ONYO LA MWISHO KUHUSU MAKANISA YA UONGO SEHEMU YA 2 (OFFICIAL VIDEO)

KUHUSU CHANJO NA 666 BONYEZA HAPA
• 666 NI CORONA AU CHANJ...

Пікірлер: 22

  • @puritychogoro
    @puritychogoro2 жыл бұрын

    Mungu atusaidie kuyazingatia haya

  • @alfrednamai2877
    @alfrednamai2877 Жыл бұрын

    Amen 🙏 mey God help us to understand bible Be blessed pastor for good teachings

  • @thel-rdiscomingamen5407
    @thel-rdiscomingamen54072 жыл бұрын

    Pasta unasema neno la Mungu, Mungu atulinde sote Katika jina la Yesu Kristo amina

  • @rizikibahati8364
    @rizikibahati83642 жыл бұрын

    Amen Mungu akupeye maisha marefu Mtumishi wa Mungu siyo kila Mtumishi anaye fundisha watu ukweli wa neno

  • @danielthomasmsigwa31
    @danielthomasmsigwa312 жыл бұрын

    Mtumishi nitakuombea utumike kwa Yesu tu! Wewe ni silaha yenye makali ikiangukia mikono ya adui tumekwisha!

  • @ruthakinyicinderella2910
    @ruthakinyicinderella29102 жыл бұрын

    My God?have mercy je si si ambao hatujui?rose from Kenya

  • @dadarehema
    @dadarehema2 жыл бұрын

    Amen, blessing together from Sweden 🇸🇪

  • @patriciasanga9848
    @patriciasanga98482 жыл бұрын

    Kweli mchungaji babeli imetawala sehemu kubwa.

  • @ezekielbarnaba5785
    @ezekielbarnaba5785 Жыл бұрын

    Amen

  • @happinessshilie4019
    @happinessshilie40192 жыл бұрын

    AMEN 🙏🙏

  • @moses477mshan8
    @moses477mshan82 жыл бұрын

    Nikweli pastor

  • @amaniarigenesi5393
    @amaniarigenesi53932 жыл бұрын

    Amin

  • @moses477mshan8
    @moses477mshan82 жыл бұрын

    Nikweli pr

  • @edinahkerubo3800
    @edinahkerubo38002 жыл бұрын

    Amen mungu atuongose

  • @jessikaakinyi8445
    @jessikaakinyi84452 жыл бұрын

    Kweli watu wamelewa kwa mvinyo coz hili kanisa linauwa na kuomba msamaha na kuendelea kuuwa na COVID njia mpya ya kuua kwa kutengeneza gonjwa kristo wa Neema yote

  • @shaniachanceline2751
    @shaniachanceline27512 жыл бұрын

    Amen 🙏🏼🙏🏼🙏🏼💓😍🥰❤️♥️

  • @amaniarigenesi5393
    @amaniarigenesi53932 жыл бұрын

    Amina

  • @wegesaelias9568
    @wegesaelias95682 жыл бұрын

    Mungu ametufunulia ktk biblia hatusomi jamani someni biblia

  • @danielthomasmsigwa31
    @danielthomasmsigwa312 жыл бұрын

    Binadamu huna uelewa kamili wa wazo hasa LA Mungu kwa kila andiko, tunahitaji roho mt.(rev.19:10) yaani maandishi ya EGW kujua maana; na wayahudi walisema tunayo torati - MUSA, wakamkataa YeSU! akawaambia mwayachunguza maandiko mkidhani MNA uzima ndani yake ... Dhambi kuu ya kizazi hiki ni kutilia shaka roho ya unabii na hivyo ibilisi kuwaburuza kwenye dhambi ya wazi kuikataa sabato ya biblia na kuikubali jumapili ya VATICAN (BARABA) ili kujipendekeza kwa Muungano wa dini na serikali!

  • @MN-hi8ll
    @MN-hi8ll2 жыл бұрын

    Hiyo video ya papa nimeona uthibitisho

  • @ruthakinyicinderella2910
    @ruthakinyicinderella29102 жыл бұрын

    Hebu niambie bobilia IPI?nataka.kununua

  • @ruthakinyicinderella2910
    @ruthakinyicinderella29102 жыл бұрын

    Amen