PATANISHO : NILIOLEWA NA LIVINGSTONE LAKINI NILIKUA NA MIMBA YENYE SIO YAKE
Ойын-сауық
Radio Jambo Kenya | Ongea Usikike | Ni kituo nambari moja Kenya kwa matangazo ya kiswahili. Vipindi vyake vina jumuisha Spoti,Mijadala moto moto na muziki wa Kiafrika
#RadioJamboKenya #patanisho #gidinaghostasubuhi
Subscribe to RadioJambo KZread - bit.ly/39wwc6u
Mitandao ya Kijamii
Instagram - rb.gy/e154d1
Facebook - rb.gy/09d1b9
Twitter - rb.gy/e23220
Пікірлер: 27
Mtu akikunyima chochote kile hata ikuwe pesa shamba achana naye omba mungu atakupea mungu n wetu sisi sote nakuombea mafanikio
Jipe shughuli dada huyu. Mbaba anakutumia tuu bure😢😢😢😢😢
People will treat u how u allow them to .once u know ur worth youll never settle for less.
@PhylisKoech-he4yb
20 күн бұрын
Fact❤
@brendaokola3893
20 күн бұрын
True
@mumbentahthomas9954
20 күн бұрын
True
Uyu mwanamke ni mjinga 😢😢kwani hafikiri ,bwana ya mtu sumu nijikute
Huyo ni side chick 😂😂😂akubali tu 😂😂
Huyu Naomi nayeye kwani alikorogewa jameni 🙆🏽♀️😳🥲🤦🏽♀️ Move on Naomi..huyu mtu anakuchezea juu ameona uko desparate!! Wachana na hizo vitu za urithi juu you and youre children will never have peace tia bidii kwa kazi yako mummy. God will bless you even more.
Gidi, I like the way you're advising this lady... But ni mgumu kweli
Huyo amekaliwa na bibi yake, jipe shughuli, Ogidi ambia huyo mwanadada siku hizi wanadada hatulilii wanaume, Gulf ilikuja bwana heri tuhangaikie kwa mwarabu than kutesekea kwa mwanaume, kuja Gulf mwadada wacha aibu ndogo , tayari unaa watoto wengine kwenu, jipe shughuli bwana
@lnpMuzik
20 күн бұрын
Si upone dada 😂
Waah hii ndio inafanya najita mkutano baadae napata conclusion,,lemme me make use of my passport well,.ndoa si ticket ya kuenda mbinguni,,but Mungu siku utanibariki na ubavu wangu ntakuwa ready 🙏🙏🙏
My dear you are not a second wife, you are just a mpango. Kubali tu and move on.
Watu waheshimu ndoa za wengine side hen wanakuwanga na uchungu wakiwachwa, sipendi nyumba ndogo mimi
@user-pi2te8lv8r
20 күн бұрын
😂watakukujia hapa
But kama mtu anaitwa Livingston si kumaanisha anapenda living things kama living Naomi, living second wife, living shamba, na living nyumba ya kukodisha. Shida ya Living Ochieng ni nini??
@user-cg3vf2bl6b
20 күн бұрын
Huyu Naomi hafai ata advice ,kwani hajipendi ?hawa ni wale dada WA Bora niitwe pipi ya poma😂😂 shaurienu watu wako Riyadh wakichapa pipi ya poma badae
@MargaretAwinja-ls7hx
20 күн бұрын
@@user-cg3vf2bl6b😂😂😂😂😂
Side chick treated tht way😮😮😮then u mean nothing bt forcing issues 5k was for transport to go back at ur work but kama uko na machozi ya men keep cry itakuja kuisha one day ibaki kama yangu ya matanga tu
Wewe sister ur a painkiller 😅😅😅😅
bure kabisa
Mabati mbili kujenga nyumba hata choo ni mabati tano 😂
Sasa kuku na patanisho iko na uhusiano gani?anyway uyu msichana ???????
Mwanadada afungue macho na aanze kuishi maisha yake
Weee Mzee wa mtu n sumu😂😂😂😂😂😂😂me apana
Uko na mimba nguvu za kurundikana na libaba.