PACHA WA ALIKIBA ALIYESHIRIKI BONGO STAR SEARCH
Ойын-сауық
Home of Entertainment
Karibu SILVER TV, Here are the facts and trivia that people are buzzing about.
Home of Entertainment
Karibu SILVER TV, Here are the facts and trivia that people are buzzing about.
Пікірлер: 294
Kiba tusainie huyu jamaa KING'S MUSIC...mbali na kufanana ila ni muimbaji mzuri
@hatamimnimempendabulejaman1596
3 жыл бұрын
Kuna mkaka naye alikuwa anafanana na kiba paka wakawa wanamwitaga kiba kiba naye alikuwa ni mtu wa kigoma naye
@hatamimnimempendabulejaman1596
3 жыл бұрын
Uyu Alisi yule Ally Majina Yao pia yanafanana
@hatamimnimempendabulejaman1596
3 жыл бұрын
Na mimi nafurah kufanana na Rey c wengi Sana walikuwa wananiambiaga watu mbal mbal nikisuka lasta au nikishonea mawivin ndo kabisa
@hatamimnimempendabulejaman1596
3 жыл бұрын
Ndio Ata mimi nilivyomuona bongo star nilisema anafanana, na kiba na anaimba kama kiba na wenyew walimwambia
@hatamimnimempendabulejaman1596
3 жыл бұрын
Halafu mpambano Wake sikuonaga uliingiaga wapi
Ni kweli umefanana kaza sasa usainiwe 👑's sasa Mfalme tumempenda huyu jamaa anaweza
Pacha wa Harmonize = Hamorapa (majanga) Pacha wa Diamond= Pachamondi (Majanga) Pacha wa Ally kiba = Harith (Mstaarab kinyamaaaa) Sometimes mapacha tufananaonao ndio wanadetermine tabiazetu
@mariamthabit4215
3 жыл бұрын
Ila pacha wa harmonize hapo dah!rafiki yàngu majanga🤣🤣🤣🤣🤣
Kafanana naye nywele.
sura sio Sana sema sauti ya kuimba wanaingia. iko njema
Naona mungu kaleta walithi wa mikoba mapema ambao ni " Pacha mond,,,,Pacha Kiba
@jafariramadhani3264
3 жыл бұрын
Pacha Mondi uozo kabisa hata kujieleza hajui😂
Bora uyu wa alikiba yule anaefanana na diamond ataajui kujielezea
King kiba yuko vizuri mnoo
Huyu jamaa anafanana na alikiba kuanzia. Sauti , kuimba had swagger
Wew yaani mola kaleta ,kipaj kingine king kiba yoooh! Yeah babah
Bongo mtatushangaza... Alianza Harmorapa to Haemo ize.. Akaja Mondi Juzi sasa Ni Kiba msyuuu Mwaboa sana ju
@happylife349
3 жыл бұрын
Wivu tuu, asa watu wasifanane
@hasanirajabu312
3 жыл бұрын
ss kwan watakaje nawe km wame fanan wasisem au hun macho
No one can reach alikiba no one is handsome like alikiba And venye ana react basi anajiona alikiba ukweli Labda niseme sauti tuu kwa mbali ndio imefanana na alikiba
@adelibrahim9011
3 жыл бұрын
Huyo alikiba 100%
@cutemarycutemary4471
3 жыл бұрын
@@adelibrahim9011 waumwa
Kufanana uongo bhna labda iyo sura akikaa kwa upande na vijimbwembwe vyake ndio kwa mbali😂
@khadijaomar8427
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@roseliciasanchez2664
3 жыл бұрын
😂 😂 😂 😂 😂 😂
@salma-fc4xc
3 жыл бұрын
Kafanana na zabibu kiba
@khatwabisadathil3423
3 жыл бұрын
@@salma-fc4xc 😸😸😸😸😸😸😸😸
@jamesmichael8190
3 жыл бұрын
Wameanza wenye roho za korosho,
mtangazaji Mimi nimefanana na hamolapa njoo nihoji
Hata mapozi ya kuongea Kama kiba kabisa. Mashallah
@cutemarycutemary4471
3 жыл бұрын
He is reacting
Nice brother like alikiba
Dah pacha kabisa
Wanafanana sio kwa % kubwa mnaosema hawajafanana hiko ni kipimo chenu kujua kuwa nyinyi ndo hamjui kufananisha
bro mumefanana ucwackilize wenye roho ya kwann. kaza utafika mbali
wamefanana sana sana 100% breach lakini😂
@zedennjate548
3 жыл бұрын
Haa haaaaaaaaa haaaaa
@almunirmaulid5502
3 жыл бұрын
Hahahah wee hatarii
@elickmaendeleo1141
3 жыл бұрын
Hahahaaaaa nyau ww
Yupo vizuriiii
Uyo mpemba anaforce mpaka swaga ili afanane but ali atabaki mmoja tu ye atafute kiki then aimbe style yake ushauri tu
@azizamohd5728
3 жыл бұрын
😁😁😁😁
Wanafanana nin sasa jamani 😂😂
@johnbrain3263
3 жыл бұрын
breach 😂😂
Wanakudanganya yani hata hamfanani kbsa
Like kiba...mnafana na unaiba kama kibaa
Mie nafanana na nandy kabisa yan hata nikiimba najuona nandy kabisa kinanishinda kujitokeza niyule billnasi tu 🤣🤣🤣 nand akiachana nae ataniona pacha wake
@cutetalliatalliacute7381
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@paulmao9803
3 жыл бұрын
Hahah
Umetisha
Kalii
Mie nafanan Gigi ni Kiki nitafute 😂😂😂😂
Usije lewa sifa tu kijana harith
Mziki bwana,,,,,duuuu
Wabongo bana mna wivu mpaka matakoni jamaa kafanana na kiba kabisa alafu mnakataa
@idrissakalyango7477
3 жыл бұрын
Kweli kabxa
@nikolouskayaya9510
3 жыл бұрын
Kweli aseeee
@elizabethjames2693
3 жыл бұрын
Hahahahaha
Bogo jamani tume balikiwa San nyieee mukuje ukuuu bongooo jaman.laaaaa 😁😁Uuuuuwii. Watu 2 2 na Mimi jee jaman tokeze jamani pacha wanguuu jama wame fanana San
Mbona hawafanani
Mm kwa macho yangu cjaona kama kafanana labda saut
Kingkiba ni kingkiba tu atabak kuwa yey but hyu anayejifananish na kiba hawez fanana na kiba bali ataiga tu ku-act uhalisia w kingkiba, kama unakubalian namim gonga like hapo
Walaaaa...hajafanana nae...
Kafanana nae kichwa tu
Wamefanana jaman
Huyu mbn anamfanana mo music jmn mbn mnawakimbilia wasanii wakubwa tu
Hamnaa alikibaa apooo, upumbavuuu mtupuuuu😅😅😅😅😅
daaah jaman nyie wabongo kwann huwa hamuelewi kitu MTU anacho zungumzia na mnabaki kupaniki na miroho mibaya....why ???? tumieni akili kufikiria na kusikiliza kwanza
@SilverMediaOnline
3 жыл бұрын
Fact 👏
@chihongotv3255
3 жыл бұрын
Kweli Kuna watu wanaboa mtu kasema amefanana naye ila siyo alikiba . Najamaaa namkubali yaan anasauti ya king kiba kabisa
@alimussa2655
3 жыл бұрын
Yani wana roho mbaya sana
@mashakaemmanuel810
3 жыл бұрын
Mmefanana hatar
Mwanaume unajifananishaje namwanaume mwngine afu kwanza ata afanani na kiba...ahhahahahahhahaha
@abdulrazaqabdullahi5769
3 жыл бұрын
Asa untaka mtu afanane na mtoto wa kike??????
@Dj_Nemwel
3 жыл бұрын
Pokea akili ndugu nikama imekwisha kichwani mwako
Mm Sijui kama anafananae..
Bado pacha wa hamonize
hahaha wabongo njaaa bhn asee Jah bless our bongo land
@jacksonsabana2150
3 жыл бұрын
😂😂😂😂💪💪💪
We dogo unamfanana mo music sio alikiba hahaha af ongea kam mwanaume boya ww minjonjo kbao khaaa boya kweeel
@solomonlucas4112
3 жыл бұрын
Uko sawa
@sarahmse9357
3 жыл бұрын
Haha
@merneyboy1878
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣💀
@umojamedia4167
3 жыл бұрын
Mshauli alekebishe wap ili kesho asikosee sio kum2kana
@josephkasainey2903
3 жыл бұрын
Sikupingi kaka nikajua macho yangu tu
Duuh wabongo mnapenda kiki mbona mi nafanana sana na Chris brown ila nimetulia zangu nyumbani sitaki kujionyesha Kwenye vyombo vya habari acheni unafki
@saidipembe907
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@johnpaulkirenga5824
3 жыл бұрын
Hahahahaha unavutaga nini bro hahahaaa
@shabanimshana2981
3 жыл бұрын
@@johnpaulkirenga5824 sivutagi kitu kingine tofauti na hewa rafki angu
@johnpaulkirenga5824
3 жыл бұрын
Hahahaha oii comedy sana buda
@johnpaulkirenga5824
3 жыл бұрын
Ila bila shaka we ni mpare hahaha
Kidogo lkn so kivoo ila saut nakubali,,,
Kuna Kufanana na Kujifananisha 😂😂Mzee baba Unajifananisha
yeebabaaaa 💤
Yaaaaaaaaaaa!!!
Aaa hajafanana wala nini ila tu anaiga swaga za Kiba tu.
@user-jz8sj5us1h
3 жыл бұрын
Umeonaeeee
@user-jz8sj5us1h
3 жыл бұрын
Yan afazali ata pacha mond wamefanana sio uyu ajafanana ata kiduchu
@fenrearubeiy4170
3 жыл бұрын
Kumbe hata we umeona
@dbwaxvevo5780
3 жыл бұрын
embu iga tukuone ase
@dbwaxvevo5780
3 жыл бұрын
embu iga tukuone ase
Wanafnana kinyamaaaa
Kweli duniani wawili wawili
Yup
Ata awaja fanana ni mbwembwe tuh
Uyo labda kafanana na Abdu Kiba alikiba kafananae Sauti Tu
Kiukweli wamefanana adi sauti,jinsi anavyo ongea kama Kiba
Anafanana na mo musc
@jayelias1654
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂 kwel
Ushindwe!!! Ulijua atakusapot .. kafie mbele uko
God
No comment aseeeeee
Kwenye manano sio saaaana ila kwa mbali anakujaa kujaa ila kwenye uimbaji yuko vizuri
Ww sema unatafuta njia ya kutokea ....sawa tumekujua ....tumia hio nafasi kisha achana nae ... maana ukitembea ktk mgongo wa mtu kutoka sahau
Namm natafuta pacha wangu jaman vp mmemuona uko
@princessgracpius3573
3 жыл бұрын
𝗇𝗉𝗈 𝗁𝖺𝗉𝖺 𝗉𝖺𝖼𝗁𝖺 𝗐𝖺𝗄𝗈😄😄😄😄😄
@jamilasuleiman6872
3 жыл бұрын
😀😀
@elizabethjohn5168
3 жыл бұрын
😁😁😁😂😂njoo tufanane
@ioaniskapodistirio6057
3 жыл бұрын
Haha weka picha yako tupo watalam wa D.N.A.......
@alriyamy613
3 жыл бұрын
Yuko buzaa
Mafreemaso awoo
Nibora hata ungefanana na mond 😂
@khatwabisadathil3423
3 жыл бұрын
Kwendaaaaaa.unaweza ukathaminisha gold na bati.mond ni nani????
@ayubumuhanga4438
3 жыл бұрын
Mweeeh afanane na mond kote, lakin sio ule mdomo,,
Kiba hana mashavu hayo na bichwa kubwa hvyo
Guuud
Kias
Wallahi bongo sihami
@alimussa2655
3 жыл бұрын
Unapakwenda kwan
@latiffertiffer8551
3 жыл бұрын
😆😆😆unaanzaje kuhama
@latiffertiffer8551
3 жыл бұрын
😆😆😆unaanzaje kuhama
@cadabra7402
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣 uende wapi sasa
@khadijamisayo7476
3 жыл бұрын
ha ha haa
Hawaf1nani hata kidogo kbs!! Labda sauti
Yaaan wamefanana had mapoz
Huyu fala anakikaza aongee kam Ally Kiba
@nassorhamad5225
3 жыл бұрын
Ni kipaji pia kuigiza ili ufanane na staa muachenii
P1 xn jomba
Ah hajafanan nae bhna
Daaah bongo aisee yani huyu jamaa kashakua maarufu kwa sababu tu ya kuimba kama kiba na kufanana nae daah
Hamna wanachofanana labda mimbwemwe ndo anajaribu ku-BSS (kuiga)
Vp mimi hamjamuona pacha wangu huko.
Hajafanana nae bhana, akivua miwani ndio utajua
Mimi nina bahati mbaya nafanana na kingwendu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@wendylightness1897
3 жыл бұрын
😀😀😀😀😀
@juliussylvester883
3 жыл бұрын
Hahahahahahaha
Oy jamaa anajua
✌YEEEEBABA
@yussufali1530
3 жыл бұрын
Hafanani kabisa uyoooo shoga tunamjuwa huku zanzibar anafirana kama charahani ya sinja🙄🙄
@zuberninga695
3 жыл бұрын
Duuuuh
Mimi nae eti Pacha Ongala 😁😁
Awajafanananae labda nywele
Nikweli wanafanana siyo ile mbwa pacha mond
Pacha Alikiba poa
HII DUNIA BWANA. HONGERA LAKIN .ILA NA WW MADOIDO NI KAMA PACHA WA MONDI TU ETII HUPENDI KU TRENDS HAHAHHA U JUST HIGH LIKE ALIKIBA . FLOW KAMA ZAKE. HHAHAHA KOMAA BROO .PATA POTEA KWA USHAURI WANGU UKIPATA NAFASI USIICHEZEE BE CREATIVE HAYA NI MAISHA TU NA UNATAFUTA.BE MORE BE GOOD AND GOD IS GOOD. BLESS U FOR UR PLAN LET US KNOW UR PLATFORM.
Duh mie cni k wanafanana wenda kuimba
Pua kama baba levo
Ajafanana naye bhana sema tu anaiga swaga za kiba, mazuri jamani ila uyu anaiga
Kingkiba
Naona kilamtu ana pacha wake mwanzo alianza pacha nandy tukaja hamorapa na harmonize tukaja barack na magufuri tukaja kwa pacha mond leo pacha kiba cjui kesho atakuwa nan na nan
@chelseafcinafrica4313
3 жыл бұрын
huyu yupo siku nyingi before huyo pictures mondi
Build your own identity,
@watchme5678
3 жыл бұрын
Ungemjua ?
Hujafanana bar MBA ww
Hamna kitu hapo
Hajafanana bhana
Hwafanani hata kidogo
Hawajafanana.