PATANISHO : ULINIAMBIA UNAEZA JILIPIA RENT JUU YA MAKASIRIKO NA SAI SASA UNATAKA NIRUDI
Ойын-сауық
Radio Jambo Kenya | Ongea Usikike | Ni kituo nambari moja Kenya kwa matangazo ya kiswahili. Vipindi vyake vina jumuisha Spoti,Mijadala moto moto na muziki wa Kiafrika
#RadioJamboKenya #patanisho #gidinaghostasubuhi
Subscribe to RadioJambo KZread - bit.ly/39wwc6u
Mitandao ya Kijamii
Instagram - rb.gy/e154d1
Facebook - rb.gy/09d1b9
Twitter - rb.gy/e23220
Пікірлер: 31
Tafuta kazi dada msaidiane maisha ni magumu sana
Wewe mrembo tafuta KAZI ufanye yawa.. Wacha kupea kijana ya wenyewe pressure jameni tafuta pesa musaidiane
Mademu wengi wako na hii kiburi ya eti naeza jikalisha hata ka ni mm nakuachia nyumba.
Me together with ghost,,,kwi kwi kwi kwi kwi.....uhuuu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@MohammedMohammed-uz4jn
Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@wallsound_defefender
Ай бұрын
😂😂😂😂😂mee too,uuuhui!
@rachelmuch5788
Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@kennethisiko882
Ай бұрын
😂😂😂😂
@shamimaoko
29 күн бұрын
Me too huhuuuu uwiiii 😂😂
Wa kwanza leo❤❤❤❤❤❤
@purposeinsuranceagency6695
Ай бұрын
Salimia Jeff
Grace enda uarabuni ufanye kazi.. achia mamako mtoto na Kevo aendelee kutafuta pesa venye anasema. Don't waste your time waiting for someone na mtoto anakuwa mkubwa soon mtaanza kusumbuana juu ya school fees. Mtu wa vita hata sioni ako na right ya kuishi na wewe
Tafuta kazi data,shenzi
Ndoa n kuvumiliana but apo kwa kichapo ziiii
Ww mrembo Kwan hakuna nyumba kwa Akina kijana
Maisha ya saa hii dada , tafuta KAZI msaidiane
Endelea kugoja utagoja xanaa toka ujitume ujitemegemee
Nowadays dada tafuta pesa zako
Wasichana wa sikuhizi hawana uvumilivu kwa kweli....Grace ndiye aliharibu kwake tena ako hapo kuplay victim 😅😅😅
@judithmunyiri9514
Ай бұрын
Ukweli kabisa hawataki kuchoka
Huyu Grace ni mama mang’aa. Chege alisema alimsamehe kwa ya kile kitendo alifanya sasa najiuliza kilikuwa kitendo gani? Pia Grace kasema atajisimamia hamtaki Chege sasa yualia ameishiwa. Bure Kabisa.
Huyo Dem amenikumbusha time niliuza vitu zote hadi nguo zake nikapotea nikiwa nimepata Dem Kwa nyumba yangu . My hubby bought everything within one month na akanitafuta nikapata adi nimepelekwa nyumba ya pesa thrice ya ile tulikua.kwa kifupi kevo hatarudi Kwa huyo Dem 😂😂😂
Huyu Grace namuonea 18 walai si unaona hata analalamika Kwa hayuko sawa na parents
Wanaume hawataki pressure kwa nyumba.
Really? Gidi na Ghost, please offer wisdom as leaders in our community! The young man needs to order his life and have his own place before he dates/marries. The young man gal should know this young man is not ready for a relationship! She should choose better! Bet yet, she should figure out her life. How dare she ridicule him for not being able to pay rent when she herself can’t even pay? How do you ask someone to have something you don’t have? NKT
Kwani huyu dem hana job? Afanye kazi pia..tia bidii mummy.
Kichapo is a No! Ashakudharau!
Aki ni me cheka, hahahahaha
Chege ana bidii but Grace ni kisirani ju kulingana na Chege ni Grace alileta shida
Tafuta kazi wewe dada
True or false 😂😂😂😂😂😂