PATANISHO : GIDI, HUYU HAAMBILIKI, WATU WA FAMILIA WAMEJARIBU KUMUONGELESHA MPAKA WAKACHOKA

Ойын-сауық

Radio Jambo Kenya | Ongea Usikike | Ni kituo nambari moja Kenya kwa matangazo ya kiswahili. Vipindi vyake vina jumuisha Spoti,Mijadala moto moto na muziki wa Kiafrika
#RadioJamboKenya #gidinaghostasubuhi #patanisho
Subscribe to RadioJambo KZread - bit.ly/39wwc6u
Mitandao ya Kijamii
Instagram - rb.gy/e154d1
Facebook - rb.gy/09d1b9
Twitter - rb.gy/e23220

Пікірлер: 38

  • @silamnyama1642
    @silamnyama164228 күн бұрын

    Nko mtwapa napenda patanisho sana

  • @jerodinendanu5029
    @jerodinendanu502928 күн бұрын

    Ni kitu amezoea na bado unaendelea kuzaa nini

  • @EZEKIELOMOLO-by6gs
    @EZEKIELOMOLO-by6gs28 күн бұрын

    Jambo,mitabendi yenu imekosakana huku kwetu kwa muda wa miezi mitatu sasa,hatupati radio jambo Kabondo kasipul, Ringa kojwach Owalo market

  • @user-cg3vf2bl6b
    @user-cg3vf2bl6b28 күн бұрын

    Huyu angewacha watoto hapo atoke miaka miwili tu akirudi atawalea vizuri,bt huwezi fanya kitu chochote ukiwa na hao watoto wote heri atafute kwanza doo ndio arudie watoto, hapo nayo mimi siwexi kaa

  • @user-kp9ll1qu5n
    @user-kp9ll1qu5n28 күн бұрын

    Ni sawa watoto Wanateseka na wewe n mjane ungefanya n mama simama kama mjane ndoa kwisha

  • @kiprotichvinn834
    @kiprotichvinn83428 күн бұрын

    Huku kericho hampatikani kabisaa, frequencies changed??? Please

  • @kathurejane9980
    @kathurejane998028 күн бұрын

    tafuta chance mama uchuku watoto wako utaletewa ukimwi licha ya kuvumilia ukiteseka na watoto.

  • @catejumba
    @catejumba28 күн бұрын

    Niliambiwa na mama kanisa hivi Giddy,usiwai vumilia kwa neno atawai "change" kabisa

  • @kathurejane9980
    @kathurejane998028 күн бұрын

    FP is free in govern't facility, 14 yrs 6kids ND me hear 10 yrs 2kids uwezo wa m2 lkn y separation?mie kuvumilia some nonsense c Jane is big NO.

  • @phanicemulongo7098
    @phanicemulongo709828 күн бұрын

    Mimi ndoa ya 22years ilishindikana nikatoka sahizi niko inje na 12mouths nasina habari yakurudi huko

  • @AnyoleMwenyewe
    @AnyoleMwenyewe28 күн бұрын

    Aki ndoa mingi zimeshikiliwa na watoto...ju mwanamke huangalia akiwacha watoto watateseka ama akitoka nao na hana kazi Bado watateseka so inabidi tu avumilie Kwa hio ndoa

  • @fjzjc1514
    @fjzjc151428 күн бұрын

    Mama tafuta kazi uchukuwe watoto wako ulee

  • @kaninamargaret8025
    @kaninamargaret802528 күн бұрын

    FIGHTS FOR YOUR KIDS!!!!!!!!!!! ATAKUPA UKIMWI BWANAKOOOO!!!!!!! LADIESSSSSS!!!!!

  • @user-ko3do3hk1z
    @user-ko3do3hk1z28 күн бұрын

    Wabukukusu hapana kabisaaa

  • @user-iy7dk7bq5x
    @user-iy7dk7bq5x28 күн бұрын

    Tafuta kazi mimi nilinyimwa watoto nikatafuta kazi sahii watoto wangu wote walinifata wenyewe tafuta pesa wewe

  • @julianamalinda2357
    @julianamalinda235728 күн бұрын

    NLD tupo chojo sana likes jameni 😂😂

  • @fauzsky5399
    @fauzsky539928 күн бұрын

    Haki wanawake wajameni mtu amakutesa na bado unataka kurudi kwake… Fanya kazi ule watoto wako. Ndio ata zidi kuk disrespect.

  • @kaninamargaret8025
    @kaninamargaret802528 күн бұрын

    KUVUMILIA NA KUTOLEWA WATOTO TUUUUUUU????

  • @newtonkariuki925
    @newtonkariuki92526 күн бұрын

    The effect of the cucumber 🥒 Yah! Ndio inafanya akae hapo! Yani mtu anapigwa anapigwa! Unamwambia toka! Hataki! Why? The effect of the cucumber! 😅😅😅

  • @gatimucaroline3591
    @gatimucaroline359127 күн бұрын

    I think kenya kugekuwa na free DNA wanaume wafanywe na watoi wao .Incase of separation wanaume wakatwe child support directly from account na kama jamaa ni mtu wa jua kali he should be shown where to pay if not govt should provide for child upkeep n arrest the man until he starts paying.yaani hakuna kumbebeleza hawa wanaume dead beat coz if you lay down with a woman n give her six kids after separation unampee stress eti akufwate n you know you have kids.He should be arrested for child neglect

  • @hannahwanjala3296
    @hannahwanjala329627 күн бұрын

    Ako 30 na ako kwa ndoa kwa 14 years Meaning aliolewa akiwa 16 years Ama ni Mimi sishikanishiii😊

  • @JohnSirengo
    @JohnSirengo28 күн бұрын

    Achana na huyu mtu dadangu,mwanamke nikujiamini mama

  • @celinejudy1496
    @celinejudy149628 күн бұрын

    Watoto 6 uezi enda pahali we rudi kwa boma apo n kwako mum rudi by force

  • @MargaretAwinja-ls7hx

    @MargaretAwinja-ls7hx

    28 күн бұрын

    By force by fire😂😂😂😂,,no now

  • @mwendapoleee

    @mwendapoleee

    28 күн бұрын

    Bwana amupe ukimwi ama amupige fadhali atafute kazi apange kuchukua watoi.Watoto watasema wanateseka ndio but at least they have a roof over their heads.Ajikaze mummy fanya kazi,rudi soko tafuta sponsor usirudi nyuma utateseka fazali sahi ata ukilala njaa uko na amani jikaze kisabuni utapenya.Peace is paramount alafu uendee watoi kwanza baba yao lazima alipe upkeep ya watoi ,lakini tafuta kakiru kwanza na usijiachilie ka 🫦 lazima.🥰

  • @FaithAyuma-mj6xq
    @FaithAyuma-mj6xq27 күн бұрын

    Wabukusu sio wanaume

  • @FaithAyuma-mj6xq
    @FaithAyuma-mj6xq27 күн бұрын

    Achana na huyo mtu

  • @debbiethomas9825
    @debbiethomas982528 күн бұрын

    30 years...... 6 kids😳😳😳😳 WHY🤷‍♀️ WHAT FOR.... NA UNARUDI HAPO WHY...... KWANN WANAWAKE FULANI HAWAJITAMBUI..... 😠😠😀

  • @hillahmwesh4861
    @hillahmwesh486128 күн бұрын

    The lady was married akiwa 16 years

  • @luckydubebello1131

    @luckydubebello1131

    28 күн бұрын

    Umejuaje ni ile kuzaa bila mpango kila mwaka unaachilia mtoi ok

  • @user-zi5ys5my9c
    @user-zi5ys5my9c27 күн бұрын

    Hapo ni kifo peke Hakuna kitu ingine

  • @lawrencemicheni4807
    @lawrencemicheni480728 күн бұрын

    30 years with 6 children kwani wewe ni panya

  • @kaninamargaret8025

    @kaninamargaret8025

    28 күн бұрын

    WAZIMUUUUUU!!!!

  • @softymoha5484

    @softymoha5484

    28 күн бұрын

    si yuko tu sawa...kwani inafaa uzae kama umezeeka?....wacha niwaambie kuzaa ukiwa mdogo ni poa sana,,,then ukifikisha 35...unalea tu...amini usiamini...mwili wako utanawiri zaidi...mtu akikuangalia atadhania ungali mdogo...bt usijidanganye kuzaa na umri mkubwa ni poa. tena unajuwa ukizaa kama ungali,,,bado Ian grow...so hata sehemu zako ambazo watoi walitokea...zitashikana...unakaa fiti...

  • @softymoha5484

    @softymoha5484

    28 күн бұрын

    @@kaninamargaret8025 wazimu gani mtu akizaa?

  • @kaninamargaret8025

    @kaninamargaret8025

    28 күн бұрын

    @@softymoha5484HOW MANY DO YOU HAVE?

  • @kaninamargaret8025

    @kaninamargaret8025

    28 күн бұрын

    @@softymoha5484BWANA GANIIIIIIII

Келесі