PATANISHO : SIKUJUA BABBY DADDY WANGU AKO NA FAMILIA...ALITAKA NIAVIE MIMBA
Ойын-сауық
Radio Jambo Kenya | Ongea Usikike | Ni kituo nambari moja Kenya kwa matangazo ya kiswahili. Vipindi vyake vina jumuisha Spoti,Mijadala moto moto na muziki wa Kiafrika
#RadioJamboKenya #patanisho #gidinaghostasubuhi
Subscribe to RadioJambo KZread - bit.ly/39wwc6u
Mitandao ya Kijamii
Instagram - rb.gy/e154d1
Facebook - rb.gy/09d1b9
Twitter - rb.gy/e23220
Пікірлер: 98
Waaah hii ni uchungu jamani njia haiyambii mtu utakanyaga mafi dah,radio jambo please muwe mnaweka namba ya mtu asaidike kuna watu bado tunajali wengine 😢😢so painful 💔
@user-kk4ig9mm8n
2 ай бұрын
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
Ghost umefikiria vizuri kabisa. The lady felt so secure after being taken home, jamaa amekosea binti wa wenyewe
Wah this is emotional ,i feel her pains,,bt its time afunguke macho ,hope she learns a lesson and be brave
@kaninamargaret8025
3 ай бұрын
👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾
Wasichana tujifunze kufunga miguu ama weka Condom mpangoni. Be careful Men are fond of taking advantage of desperate ladies. Pole Dada
I would not want to throw stones at Zawadi,...Gidi Naomba number yake tafadhali,I would love to help her out.
@kennykids804
3 ай бұрын
May God Bless you. Help her pls.
Connect her with one you tube interview kama wambui wa mwangi tusaidie
Baby number 1 is 1 year and 2 months. Baby number 2 is 3 months pregnant. Where are the elderly women who used to teach young girls. They have failed
@annyleycoyney7622
2 ай бұрын
Siku hizi wanawake walierevu how would she jump into pregnancy while the other kid is a toddler and she have no place to stay ako kwa mtu anaye msaidia!!!family planning zimejaa kwa city council health centre's
Angejifunga na family planning km alikua aingie kwa relationship Mungu amfyngulie njia some men though😢
😢😢😢😢wapi wanaume ,tunza mimba watoto ni baraka ufunge miguu
If the first kid she's rising alone and she has no home with second pregnancy she's not thinking right,,huwezi kuwa unasaidiwa en taking advantage of the support and seems hiyo mambo ya kuomba msaada dio kazi yake,she's on air requesting to give her number watu wamsaidie haraka tu ivo,,,wanyarwanda nawajua sana hupendelea vya bure sana
Woooi 😢
Asaidiwe akhi arudi kwao... Woooi
@moreh462
3 ай бұрын
Heri akae huku. Rwanda kuna shida mingi
Hapa mungu tu atende maumivu pole dada
@mwendapoleee
3 ай бұрын
MUNGU
Waaaah yani mwanaume anaamua kuzika bibi yake akiwa angali hai😢😢😢
Gidi na gosti hiliswala la huyu dada mnyarwanda mngeweka numba yake apatiwe usaidizi hiyo ndio njia mzuri wa msaada hakunanjia nyingine zaidi ya kupatiwa usaidizi aweze kurudi kwao sioni vile anaweza .kutoboa akiwa hapo kenya maisha itakua ngumu zaidi ,LAKINI ukirudi kwao atapata usaidizi na watu wa kwao .( wakenya acheni kudanganya watoto wa wenyewe.
Is there a way i can get to this girl.I can take her plus the kids.
Gidi pls nipatie number ya huyo msichana she is going through alot kukuwa na mtoto mdogo na uko na mimba ingine umeficha ndio usaidike that’s too much for that young lady and to make the matter worse si mkenya mimi understand her. Pls Gidi number!
Allingia kenya na Fujo, bila kujua BABA ndiye no.2 Kila tym.... Apanue tu mipaka... Aombe Mungu wake.
With that being said. Women should embrace family planning, kama mwanaume hajakuoa rasmi usikubali unprotected sex. Talking as a man..
Efm Tanzania Kaliyok
Sometimes mnafaa kusikiza mtu akirequest muweke number public. Wacha kusema hamruhusu
Haki Gidi shit happens you can't blame someone zingine ni misukumo watu wameharibu watoto wa wengine wawe tu useless kwa maisha,life is spiritual
Gidy na ghost,ninyi sasa penye tumefika tuanze pahali pakuwa tumasaidia watu kaa hawa Bora kesi ifayiliwe na tujue NI ukweli,MTU apate msada
@miriamwanjiku6963
3 ай бұрын
True
Gidi ata hao warwanda nikama wakenya tu i had a a Rwanda man for 6 yrs kunipola tu na hali anapanga harusi kwao kama bado tuko naye ananua manguo ya arusi anandanganya ni za kuuzisha
Waah but nyumba iko na bibi unaeza kosa kujua 🤔🤔🤔but wee pole tupee no tumusaidie tu
😢wanaume . Hadi mipaka mumevuka. Hamna huruma jamani, mnagonga TU mkienda 😂.
Gidi tupe number ya huyo dada tumsaidie
@mainasteephen9867
3 ай бұрын
😢 aki Gidi amekataa
Zawadi ihangane pe! kandi ubinye ko bintu bitarisawa garuka murugu ark ntagoukuramo inda! Don't be easy to trusting people
@safinauwamahoro5947
3 ай бұрын
Mubwire atahepeee uwo ptype yaramubeshye
Zawadi arudi tu kwake no otherwise because ataishi benye ako hadi lini 😢
Ngai Gigi na gost waseni kushomea huyo dada unataka arundi Rwanda na KONDOO munyama ako hapo alikuwa anatua nini UBWA hiyo
Women Women ,,, ,,,please women....lets stop been taken for granted. I will say Once beaten twice shy... Never trust anyone until been introduced to the whole family and get married officially. Lets not emotional and love lead us but 5common senses. Zawadi just take care of your pregnancy and move on.wewe umeachwa kama mchwaaaa
@kefamwachala2703
3 ай бұрын
What do you mean? You can be introduced to the family and later get dumped 😊😊
@janemumbikimani
3 ай бұрын
I mean in the sense of knowing if the guy is married or not
@kefamwachala2703
3 ай бұрын
@@janemumbikimani ooh
Nowadays a lot of women have kids from different fathers.
Anather Reason why stawezana na kuzaa mtoto mwingine
Mean wiwacu niharari hano
Inakuwanga ni kama kuna kitu umefungwa nayo ,,, lszima mtuazae mtoi wa pili ndo aache kutaka kuoleka
Gidi easy said than Done. She was desperate n hoping to have a husband to build a family. In serch Situation mtu inakua hafikirii. Sorry girl. Tupee number tumchangie ticket arudi home kwa wazazi. She is too young kuhangaishwa na mababa sukari
Angekuwa Onyango angemchukua kama mke wa pili, lakini Makau....😢
@rachelmuch5788
3 ай бұрын
Hahaha tena Makau anauzanga Cabbage
@kefamwachala2703
3 ай бұрын
@@rachelmuch5788 😄😊 imagine 🙂🤦
@rachelmuch5788
3 ай бұрын
@@kefamwachala2703nguvu ya Kuzalia mtu wa kuuza Cabbage anatoa wapi
@mwendapoleee
3 ай бұрын
Hizo nilaana amejiletea na amezaa watoto ,watoi wanaweza pata shida ama wajukuu wanashindwa nini kumbe madhambi za mzae.
@annyleycoyney7622
2 ай бұрын
😅😅😅😅
😅my ladies as much as you walk through this streets ensure that a man hajawacha his relatives in your stomach. I mean his or her child...
Sasa haribia huyo bwana ndoa yake.. huyo jamaa ni mjinga sana eti anaenda kudanganya dem eti hana bibi. Wanaume wengine wanatabia mbaya sana. Mtcheeeew
Watu kama hao hawa gumu kushika simu,ni mkora.
Mi ndoa yangu ilivunjika kwa sababu ya murwanda bwanangu ni driver wagari za masafa marefu na wamekua kwa mahusiano kwa miaka minne na nimetoka kwa hio ndoa December akamleta huyo murwanda February nasai yeye pia hayuko ameenda so siwezi judge lakini Hawa kina dada waache kuharibu ndoa za watu
@MaryMatereadvicer011
3 ай бұрын
Kabisa wanatuaribia ndoa sana
Leta number tumsaidie
Ni utamu gidi😂😂😂😂😂
Gedy nataka namba yenu please Niko na shida.
This lady was desperate n ready to settle in marriage once given a chance......
Thank you ghost kwa akili unakuwanga nayo.Uko chapchap in reasoning mzee kongole.Mtu hajuangi kama anadanganywa and that's it.Pole dada mungu akuonekanie😢
Zawadi rudi nyumbani uolewe na mrwanda kama wewe..hapa Kenya utapewa character development..ndugu zangu hao nawajua
Wanaume wanaakili za kudanganya wanadada,wengine anakupereka mpaka nyumbani ,anakwambia mpaka watoto wangapi anataka,majina na vile mtalea watoi iliuingie box alafu akuruke.
@MaryMatereadvicer011
3 ай бұрын
Kabisa saa ile anaita majina beb, sweetheart, love, fish na kadhalika unachanganyikiwa unafikiria unapendwa kumbe wapi
@nancyoduor9291
3 ай бұрын
@@MaryMatereadvicer011😂😂😂 fish tena
@MaryMatereadvicer011
3 ай бұрын
@@nancyoduor9291 wako na lugha mpaka uingie box akisha kupea ball anahama 😂
@mwendapoleee
2 ай бұрын
@@MaryMatereadvicer011 mimi jamaa alikunja mpaka nyumbani nikafikiria anataka kupropose ,yaani alikuwa anakaa kwa sitting room yetu nakupiga story kumbe ni story za jaba ,vile aliniruka na dunia zima ilijua sababu nilikuwa siendi mahali bila yy.Wanawake lazima tujue kupinga wanaume stop ,huwezi enjoy pivileges za ndoa kama huja funga ndoa !!!
Uyu dem Wcha arudi nyumbani akna njia ingine
@mwendapoleee
3 ай бұрын
Hujui alikotoka,na watoi atawalea aje?
Amepewa zawadi arundi kwao tu
Nipee yeye cna bibi
Kenyan men ni kugonga na kutoroka. Hehe
@mwendapoleee
3 ай бұрын
Hit and run dangerous.
Gidi wakati mwingine weka No. Hewani labda kuna watu wangesaidia huyo dada.
@johngachiani3739
3 ай бұрын
Tunaskiza hapa USA japo time difference. Kipindi kizuri . Hongera radio jambo
From Switzerland, hello everyone there.11.04.24.
@florencenajala4740
3 ай бұрын
Hey
@Sirden_i
3 ай бұрын
Hello Mariam
@lazarofissoo5037
3 ай бұрын
Helo, you are mostly welcome....
@mariamfritsi4943
3 ай бұрын
@@lazarofissoo5037 🙏🙏💖💖
Jamn c tumchangie pesa jamn nimeumia
@susankomu8978
3 ай бұрын
Kwani tulimtuma akatobwe?then angetumia protection until aolewe
@philliceatieno9165
3 ай бұрын
@@susankomu8978True, amepata mtoto wa kwanza bahati mbaya tena wa pili, hajui family planning na ziko ata za bure
@dicksonkilupa2258
3 ай бұрын
Dada usijali wewe hujaua yupo Mungu mbinguni atakupigania. Wanaomlaumu huyu dada ni wale wataalamu wa ngono, dada ni mwaminifu ndo maana hata mimba zinamkubali. Hongera dada endelea kumcha Mungu usiue.
@susankomu8978
3 ай бұрын
@@dicksonkilupa2258 Hongera yanini while anateseka huku nnje akitafuta mwenye mimba huyu Dem hana ata makao..Then mimba yanini?????
@susankomu8978
3 ай бұрын
@@philliceatieno9165 Arafu Sasa ndio huyo mwanaume hamtaki Sasa atabeba mzigo wake mwenyewe
Msiba wa kujitakia hauna kilio, At her age hajui kama kuna protection za kuzia mimba?
@pauline6300
3 ай бұрын
Kuna medhali husema; Usimtukane mkunga na uzazi ungalipo. Tafakari
@MaryMatereadvicer011
3 ай бұрын
Wah wengi hawapendi kula ndizi na maganda so tusimuhukumu, leo ni yy uenda kesho ni ww hapa ni kumsaidia tu
Nampataje huyo dada akuje kwetu nko na ndugu yangu hana bibi.na huwa natamani sana kuwa na.shemeji,hata kama ni fare.nitamtumua watoto ni baraka tutalea bora wakuwe wazima