OCTOPIZZO ATOA YA MOYONI KUMHUSU KHALIGRAPH JONES/WHY THE TWO DON'T RELATE/JE WANA UGOMVI?

Ойын-сауық

Please watch: "(96) ICE BOY: WEMA SEPETU Alikuwa Wangu/Ataja List/VERA SIDIKA?HUDDAH?VANESSA? "
• ICE BOY Kujiunga WCB/S... -~-
Katika mahojiano ya moja kwa moja na msanii OCTOPIZZO kwenye MAMBO MSETO aliweza kufunguka kuhusu mawasiliano yake na msanii mwenza KHALIGRAPH JONES na kuweka wazi tofauti zao kama wasanii. WATCH YOUR FAVORITE SHOW IN EAST AND CENTRAL AFRICA , #MSETO_EAST_AFRICA NA #MZAZI_WILLY_M_TUVA

Пікірлер: 804

  • @fredgomes8639
    @fredgomes86393 жыл бұрын

    OG nimesikiza interview zake yuko so humble na he doesn't speak anything against octo but nambanane ndio ame hold grudge na OG.

  • @nezzempirenezzempire5982
    @nezzempirenezzempire59824 жыл бұрын

    Octo na OG wanabeaf noma niaje...c wapendane nd move hiphop to the next level

  • @mwakishamw7516
    @mwakishamw75165 жыл бұрын

    OG has had a lot of success as musician,without buying a diaper,without philanthropy work,without show za majuu,i WONDER If he decides to do all that,utaambiwa watu nini??Appreciate even HIS little efforts

  • @robertbaha498

    @robertbaha498

    5 жыл бұрын

    True bro...Khali akianza Ku do hizi vitu Watu wanajichocha nazo sijui itakuaje...hawa Watu Wana live in denial

  • @mbesherejoh4219

    @mbesherejoh4219

    5 жыл бұрын

    Huyu jamaa ni kuma siwahi onaa Skia Octo , khali yuko nakipaji kikubwa mno yani hata ujifanye humkubali huwezi fika level yake ya kuchana, kurap juu ya beat,delivery yake,ya ww huku tz tunakuchukulia kama comedian yani wasanii wanakufananisha na mchekehsaji flani yani ww hua unaongea juu ya beat ila haujui kurap yani hujafika hata nusuya level ya talent alonayo khaligraph ,nachokiona kwako nikuwa unaumia sana na mafaniko ya khaligraph.. Useema et money money pesa ipo ww ulo nayo ama unayolipwa kwenye show na tuseme ni pesa mob??Hiv Diamond anegekuwa anajisifia hiv ingakuwaje mana Per show Diamond paid $80,000 to $100,000 hiv nae angekuwa anajigamba kama huu upuuzi unao ongea hapa ingekuwaje??we inatakiwa ufanya collae na Fid Q akufanye mbaya ndo utapata akili ila kwasasa huna unalojua zaid ya majigambo..Ukipata Muda nenda skiliza ngoma inaitwa Sumu by Fid Q,ama sihitaji marafikia by fid Q ama mwanza mwanza by Fid Q ama august 13 by Fid Q, ama ukiskia paa by Jcb ft Fid Q,ama nenda skiza Chagua Moja by Fid Q ndo utajua kuna watu wanajua kura sio ww unaongea juu ya Beat,,

  • @ashfordnokash

    @ashfordnokash

    5 жыл бұрын

    Si afanye! You can't do much kwa crowd ya majuu when you are trying to sound like an American in every verse. Utachujwa ju ya originality. Imagine unaenda show ya Eminen anajaribu kurap na Sheng'. Puke! Haiwesmek.

  • @MrJasitho

    @MrJasitho

    5 жыл бұрын

    bado hajafika hiyo ligi akihitimu wataogea

  • @PeterMulehi-tc8oe
    @PeterMulehi-tc8oe9 ай бұрын

    Octopizo wacha bangi wewe Respect OG bana is the best rapper in Africa now

  • @hauhitajikunijua3141
    @hauhitajikunijua31415 жыл бұрын

    Unbridled jelousy. You can feel it in his voice. Afrimma ya Khali inamuuma sana. Hata hiyo Grammy, if any Kenyan rapper will win it, it's definitely going to be Khaligraph. Octo na mauwivu zake ataionea kwa viusasa. What as ass!

  • @volkhano

    @volkhano

    3 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/dnuGupSJftbZY84.html

  • @cghmarcb6563
    @cghmarcb65635 жыл бұрын

    "Mii nimzee hatuez think the same na mtu hajui hata diaper ni pesa ngapi" Ima big fan of Khali but 👆👆the above line is a real punch💯

  • @andersonpyaban8042

    @andersonpyaban8042

    4 жыл бұрын

    story ya diaper na usanii inaingiliana wapi sasa

  • @unclefrank298

    @unclefrank298

    4 жыл бұрын

    Btw sahii sasa aongee These are vry diff perspectives

  • @theshadow9169
    @theshadow91695 жыл бұрын

    Respect Octo..tho punguza ego brathe... OG is the real OG...accepting he is big thing isn't being weak

  • @momanyinyatera1492

    @momanyinyatera1492

    5 жыл бұрын

    Og is nowhere near Octo,pizzo de king

  • @purplegbeatshitslab

    @purplegbeatshitslab

    4 жыл бұрын

    sure

  • @abdirizakaden7532

    @abdirizakaden7532

    4 жыл бұрын

    Ushanena Momanyi👊

  • @joeneehans

    @joeneehans

    4 жыл бұрын

    OG ni OG.. OCTO ako chini..

  • @adnanabdulmusa1210

    @adnanabdulmusa1210

    2 жыл бұрын

    OCTO ni mReal mkubali mkatae

  • @victorosong132
    @victorosong1328 ай бұрын

    Artists wa Kenya hawana presence in Africa. That's what builds Naija and Tz they make sure their presence is felt everywhere in Africa by collaborating with other artists.

  • @billyspencer6364
    @billyspencer63645 жыл бұрын

    Appreciate each other's success.Octo has hard feelings...OG ni OG

  • @tonnytabaclassic2186

    @tonnytabaclassic2186

    5 жыл бұрын

    Bado ukasema wachan n octo budaa ni🔥🔥🔥

  • @purplegbeatshitslab

    @purplegbeatshitslab

    4 жыл бұрын

    real talk

  • @trepauwriting7454
    @trepauwriting74545 жыл бұрын

    Og has gat all it takes to be the greatest. Crazy bars, nice sexy body height looks...he is just the best. OG Hoiyieeeeee!

  • @Cecivigmin
    @Cecivigmin5 жыл бұрын

    Octopizo hana heshima.Nitachukua OG OG nimekaa kwa shoulders

  • @raftasxidyofficialrapmasta1751

    @raftasxidyofficialrapmasta1751

    3 жыл бұрын

    Walai

  • @bethmwangi8334
    @bethmwangi83345 жыл бұрын

    Mzazi si unajua kuchimba mtu na huku unajitoa l love your creativity enyewe wewe ni mzazi

  • @georgembugua1565

    @georgembugua1565

    5 жыл бұрын

    Umesema ukweli Beth,mzazi ni mzazi na ni mlezi wa wana

  • @mwasambuerick9576

    @mwasambuerick9576

    5 жыл бұрын

    I don't support that! Why ask such questions when you know they are beefing..

  • @allanlenkaa2970

    @allanlenkaa2970

    5 жыл бұрын

    Si Mimi na wewe tukue wazazi

  • @KEENG_GADEMITT
    @KEENG_GADEMITT5 жыл бұрын

    octo iz so real mpende musipende .... #Gang_#Gang

  • @Lilkafwa
    @Lilkafwa5 жыл бұрын

    King Kaka is real damn true

  • @sharonjuma9394

    @sharonjuma9394

    5 жыл бұрын

    I loooooove kaka

  • @MyNicolas01

    @MyNicolas01

    5 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/oX-bt5OomJeYhKQ.html

  • @kevinlabaru6698

    @kevinlabaru6698

    5 жыл бұрын

    kaka juu pia sana

  • @7sneves

    @7sneves

    4 жыл бұрын

    khaligraph is really talented

  • @bantuvoicemuchaikinuthia2536

    @bantuvoicemuchaikinuthia2536

    3 жыл бұрын

    Wivu tu....😂😂😂all about mimi mimi...

  • @linuskemboi373
    @linuskemboi3735 жыл бұрын

    Hapo kwa Khali, Octo umechoma. Fanyeni Kazi, appreaciating is not depreciating.

  • @shaffocharles6972

    @shaffocharles6972

    5 жыл бұрын

    True

  • @mbesherejoh4219

    @mbesherejoh4219

    5 жыл бұрын

    Huyu jamaa ni kuma siwahi onaa Skia Octo , khali yuko nakipaji kikubwa mno yani hata ujifanye humkubali huwezi fika level yake ya kuchana, kurap juu ya beat,delivery yake,ya ww huku tz tunakuchukulia kama comedian yani wasanii wanakufananisha na mchekehsaji flani yani ww hua unaongea juu ya beat ila haujui kurap yani hujafika hata nusuya level ya talent alonayo khaligraph ,nachokiona kwako nikuwa unaumia sana na mafaniko ya khaligraph.. Useema et money money pesa ipo ww ulo nayo ama unayolipwa kwenye show na tuseme ni pesa mob??Hiv Diamond anegekuwa anajisifia hiv ingakuwaje mana Per show Diamond paid $80,000 to $100,000 hiv nae angekuwa anajigamba kama huu upuuzi unao ongea hapa ingekuwaje??we inatakiwa ufanya collae na Fid Q akufanye mbaya ndo utapata akili ila kwasasa huna unalojua zaid ya majigambo..Ukipata Muda nenda skiliza ngoma inaitwa Sumu by Fid Q,ama sihitaji marafikia by fid Q ama mwanza mwanza by Fid Q ama august 13 by Fid Q, ama ukiskia paa by Jcb ft Fid Q,ama nenda skiza Chagua Moja by Fid Q ndo utajua kuna watu wanajua kura sio ww unaongea juu ya Beat,,

  • @benmwaniki549
    @benmwaniki5495 жыл бұрын

    "Juu ya Ngori" OG all the way.

  • @moureenchapa8886
    @moureenchapa88864 жыл бұрын

    Gang...gang...pizzo de king nd u know it🏃🏃🏃

  • @volkhano

    @volkhano

    3 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/dnuGupSJftbZY84.html

  • @Titus_G
    @Titus_G5 жыл бұрын

    people will call it Pride but I call it REAL TALK 💯💯

  • @purplegbeatshitslab

    @purplegbeatshitslab

    4 жыл бұрын

    sure hommie

  • @mashmaish6627

    @mashmaish6627

    Жыл бұрын

    Kali si mchache na octo aache zake in fact kipipiri octo hajulikani

  • @albertbetty1020
    @albertbetty10204 жыл бұрын

    i do salute diz guy 👌octo you are my best of de best.... #noma n nyie wote watiaji

  • @serafimossi154
    @serafimossi1545 жыл бұрын

    4:00 that the kind of spirit we need in this industry bro

  • @volkhano

    @volkhano

    3 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/dnuGupSJftbZY84.html

  • @JoyceWanjiru-gz1hf

    @JoyceWanjiru-gz1hf

    Жыл бұрын

    If occto is the king na anajiamini kuinua upcoming rappers aende mikeu secondary kuna rapper mkali sana Huko hiyo chuo ampige collobo na akifanya hivo nitamtii

  • @misswamboh9585
    @misswamboh95855 жыл бұрын

    OG all the way na king hapo Octo wanaume hawaekangi grudge na minywele na earings kama dem hakuna swag hapo nkt Alafu nilikubeba ufala siku ulidai Hautambui God kwa ten over ten..buree

  • @marvotv

    @marvotv

    5 жыл бұрын

    Wamboh Penainah gay ass niggah

  • @mbesherejoh4219

    @mbesherejoh4219

    5 жыл бұрын

    Huyu jamaa ni kuma siwahi onaa Skia Octo , khali yuko nakipaji kikubwa mno yani hata ujifanye humkubali huwezi fika level yake ya kuchana, kurap juu ya beat,delivery yake,ya ww huku tz tunakuchukulia kama comedian yani wasanii wanakufananisha na mchekehsaji flani yani ww hua unaongea juu ya beat ila haujui kurap yani hujafika hata nusuya level ya talent alonayo khaligraph ,nachokiona kwako nikuwa unaumia sana na mafaniko ya khaligraph.. Useema et money money pesa ipo ww ulo nayo ama unayolipwa kwenye show na tuseme ni pesa mob??Hiv Diamond anegekuwa anajisifia hiv ingakuwaje mana Per show Diamond paid $80,000 to $100,000 hiv nae angekuwa anajigamba kama huu upuuzi unao ongea hapa ingekuwaje??we inatakiwa ufanya collae na Fid Q akufanye mbaya ndo utapata akili ila kwasasa huna unalojua zaid ya majigambo..Ukipata Muda nenda skiliza ngoma inaitwa Sumu by Fid Q,ama sihitaji marafikia by fid Q ama mwanza mwanza by Fid Q ama august 13 by Fid Q, ama ukiskia paa by Jcb ft Fid Q,ama nenda skiza Chagua Moja by Fid Q ndo utajua kuna watu wanajua kura sio ww unaongea juu ya Beat,,

  • @purplegbeatshitslab

    @purplegbeatshitslab

    4 жыл бұрын

    kweli mamii

  • @mcnyota
    @mcnyota5 жыл бұрын

    Octo ni mshamba tu

  • @joen2545
    @joen25455 жыл бұрын

    OG ni next level 🔥 🔥 🔥

  • @eugineadaki8178
    @eugineadaki81785 жыл бұрын

    haha .. ndula zako tofauti, waresh unakatia tofauti, goro tofauti,,,,,,,,,,,unyaboro mr. OHANGA to the world

  • @24hrstzmoviestrailer4
    @24hrstzmoviestrailer45 жыл бұрын

    We octo bongo tunalijua jina2 we Ni internation gani khali Ana fans wengi east Africa kukuzidi (we Ni model)

  • @vinemshuga814

    @vinemshuga814

    5 жыл бұрын

    Alpiga picha na mzungu akafikiria yeye ni Mr international lol

  • @kevinmwarangu9389

    @kevinmwarangu9389

    5 жыл бұрын

    Kaka kuwa mbole bunguza wazimu kichwani story ya Kenya inakuwashia nini fala hii

  • @felixochieng9882

    @felixochieng9882

    5 жыл бұрын

    We haumtambui

  • @kiariik

    @kiariik

    5 жыл бұрын

    24HRSTZ MOVIES TRAILER 😂😂😂

  • @samutykuntathebantu8402

    @samutykuntathebantu8402

    4 жыл бұрын

    hebu mwambie huyu kuku octo

  • @allanlenkaa2970
    @allanlenkaa29705 жыл бұрын

    punguza ujinga fala sana..OG ni OG...We endelea kutegea trophies halafu utupe

  • @funnyvines5965

    @funnyvines5965

    5 жыл бұрын

    😂😂

  • @shabanbuchu2130
    @shabanbuchu21305 жыл бұрын

    I think people haven't understood him.the guy is positive

  • @kissykennysmatt

    @kissykennysmatt

    5 жыл бұрын

    Very

  • @MyNicolas01

    @MyNicolas01

    5 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/oX-bt5OomJeYhKQ.html

  • @erycjosie1958
    @erycjosie19585 жыл бұрын

    me ni fan wa octo namba moja lakini punguza maringo bruh.... accepting that khaligraph is good in the game doesnt make you look weak... punguza Ego

  • @eugineangira2670

    @eugineangira2670

    5 жыл бұрын

    Eryc umebonga poa sana huyo boy arekebike kwa sana bure OG atabaki kuwa OG tu

  • @kevinlabaru6698

    @kevinlabaru6698

    5 жыл бұрын

    khaligf juu tuu sana buda

  • @leemuchiri5675

    @leemuchiri5675

    5 жыл бұрын

    Aaaiii octo ananena Ego inabidi wakati mwingine He's the real OG apa Si kama wale wanajichocha bure

  • @smokeytakashi7164

    @smokeytakashi7164

    5 жыл бұрын

    Asee asee eeeeh

  • @oscarfrankline8435

    @oscarfrankline8435

    5 жыл бұрын

    We si fun bazi😂😂😂

  • @wamu7878
    @wamu78785 жыл бұрын

    Kwa kutambua kaka, big up to him

  • @mcmosting238
    @mcmosting2385 жыл бұрын

    Honestly Khaligraph Jones ako top . He is the real OG😍😍Octo hapo umejiangusha, just appreciate a fellow artist and work together

  • @ayererlabanywalite1318

    @ayererlabanywalite1318

    5 жыл бұрын

    Very true

  • @Josethekenyan
    @Josethekenyan5 жыл бұрын

    pride will let this man down. kubali kama mtu ako poa

  • @hamisibenard5659
    @hamisibenard56595 жыл бұрын

    Huyu tulimuacha uko kwa #ngori. Tunapenda rap na sio watu huongea kwa ngoma. Kizungu ni mingi na mizishi ni ile ile#RespecttheOg's#

  • @shemmurono35

    @shemmurono35

    5 жыл бұрын

    0ct0 ni mzzii

  • @kiariik

    @kiariik

    5 жыл бұрын

    Shem Murono octo ni mzii kwa modeling

  • @harmoniquekapoor4665
    @harmoniquekapoor46654 жыл бұрын

    Ao sio bro octopizzo 💪💪💪

  • @EyazMusic
    @EyazMusic5 жыл бұрын

    Watch this space soon nakam kua International pia.

  • @marvotv

    @marvotv

    5 жыл бұрын

    Eyaz Music that’s the spirit bro

  • @EyazMusic

    @EyazMusic

    5 жыл бұрын

    @@marvotv Thanks bro

  • @nawazomuzik

    @nawazomuzik

    5 жыл бұрын

    Eyaz Music Destiny is yours 🙏

  • @EyazMusic

    @EyazMusic

    5 жыл бұрын

    @@nawazomuzik Thanks bro. God bless our destiny.

  • @djjoeraph6719
    @djjoeraph67195 жыл бұрын

    Yeah shule mob zijengwe apate mafuns wengi. Most of your funs ni tutoto twa highschool. OG all the way till the end👌👌👌👌👌

  • @simonlameck6359
    @simonlameck63595 жыл бұрын

    Mara ooh na fans 😅 mara ooh Grammy, pizzo learn to take an L, bruh it won't hurt.

  • @kelvinasheyma2922

    @kelvinasheyma2922

    5 жыл бұрын

    simon lameck what L ,if nigga dont fucks with Khali its just it that ain't no L

  • @purplegbeatshitslab

    @purplegbeatshitslab

    4 жыл бұрын

    @@kelvinasheyma2922 sure

  • @benardodhiambo5307
    @benardodhiambo53075 жыл бұрын

    Octopizo know from me that being with kids doesn't make you more superior than Oyole... style up

  • @martinrahj8526

    @martinrahj8526

    5 жыл бұрын

    Kabisaa....instead of kusupport wengine bado wanajiekaaa juuu hio ni kugonganishaa watuu..and thats why wasafii guyz wakikujaa uku tutajaaa show yao yu

  • @lindahmweche1772
    @lindahmweche17725 жыл бұрын

    Aki uyumsee ati cheki picha IG.. . Pizzoh de king n u know it..☘

  • @jucyflaps
    @jucyflaps5 жыл бұрын

    Octo hana maringo he commented at my ig dancing to my song

  • @GB-LIVE
    @GB-LIVE5 жыл бұрын

    Octo manze umentesa since rainaa big up

  • @BigNiqo
    @BigNiqo5 жыл бұрын

    Octo ako na 5 albums respect mazee✊🏾 1. Chocolate City 2. LDPC 3. Refugeenius 4. Next Year 5. Working On His 5th 👏🏾 Octo ako ligi yake period!!!!

  • @realone1104

    @realone1104

    5 жыл бұрын

    Sijui hata song moja ya octo.na mnaongelea album hapa?niko nyuma kama rasa

  • @Joekiplangat

    @Joekiplangat

    5 жыл бұрын

    😂😂😂but they ain't waves lol! doesn't make sense.. he should pull up his socks period

  • @sugarmummiesnairobi140

    @sugarmummiesnairobi140

    5 жыл бұрын

    Did you say 5 albums 😅😅😅😅 i know only one song at *Noma Ni* tf😅

  • @RadiantTunes

    @RadiantTunes

    5 жыл бұрын

    Ngani...upuuus

  • @BigNiqo

    @BigNiqo

    5 жыл бұрын

    @@RadiantTunes si nganii ni "gani" 🛃🛃🛃 si u google

  • @hezzbeatz
    @hezzbeatz5 жыл бұрын

    Truth ni octo ako na wivu

  • @dailydose5392
    @dailydose53925 жыл бұрын

    Khaligraph is the O.G

  • @officialmrtigerbudguy171
    @officialmrtigerbudguy1714 жыл бұрын

    Mimi nimemtambua #khaligraph kwanza badae ndio nakajua na Octopizo yupo , ila khaligraph ndio OG nakubali kazi zake pia yupo mtu wa wawatu sana sisi watanzania tunapenda nyimbo zake kila collabo akipewa huku anaumiza mbaya sana collabo number one Country boy ft khaligrahp 2. Rayvanny ft khaligraph 3 Harmoniz ft khaligraph 4 young killar ft khaligraph 5 chin bize ft khaligraph 6 Rostam ft khaligraph 7 Ommy dimpoz remix kata ft khaligraph na Producer mkali Kenya ni Magicx Enga anafanya poa sana msanii wa kwanza kuwa na mafansi kibao Tz ni Khaligraph number too ni Willy poul number 3 ni Otile brown number 4 ni Masauti Kenyan boy number 5 saut solo Octo atumjui huku aje apige show watakuja watu wachache sana , na khaligraph anaweza piga show pekeake akaza uwanja pia kupewa sapoti na Alikiba wala Daimond

  • @PeterMulehi-tc8oe

    @PeterMulehi-tc8oe

    9 ай бұрын

    Kweli kabisa mwambie Octopizo awache Bangi nyingi ndio zinamchanganya Ajui tofauti ya usiku na Asubuhi😂😂

  • @horaceiceboy7054
    @horaceiceboy70543 жыл бұрын

    The only problem is when you compare two different personalities.

  • @volkhano

    @volkhano

    3 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/dnuGupSJftbZY84.html

  • @joeygatimu4883
    @joeygatimu48835 жыл бұрын

    This why we'll never reach where Nigerians are,those guys embrace each other for real!

  • @mxqdee
    @mxqdee5 жыл бұрын

    Y'all talking about Octopizzo's pride, kumbukeni Khaligraph insulted Octopizzo's wife and child, you can't drag women to men's fight

  • @shaffocharles6972

    @shaffocharles6972

    5 жыл бұрын

    Straight beef....rn khali passed a vote for truce the nigga is still fucked up

  • @andrewndambuki2207

    @andrewndambuki2207

    5 жыл бұрын

    That's the nature of HipHop ..

  • @johnmwania5043

    @johnmwania5043

    5 жыл бұрын

    All i know is that there was only one man in that fight and it's khaligraph.

  • @babzillah8443

    @babzillah8443

    5 жыл бұрын

    This is hiphop buda ur whole clan is part of the beef if it has to be ....Rudi ukaskie Wasafi uko ivyo!

  • @mxqdee

    @mxqdee

    5 жыл бұрын

    @@babzillah8443 ntaskiza wasafi tu bora Octo is on top of Khaligraph 😂✊

  • @jeffiannderi8065
    @jeffiannderi80655 жыл бұрын

    Highlights af🙆‍♂️bars on bars🙌

  • @robertsimba5081
    @robertsimba50815 жыл бұрын

    Octo Ni kiburi mob kawaida ya watu wa hiyo side wanatoka....bure Nyash the king!!!

  • @robertsimba5081

    @robertsimba5081

    5 жыл бұрын

    @@blackmanisking4584 fuck urself mkundu

  • @mycomayeku7843
    @mycomayeku78435 жыл бұрын

    Kwenda uko octo... appreciate wenzako

  • @kentjoz5337
    @kentjoz53375 жыл бұрын

    This is the nude truth as long as octo maintains this, then his hate for kaligraph will never cease because OG will fly higher into the skies while he watches and chocks from the smoke from his mighty rocket

  • @briandaudi3983
    @briandaudi39835 жыл бұрын

    The fact is that the industry is huge to accommodate these two guys ,kwa hio Octo aache wivu

  • @captainwebb3377
    @captainwebb33775 жыл бұрын

    OG 🔥🔥 🔥🔥 🔥

  • @charlestheceo8842
    @charlestheceo88424 жыл бұрын

    Respect the og @khaligraphjones... Utajua n mazishi😂😂

  • @mwasambuerick9576
    @mwasambuerick95765 жыл бұрын

    With this kind of silly interview questions, the beef btn these two artists will never end.. Dont blame octo blame the presenter 4 asking such questions

  • @thagtv9359

    @thagtv9359

    5 жыл бұрын

    Trueeeee

  • @deocleciousotieno9210

    @deocleciousotieno9210

    4 жыл бұрын

    mwasambu erick true

  • @joeneehans

    @joeneehans

    4 жыл бұрын

    Nooooo. acha khali aulizwe same questions usikie vile anajibu, with respect no attitude, sio kama hii ng'ombe apa, nkt..

  • @buganyatherealer
    @buganyatherealer5 жыл бұрын

    Legend🔥🔥

  • @panyachulo254
    @panyachulo2542 жыл бұрын

    ata mi hiphop to the world

  • @wiliamkiarie8329
    @wiliamkiarie83295 жыл бұрын

    😂😂He compares music to instagram pictures. OG ni OG!!

  • @tonygordon2162

    @tonygordon2162

    2 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂Kabisa

  • @scarmsaniiaggrey1646
    @scarmsaniiaggrey16465 жыл бұрын

    One thing khaligraph may be going against all this "rappers" ni juu anasupport upcoming wengi, so they feel threatened!

  • @bobramaphyno4610
    @bobramaphyno46105 жыл бұрын

    pizzo the king

  • @therose2569
    @therose25695 жыл бұрын

    This guy Ana kiburi sana...mscheeeeeeew

  • @Agembo
    @Agembo5 жыл бұрын

    Akili finyu

  • @janesabore2965
    @janesabore29655 жыл бұрын

    Pizzo de king and you know it

  • @clementodina3039
    @clementodina30395 жыл бұрын

    Shots fired🔥🔥😂😂

  • @user-dj4pr1dx2g
    @user-dj4pr1dx2g5 жыл бұрын

    we love the OG brah

  • @user-le7du6it9n
    @user-le7du6it9n5 жыл бұрын

    Apo chacha Octo namba 8 baiby 😎 Mafans ndio trophy kwako Nakupenda bure owada....#oliel#babanani

  • @horizonfamily4311
    @horizonfamily43115 жыл бұрын

    this guy. he is real to himself unlike others who pretend to like OG but they talk shit behind him

  • @weldonkoech7554
    @weldonkoech75545 жыл бұрын

    Octo kwanza anajidai kwenda uko pia OG ako na fans

  • @volkhano

    @volkhano

    3 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/dnuGupSJftbZY84.html

  • @jeffkenya571
    @jeffkenya5712 жыл бұрын

    The OG mast respected bro acha wivu

  • @ndush100
    @ndush1005 жыл бұрын

    Hauwezani na OG baba theirs weeeee....maringo peleka ukoooo!

  • @7sneves
    @7sneves4 жыл бұрын

    Biggie na Pac wako na ngoma pamoja Octo.. It's something you should know

  • @JEEPMASKOAFRICA
    @JEEPMASKOAFRICA5 жыл бұрын

    This is the problem of most Artist, they don't appreciate what their fellow members do

  • @RoggyRe
    @RoggyRe5 жыл бұрын

    Octo unadunga mtu maneno bana,cheza chini #i_support_local_talent keep it International

  • @erickatola3719
    @erickatola37195 жыл бұрын

    Octo,,,mie n mkayole but nakutambua mob,,,unatambua fans

  • @lincreign5840
    @lincreign58404 жыл бұрын

    Remember this guy come to sydney and people did'nt show up myself had to search about his songs because i really don't know him but if ni OG anakam mazishi ni ile ile

  • @RemmySinns

    @RemmySinns

    4 жыл бұрын

    Jifunze English kwanza...your grammer is irritating 😐😐😐

  • @lincreign5840

    @lincreign5840

    4 жыл бұрын

    @@RemmySinns you really think so? you piece of shit, why don't you and I have little battle of English and see who knows it better. Am not here to entertain some m**f with my grammar come on bro it's almost 2020

  • @alicekucheve322
    @alicekucheve3226 ай бұрын

    Si amesema 'mafans' akiambiwa khali ako na mafaans? Ati 'ajibambe'😂😂😂WIVUUU mi mbaya kuliko uchawi

  • @ramadhanabdul624
    @ramadhanabdul6245 жыл бұрын

    Octo is full of Kiburi Hata Kibra This day hapana tambulika @Linus kemboi you are write....

  • @patrickmwangimuriithi4446
    @patrickmwangimuriithi44465 жыл бұрын

    Papa Jones is a level above everyone else. Octo should take comfort into that. Papa Jones is better than everyone whose better than Octo

  • @vincentwambuambindyo4610
    @vincentwambuambindyo46105 жыл бұрын

    wacha marigo Octo ""noma ni"" uko na marigo utuoneshe ur okey kube walia hahaha broh am ur fan til i was young bt try & change pride can't take u anyware bt humble even to most High God Jesus Christ is good ju ya hii marigo chuga uuishe ukidhani uko majuu OG si joke ni moto sana OG forever brrrr mob acha are u young kid aaa Khali jibu hii

  • @PeterMulehi-tc8oe
    @PeterMulehi-tc8oe9 ай бұрын

    Jelous iyo kwa Octopizooo awache iyo Ugomvi bana sai yeye bado ni Mtoto kwa OG for real Bangi ndio yamuharibu kichwa hadi Awezi

  • @tobiasogallo9862
    @tobiasogallo98624 жыл бұрын

    Octo ni fala sana....Khali remains the KING

  • @geofreyj.1986
    @geofreyj.19863 жыл бұрын

    Tanzania 🇹🇿hatukujui tunamjua KHALIGRAPH

  • @diamantdm1150
    @diamantdm11505 жыл бұрын

    unaeza sema nini kuusu kaligraphejones??? mbona mi sikufaham ila baba yao namfamu...... unakoseya brthr uyo ni baba yaho kama unana gere.......

  • @rockiejoe
    @rockiejoe5 жыл бұрын

    He always hit hard

  • @benjaminmuteti5651
    @benjaminmuteti56515 жыл бұрын

    Octo anabonga some truth ni vile khalis wako too proud to accept

  • @brianstelix8982
    @brianstelix89825 жыл бұрын

    Og thumbs up. Octo achakuchoma coz unaibonga too personal. Though nawapenda wote.

  • @emceejangol5395
    @emceejangol53955 жыл бұрын

    Huyu anajichanganya sana

  • @leemuchiri5675
    @leemuchiri56755 жыл бұрын

    Wah the King ashanena #octopizzodoubleGG

  • @pgachoka3403
    @pgachoka34035 жыл бұрын

    Pizzo the king and you know it🤴

  • @jamesmacharia1263

    @jamesmacharia1263

    5 жыл бұрын

    Straight up! 🔥🔥🔥 #word

  • @benbella3073
    @benbella30735 жыл бұрын

    Hehe, who is Octo?? October?? The pride in this guy will continue crushing him day by day. And by the way, comparison ya Octo na Khali hukujia wapi? Ni kama kucompare mtu wa kuvuta Cocaine na mtu wa kuvuta Gum bana. Wako tu ligi tofauti. Khali all the way up...

  • @chaudryramos7397
    @chaudryramos73975 жыл бұрын

    Tupac na Biggie washafanya Collabo inaitwa Running to live

  • @MeastrasElKachelino

    @MeastrasElKachelino

    5 жыл бұрын

    They also did God bless the dead

  • @andrewndambuki2207
    @andrewndambuki22075 жыл бұрын

    Octo give respect where it's due. Khali is your idol.

  • @lawrencegeorge3036
    @lawrencegeorge30364 жыл бұрын

    Octopizo interview are the best

  • @bonnysureolkokolaboy4342
    @bonnysureolkokolaboy43425 жыл бұрын

    Huyu jamaa anajiskia sana Namuambia mziki sio hivo... Natoka Tz namuelewa sana Khaligraph

  • @lookbabes8710
    @lookbabes87102 жыл бұрын

    Octopizo ulichapa🤣🤣🤣🤣🤣. OG ako juu

  • @leopoldmwesa6968
    @leopoldmwesa69685 жыл бұрын

    Mupendane bhana achaga hizo

  • @josephosiel5613
    @josephosiel5613 Жыл бұрын

    OCTOPIZZO👋🔥🔥🔥🔥🔥💯

  • @kikijames4576
    @kikijames45765 жыл бұрын

    Huyu octo... Ni maringo na ufala mingi si angoje si mafans tumtambue ako na wivu kwa king khali..

  • @timothyotipa7134

    @timothyotipa7134

    5 жыл бұрын

    kiki james sasa btn octo na khali nani ako na maringo?

  • @cleophasonyango7901

    @cleophasonyango7901

    5 жыл бұрын

    haujui unaongea nini

  • @kikijames4576

    @kikijames4576

    5 жыл бұрын

    @@cleophasonyango7901 that truee be told

  • @art.by.vill3

    @art.by.vill3

    5 жыл бұрын

    Octo hana maringo.....ako na wivu

  • @briankipkirui3045
    @briankipkirui30453 жыл бұрын

    Kwani ni lazima mu compare octopizzo na khali..... nkt look at the music content and choose whos the best period...... But for me natambua octo 💯💯💯

  • @sallybalaka1837
    @sallybalaka18375 жыл бұрын

    Nice..

Келесі