PATANISHO: Nilikuwa nalala na kisu kitandani kwa raha zangu. (Episode 5, November 2019)
Ойын-сауық
Radio Jambo Kenya | Ongea Usikike | Ni kituo nambari moja Kenya kwa matangazo ya kiswahili. Vipindi vyake vina jumuisha Spoti,Mijadala moto moto na muziki wa Kiafrika
Subscribe KZread - bit.ly/2MeQ4ki
Mitandao ya Kijamii
Instagram - rb.gy/e154d1
Facebook - rb.gy/09d1b9
Twitter - rb.gy/e23220
Пікірлер: 158
Acha tu nipambane na hali yangu..team hammam piteni huku! ety kisu ya starehe na kula paipai finally ni bibi ndo atakuwa paipai
@alidawood4065
4 жыл бұрын
Team hammam niko hapa nimepita tayari
@nancytera6444
3 жыл бұрын
Riyadh 🤪🤪
I love ladies who value their lives
@robertsimba5081
4 жыл бұрын
U go away luo ladies are stubborn...thy should be treated like tat ...in addition ,thy are immoral
Watano leo team hamam
@maurinekhasila3326
4 жыл бұрын
Hapo sawa
@wilkisteregesa7588
4 жыл бұрын
Sawa Sawa mrembo
@hdjdjhhdhdhhe1846
4 жыл бұрын
Gulf team fee wifi
@feycute
4 жыл бұрын
Tuned 971
@maurinekhasila3326
4 жыл бұрын
Hahaha muko vipi
Hahaha, this guy though.Ati kisu ni ya kula papayi.Wanaume lakini.
This is great this guy has learned his lesson
Waaah....mm bado nakupenda ak mungu anakupenda🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂hii nayo waaah
Waa waaa..huyo mwana ajiju na visu vyake vya starehe
Pia mimi roho yangu imekataa 🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Gidi hapa Tanzania pia leta patanisho
@madamboss348
4 жыл бұрын
Ya diamond na hamisa😂😂😂😂😂
@stellahmiles2369
4 жыл бұрын
@@madamboss348 🤣🤣😂😂😂😂na zari pia
Ndoa za siku hizi hakuna kubombelezana
🤣🤣🤣Kisu ya kula papai... Kwa bed🛌🤗
Mwanaume akitusi mamako ogopa Sana
@eyuvonekoko7452
2 ай бұрын
Yeah
Thanks mum leea watoto wako
To be honest mwanaume wa matusi ni kama kukunywa chai kwa samaki.......how now???
😂😂😂😂😂waaah noma.Kisu ni ya kukula pawpaw kwa kitanda
😂😂😂😂Hiki kisu cha papai jamani kwa kitanda...jamaa amenimaliza😂😂😂😂
Hahaaa huyu jamaa mwanzo mwisho kisu kitandani halafu anasema kwa raha zake kwa ajili ya kulia MAPAIPAI (MAPAPAI) duuuuuhhh Bora angalisema kwa ajili ya silaha mwizi akiingia apambane naye
Loving your self is the best feeling ever
Nimefika sasa on 10
Waaaah hii kali
When a woman moves on even money from that man is a turn off
My dear usijali kurudi uko..ati queen my foot🙆♂️🙆♂️
Caro kemunto watching from saudia Usirudi siz endekea na maisha yako
😂😂😂😂😂😂Hizi ni watoto yake, queen queen, queen be nakuuukisiaaaaaa Luo ladies yawa naver shaken🤣🤣🤣🤣
Harred acha ujinga, unalala na kisu kwa kitanda, alafu unasema ni ya pawpaw? Queen 👍👍 Lea watoto
😂😂😂😂😂aki wanaume na kujitetea
Hapo sasa queen queen queen niko side yako
Huyo mwanaume ni mjeuri sana
Wah noma tangu lini kisu ikakua ya starehe
Noma sana
Am hear now nipigiani mkofi ndio kufika number 20
Here save ur life gal utarudi KWENU ukiwa kiwete Tena kisu iko juu yakitanda weeee hpo lazima uhofie. Maisha
Hareeee endelea kula paipai kwa bed queen hebu kanyaga kubwa kubwa for your life na kids mwanaume kula jeuri yako bure kabisa queen lea watoto
Huyo ni mtu wa kusahau..... ibilisi ... kisu... wololo.... for good...
Hahaha this man now🌐🌍🌍🌐🌍
Hii ni nyangarika ya mwanaume #Burekabisa.
Huyo jamaa atembeze kiatu..bure kabisa
hahahaaaaa nani kaa salama
No 11😎😎😎
Unakula pai pai kwa kitanda, Eish hata Queen hata unaroho
Wawawawah
Waah ati kisu ni ya starehe na kukula paipai. nugu ww. siku izi wanaume kwa patanisho wote ni matuzi bure kbsm Queeen cograte mungu atakufunguria jua lea wtoi wkom atakuja uku respect. ma mm nivumirie matusi ya mwarabu but end month naripwa. mens bure tuu
Encyclopedia ya matusi 😂😂😂😂
@bravinpeace6431
4 жыл бұрын
😂😂
nimekwama hapo kwa paipai
Wajaks kwa kiswahili,,,,taniua wallai
Wacha niendele kuosha hamaam mpaka siku Mungu atanijalia hadi nipate Mr right
Natafuta Mr right
😂😂😂😂paipai unakula kwa kitanda n una lala na pala kwa kitanda😂😂😂wasichana wa mbita hawapendi ujinga
Heee
🤣🤣😅😅😂😢Khai na queen unalala kwa kitanda na mwanaume ameweke kisu hapo tu kwa kitanda?? ATI ni ya papai 😜😅wewe ndiye papai, queen usirudi huyo atakuua Lea watoi wako peke yako
😂😂ndoa siku hzi nigutee
Kisu ya starehe🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️
This is the funniest patanisho ever
Waaaaaaa
Kisu juu ya kitanda,, queen usirudi kaa na watoi wako,,, wachana, na bwana,,,,
Kisu ongopa sana
Kisu ni ya paipai... 😂 😂 😂
Gidy up kijapanese
Ambia uyo dem akuje tuoshe choo uku saudi
Huyu Kaka atakuwa anatumianga mbangi
Uyo mwanaume sio mzuri kisu kwa kitanda mayooooo
@willy97505
4 жыл бұрын
kisu ni ya kula papai
Take care of ure kids mummy and God will bring the right man for u in the name of Jesus
Leave this marriage I was nilikua natukanwa na mamangu
Jiadhari kabla ya hatari waaah,Dada hapo ukirudi utakuwa papai sasa chungaaaaa
Queen my foot...Kula paipai😋😋😋
@antonyngei6947
3 жыл бұрын
Wow
@antonyngei6947
3 жыл бұрын
Papai????
Nii muaji
Kisu kitandani waaa hata usingizi hauwezi kuja Queen chunga hayo mambo ya kurudi balaaa....
Eti wewe kaa chini mamake alimpa viti akae chini vilpi sasa wewe kalia tu hiyo mattress yako
Queen queen. Eeeh eh na kisu kwa bed wacha na me.
@eddahkhalayi7666
4 жыл бұрын
He is a joker
@mercymaira8649
4 жыл бұрын
For sure he's
Leo ni wajaka
@stellaloves9879
4 жыл бұрын
Kumbe umerauka Sana
Kisu jamani
2015 januuar
Huyo mwanaume ni mriasia tu sana
@mercelynealuoch4694
4 жыл бұрын
Jamriasia
Kwani papai huliwa kwakitanda
Wanaume wengi ni kama watoto 🤣
@susanmuthoni1167
3 жыл бұрын
Yes,they are .ni Pampers tuu ndio wamekosa🤣🤣🤣
Mwanaume umweke akutusi umlele watoto na kisu kwa bed I give up 🙄🙄🙄🙄🙄
Not tribalism but truth wajaka ni wagumu sana hawajui kuongea na mabibi""they r tough""
@beckybeto3781
4 жыл бұрын
Wajaka wanajua mapenzi wakioana na mluhya
@chainbre275
4 жыл бұрын
@@beckybeto3781 hahahaha
@lydiaaruba6670
4 жыл бұрын
Na venye natamani mjak
@beckybeto3781
4 жыл бұрын
@@lydiaaruba6670 Niwazuri
@rastafariangal5546
4 жыл бұрын
True
Any man that would call my mother ‘malaya’ Siwezi KABISAAA!!! Mimi ningeenda underground! Hiyo na kisu! Apana!!!
Oooohi my God mwaname unalala naye amesema kisu kwa bed.Please dada Usirudi kwa uyo mwanaume ata kwa dawa dada kifo iko hapo
@madamboss348
4 жыл бұрын
Kisu n ya papai🙈🙈🙈
@sweetmumwake9729
4 жыл бұрын
@@madamboss348 Huyu nipepo kweli la mtu
Kisu ni ya papai na starehe zangu huyu mwanaume wah hapana
@gracewanjkim3433
4 жыл бұрын
😁😂
@nyakadosophia4166
4 жыл бұрын
Ni ujinga tu,even me i can't give another chance
Kanyanga kubwa ikisonga kisu kwa bed
Bora n ishi single mom
😆😆😆😆😆😂😂😂😂
👂👂👂 orengo come translate pliz
@nyakadosophia4166
4 жыл бұрын
😂😂😂yawajaka wanume ni wajinga sana i already experience
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hared needs to sit his ass down somewhere. Queen glad you left. No one should threaten your life period!
Yawa severe........ don't make me to cry 😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁🤗🤗🤗🤗🤗
enyewe some men don't deserve to the title , this guy is a devil , ananyenyekea Huku akiuliza Mimi pia Ni binadamu , but anaweka kisu Kwa kitanda , yeso !
wewe ngojea hizo watoto zako ju ni zako
God forbid... Run to ur dear life...
How can you keep a knife under the matress na ni usiku.what for and why?Huyo mwanaume naye apana.
@marggieclairesmercy8102
4 жыл бұрын
Ati ni ya kukula pai pai 😂
queen babake ni mfalme wa wapi,
@ebbykindom8947
4 жыл бұрын
Nani alikwambia ati qween♛ baba yake ni king? bwana ndio king, princess baba ndio king👑
Huyo harried aende huko
@willy97505
4 жыл бұрын
wapi sasa
Omera ukiachwa achika we thago jii
Translate
@bonfacekhabweri6924
3 жыл бұрын
Mbona huyo jama anacheka sana
Hehehe,,,,
Women go through alot in the name of marriage, beta go back to ur parents house a live than dead.
Gidi de bed ni nyieno ja kanyamwa 😂😂😂 kisu ya papai yawa Luo
Aki gueen hurumia tu huyo bwanako hakuna asiye kosa kwa hii dunia
huyu ni mjinga eti kisu niyangu ya kula papai miwa na ndizi so unaieka kitandani kwani unakulia kwa kitanda huyu ni mjinga Queen usirudi uko
@janemuange8967
3 жыл бұрын
😂😂😂😂hahaha
@janemuange8967
3 жыл бұрын
Nausilale na kisu