PART1 JINSI YA KU LOOP KIBATI CHA SINGERI KATIKA FL STUDIO YAKO SEHEMU YA KWANZA

JINSI YA KU LOOP KIBATI CHA SINGERI KWENYE FL STUDIO
Hii ni video ambayo inakufundisha wewe jinsi gani Unaweza ku loop au kukata kibati chako cha singeli katika fl studio yako kama wanavyofanya ma projuza wengine kama Eyoo kenny,diblo one touch.projuza michel n.k video yangu nimeelezea kila kitu hatuwa kwa hatuwa tazama video mbaka mwisho naamini utakuja kunishukulu baadae
HATUWA ZA KUFATA
1.CHAGUWA SAMPLES/KIBATI
=hapa nina maana kwamba tafuta beat yako au kibati chako ambacho unataka kukitumia katika fl studio ili uwe na uwezo wa kukiongezea vitu vyengine kama vile vinanda, bass,snare n.k
2.OPEN DJ VIRTUAL
=siwezi kuliongelea sana ili swala kwa sababu kila mtu anafahamu jinsi ya kulifunguwa DJ VIRTUAL
= I can't talk too much to query because everyone knows how to open a virtual dj
3.WEKA KIBATI KATIKA DJ VIRTUAL YAKO
=Najuwa kila mtu anafahamu jinsi ya kuweka nyimbo kwenye dj virtual yake Kama bado uwelewi Basi ichukuwe nyimbo yako ambayo unayotaka kukata Kisha idondoshe kwenye dj virtual yako
4.ZIMA KIKI KATIKA KIBATI CHAKO
= Hapa Nina maana kwamba zima kiki katika kibati chako au zima bass katika KIBATI chako asilimia ya watu wengi Sana mnajuwa namna gani ya kuzima bass katika dj virtual najuwa unajiuliza kwanini tunazima bass lengo kubwa la kuzima bass sababu tunataka beat yetu iwe inalia kwa mfumo wa MID maana ukiacha ilie na bass itakwenda kukusumbua Sana katika FL STUDIO na ndio maana tunazima bass ili beat yetu ilie Kama MID maana ikilia Kama MID inakupa wewe wepesi ata wa kupiga vizuri vitu vyengine Kama vinanda,bass, nakuwendelea Unaweza ukazima bass katika fl studio yote inawezekana
5.KISHA NENDA KWENYE RECORD CONFG
= hapa Nina maana nenda katika record sehemu ya DJ virtual yako Kisha anza ku record kibati chako Kama wav katika dj virtual yako kisichopungua second 30 au dakika moja
6.CHAGUWA WAV
=Nikisema wav maana yake Ni sauti inayotoka kwality au kwa ubola mzuri nenda kwenye setting ya kulikodi katika dj virtual yako Kisha chaguwa wav
7.ANZA KU RECORD
= kila mtu anafahamu ku record
8.FUNGUWA FL STUDIO
=Funguwa fl studio yako Kama auna fl studio Unaweza ukanitafuta ili tuwone tunasaidiana vipi funguwa fl studio yako
9.FUMGUWA MIXER
=ingia kwenye mixer kila mtu anajuwa mixer iko wapi Kama ujuwi njoo katika group langu nikupe elimu zaidi
10.CHAGUWA EDISON
= Chaguwa Edison yaani hapa ndipo somo letu la leo limeshikilia yaan hapa ndio sehem muhimu Sana funguwa Edison yako Kisha angushia kibati chako ambacho ulichokilikodi mwazo katika dj virtual
11.ANZA KUKATA LOOP
=anza kukata LOOP hii sehemu najuwa watu wengi itawasumbua Sana maana hapa ndipo Kuna kazi ngumu Sana Kama Unataka Loop Zilizokatwa kabisa basi zinauzwa Loop 30 Kwa shilingi Elufu Nne yaani buku Nne 4,000/=
11.IBANE LOOP YAKO NA KUIDONDOSHE KATIKA PLAYLIST YAKO
= ivi ulishawai ku bana nyimbo na ukaidondoshea katika VLC au program yoyote ile ya ku play mziki hapa ndio kitu icho kinazungumziwa ibane Loop Yako Kisha iyangushie katika playlist ya fl studio yako
12.TAFUTA TEMPO YA BEAT YAKO
= hapa maana yake ukishakata beat yako na ukiidondoshea katika playlist yako Tempo inayo soma juu sio tempo sahihi kikubwa Ni kutafuta tempo Kama ujanielewa vizuri njoo kwenye group langu kwa maelezo ya kina kujiunga shilingi elufu mbili 2,000/= kila mwezi utalipia
13.AKIKISHA UNAWASHA MENTRONOME
=Mentronome Ni Nini Mentronome Ni sauti ambayo inakujulisha Kama loop yako au kibati chako kina kwenda sawa na beat au zinapishana Kama zina pishana je ufanyaje
14.MUHIMU
= akikisha una sevu project yako kila atuwa unayo fanya
16.WEKEA BEAT YAKO SMOOTH
=Njoo katika Group Nikuwelekeze Hapa Nina maana gani Kujiunga Ni shilingi elufu mbili 2,000/= kila mwezi
17.TAFUTA SAMPLES
= Tafuta samples katika FL studio yako Kama samples auna za kutosha Unaweza ukanicheki
Mimi nimekupa njia za ma projuza wazopita mbaka wanakamilisha kutengeneza beat za SINGERI Kuna mambo mengi ya kufanya kikubwa Ni kujiunga na Group langu ili uweze kupata Elimu inayotoka kwangu kujiunga shilingi elufu mbili 2,000/= kila mwezi
FOLLOWING⏱️
---------******----------*****-------******-----------
BUY SAMPLES link 👇
djwinnertz.gumroad.com
-------------******---------******---------******-----
FACEBOOK PAGE👇 link= profile.php?...
INSTAGRAM👇 link= / djwinner_tz
👩‍👧‍👦 WHATSAPP GROUP=Group kujiunga Elufu mbili 2.000/= kila mwezi utalipia buku mbili tu na utaweza kupata Elimu ya kutosha utalipia kila mwezi
☎️ Call....
📞=0745-550-557
📞=0719-500-475
📞=0689-263-508
📞=0653-117-023
#Njia #Jinsi #elimu #fahamu

Пікірлер: 11

  • @fidogenious5075
    @fidogenious50752 жыл бұрын

    Saf saf

  • @djwinnertz9787

    @djwinnertz9787

    2 жыл бұрын

    Na kweli hata mm naona safiii.....

  • @djwinnertz9787

    @djwinnertz9787

    2 жыл бұрын

    Na kweli hata mm naona safiii.....

  • @fidogenious5075

    @fidogenious5075

    2 жыл бұрын

    Yaaah tunaitaj mafunz meng meng piah jomb

  • @djwinnertz9787

    @djwinnertz9787

    2 жыл бұрын

    @@fidogenious5075 Ni kweli maana hata mm napambana kwa ajili yenu nitakuwa sijafanya fea km siku nikifa alafu nikaondoka na Elimu yangu kichwani kwahy bola niitoe ili iwasaidie na wengine

  • @djwinnertz9787
    @djwinnertz97872 жыл бұрын

    Usisahau ku SUBSCRIBE channel yangu

  • @mr.b3n155

    @mr.b3n155

    2 жыл бұрын

    ucwaze winner

  • @djwinnertz9787

    @djwinnertz9787

    2 жыл бұрын

    @@mr.b3n155 pamoja Sana mwanangu nakubali

  • @djmarveltzvampire4894
    @djmarveltzvampire4894 Жыл бұрын

    Oya mtu wangu plug gan unatumia

  • @djwinnertz9787

    @djwinnertz9787

    Жыл бұрын

    Yaah plug-in ndio natuma nichek WhatsApp number 0653117023 tuwongee vizuri

  • @djwinnertz9787

    @djwinnertz9787

    Жыл бұрын

    Yaah plug-in ndio natuma nichek WhatsApp number 0653117023 tuwongee vizuri