OMOSH ONE HOUR ROASTS GENZ Zs LIVE! WAMETUANGUSHA, TUTATESEKA TUKUFE!!
To bring out the ideal picture of the challenges facing citizens at large
#kenyanpolitics #nuruokangake #citizendigital #kenya #difmedia #ruto #bungelamwananchi #raila #railaodinga #kenyanyoutuber
Пікірлер: 30
Gotha tena walileta goons kwa maandamano. We're restructuring RUTO MUST GO
Hi. 👍👍👍👍👍👍👍👍🌹🌹👍👍👍👍👍👍🙏🙏🙏
Wanaogopa kuenda ikulu kwa nn wafate ruto uko ata kama ataeka majeshi wote lkn lazima afatwe jmn plz
Hii nafasi ikipita tutalilia kwa choo,,, ruto anapika mahesabu pole pole tu, aliweka mkuu wa majeshi mwenye amepakisha mwaka Moja aende retire alafu tuwekewe mkale, mmmm hapo ndiyo mtajuwa hamujui ,,,,, wakati ni sasa na kama si sasa ni sasa hivi hakuna wakati wa kuharibu, GEN Z KAMILISHENI MULICHO ANZISHA
@hazeljelimo5995
5 күн бұрын
mtakonja sana😅😅
@irenekerubo4576
5 күн бұрын
@@hazeljelimo5995 ndiyo tumepumzika Sahi tumepata nguvu Ruto tunamtoa whether you like or not
@hazeljelimo5995
5 күн бұрын
@@irenekerubo4576 mngekua umemtoa mnakonja nini basi
@sabinaatema2065
5 күн бұрын
@@hazeljelimo5995 inakaa wewe ni wale watu wanatembea na rungu
@hazeljelimo5995
5 күн бұрын
@@sabinaatema2065 yes lazima tuchunge mtu wetu
Gen Z hawaku protest kwa sababu politicians walikuwa wana hire goons ku sabotage their plans....so waliamua wasiende If they want to go they can..
Tumewachia wezi Maandamano kiasi
btw na pennda huyu omosh more than nuru kwasabau huyu anaongenga sence
@hadihadi9167
5 күн бұрын
Niukwel mm pia namfwatilia sana 😂😂😂😂😂
Chonganishi jingine..Makelele tu. Kushawishi wenzake wafe.
Gez my foot😮😅
Ngotha tena
@nyumbakumi5675
5 күн бұрын
My favourite part...ngotha tena
Sauti
😂😂
i support ruto a billion tymz wacha a rule a billion years soo tht wanyorokee vizurii
@ShawnBevan
4 күн бұрын
Wewe ni mwendawazimu wewe
Eeeh omosh uko na udaku
Mbwekse sijui gothav😂😂😂😂
@rosemarykagwiria2135
5 күн бұрын
😅😅😅
GEN Z😂😂😂
😅😅😅😅
Unataka watoto wa wenyewe wauliwe wee ukiwa Kwa nyumba?
Mbweksee😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂