Nyimbo za Kwaresma Mix | Sauti Tamu Melodies | Catholic Lent Songs Compilation
Музыка
00:00 Amin Amin Nawaambia
06:22 Kuteswa Kwake Bwana
11:38 Uniondolee Dhambi
16:32 Yesu Akalia kwa Sauti Kuu
22:38 Pasipo Makosa
25:11 Bwana Kama Wewe ungehesabu Maovu yetu
29:59. Kwa Nini wasimama mbali
Nyimbo zinazopendwa za Kanisa Katoliki, kipindi cha kwaresma, Jumapili ya matawi (Palm Sunday) na Juma Kuu (Holy week)
Good Friday Catholic songs
Пікірлер: 392
Hongereni saana sana kwa nyimbo nzuri sana zenye sauti nzuri mno Mungu awabariki sana.😃😃😃🙏🙏🙏
Asnt sna mungu awabariki kweli yesu
Mungu awabariki nyimbo nzuri za kwaresima
@SautiTamu
21 күн бұрын
Amina
I'm blessed 🙏
Asante sana kwa nyimbo murua
Ole mtu yule amsalitie bwana ingekuwa heli asinge lizariwa🙏🙏🙏🙏🙏 ahsante sana kwawimbo Maui🙏🙏🙏👏🙌👌
@SautiTamu
Жыл бұрын
Shukrani sana
Mwenyezi Mungu amubariki sana kwa sauti mzuri
Asanteni kwa nyimbo na sauti nzuri
Mko vzr Jaman mbarikiwe sn
Hongereni Mungu awasaidie
8:33 congratulations GOD bless you
Nyimbo znabariki sna mungu azidi kuwajaza baraka tele💪💪🙏🙏🙏🙏🙏
@SautiTamu
2 жыл бұрын
Amina. Shukrani Rose na ubarikiwe pia
Mungu abakumbuke kwa yote asante asifiwe mokonzi wangu.
@SautiTamu
7 ай бұрын
Amina
Perfect way to start Lent...2023...Blessed Lent all faithful.
@SautiTamu
Жыл бұрын
Thank you Paul
Nyimbo zenu ni tamu sana mungu awabaliki sana
@SautiTamu
Жыл бұрын
Amina
Amini nawaambieni kesheni mkiomba ❤❤❤
Hii kwaya ikiimba nasikia nikama Niko mbinguni mji wa baba mji wenye Raha🙏🙏
@SautiTamu
2 жыл бұрын
Wooow, shukrani sana Jane, God bless you
Nazihitaji hizo nyimbo ni nzuri nielekezeni
Congratulations hizi nyimbo zenu zinanibariki ,,sauti tamu melodies, sasa tuko wakati was kwaresma
@SautiTamu
Жыл бұрын
🙏🏻🙏🏻🙏🏻asante sana Kinuthia
Wow awesome..am blessed..
Nyimbo tamu ..sauti nzuri
Mungu awabariki
Mungu wetu apewe sifa kwa hizi sauti tamu. Mbinguni kutakuwa ni kuimba tu.🙏❤❤❤
Go go go...the sky is your lowest limit. Be blessed beyond measure.
Napenda ,, I'm being blessed by this beautiful voices 💖 today being on a good Friday
@SautiTamu
3 ай бұрын
Thank you
I really miss church 🎉🎉😊 the song is really touching 🤩
Sweet melody be blessed sana
Good work Guys
Sauti tamu always my best,,hizi wimbo hutuliza moyo wangu kabsa,,, 🙏🙏🙏
@SautiTamu
Жыл бұрын
Thank you so much Antony
Nyibo zurri wakati huu wa koresma tunafaa kutubu thambi zetu
@SautiTamu
Жыл бұрын
🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Nice songs
Some of ugandans like your songs but not understand language God bless all of you
@SautiTamu
Жыл бұрын
Thank you so much
I don't know why am crying 😢
Very powerful songs and nice sounds, may God keep you all to continue with good job for His Glory, Amen 🙏.
@SautiTamu
Жыл бұрын
Thank you
Sauti Tamu hongereni sana Kwa kutoa nyimbo nzuri sanaaaa.Karibuni Sana Tz
@SautiTamu
2 жыл бұрын
Shukrani sana J Mallya. Tutafika Tz hivi karibuni. Ubarikiwe
Sauti tamu mungu awajase baraka tele
@SautiTamu
2 жыл бұрын
Amina, ubarikiwe
Kudos God's kids. At least sai nimejua kuimba hii song stanza by stanza. God bless
@SautiTamu
2 жыл бұрын
Thanks a lot Emiliana
Mungu amubari Sana, sauti nzuri muedelee hivyo hivyo .
Hongereni wanakwaya kwa nyimbo nzuri yaani nmewapenda bureeeee
Endeleeni kumtumikia Mungu kwakuimba Sauti tamu 😢😮😅😊😊😅😮😢
I'm blessed
Asante sana 😮😅😊
Kazi nzuri🎉
@SautiTamu
21 күн бұрын
Shukrani sana
Sauti tamu, nyimbo tamu. Mademu watamu pia
@SautiTamu
Жыл бұрын
Shukrani sana
Ongereni kwanyimbo nzuri mungu awabariki sana
Dada na Kaka zangu ni IMANI NA UTULIVU.
Dont wanna miss heaven if music will be this sweet❤🥳
@SautiTamu
2 жыл бұрын
Amen Thank you Antoney, Be blessed
@mwakatheresia1147
2 жыл бұрын
Blesses our souls
Hky hii inaweza sanaa❤
Hongereni sana wimbo mzuri Kwa kweli unagusa
@SautiTamu
Жыл бұрын
Shukrani Leonard🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Nyimbo nzuri, sauti tamu kweli kweli. Amina
@SautiTamu
2 жыл бұрын
Shukrani Caroline
Hasanteni sana kwa Nyimbo tamu za kwarezima zinatupa faraj hapa Marekani tulipo.
Asante kwa uimbaji tamu
@SautiTamu
2 жыл бұрын
Thank you
@OrganistjamesKtZ
2 жыл бұрын
@@SautiTamu karibuni sana Pamoja Tuutunze Muziki Mtakatifu daima🙏
You are too good and Godly. Nabarikiwa sana na nyumba zenu. Mungu awabariki sana.
@SautiTamu
Жыл бұрын
Shukrani sana Martine. We are humbled. Be blessed
Kazi zuri sauti tamu.naweza penda kuwajoyn sana
@SautiTamu
2 жыл бұрын
Shukrani Risper, Karibu
Thank you Sauti Tamu for the good melodies for this period of Lent.
Nyimbo zanitia moyo wakati huu wa lent.Hongereni saaaana
@sambasiwerunga573
4 ай бұрын
Just what a sinful soul needs. Thanks Church for this season of spiritual renewal.
Nyimbo tamu na za kubariki
@SautiTamu
Жыл бұрын
🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Endeleeni kumtumikia Mungu kwakuimba Sauti tamu
Shukurani wana kwa nyimbo hizi
@SautiTamu
2 жыл бұрын
Karibu Hasabintore🙏🏻🙏🏻🙏🏻 ubarikiwe
Nyimbo ni nzuri Sana! MUNGU awabariki
Sauti mpoa kabisa nashukuru mungu sku nko blessed ❤
Sauti tamu zafutia tna xna God blss
@SautiTamu
7 ай бұрын
Shukrani Mary
amin amin mmoja wenu atanisaliti
@SautiTamu
Жыл бұрын
Amina
You will have a special corner in heaven to praise God with these songs.
@SautiTamu
2 жыл бұрын
Amen. Thank you Alois, be blessed
Tutatawanyika ,hogera kundi la mungu
Sauti tamu kwelikweli. Hongereni kwenu Bw. Munywoki na kikosi chako!
@SautiTamu
2 жыл бұрын
Shukrani sana Joe Ubarikiwe
Kwa kweli nyimbo zetuzakikatoliki zanitiyamoyo
Nyimbo nzuri mubarikiwe
Be blessed sisters in Christ ❤️❤️❤️❤️❤️
Wameimba vizuri sana. Watching you from Bujumbura
Am waiting Ile song ya, "Mungu Muumba twakutolea sadaka safi
@SautiTamu
Жыл бұрын
It will surely come in one of our near future projects
Sauti tamu kwelikweli,,
@SautiTamu
Жыл бұрын
Asante🙏🏻🙏🏻🙏🏻
I am in Israel right now and listening to these songs is such a blessing
@SautiTamu
Жыл бұрын
Thank you, be blessed
Am not catholic but I love your songs..❤
Asante sana sauti tamu🤗
@SautiTamu
2 жыл бұрын
Shukrani Aurelia, ubarikiwe
I like that voice may God catholic singers
@SautiTamu
Жыл бұрын
Thanks a lot
Mbarikiwe sana kwa nyimbo nzuri 🎉🎉🎉🎉
Amani ya bwana iwe nanyi
@SautiTamu
Жыл бұрын
Amina
Sauti tamu inazidi kung'aa tu, be blessed
@SautiTamu
2 жыл бұрын
Shukrani Cleophas, be blessed
Hongera to you peoples na mbarikiwe sana.
Sauti nzuri
@SautiTamu
Жыл бұрын
Asante
Hongereni sana kwa kutupatia nyimbo nzuri sana za Kwaresma.. *Kwa kweli Sauti tamu melodies mko vipi.. Big up na Mungu aendelee kuwabariki
@SautiTamu
2 жыл бұрын
Shukrani Mosha. Ubarikiwe pia
Beautiful song by Sauti Tamu ❤❤❤❤ from Tanzania 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿
Wow Sauti ya kutoa nyoka🙏 pangoni
mungu awe nas katika kpnd hiki Cha mfungo
Nyimbo Tamu zenu .. ongereni sana may God bless you all
@SautiTamu
2 жыл бұрын
Shukrani Nyota Yao, ubarikiwe
@nzokayamwingi
2 жыл бұрын
@@SautiTamu 🙏🙏🙏🙏🙏🙏 salimia yule mrembo sana namuona bado anamtumikia Mungu ..
@SautiTamu
2 жыл бұрын
Kasalimika
@nzokayamwingi
2 жыл бұрын
@@SautiTamu poa poa
Kwa hakika nyimbo hizi ni tamu sana.
@SautiTamu
2 жыл бұрын
Shukrani sana Gregory
Mungu awabariki sana vijana
@SautiTamu
Жыл бұрын
Amina. Ubarikiwe pia
Very good song, nabarikiwa nikiwa kangemi
Mbarikiwe sana wapendwa
@SautiTamu
Жыл бұрын
Shukrani. Ubarikiwe nawe pia
Can't get enough of these songs, kazi safi
@SautiTamu
3 ай бұрын
Shukrani sana.
Thanks i like your songs
@SautiTamu
Жыл бұрын
🙏🏻🙏🏻🙏🏻 be blessed Kenneth
Barikiweni sana sauti tamu
kazi zenu nzuri sana,MUNGU AWABARIKI
@SautiTamu
2 жыл бұрын
Mungu akubariki pia
God bless this melodious choir
@SautiTamu
Жыл бұрын
Amen. Be blessed too
Nyimbo na sauti tamu za kumdondoa nyoka pangoni
Hongereni sana hakika nabarikiwa
Tamu Sana ,hongereni Sana
My all time morning songs this lent season. Thanks
@SautiTamu
Жыл бұрын
Thank you so much
Kwaya baraka Sana hii