sifa na utukufu ni vyake Bwana,,hakika anastahili vyote Mungu utuongoze sawa sawa ili tumtumikie kiuaminifu..
Umezungukwa na sifa.... 🔥
@divineconnectors3560
5 жыл бұрын
Woooh Nice &powerful work.I'm real blessed.@ Sanga Robby
nabarikiwa💯💯💯💯💯
Very blessed 🙏
Am so touched
Am blessed It's such a nice song
Nimebalikiwa sana kwakazi yaBwana
Hakika BWANA amezungukwa na sifa
haleluja am blessing with this powerful song
Wewe tu ndio unastahili, Umezungukwa na sifa bwana, 🎉🎉❤❤ kudos TAG ft John Lisu. Nyinyi ni wa baraka sanaa
am filling blessings 🙏🙏
nice song ur voice's are perfect may god bless u guys keep it up
All the praises,honour and worship go to you because you deserve it almighty God.Am blessed when I listen to this song
Amazing 😊
Hakika utukufu na sifa ni za Bwana mkubwa YESU nabarikiwa sana na nyimbo za kumuinua MUNGU aliye juu mbarikiwe sana sana watumishi wa Bwana muzidi kuongezeka viwango zaidi na zaidi!
Mko vizuri TAG praise team💝💝💝💝💝
Awesome song
Mbarikiwe na Bwana kwa kazi mliyojitoa ila tu msisahau kuwa majivuno hayana faida yoyote ile...na pia Fanya kazi kwa moyo wala si kwa kuangalia binadamu.Amina
@praiseteamtagforestyakwanza
3 жыл бұрын
Amen.. barikiwa sana
Nce song
This song blesses me a lot. Blessing shower to all participants, thank u for taking as closer to the Spirit with your singing👏👏
Praise team TAG forest ya kwanza mnanibariki mno.Mungu azid kuwainua.
@praiseteamtagforestyakwanza
5 жыл бұрын
Ameen.. barikiwa pia
🔥🔥🔥
Bwana Yesu amezungukwa na sifa
Ooooh
@lilianmwalo9397
4 жыл бұрын
Nimeipenda
@onesmoisrael7313
4 жыл бұрын
@@lilianmwalo9397 im blessed wid this song
@onesmoisrael7313
4 жыл бұрын
@@lilianmwalo9397 im blessed wid this song
Awesome
Grayefully
Utukufu
Wow. Blessed team . Glory to God
@praiseteamtagforestyakwanza
2 жыл бұрын
Amen
Mungu awabariki nimewakubali saaaana
In the middle of this yr 2020 I have across come this song am truly blessed thanks much love from 🇰🇪
@party357
3 жыл бұрын
Grt
Waooooo so nice
AMEN...
🙌🙌
Wimbo huu unaugusa moyo wangu sana Mungu awabariki sana. Hakika Mungu wetu amezungukwa na sifa na hicho ndicho chakula chake. Pokea sifa zako Mungu mkuu.
God bless you
😇😇😇