PATANISHO : GIDI, HUYU HAAMBILIKI, WATU WA FAMILIA WAMEJARIBU KUMUONGELESHA MPAKA WAKACHOKA
Ойын-сауық
Radio Jambo Kenya | Ongea Usikike | Ni kituo nambari moja Kenya kwa matangazo ya kiswahili. Vipindi vyake vina jumuisha Spoti,Mijadala moto moto na muziki wa Kiafrika
#RadioJamboKenya #gidinaghostasubuhi #patanisho
Subscribe to RadioJambo KZread - bit.ly/39wwc6u
Mitandao ya Kijamii
Instagram - rb.gy/e154d1
Facebook - rb.gy/09d1b9
Twitter - rb.gy/e23220
Пікірлер: 38
Nko mtwapa napenda patanisho sana
Ni kitu amezoea na bado unaendelea kuzaa nini
Jambo,mitabendi yenu imekosakana huku kwetu kwa muda wa miezi mitatu sasa,hatupati radio jambo Kabondo kasipul, Ringa kojwach Owalo market
Huyu angewacha watoto hapo atoke miaka miwili tu akirudi atawalea vizuri,bt huwezi fanya kitu chochote ukiwa na hao watoto wote heri atafute kwanza doo ndio arudie watoto, hapo nayo mimi siwexi kaa
Ni sawa watoto Wanateseka na wewe n mjane ungefanya n mama simama kama mjane ndoa kwisha
Huku kericho hampatikani kabisaa, frequencies changed??? Please
tafuta chance mama uchuku watoto wako utaletewa ukimwi licha ya kuvumilia ukiteseka na watoto.
Niliambiwa na mama kanisa hivi Giddy,usiwai vumilia kwa neno atawai "change" kabisa
FP is free in govern't facility, 14 yrs 6kids ND me hear 10 yrs 2kids uwezo wa m2 lkn y separation?mie kuvumilia some nonsense c Jane is big NO.
Mimi ndoa ya 22years ilishindikana nikatoka sahizi niko inje na 12mouths nasina habari yakurudi huko
Aki ndoa mingi zimeshikiliwa na watoto...ju mwanamke huangalia akiwacha watoto watateseka ama akitoka nao na hana kazi Bado watateseka so inabidi tu avumilie Kwa hio ndoa
Mama tafuta kazi uchukuwe watoto wako ulee
FIGHTS FOR YOUR KIDS!!!!!!!!!!! ATAKUPA UKIMWI BWANAKOOOO!!!!!!! LADIESSSSSS!!!!!
Wabukukusu hapana kabisaaa
Tafuta kazi mimi nilinyimwa watoto nikatafuta kazi sahii watoto wangu wote walinifata wenyewe tafuta pesa wewe
NLD tupo chojo sana likes jameni 😂😂
Haki wanawake wajameni mtu amakutesa na bado unataka kurudi kwake… Fanya kazi ule watoto wako. Ndio ata zidi kuk disrespect.
KUVUMILIA NA KUTOLEWA WATOTO TUUUUUUU????
The effect of the cucumber 🥒 Yah! Ndio inafanya akae hapo! Yani mtu anapigwa anapigwa! Unamwambia toka! Hataki! Why? The effect of the cucumber! 😅😅😅
I think kenya kugekuwa na free DNA wanaume wafanywe na watoi wao .Incase of separation wanaume wakatwe child support directly from account na kama jamaa ni mtu wa jua kali he should be shown where to pay if not govt should provide for child upkeep n arrest the man until he starts paying.yaani hakuna kumbebeleza hawa wanaume dead beat coz if you lay down with a woman n give her six kids after separation unampee stress eti akufwate n you know you have kids.He should be arrested for child neglect
Ako 30 na ako kwa ndoa kwa 14 years Meaning aliolewa akiwa 16 years Ama ni Mimi sishikanishiii😊
Achana na huyu mtu dadangu,mwanamke nikujiamini mama
Watoto 6 uezi enda pahali we rudi kwa boma apo n kwako mum rudi by force
@MargaretAwinja-ls7hx
28 күн бұрын
By force by fire😂😂😂😂,,no now
@mwendapoleee
28 күн бұрын
Bwana amupe ukimwi ama amupige fadhali atafute kazi apange kuchukua watoi.Watoto watasema wanateseka ndio but at least they have a roof over their heads.Ajikaze mummy fanya kazi,rudi soko tafuta sponsor usirudi nyuma utateseka fazali sahi ata ukilala njaa uko na amani jikaze kisabuni utapenya.Peace is paramount alafu uendee watoi kwanza baba yao lazima alipe upkeep ya watoi ,lakini tafuta kakiru kwanza na usijiachilie ka 🫦 lazima.🥰
Wabukusu sio wanaume
Achana na huyo mtu
30 years...... 6 kids😳😳😳😳 WHY🤷♀️ WHAT FOR.... NA UNARUDI HAPO WHY...... KWANN WANAWAKE FULANI HAWAJITAMBUI..... 😠😠😀
The lady was married akiwa 16 years
@luckydubebello1131
28 күн бұрын
Umejuaje ni ile kuzaa bila mpango kila mwaka unaachilia mtoi ok
Hapo ni kifo peke Hakuna kitu ingine
30 years with 6 children kwani wewe ni panya
@kaninamargaret8025
28 күн бұрын
WAZIMUUUUUU!!!!
@softymoha5484
28 күн бұрын
si yuko tu sawa...kwani inafaa uzae kama umezeeka?....wacha niwaambie kuzaa ukiwa mdogo ni poa sana,,,then ukifikisha 35...unalea tu...amini usiamini...mwili wako utanawiri zaidi...mtu akikuangalia atadhania ungali mdogo...bt usijidanganye kuzaa na umri mkubwa ni poa. tena unajuwa ukizaa kama ungali,,,bado Ian grow...so hata sehemu zako ambazo watoi walitokea...zitashikana...unakaa fiti...
@softymoha5484
28 күн бұрын
@@kaninamargaret8025 wazimu gani mtu akizaa?
@kaninamargaret8025
28 күн бұрын
@@softymoha5484HOW MANY DO YOU HAVE?
@kaninamargaret8025
28 күн бұрын
@@softymoha5484BWANA GANIIIIIIII