PACHA WA ALIKIBA ALIYESHIRIKI BONGO STAR SEARCH

Ойын-сауық

Home of Entertainment
Karibu SILVER TV, Here are the facts and trivia that people are buzzing about.

Пікірлер: 294

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga15183 жыл бұрын

    Kiba tusainie huyu jamaa KING'S MUSIC...mbali na kufanana ila ni muimbaji mzuri

  • @hatamimnimempendabulejaman1596

    @hatamimnimempendabulejaman1596

    3 жыл бұрын

    Kuna mkaka naye alikuwa anafanana na kiba paka wakawa wanamwitaga kiba kiba naye alikuwa ni mtu wa kigoma naye

  • @hatamimnimempendabulejaman1596

    @hatamimnimempendabulejaman1596

    3 жыл бұрын

    Uyu Alisi yule Ally Majina Yao pia yanafanana

  • @hatamimnimempendabulejaman1596

    @hatamimnimempendabulejaman1596

    3 жыл бұрын

    Na mimi nafurah kufanana na Rey c wengi Sana walikuwa wananiambiaga watu mbal mbal nikisuka lasta au nikishonea mawivin ndo kabisa

  • @hatamimnimempendabulejaman1596

    @hatamimnimempendabulejaman1596

    3 жыл бұрын

    Ndio Ata mimi nilivyomuona bongo star nilisema anafanana, na kiba na anaimba kama kiba na wenyew walimwambia

  • @hatamimnimempendabulejaman1596

    @hatamimnimempendabulejaman1596

    3 жыл бұрын

    Halafu mpambano Wake sikuonaga uliingiaga wapi

  • @yohanaikaya6218
    @yohanaikaya62183 жыл бұрын

    Ni kweli umefanana kaza sasa usainiwe 👑's sasa Mfalme tumempenda huyu jamaa anaweza

  • @salymkitumbika8644
    @salymkitumbika86443 жыл бұрын

    Pacha wa Harmonize = Hamorapa (majanga) Pacha wa Diamond= Pachamondi (Majanga) Pacha wa Ally kiba = Harith (Mstaarab kinyamaaaa) Sometimes mapacha tufananaonao ndio wanadetermine tabiazetu

  • @mariamthabit4215

    @mariamthabit4215

    3 жыл бұрын

    Ila pacha wa harmonize hapo dah!rafiki yàngu majanga🤣🤣🤣🤣🤣

  • @darbrother8132
    @darbrother81323 жыл бұрын

    Kafanana naye nywele.

  • @hibaalfarsi7756
    @hibaalfarsi77563 жыл бұрын

    sura sio Sana sema sauti ya kuimba wanaingia. iko njema

  • @bevanny9389
    @bevanny93893 жыл бұрын

    Naona mungu kaleta walithi wa mikoba mapema ambao ni " Pacha mond,,,,Pacha Kiba

  • @jafariramadhani3264

    @jafariramadhani3264

    3 жыл бұрын

    Pacha Mondi uozo kabisa hata kujieleza hajui😂

  • @leoncerommy9938
    @leoncerommy99383 жыл бұрын

    Bora uyu wa alikiba yule anaefanana na diamond ataajui kujielezea

  • @rashidisalum3163
    @rashidisalum31633 жыл бұрын

    King kiba yuko vizuri mnoo

  • @ghostelmendez7206
    @ghostelmendez72063 жыл бұрын

    Huyu jamaa anafanana na alikiba kuanzia. Sauti , kuimba had swagger

  • @cholondembla0144
    @cholondembla01443 жыл бұрын

    Wew yaani mola kaleta ,kipaj kingine king kiba yoooh! Yeah babah

  • @charlesngombo1616
    @charlesngombo16163 жыл бұрын

    Bongo mtatushangaza... Alianza Harmorapa to Haemo ize.. Akaja Mondi Juzi sasa Ni Kiba msyuuu Mwaboa sana ju

  • @happylife349

    @happylife349

    3 жыл бұрын

    Wivu tuu, asa watu wasifanane

  • @hasanirajabu312

    @hasanirajabu312

    3 жыл бұрын

    ss kwan watakaje nawe km wame fanan wasisem au hun macho

  • @cutemarycutemary4471
    @cutemarycutemary44713 жыл бұрын

    No one can reach alikiba no one is handsome like alikiba And venye ana react basi anajiona alikiba ukweli Labda niseme sauti tuu kwa mbali ndio imefanana na alikiba

  • @adelibrahim9011

    @adelibrahim9011

    3 жыл бұрын

    Huyo alikiba 100%

  • @cutemarycutemary4471

    @cutemarycutemary4471

    3 жыл бұрын

    @@adelibrahim9011 waumwa

  • @deelissa2746
    @deelissa27463 жыл бұрын

    Kufanana uongo bhna labda iyo sura akikaa kwa upande na vijimbwembwe vyake ndio kwa mbali😂

  • @khadijaomar8427

    @khadijaomar8427

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @roseliciasanchez2664

    @roseliciasanchez2664

    3 жыл бұрын

    😂 😂 😂 😂 😂 😂

  • @salma-fc4xc

    @salma-fc4xc

    3 жыл бұрын

    Kafanana na zabibu kiba

  • @khatwabisadathil3423

    @khatwabisadathil3423

    3 жыл бұрын

    @@salma-fc4xc 😸😸😸😸😸😸😸😸

  • @jamesmichael8190

    @jamesmichael8190

    3 жыл бұрын

    Wameanza wenye roho za korosho,

  • @lovenesyngulo976
    @lovenesyngulo9763 жыл бұрын

    mtangazaji Mimi nimefanana na hamolapa njoo nihoji

  • @ibrahimgabriel4828
    @ibrahimgabriel48283 жыл бұрын

    Hata mapozi ya kuongea Kama kiba kabisa. Mashallah

  • @cutemarycutemary4471

    @cutemarycutemary4471

    3 жыл бұрын

    He is reacting

  • @fadhilisemzungu9154
    @fadhilisemzungu91543 жыл бұрын

    Nice brother like alikiba

  • @kitepabway9072
    @kitepabway90723 жыл бұрын

    Dah pacha kabisa

  • @KTMediatv
    @KTMediatv3 жыл бұрын

    Wanafanana sio kwa % kubwa mnaosema hawajafanana hiko ni kipimo chenu kujua kuwa nyinyi ndo hamjui kufananisha

  • @hamedmohammed8912
    @hamedmohammed89123 жыл бұрын

    bro mumefanana ucwackilize wenye roho ya kwann. kaza utafika mbali

  • @johnbrain3263
    @johnbrain32633 жыл бұрын

    wamefanana sana sana 100% breach lakini😂

  • @zedennjate548

    @zedennjate548

    3 жыл бұрын

    Haa haaaaaaaaa haaaaa

  • @almunirmaulid5502

    @almunirmaulid5502

    3 жыл бұрын

    Hahahah wee hatarii

  • @elickmaendeleo1141

    @elickmaendeleo1141

    3 жыл бұрын

    Hahahaaaaa nyau ww

  • @salumukisuda2185
    @salumukisuda21853 жыл бұрын

    Yupo vizuriiii

  • @nemeslaurent628
    @nemeslaurent6283 жыл бұрын

    Uyo mpemba anaforce mpaka swaga ili afanane but ali atabaki mmoja tu ye atafute kiki then aimbe style yake ushauri tu

  • @azizamohd5728

    @azizamohd5728

    3 жыл бұрын

    😁😁😁😁

  • @ramzy5280
    @ramzy52803 жыл бұрын

    Wanafanana nin sasa jamani 😂😂

  • @johnbrain3263

    @johnbrain3263

    3 жыл бұрын

    breach 😂😂

  • @christophermasese4179
    @christophermasese41793 жыл бұрын

    Wanakudanganya yani hata hamfanani kbsa

  • @ELISSKGTV
    @ELISSKGTV3 жыл бұрын

    Like kiba...mnafana na unaiba kama kibaa

  • @latiffertiffer8551
    @latiffertiffer85513 жыл бұрын

    Mie nafanana na nandy kabisa yan hata nikiimba najuona nandy kabisa kinanishinda kujitokeza niyule billnasi tu 🤣🤣🤣 nand akiachana nae ataniona pacha wake

  • @cutetalliatalliacute7381

    @cutetalliatalliacute7381

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @paulmao9803

    @paulmao9803

    3 жыл бұрын

    Hahah

  • @alisaideabdala6461
    @alisaideabdala64613 жыл бұрын

    Umetisha

  • @FahamuZaidiChannel
    @FahamuZaidiChannel3 жыл бұрын

    Kalii

  • @sheilajuma137
    @sheilajuma1373 жыл бұрын

    Mie nafanan Gigi ni Kiki nitafute 😂😂😂😂

  • @cholondembla0144
    @cholondembla01443 жыл бұрын

    Usije lewa sifa tu kijana harith

  • @mcyudasicqo9610
    @mcyudasicqo96103 жыл бұрын

    Mziki bwana,,,,,duuuu

  • @kapesamjenga5168
    @kapesamjenga51683 жыл бұрын

    Wabongo bana mna wivu mpaka matakoni jamaa kafanana na kiba kabisa alafu mnakataa

  • @idrissakalyango7477

    @idrissakalyango7477

    3 жыл бұрын

    Kweli kabxa

  • @nikolouskayaya9510

    @nikolouskayaya9510

    3 жыл бұрын

    Kweli aseeee

  • @elizabethjames2693

    @elizabethjames2693

    3 жыл бұрын

    Hahahahaha

  • @rajabuhondo4973
    @rajabuhondo49733 жыл бұрын

    Bogo jamani tume balikiwa San nyieee mukuje ukuuu bongooo jaman.laaaaa 😁😁Uuuuuwii. Watu 2 2 na Mimi jee jaman tokeze jamani pacha wanguuu jama wame fanana San

  • @cosmasdaud4472
    @cosmasdaud44723 жыл бұрын

    Mbona hawafanani

  • @mathiaspascal2048
    @mathiaspascal20483 жыл бұрын

    Mm kwa macho yangu cjaona kama kafanana labda saut

  • @pharleserasto3114
    @pharleserasto31143 жыл бұрын

    Kingkiba ni kingkiba tu atabak kuwa yey but hyu anayejifananish na kiba hawez fanana na kiba bali ataiga tu ku-act uhalisia w kingkiba, kama unakubalian namim gonga like hapo

  • @tanjaniyoman3160
    @tanjaniyoman31603 жыл бұрын

    Walaaaa...hajafanana nae...

  • @mariamukingazi3668
    @mariamukingazi36683 жыл бұрын

    Kafanana nae kichwa tu

  • @dogoshazzy761
    @dogoshazzy7613 жыл бұрын

    Wamefanana jaman

  • @meshackmussa7722
    @meshackmussa77223 жыл бұрын

    Huyu mbn anamfanana mo music jmn mbn mnawakimbilia wasanii wakubwa tu

  • @sampart2669
    @sampart26693 жыл бұрын

    Hamnaa alikibaa apooo, upumbavuuu mtupuuuu😅😅😅😅😅

  • @judicambise5958
    @judicambise59583 жыл бұрын

    daaah jaman nyie wabongo kwann huwa hamuelewi kitu MTU anacho zungumzia na mnabaki kupaniki na miroho mibaya....why ???? tumieni akili kufikiria na kusikiliza kwanza

  • @SilverMediaOnline

    @SilverMediaOnline

    3 жыл бұрын

    Fact 👏

  • @chihongotv3255

    @chihongotv3255

    3 жыл бұрын

    Kweli Kuna watu wanaboa mtu kasema amefanana naye ila siyo alikiba . Najamaaa namkubali yaan anasauti ya king kiba kabisa

  • @alimussa2655

    @alimussa2655

    3 жыл бұрын

    Yani wana roho mbaya sana

  • @mashakaemmanuel810

    @mashakaemmanuel810

    3 жыл бұрын

    Mmefanana hatar

  • @kilimanjarotanzania1115
    @kilimanjarotanzania11153 жыл бұрын

    Mwanaume unajifananishaje namwanaume mwngine afu kwanza ata afanani na kiba...ahhahahahahhahaha

  • @abdulrazaqabdullahi5769

    @abdulrazaqabdullahi5769

    3 жыл бұрын

    Asa untaka mtu afanane na mtoto wa kike??????

  • @Dj_Nemwel

    @Dj_Nemwel

    3 жыл бұрын

    Pokea akili ndugu nikama imekwisha kichwani mwako

  • @godfreyms8005
    @godfreyms80053 жыл бұрын

    Mm Sijui kama anafananae..

  • @emmanuelrespicius3489
    @emmanuelrespicius34892 жыл бұрын

    Bado pacha wa hamonize

  • @salimramadhani5237
    @salimramadhani52373 жыл бұрын

    hahaha wabongo njaaa bhn asee Jah bless our bongo land

  • @jacksonsabana2150

    @jacksonsabana2150

    3 жыл бұрын

    😂😂😂😂💪💪💪

  • @moddlizersaidsalu2868
    @moddlizersaidsalu28683 жыл бұрын

    We dogo unamfanana mo music sio alikiba hahaha af ongea kam mwanaume boya ww minjonjo kbao khaaa boya kweeel

  • @solomonlucas4112

    @solomonlucas4112

    3 жыл бұрын

    Uko sawa

  • @sarahmse9357

    @sarahmse9357

    3 жыл бұрын

    Haha

  • @merneyboy1878

    @merneyboy1878

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣💀

  • @umojamedia4167

    @umojamedia4167

    3 жыл бұрын

    Mshauli alekebishe wap ili kesho asikosee sio kum2kana

  • @josephkasainey2903

    @josephkasainey2903

    3 жыл бұрын

    Sikupingi kaka nikajua macho yangu tu

  • @shabanimshana2981
    @shabanimshana29813 жыл бұрын

    Duuh wabongo mnapenda kiki mbona mi nafanana sana na Chris brown ila nimetulia zangu nyumbani sitaki kujionyesha Kwenye vyombo vya habari acheni unafki

  • @saidipembe907

    @saidipembe907

    3 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @johnpaulkirenga5824

    @johnpaulkirenga5824

    3 жыл бұрын

    Hahahahaha unavutaga nini bro hahahaaa

  • @shabanimshana2981

    @shabanimshana2981

    3 жыл бұрын

    @@johnpaulkirenga5824 sivutagi kitu kingine tofauti na hewa rafki angu

  • @johnpaulkirenga5824

    @johnpaulkirenga5824

    3 жыл бұрын

    Hahahaha oii comedy sana buda

  • @johnpaulkirenga5824

    @johnpaulkirenga5824

    3 жыл бұрын

    Ila bila shaka we ni mpare hahaha

  • @jaylove5251
    @jaylove52513 жыл бұрын

    Kidogo lkn so kivoo ila saut nakubali,,,

  • @kareemabdallah6693
    @kareemabdallah66933 жыл бұрын

    Kuna Kufanana na Kujifananisha 😂😂Mzee baba Unajifananisha

  • @chidyboytz48
    @chidyboytz483 жыл бұрын

    yeebabaaaa 💤

  • @swaibushabani42
    @swaibushabani423 жыл бұрын

    Yaaaaaaaaaaa!!!

  • @ochuMay05
    @ochuMay053 жыл бұрын

    Aaa hajafanana wala nini ila tu anaiga swaga za Kiba tu.

  • @user-jz8sj5us1h

    @user-jz8sj5us1h

    3 жыл бұрын

    Umeonaeeee

  • @user-jz8sj5us1h

    @user-jz8sj5us1h

    3 жыл бұрын

    Yan afazali ata pacha mond wamefanana sio uyu ajafanana ata kiduchu

  • @fenrearubeiy4170

    @fenrearubeiy4170

    3 жыл бұрын

    Kumbe hata we umeona

  • @dbwaxvevo5780

    @dbwaxvevo5780

    3 жыл бұрын

    embu iga tukuone ase

  • @dbwaxvevo5780

    @dbwaxvevo5780

    3 жыл бұрын

    embu iga tukuone ase

  • @saudaabdi8689
    @saudaabdi86893 жыл бұрын

    Wanafnana kinyamaaaa

  • @alfredjohn5693
    @alfredjohn56933 жыл бұрын

    Kweli duniani wawili wawili

  • @sultanseifu3288
    @sultanseifu32883 жыл бұрын

    Yup

  • @sofianyasinde3446
    @sofianyasinde34463 жыл бұрын

    Ata awaja fanana ni mbwembwe tuh

  • @mosesvpajitv6644
    @mosesvpajitv66443 жыл бұрын

    Uyo labda kafanana na Abdu Kiba alikiba kafananae Sauti Tu

  • @rosemerryngonyani9513
    @rosemerryngonyani95133 жыл бұрын

    Kiukweli wamefanana adi sauti,jinsi anavyo ongea kama Kiba

  • @ismailmalingumu8968
    @ismailmalingumu89683 жыл бұрын

    Anafanana na mo musc

  • @jayelias1654

    @jayelias1654

    3 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂 kwel

  • @clintonsanga6201
    @clintonsanga62013 жыл бұрын

    Ushindwe!!! Ulijua atakusapot .. kafie mbele uko

  • @aminajamuhuri3370
    @aminajamuhuri33703 жыл бұрын

    God

  • @nikolouskayaya9510
    @nikolouskayaya95103 жыл бұрын

    No comment aseeeeee

  • @harunimfaume6280
    @harunimfaume62803 жыл бұрын

    Kwenye manano sio saaaana ila kwa mbali anakujaa kujaa ila kwenye uimbaji yuko vizuri

  • @rayaazamtv6958
    @rayaazamtv69583 жыл бұрын

    Ww sema unatafuta njia ya kutokea ....sawa tumekujua ....tumia hio nafasi kisha achana nae ... maana ukitembea ktk mgongo wa mtu kutoka sahau

  • @vanthebest4639
    @vanthebest46393 жыл бұрын

    Namm natafuta pacha wangu jaman vp mmemuona uko

  • @princessgracpius3573

    @princessgracpius3573

    3 жыл бұрын

    𝗇𝗉𝗈 𝗁𝖺𝗉𝖺 𝗉𝖺𝖼𝗁𝖺 𝗐𝖺𝗄𝗈😄😄😄😄😄

  • @jamilasuleiman6872

    @jamilasuleiman6872

    3 жыл бұрын

    😀😀

  • @elizabethjohn5168

    @elizabethjohn5168

    3 жыл бұрын

    😁😁😁😂😂njoo tufanane

  • @ioaniskapodistirio6057

    @ioaniskapodistirio6057

    3 жыл бұрын

    Haha weka picha yako tupo watalam wa D.N.A.......

  • @alriyamy613

    @alriyamy613

    3 жыл бұрын

    Yuko buzaa

  • @hasanmuhamed8816
    @hasanmuhamed88163 жыл бұрын

    Mafreemaso awoo

  • @dripboy2026
    @dripboy20263 жыл бұрын

    Nibora hata ungefanana na mond 😂

  • @khatwabisadathil3423

    @khatwabisadathil3423

    3 жыл бұрын

    Kwendaaaaaa.unaweza ukathaminisha gold na bati.mond ni nani????

  • @ayubumuhanga4438

    @ayubumuhanga4438

    3 жыл бұрын

    Mweeeh afanane na mond kote, lakin sio ule mdomo,,

  • @paulmssoma6006
    @paulmssoma60063 жыл бұрын

    Kiba hana mashavu hayo na bichwa kubwa hvyo

  • @hasanimavula5570
    @hasanimavula55703 жыл бұрын

    Guuud

  • @jayproducts5871
    @jayproducts58713 жыл бұрын

    Kias

  • @djmackbestseasonandsinglem3384
    @djmackbestseasonandsinglem33843 жыл бұрын

    Wallahi bongo sihami

  • @alimussa2655

    @alimussa2655

    3 жыл бұрын

    Unapakwenda kwan

  • @latiffertiffer8551

    @latiffertiffer8551

    3 жыл бұрын

    😆😆😆unaanzaje kuhama

  • @latiffertiffer8551

    @latiffertiffer8551

    3 жыл бұрын

    😆😆😆unaanzaje kuhama

  • @cadabra7402

    @cadabra7402

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣 uende wapi sasa

  • @khadijamisayo7476

    @khadijamisayo7476

    3 жыл бұрын

    ha ha haa

  • @guillaumemusonerwa2502
    @guillaumemusonerwa25023 жыл бұрын

    Hawaf1nani hata kidogo kbs!! Labda sauti

  • @mbsquare4119
    @mbsquare41193 жыл бұрын

    Yaaan wamefanana had mapoz

  • @sanimoclassic1917
    @sanimoclassic19173 жыл бұрын

    Huyu fala anakikaza aongee kam Ally Kiba

  • @nassorhamad5225

    @nassorhamad5225

    3 жыл бұрын

    Ni kipaji pia kuigiza ili ufanane na staa muachenii

  • @ayoubkiyoya589
    @ayoubkiyoya5893 жыл бұрын

    P1 xn jomba

  • @bwanabrainex433
    @bwanabrainex4333 жыл бұрын

    Ah hajafanan nae bhna

  • @wise4surprises543
    @wise4surprises5433 жыл бұрын

    Daaah bongo aisee yani huyu jamaa kashakua maarufu kwa sababu tu ya kuimba kama kiba na kufanana nae daah

  • @denisdeusdedith5849
    @denisdeusdedith58493 жыл бұрын

    Hamna wanachofanana labda mimbwemwe ndo anajaribu ku-BSS (kuiga)

  • @mwahijahamisi9846
    @mwahijahamisi98463 жыл бұрын

    Vp mimi hamjamuona pacha wangu huko.

  • @edgarjoseph5573
    @edgarjoseph55733 жыл бұрын

    Hajafanana nae bhana, akivua miwani ndio utajua

  • @ismailyusuf3629
    @ismailyusuf36293 жыл бұрын

    Mimi nina bahati mbaya nafanana na kingwendu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @wendylightness1897

    @wendylightness1897

    3 жыл бұрын

    😀😀😀😀😀

  • @juliussylvester883

    @juliussylvester883

    3 жыл бұрын

    Hahahahahahaha

  • @mdigomata4088
    @mdigomata40883 жыл бұрын

    Oy jamaa anajua

  • @kingsmusicfans1416
    @kingsmusicfans14163 жыл бұрын

    ✌YEEEEBABA

  • @yussufali1530

    @yussufali1530

    3 жыл бұрын

    Hafanani kabisa uyoooo shoga tunamjuwa huku zanzibar anafirana kama charahani ya sinja🙄🙄

  • @zuberninga695

    @zuberninga695

    3 жыл бұрын

    Duuuuh

  • @moodychanday9220
    @moodychanday92203 жыл бұрын

    Mimi nae eti Pacha Ongala 😁😁

  • @ramadhanisaidi7259
    @ramadhanisaidi72593 жыл бұрын

    Awajafanananae labda nywele

  • @jamespaschal9317
    @jamespaschal93173 жыл бұрын

    Nikweli wanafanana siyo ile mbwa pacha mond

  • @harmonizepachauganda5924
    @harmonizepachauganda59242 жыл бұрын

    Pacha Alikiba poa

  • @twesatv1032
    @twesatv10323 жыл бұрын

    HII DUNIA BWANA. HONGERA LAKIN .ILA NA WW MADOIDO NI KAMA PACHA WA MONDI TU ETII HUPENDI KU TRENDS HAHAHHA U JUST HIGH LIKE ALIKIBA . FLOW KAMA ZAKE. HHAHAHA KOMAA BROO .PATA POTEA KWA USHAURI WANGU UKIPATA NAFASI USIICHEZEE BE CREATIVE HAYA NI MAISHA TU NA UNATAFUTA.BE MORE BE GOOD AND GOD IS GOOD. BLESS U FOR UR PLAN LET US KNOW UR PLATFORM.

  • @giftymadaraka6676
    @giftymadaraka66763 жыл бұрын

    Duh mie cni k wanafanana wenda kuimba

  • @RajKumar-ub1ns
    @RajKumar-ub1ns3 жыл бұрын

    Pua kama baba levo

  • @asminkitwana619
    @asminkitwana6193 жыл бұрын

    Ajafanana naye bhana sema tu anaiga swaga za kiba, mazuri jamani ila uyu anaiga

  • @kingcheater2554
    @kingcheater25543 жыл бұрын

    Kingkiba

  • @rahmaismailmussa5
    @rahmaismailmussa53 жыл бұрын

    Naona kilamtu ana pacha wake mwanzo alianza pacha nandy tukaja hamorapa na harmonize tukaja barack na magufuri tukaja kwa pacha mond leo pacha kiba cjui kesho atakuwa nan na nan

  • @chelseafcinafrica4313

    @chelseafcinafrica4313

    3 жыл бұрын

    huyu yupo siku nyingi before huyo pictures mondi

  • @calmandrelaxationessential2407
    @calmandrelaxationessential24073 жыл бұрын

    Build your own identity,

  • @watchme5678

    @watchme5678

    3 жыл бұрын

    Ungemjua ?

  • @dianamakinda793
    @dianamakinda7933 жыл бұрын

    Hujafanana bar MBA ww

  • @aminmohammed4249
    @aminmohammed42493 жыл бұрын

    Hamna kitu hapo

  • @sharifaabdulla1890
    @sharifaabdulla18903 жыл бұрын

    Hajafanana bhana

  • @ismytime2009
    @ismytime20093 жыл бұрын

    Hwafanani hata kidogo

  • @dadysteve9096
    @dadysteve90963 жыл бұрын

    Hawajafanana.