OFFICIAL FIRST EPISODE - Sarafu | Maisha Magic Bongo
Tazama kipindi cha kwanza cha #MMBSarafu katika chaneli yetu ya KZread!
Endelea kutizama DStv chaneli 160
Maisha Magic Bongo yakuletea baadhi ya filamu nzuri kabisa toka Bongowood!
Endelea kutizama DStv chaneli 160
---
Instagram: / maishamagicbongo
Twitter: / maishamagictz
Facebook: / maishamagicbongo
Пікірлер: 302
From Canada, Good job usiishiye apo mu tukumbuke nasi tuko mbali Jaman.
@jefenggg3442
4 жыл бұрын
Arafat Bakari hakyamungu hawatutendei haki
Jaman nafurah sana kuiona mbavu zangu tz tupo juu sana tunajikubal
Nzuri sana jamani msituachie njiani tunaomba twende mpaka mwisho
Congratulations kwa washiriki wote wa hii movie nzuri sarafu kweli ndo chanzo cha yote.Yani mastaa wote wa kali wako hapa waoooh Naomba muendelezo.
@Jenjenxx
6 жыл бұрын
MWANAHALIMA MWACHILI are u bajuni?
@mwanahalimamwachili9679
6 жыл бұрын
Jennifer Aden Hapana
@mutajonh8152
6 жыл бұрын
MWANAHALIMA MWACHILI movie nzuri Sana tuma mwendelezo
maisha magic bongo like iyi commente kama umependa iyi movie
@emmanuelmagembe876
4 жыл бұрын
Naipenda sana maisha magic bongo
Wooow movie kalii xnaa muendelezo uendele hvyo tuh isikatizwe jamaniii😍😍😍😉😉
Yaani hivi ndio sawa! Sio mnaturushia vipandevipande siku hizi sio mpaka ukae kwenye TV!
Thnk u so much for making us feel hme coz tuko mbali muwe munatukumbuka....
Wow, kwa kweli nimeipenda sana na ningependa iendelee kama mlivyoianza. .... nawashukuru saana asanteni
Asanteni sana tume enjoy kwakweli tumejiona tupo nyumbani,tunaomba muendelezo plz.hongereni sana ni nzuri mnoo.
@hhassani6832
5 жыл бұрын
ok poa
apa bongo movie mmefanya kweli respect for you
Hapo Sawa sasa duuuu muwe mnatutupia mambooo
tunaomba japo kila wiki muweke epsod moja au mbili na sisi tusio na dstv tufaid kupitia KZread
jamani ninzuri sana lulu 👌👌👌😘😘😘😘😘
Jamani movie nzuri sana imetulia yaan mmepiga hatua kwa kweri
Jamani naombeni jina LA huu wimbo msanii Gani
Asanteni washiriki wa sarafu nimewapenda nyote
Kama umemuona mzee chilo hajakunywa wine plz like here
Please tunaomba episode ya 2 jamani tamthilia imetulia sanaaa
Hii mziki ya sarafu nani ameimba naipenda sana.
weken eng subtitle. this is the best work ever
Nmefurah Sana👍 Kama mbele tamthilia ikiisha after one hour inapanda you tube
@denisimbogela6860
6 жыл бұрын
Good
@margaretmexa2479
3 жыл бұрын
👌
Mbona Wema vile vipande vyake akuonyeshwa au ndio ivyo vimepishwa Irene Owayo Irene umeumbwa ukaumbika daa c sura c shape MashaaAllah ela wajishusha adhi na tabia zako mmmh
woow iko vzur😍😍👌👌 nmefurahi kumuona lulu mwendelezo plzzzzzzzzzzzzzzzzź
Mashaallah nimeipenda
Nimeipenda hii aise ... mrs dogo jinga we noma...
iko sawa mungu awabrk
Asante kwa kuweka ndefu fanye mpk na huba jamn
asanteni sana wengi hatuna TV tunatumia you tube
Mtuletee muendelezo wengine tupo nchi za nje jamani....tunapenda series za nyumbani🙏 please ....... Maisha magic bongo
I looooove the intro soundtrack... Ndugu na marafiki hawapatani, eti kisa sarafu...
Congratulations washiriki wa movie 🎥
Wow g job guys tunaamini mutatupeya zingine pls
Dah Lulu Wetu........ pole huko ulipo..... najua tht period kwa jail itakujenga zaidi kisanaa...... We miss you sana....... BONGE LA TAMTHILIA
Safi sana tuletee mpk mwish
Tuwekeeni vipengele tutajua tupo kipengele Cha ngapiiii
good job guys Mungu awabariki san kwa kaz nzuriii
asanteni sana move nzur mmmnooooo
wooooooow nimependa jina alotumia lulu
Lulu wetu jmn!! Kazur
Now this is what am talking abt .. Now i can at least show other people my country movies.. Now plz upgrade subtle please. ..ol the best of luck .. Y'all did well
hongereni sana bongo movie weken zote tuone
Jamani asnt sn muwe mnatuwekea hivyo hivyo sisi tupo njee ya nchi mkituwekeya KZread mnakuwa mmetusaidia
@RamazaniMulongeca
6 жыл бұрын
Asiah Mariam Hahaha, unapenda vyabure wakati wenzio wanatumia pesa...KANUNUE
@abtehseen2391
6 жыл бұрын
Ramazani Mulongeca hujui km tunapoangalia kwa KZread tushawalipa tayari vws zinaongezeka KZread inawalipa
@RamazaniMulongeca
6 жыл бұрын
@Ab Tehseen Ununuzi wa CDs nimuhimu kuendeleza kazi za Movies kuzidi views, aujuwi wanalipwa baada viewers wangapi kaka, wala usilinganishe Cash na views Bro..😂😂😂😂😂
@abtehseen2391
6 жыл бұрын
Ramazani Mulongeca HIZO CD tuzinunulie wapi? wakati hatupo bongo wekeni vitu vyote KZread na sisi tupate raha
@hammytototundu9292
6 жыл бұрын
Asiah Mariam kwel kabxa
finally wow nilikua nimengoja sasa sigombani tena instagram
Asanteniiii
Iko poa sana but mnachelewesha mwendelezo wake
Naanza kusoma coment naona iko poa natoa shuklani 😍
😘😘😘😘😘 nzur jmn
wow! good job
Mwendelezo jaman
Hemed suleiman 🔥🔥🔥🔥
Mzuri sn hongereni
Na enjoy sana kutoka italy
Woow naikubali mia mia
Shukran sana moves nzuri sasa kama sisi tulokua burundi tutazipata jee dvd tunaomba muelekezo
iko poa sana
daaaah asanten sanaa iko poa mnooo
Jaman mwendelezo plzzz😢😢
Jmn Asante kwa ihi Mtu tumie tue na watch 🙏🏾🙏🏾
Bonge moja la tamthilia...iko poa
jaman mmetisha😘😘😘😘😘😘
Mmefanya vizuri sana thx 😍😍
ana mapepo 😂😂😂 huyo maua
waooooh tunasubiriii mwendelezo
Daaah bonge la tamthilia msitusahau jaman cc wa youtube plz twaomba mwendelezo
nimependa hii
Dh..... Bonge la move hongeleni Sana'a kwa kaz nnzuri
❤❤❤❤❤❤❤❤
Safi sana
Iko vizuri saan hiyo move tena sana
Iko 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
safi Sana tuwekeeni yote jaman please wapendwa
Niiice
Mwendelez jsm
I miss you lulu
Sec episode please
mmefanya vzr cox mwengin tupo mbl muwe mnatukumbuka na muendlezo
@neemakomba3798
6 жыл бұрын
imekaaa pouaaa
Movie nzuli sana kwalweli👌😘
Kuanzia leo..am a big fan of Idris..anaelewa game..nilishaacha kuwatch bongo movie ila sa ivi naona ishaanza kufufuka
Miss mzee chilo
wow iko vzuri muendelezo tafadhali
Hemedi wangu mgonjwa wa mapenzi
Hewala isay nawapongeseni wote mulio shiriki akiwemo Mzee funguafungua
jamani lulu
Hello, Kwanza hongera sana kwa Cast nzima ya huu Mchongo hapa pamoja na TEAM ya nyuma ya Pazia ambayo imefanikisha hili. Pia nimependa sana SCENE ya Jack na Mama yake pale sebuleni wakati wanawakiana kama mzazi na mwanae ...it was very pleasing to see 2 generation of ACTS kwenye chumba kimoja yaani na wametoka mbali sana mpaka hapa leo wanaweza DELIVER A BELIEVABLE SCENE like that. Big Up to Elizabeth "LULU" Michael & Mama yangu ,nimesahau jina kidogo hapa. na Mungu awahi kumsamehe na ampatie MAISHA RAHISI kule #Jela Namuombea . Naomba muendelee kupandisha hapa na Episodes nyingine zitakazofuta aiseee tuzione hapa kwa sababu kulipia KIFURISHI DSTV siku hizi imekua ni kama #Anasa yaani....Hahahahaha #Magufulication. Mungu azidi kuwabariki. Amen.
jaman lulu wangu
Mwendelezo plz ep 2
Niceeeeeeeeeeeee
🔥 🔥 🔥 🔥
MAMBO MATATU. 1. Huwezi kuwaza mpaka kitu ambacho hujakiona. Umeshaondoka lakini bado unawaza eneo ulilotoka yanayoendelea (Hemedi). 2. Kuna mzee humo ana hair style zaidi ya tatu, si mbaya lakini scene ya kufumaniwa na kufukuzwa na mkewe hair style mbili? though scene zinazoonesha hakuna tofauti kubwa ya muda coz Hemedi still ana suti ileile. 3. Mzee chilo amefeki kunywa wine waziwazi. BONGO MOVIE TUNAWAPENDA, ILA MJITAHIDI MAKOSA MADOGO MADOGO.
@lailatmasoud5019
6 жыл бұрын
Rodgers Mathew Hahahahaaa utafanya tusiekewe eps ya pili
@enockkitomarys4909
5 жыл бұрын
umewakumbusha kitu cha maana sana haiwezekan m2 awaze ki2 ambacho hajakiona bado
Iko sawaaa sanaaa
safi san
amazing
Nzuri sana
Watch sarafu since Congo I'm asking if is there 7episode and So on coz I end it on six I lov u Tanzanian actors vous faites la fierte d'afrique
👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
tupatieni episode 2 pleas
Mwendelezo jamani iyi mivie ni nzuri sana
Nice
Asanteni jamani