Part3: KISUGU AMVAA ALI KAMWE/ HAONGEI NA BABA YAKE/ Laana/ YANGA ISIMPE KIBURI KWA MZAZI ABADILIKE

Спорт

#BATTLETV

Пікірлер: 17

  • @noorbazaar9063
    @noorbazaar9063 Жыл бұрын

    Hongera kaka Kisungu kwa kutushauri vijana!

  • @JaphethNkana-th8db
    @JaphethNkana-th8db Жыл бұрын

    Ally kamwe ni utoto sana akikua ataacha

  • @ernestsereli8559
    @ernestsereli8559 Жыл бұрын

    Yaaan watu wa yanga'vichwa vyao resi saaana

  • @user-qw2qf7vo3g
    @user-qw2qf7vo3g Жыл бұрын

    Kisugu huna akili shoga shoga flan

  • @peterchande957
    @peterchande957 Жыл бұрын

    Cjawa wa Makolo

  • @user-xg9ix9ex9h
    @user-xg9ix9ex9h Жыл бұрын

    We kama nani mpumbavu wewe maisha ya kamwe yanakuhusu nini chizi kabisa kwanini usimtafute private kama una nia njema ndo maana nasema we umetumwa yanga huiwezi pumbavu kabisa

  • @nurdinwazir8425
    @nurdinwazir8425 Жыл бұрын

    Mzee aliongea yake ya moyoni tumemsikia nanafikiri Ally Kamwe pia amemsikia naamini watayamaliza kifamilia wewe hujawekwa kua msemaji wa family kaka

  • @leonardlubala393
    @leonardlubala393 Жыл бұрын

    Kweli, watu waki kosa cha kusema hujitungia umbeya wao wa kijinga kijinga. Sasa mambo ya ajira na familia yana uhusiano gani? Yaani mnataka kutu thibitishia mnachimba maisha ya mtu mpaka chumbani kwake, cha ajabu hata hawa wanao ongea wao haswa ndio wenye shida hizo. Vijana tafuteni njia halali za kujipatia riziki badala ya huu umbeya mbeya usio na maana. Mme laaniwa kabisa wala hamwezi kufanikiwa kama huu ndio mtindo wa maisha yenu.

  • @salvatorymtunga5906
    @salvatorymtunga5906 Жыл бұрын

    wewe bwege sana, unafuatiliaje maisha ya familia za watu, mbona wewe Una maneno machafu.

  • @yunusimchala6569
    @yunusimchala6569 Жыл бұрын

    Huo ni ufala kufuatila maisha ya watu

  • @noorbazaar9063

    @noorbazaar9063

    Жыл бұрын

    Kaka ni ushauri. Achana na FALSAFA za UHURU wa mtu kufanya analotaka. Mbele ya wazee sio sahihi...

  • @OmaliFaki

    @OmaliFaki

    Жыл бұрын

    kwao fala ni nani? Alie Kaa kwenye chombo Cha habari akaongea ukweli au alitoa ushauri Kwa huyo msemaji wenu kichwa kibovu? kisugu kaongea ukweli ila nyinyi mnao tukana hamji elewi

  • @almasshabani17
    @almasshabani17 Жыл бұрын

    Kwanza wewe una adabu kabisa uwezi kujadili maswala ya kifamilia kwenye mitandao.

  • @JaphethNkana-th8db
    @JaphethNkana-th8db Жыл бұрын

    Ally kamwe ni utoto sana akikua ataacha

  • @leonardlubala393

    @leonardlubala393

    Жыл бұрын

    Utoto upi? Kila mtu ana namna ya kuji brand. Mie sio kosa lake, angekuwa ana fanya kinyume na waajiri wake tayari wange kwisha mwondoa.

  • @JaphethNkana-th8db

    @JaphethNkana-th8db

    Жыл бұрын

    @@leonardlubala393 ajibu anavyoweza ila asivuke mimpaka kwa mzazi wake

Келесі