PolePole: Tulitaka Kiongozi Ambaye Hayumbishwi na Vijimaneno, Tukapata MchapaKazi

Ойын-сауық

All the African Music. Hottest SHOWS... Experience Africa
100.5 Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz

Пікірлер: 28

  • @jimmymnuano7165
    @jimmymnuano71656 жыл бұрын

    Mimi nakukubali ndugu PolePole ki ukweli kwanza wewe ni kichwa na jingine umekomaa na shuhuri zako ki sawa sawa kabisa Asante sana.

  • @immaculataroeser8428
    @immaculataroeser84284 жыл бұрын

    Polepole moto wa kuotea mahali! cary on.

  • @clevalupakisyo7460
    @clevalupakisyo74606 жыл бұрын

    Polepole fireeeee

  • @salummuhija4435
    @salummuhija44356 жыл бұрын

    sijamuona mtu yeyote kutoka chadema anaeweza kusimama na pole pole katika mambo haya ya siasa. chadema ni matusi lakini kueleza sera za chama vizuri hamna.

  • @kassimibrahim4776
    @kassimibrahim47764 жыл бұрын

    Comrade unauwezo wa juu sana kwa unayoyaelewa.......walisema eti umeshindwa kuvaa viatu vya mtangulizi wako.....ila wapi ww ni zaidi

  • @hassannyalile2256
    @hassannyalile22564 жыл бұрын

    Fundi mkuu wa ccm taifa, Taifa linakutegemea sana sana kiongozi wangu.

  • @jessemwasanguti8165
    @jessemwasanguti81656 жыл бұрын

    Uko vizur

  • @almutasemalbusaidi2533
    @almutasemalbusaidi25336 жыл бұрын

    Tunataka part 2

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri81146 жыл бұрын

    wewe nifundi tena una wajibu polepole bila haraka hongera kiongozi

  • @salummuhija4435
    @salummuhija44356 жыл бұрын

    Watu wanaojua mambo utawaona tu, yaani ni makini mno mno. Sasa hapo angekaa mtu Fulani anajiita mchungaji ungesikia matusi tu.

  • @jeniphermaiko3886
    @jeniphermaiko38864 жыл бұрын

    wewe ni jembeeeeee

  • @neemakilomoni4258
    @neemakilomoni42584 жыл бұрын

    Hivi Pole pole una miaka mingapi??una onekana mdogo sana lakini una akili buwa kuliko umri wako 🤣🤣🤣🤣Lol

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf Жыл бұрын

    Haka kimalaya bado kanaishi?...

  • @manish-fp1fb
    @manish-fp1fb6 жыл бұрын

    bilioni 300 na na si bilioni 80 ........

  • @lgffumbuka183
    @lgffumbuka1834 жыл бұрын

    Mmmh, Polex2 ameiva. Nadhani hakutaka tu kusema kwamba CHADEMA waliwaunga mkono Jubilee sababu ya ukabila. Lowassa kama utakumbuka alisema wana umoja wa langwainan wa East Africa hata kabla ya uchaguzi

  • @nassorsaid2331
    @nassorsaid23316 жыл бұрын

    Acha ujinga we polepole toka enzi za katiba mpya ushachange your showing your true colors now...na duniani kote kuna maraisi na vyama mbalimbali vya nchi nyingine zinazo endorse vyama vya nchi nyingine

  • @greensky9607

    @greensky9607

    6 жыл бұрын

    Nassor Said mfano pliiz

  • @nassorsaid2331

    @nassorsaid2331

    6 жыл бұрын

    Brian Baraka wapo wengi tu but to name a few Putin raisi wa Russia kwa trump,wa Israel kwa trump na obama alimu endorse frank raisi wa ufaransa

  • @greensky9607

    @greensky9607

    6 жыл бұрын

    si sahihi kaka, research upya, in short una mu-endorse mtu from the same party within ya country and not outside of ya country simply kuondokana na ukakasi unaoweza kutokea wa kidiplomasia. So the Israelites and Russians(governments) congratulated Mr. trump aliposhinda na sio wakati anapambana katika kampeni, just as our President did. (Serikali hufanya kazi na Serikali zinazoongoza dola katika nchi husika na si wapinzani wa nchi hizo eg Huyo kenyata akishinda atashirikiana na Serikali ya TANZANIA na sio wana cdm). Ndio maana hapo mwanzo nimesema kuepuka ukakasi wa kidiplomasia, Mf. CDM walisema wanaisapoti jubilee, okay, uchaguzi umebatilishwa na mahakama ya juu, wapinzani waliofungua kesi na kushinda wamepata sifa zao na mahakama hiyo ya juu pia imesifiwa na Kenya kwa ujumla imesifiwa kwa ku exercise demokrasia ya kweli, at the same time kenyata amewapinga majaji(wale4 waliotengeneza historia hiyo) tena kwa kejeli na kuwaita wakora4 kuwa wamebatilisha maamuzi ya mamilioni ya Wakenya japo HANA budi kuheshimu walichokifanya (automatically anapinga demokrasia iliyotendeka), swali sasa, WHERE DO THE CDM POSITION STANDS BY NOW? 1>PRAISING DEMOCRACY, >>to NASSA and the high court who won the battle of democracy? 2>KUIPONDA DEMOCRACY >>still to kenyata who opposing the democracy that has been exercised and praised for the whole African continent? Hapa ndipo tatizo LA kuingilia siasa za nchi zingine zinapokuwa katika kampeni LINAPOKUJA, ndio ukakasi huo sasa, any jibu between those questions will automatically force them to be seen as the BIG LIARS.

  • @nassorsaid2331

    @nassorsaid2331

    6 жыл бұрын

    Brian Baraka I know the difference betwhen endorsing and congratulating maybe you need to do more research nenda hata google ka search..mfano mwingine mdogo nchi nhim go za kiarabu zili muindorse hillary sababu ya islamaphobia that's not congratulating somebody

  • @mamad1175

    @mamad1175

    6 жыл бұрын

    Huna lolote mahakam gani hapa bongo inaweza kuwa km kenya usituongopee

  • @nassorsaid2331
    @nassorsaid23316 жыл бұрын

    Waandishi mnashindwa hata kumchallange kama kweli wameongeza hizo hela zote kwenye mikopo haijawai kutokea kwa nini watu wengi zaidi ya jawahi ambao Hawana mikopo ya shule?

  • @joakimlotho6117
    @joakimlotho61176 жыл бұрын

    Huna lolote wew u talk nothing

  • @gilbertsalvatory9590

    @gilbertsalvatory9590

    6 жыл бұрын

    Daniel Simon ulitaka aongelee yapi

  • @makambawaziri8588

    @makambawaziri8588

    4 жыл бұрын

    Daniel Simon apo inaonekana polepole kakiteka kituo na lazima kuangalia muandishi alie kua vizuli ndio mumpe maojiano na mtu kama uyo

Келесі