NYUMBANI MWA BWANA
Музыка
Kwaya ya Moyo Mtakatifu wa Yesu, Kutoka Parokia ya Moyo Mtakatifu wa Yesu - Nangwa, Jimbo Katoliki la Mbulu. Wanakukaribisha kusikiliza na kutazama wimbo huu uitwao Nyumbani Mwa Bwana. Wimbo huu ni Utunzi wake Ray Ufunguo na Umerekodiwa katika studio za RAJO Productions.
'Nalifurahi waliponiambia na twende nyumbani mwa Bwana'
Kinanda Kimechezwa naye Gabriel Clemece Mkude.
#rayufunguo #rajoproductions
Пікірлер: 470
Please support: www.patreon.com/user?u=77044884
@joaquinaaquili8605
Жыл бұрын
joaquina
@tobiasongweni2029
Жыл бұрын
Kazi safi
@TheHolyFaceofJesus
6 ай бұрын
Hello @rajopro, do you perform for private functions? Kindly let me know how you can be reached. Thank you
Kwa mara nyingine tumeandaliwa chakula kitamu, nasi tuko tayari kukipokea.😊Hongereni sana wanakwaya wa moyo mtakatifu wa Yesu kwa kazi hii extraordinary.👏👏Keep bringing us this good work RAJO Productions ili mioyo yetu iendelee kupata tiba. Mungu akupe maisha marefu uendelee na kazi hii nzuri maana tunajifunza mengi sana kutoka kwa kazi unazozifanya.🙏🙏🙏
@rajopro
2 жыл бұрын
Asante sana Anastacia.. Ubarikiwe sana
@petermonster1900
Жыл бұрын
Samahan naomba copy ya huo wimbo nimeupenda jaman,Kaz nzur kwel kwel RAJO Production's
@pascalirasubijemituya4817
Жыл бұрын
Copy wa huu Wimbo jamani
@elizabethsule3504
Жыл бұрын
Mungu awatie nguv muendelee kutuletea vitu vizur kama hivi
@gladysbiwott171
Жыл бұрын
PL8
Hongera nyingi kwa kwaya na production team kwa ujumla, ni zamu ya jimbo la Mbulu sasa🔥🔥🔥
@dannymayumba7218
2 жыл бұрын
Tunawashukuru ndugu zetu katika utume wa uimbaji,nanyi Mungu awabariki.
Mmetisha sana nimewakubali,kama umewakubali gonga 100
Kwakweli inapendeza na imetulia tafakari nzito unapoelekea nyumba ya Mwenyezi Mungu(Kanisani) tumejiandaaje na timiliko is furaha yetu sote. Hongera Ray matukio yapo vizuri.
@rajopro
2 жыл бұрын
Tunakuombea uzidi kubarikiwa na nyimbo zetu. Asante sana Rosemary
Rajo mfano wa Kuigwa.. anauheshimisha muziki wetu wa Kiroma! 🙏
Kweli tunapaswa kufurahia tunapo enda nyumbani mwa Bwana. Najivunia kuwa mkatoliki. Wimbo mtamu uliopangwa ukapangika vyema. Mbarikiwe waimbaji
Hongereni sana jamani Mungu awabariki sana Nasisi tuko njiani karibuni Bashnet Kwa jumbilei ya miaka 50
@josephinemalley2857
2 жыл бұрын
Asante I viwawa Bashnet karibuni Nangwa
Wimbo huu unasisimua kweli,Hongereni Mungu awabariki
No day passes by without me listening to this beautiful song. I play it in my car until i get to my destination. God bless your voices dear ones.
Hongeni Sana mungu azidi kuwatia nguvu mwendelee na moyo huo huo,moyo mt wa yesu ❤️❤️❤️
Hongereni sana wana nangwa na Rajo production kwa kazi nzuri hakika sifa na utukufu nikwake Mungu👏👏👏😯
Rajo ni koboko Yao,Rajo can't disappoint,hongereni sana🔥🔥
@rajopro
2 жыл бұрын
Be blessed Tonny
Angelic voices, great production. Kweli na twende nyumbani mwa Bwana. A great loop for whole day listening.
Utamu uko hapa jamani!Hongereni Kwa wimbo mtamu kiasi hiki, Mungu awabariki
May the almighty God azidi kuwabariki pamoja na kipaji chenu ,,,i lyk dhat❤❤❤❤,,y
Beautiful, it's the Alto for me.
Najivunia kuwa mkatoliki aiseee
Hii n kali. Mmeamua kuchukua uniform ya primary. This is just amazing.
@aminielelisha9685
Жыл бұрын
Jamani nimependa mungu awabariki kwa Nazi nzuri
@agnesssaimon6209
Жыл бұрын
Naomba mawasiliano nao pleas nimependa
Kazi safi... the composition is tops, arrangement is quality and the message is inspiring. Thank you.
Wow what a wonderful song ...proud to be a catholic lam uplifted 👏👏🙏🙏
Really amazing... Keep it up guys and God bless you abundantly.
Can't get enough of it 🔥 the vocals 😘😘👌🏾💯it's the alto for me 😌 I love it ❤️
This is really blessing a gospel song. Amen 🙏🙏🙏
I have listened and myself composed songs, but this one, is top notch and is almost to perfection! including the dancing..I listened it the whole day....I really love the Alto>>>>Thanks for great work and be blessed
@rajopro
2 жыл бұрын
Thank you Paul. Be blessed
Great piece mungu awazidishie sauti safi
Wanakwaya Hongereni sana kwa sare zenu. Safi sanaa.👏
@rajopro
2 жыл бұрын
Asante sana Rosemary
I'm enjoying this. Rajo Production nawapenda sana congrats 👌👌👌
Hongereni ❤🎉sana wanakwaya kwa uinjilishajiiii mzuri kweli twendeni nyumbani mwa bwana nimeguswa sana na huuu wimbo
Wow! This is so beautiful
Hongereni sana kazi nzuri sana, Mungu awabariki
Congratulations! Wimbo tamu kweli kweli ningependa nota zake tafadhali
Waoooh kazi nzuri ujumbe mzuri, hakika Mungu azidi kuwabariki sanaaaa
Kazi nzuri sana mungu awabariki wana jimbo la mbulu
Nafurayi moyoni mwangu kwa kazi nzuri aksanti
wow so nyc. though I don't understand the language my soul is uplifted. Thank you Proudly Catholic
Itoshe kusema nimebarikiwa sana na wimbo ni mzuri
It awesome!!! God bless you 🙏🙏🙏 I
Kaka wewe uishi tu kwakweli mpaka pale ntakapo record nawewe you are always the best for me ooh you made it again 🙏🙏💓💓💓💗💖💖
@rajopro
2 жыл бұрын
Asante sana Epifania. Ubarikiwe sana
Hakika sauti zote nne zinasikika vizuri Sana. Madhari ya kipekee yakionyesha kazi nzuri ya uimbaji wa MUNGU, video mwaaa, na Organist umetumia kipaji chako vizuri Sana, Bila kumsahau mtunzi kwa kutunga wimbo mzuri wa kututafakarisha. Mdumu ktk utume, Hongereni sanaaaa🙏🙏🤔
watching from Washington DC, good job.
@rajopro
2 жыл бұрын
Thank you Dennis
wimbo mtamu, saut nzur, video high quality Mungu awatunuku Baraka & Neema mpate Rehema Milele 🙏🙏
@rajopro
2 жыл бұрын
Asante sana Daniel
Hakika Natwende Nyumbanu mwa Bwana 🙏
Tamu sana kabisa. Na kuwa mumeivalia uniform nzuri. Mubarikiwe wapendwa.
Truly beautiful. Thank you for blessing me. May God bless your Ministry.
Nice song have like it,,keep up
❣️🥰😩❤️❤️❤️❤️waliponiambia na twende nyumbani mwa bwana
hongereni hongereni tena hongereni, yaani muziki umepambwa, umekolezwa mibaraka tele,,, Ray Ufunguo huchoki kutufungulia mibaraka
@rajopro
2 жыл бұрын
Ubarikiwe saba Pius
Hongereni sana wanakwaya very songs my friend
Nalifurahi waliponiambia na twende nyumbani mwa bwana 🙏🙏🙏🙏🙌🙌🙌💗
Waaaooo this is so amazing 🔥❤️🔥❤️🔥❤️❤️ Brother God bless you.🙏🙏
Hongeren xna jmn Kwa utume mzur mung awbarki jmn
Quality Art # Kazi mzuri Rajo production √Apple studio Nangwa
@rajopro
2 жыл бұрын
Shukrani sana Apple studio Nangwa
Baraka tele kwa uimbaji mzuri
Sauti ya pili 🔥🔥
Twende Nyumbani mwa Bwana👏🌟🌟👏
Quality of video amaizing!Angelic voices!Dressing code highest creativity and awaresome!Location just extraordinary! Nature of the song and message wonderful! Rajo production!The only company that challenges itself but takes time of external challenger to strive! Glory to God and keep it up brother.
@rajopro
2 жыл бұрын
Thank you Brother Malalius. May God bless you
The song is wow and the creativity is on a high level...the video is lit🔥.clear facial expressions everyone is smiling...hakika kwa Bwana kuna furaha na lazima tabasamu tukienda nyumbani Mwake🥰👍
2024 nawapenda ❤❤❤wote mnaotazama
@rajopro
6 ай бұрын
Asante sana. Ubarikiwe
🔥 🔥 🔥 🔥 kali sana💯
@rajopro
2 жыл бұрын
Barikiwa sana
Kazi nzuri sana Mungu azidi kuwabariki katika utume wenu
Great work , great creativity, great music all time Rajo productions
@rajopro
2 жыл бұрын
Thank you Steven
Rajo productions on another level, kazi safi,i love your work,,, blessed voices, hongera kutoka Kenya💯💯🔥🔥🔥🔥🔥💯❤️❤️❤️❤️
@rajopro
2 жыл бұрын
Thank you so much Loraine. God Bless you
I first heard this song at St Patrick's Thika. Wimbo mtamu wa kuingia. Asanteni na hongereni sana kwa utume huu.
Kazi safi mkuu ..moves ,singing 🔥 🔥 Endelea vivo hivo .
@rajopro
2 жыл бұрын
Thank you friend. Ubarikiwe
Aiseee jaman Mungu awazidishie baraka na nguvu katika kazi yenu ya kulitangaza injili!Wimbo mzuri sana mubarikiwe sana na bwana💪
@rajopro
2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana Afrazia
Ahsante kwa wimbo mzur by nyumban mwa bwana
nawapenda sana.blessed
Wow. Amazing. Wimbo mtamu sana, Umetendewa haki wimbo huu
@rajopro
2 жыл бұрын
Shukrani sana Felister
Can't get enough of this song. Beautiful
Wow! nice song
Wimbo mzuri sana na ujumbe mzuri hongereni sana wote mlioshiriki Mungu awabariki na kuwajalia kufika nyumbani kwake.
Wow! Congratulations 👏👏👏 this is another wonder 💞💞💞. ....of composition. Beautiful 🥰
@rajopro
2 жыл бұрын
Thank you so much Terry. God bless you
Nimebarikiwa Sana, wimbo mtamu 🙏
Rojo mfano wa kuigwa,pamoja sana,mungu awazidishie kipaji hicho
Sauti ya moyo asee, mungu awabariki saana❤❤
Wow congratulations 🎉🎉🎉🎉 just wholesomely Angelical
Blessings guys, the voices have stolen my attention.
Yani nimesikiliza Zaid Zaid nikajikuta nauimba kama mm ndo mtunzi vile ,kazi nzur wimbo mtamu Mungu 🙏 awabariki wote mlio husika kufanikisha kazi hii 👆 mbarikiwe San.
@rajopro
2 жыл бұрын
Asante sana Devotha. Ubarikiwe sana
Nimefurahi sana kuona kwaya ya nyumbani wakiimba wimbo mzuri sana na kuona mandari ya nyumbani pia nimefurahi sana...Mama Aviti nimemtambua kabisa baada ya miaka mingi.. Hongereni sana na Mungu awabariki nyote...
You never disappoint, congratulations 👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼
Hakika nalifurahi good voice may heaven rejoice 👏👏👏
Sauti ya tatu mmetsha kinomaaaaa hongera
I've watched this song more than 10 times😅I looooveee it. Kwanza the harmony. Alto 🔥🔥🔥
Yaani we jamaaaa barikiwa mno kwa ubunifu........ Hongereni Sana team yote kwa kufanikiwa.....
@rajopro
2 жыл бұрын
Mungu akubariki sana
Waoooow wimbo mzuri hakika twendeni nyumbani mwa bwana hingereni sana wanakwaya wa Nagwa
Hongeren Sana Wana Moyo mt, wa Yesu mpeni sifa yeye Mungu aliye na Utukufu milele Yote
Mungu azidi kuwabariki🙏
🔥🔥🔥🔥🔥💯💯💥✨💯lacking words
😂wimbo mtamu kweli I like it
Ray ufunguo🎉this splendid...the altos 😍
Zaburi 122:1, hakika mmetuinjlisha vema, mzidi kubarikiwa taifa la Mungu.
@rajopro
2 жыл бұрын
Uzidi kubarikiwa Alex
Mung awazidishie pote mlpo pungukiwa ahsante ❤❤❤❤❤❤ nawapemda sana amen
Hongereni wanakwaya wenzangu kwa Nyimbo tamu tamu baraka tele kutoka kwa mwenyezi mungu zikae nanyi daima milele.
Damn am in love with this awesome work
Always on Top 💯 Great song! I'm in love with everything ❤️💖
@rajopro
2 жыл бұрын
Thank you lelei
@annapeter5976
2 жыл бұрын
Jaman kumikia mungu raha milele hongeren
Hongera sana wanakwaya wenzangu mfanyieni bwana kasi ungali hai na nguvu
Naitwa Isackangilundu nimezipenda nyimbo zenu karibia zote naomba mzidikunitumia mtandaoni Mungu awabariki sana.
What a song Nyumbani mwa Bwana quality @ another level.
@rajopro
2 жыл бұрын
May God bless you
Hongereni sana wanakwaya wa parokia ya moyo mtakatifu Nangwa. Nimeipenda sana kazi yenu Mungu awatangulie daima