NISHIKE MKONO BWANA MESSIAH BY DANIEL SIFUNA. SWAHILI WORSHIP SONGS 2024. NYIMBO ZA MAOMBI
Mungu akushike mkono mahali popote umelemewa na akuinue katika jina la Yesu.
ni wimbo wa maombi Ili Mungu atushikilie ili tusizame kwa yale tunayopitia humu duniani.
Tujipe moyo tutashinda na tuaikate tamaa.
Amini kupitia wimbo huu Mungu atakutendea.
haijalishi wamekwambia mangapi ya kukukatisha tamaa.
Ni maombi yangu kwamba usimame na umwambie Mungu akushike Mkono.
Barikiwa zaidi na zaidi.
#swahili
#trending
#viral
#gospel
#old
Daniel sifuna
Пікірлер: 119
Aliyeimba leo huu wimbo automatic kwa hisia tu agonge like hapa ❤
@danielsifuna7377
3 ай бұрын
Amen
@mondrogedion1898
2 ай бұрын
sahuti haraka haraka nyimbo
@jacquie329
2 ай бұрын
This song is like an alarm to me in everyday.
@Nambaya-wt6lq
2 ай бұрын
Amen❤
Kbx Mungu apewe sifa nyimbo hii tuliyimba kwalugha lingala ryamani hii ni ujumbe.
Ooooh yesu nishike mkono yesu ukinicha mm nitashindwa mm
Amen Amen all glory be to God my the living God protect and bless you so much brother bila yesu siwezi nishike mkono bwana nitashidwa bila wewe hutuwezi
Mungu nishike mkono naomba maisha ya warabuni n neema yako itubebe 😭😭
🙏🙏🙏
Ooh my ...nishike mkono mungu wangu...l need the more
MUNGU pekeangu unishike mkono,nishike moyo wangu l can't hold my tears right now 😭😭😭😭😭 unifariji moyo wangu waumia 😭😭🙌🙌🙌🙌🙌🙌
🙏🙏♥️♥️♥️
Messiah endelea kunishika mkono maana siwezi bila wewe🙏🙏🙏🙏
Umekuwa baraka sana kwangu💪🤝 Mungu azid kukuinua🙏
Hongera sana
Naomba Baba unishike mkono usiniache maana nitashindwa❤
Much love ❤❤❤
Surely asipo tushika tutashindwa i love this song❤❤❤
Baba yangu muumba usniache mm mwanao
What a blessing song
Amen Na Milele Amina God bless man of God 🙏🙏🙏💪💪💪
Nishike mkono bwana❤🙏🙏
Nishike mkono Bwana
Amen,,,this song encourages me alot..mungu usituwache.
I'm nothing withoutyou Lord, hold my hand guide my steps.
Thankz bro May God bless work of your hands, hii manyimbo sina funza saaana i
Amen amen kweli mungu shika family yangu mbila wewe mm siwezi bwana wamajeshi sima Kila kona y maisha yao😢😢😢 Sina mwingine wakutengea n wewe tu
With out God I can't manage
Ameen amen amina
Be blessed man of God
Am listening 🎧 from Tasia hakika wewe Ni mchapa kazi
Ameninfact.thistime
Nice gospel song, bigup yuhself sifuna
Nishike mkono bwana nisishindwe😭
Amen amen
Our Lord Almighty will never leave us nor abandon us. He is always lifting us.
Ukiniacha mimi nitashindwa.
🙏🙏🙏🙏🙏 Asante sana mtumishi
@danielsifuna7377
3 ай бұрын
Amen amen
My favourite song nikiwa huku kwa Waiguru.❤
@danielsifuna7377
3 ай бұрын
Amen amen
Amina
❤❤❤❤nice song....mm sai nmejaza memory
The song is so touching ❤️ thank you so much God bless you
Wow!!!!soo touching,,,,oooh yesu
Amen God bless your 🙏🙏🙏🙏
Ooh glory to God Almighty,I am blessed.more anointing Daniel
Amen
Thank you jehova❤
Kweli naomba Mungu anishike mkono katika maisha yangu.asante sana nyimbo zako uniinua sana
Be blessed I have suffer with my teeth bt thank God
@danielsifuna7377
3 ай бұрын
Amen amen
Ooh My God We need u all the time coz we can't manage without u Lord.
#God😢
More blessings my brother
Asante Daniel
Hizi nyimbo hunibariki Tu saaana na hunikumbusha mbali ninapoimba
Amen and Amen hakika nyimbo zako pastor zinanitia nguvu na sinaniguza moyo.
Amen 🙏
I heard this Song from Kinyanya I had to search it❤
Amen am blessed with the song 🙏🙏🙏🙏🙏
@danielsifuna7377
3 ай бұрын
Amen
Mungu atushike mkono Amen
Glory ,Honour and Majesty belong to our God Almighty
Hakika bila yeye siwezi,naomba baba unishike mkono na unitetee.AMINA AMINA
Listerine live from Oklahoma city 🏙️ USA Time will tell and grace shall speak one day. Trucking for life 🎉🎉 Live long Babu 🎉
Oooh praise God,,,,,,,,,,Ameeeeen🙏🙏🙏
God bless you Sifuna
Amen 🙏🙏🙏 Be blessed brother
Hizi nyimbo nanzipenda sana barikiwa baba🙏🙏🙏
Am blessed by this inspiring song nikiwa Lebanon.
@danielsifuna7377
3 ай бұрын
Amen amen May God be with you
Ukweli napenda sana hizo song hua zinanifariji nikiwa huku saudi Arabia bro be blessed to
@danielsifuna7377
3 ай бұрын
Amen amen
@cps254
3 ай бұрын
Same here dr mungu atushike mkono🙏🙏
@Billionaire-mr6et
3 ай бұрын
Kumbe am not alone
@christine4072
3 ай бұрын
Wapi tuko wengi 😂😂😂@@Billionaire-mr6et
Amen god bless so much 🎉❤❤🙏🙏🙏
Baba ukiniacha mimi nashindwa nishike mkono
Usiniache pia Mimi mesaha
Bila yesu hatuwez atushike mkono 🙏🙏🙏🔥🔥
Ukiniacha mimi nitashindwa . Nishike mkono Bwana
Amen bila mungu mimi siwezi kweli
Hallelujah,Bwana nishike mkono mwokozi,bila wewe Mungu sisi wote hatuwezi. God bless you Mtumishi tunabarikiwa na nyimbo zako.
Much love nice songs 🎉
Without Him we are nothing, He is our only hope 🙏❤🙌
Nishike mkono pia mm uciniache baba
Ameen ni wewe tu Bwana uniongoze siwezi bila wewe 🙌🏿🙌🏿🙏🏿🙏🏿
Hallelujah Hallelujah tusike mkono bwana
Ndio maana huwa nasikiza songs zako, huwa zinafanya naanza kuabudu bila kuangalia kwenye niko.
@danielsifuna7377
3 ай бұрын
Amen amen amen
🔥🔥🔥 tupitiane guys
Nice song
Nishike bwana ukiniacha ntashidwa
Hallelujah
Is only the one bile yeye mimi siezi kabisa
Nishike mkono pia Name baba ukiniacha ndashindwa especially wakati kama Huu ambayo nimejitolea kukutumikia najua majaribu Ni mengi naomba unishike mkono 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amen.
Bila wewe Mungu nitashindwa. Nishike mkono Baba. Amen
Glory to God I'm going to buy memory card to download all your songs they are really blessings to our generation.
@danielsifuna7377
3 ай бұрын
Amen amen amen🙏🙏🙏❤❤❤
man of God,, you may not be having an idea on how i get relieved by some of your songs. you are the type of worship singer that rhymes with me. god bless you. im wishing you alot of success
@danielsifuna7377
3 ай бұрын
Amen amen amen❤❤❤🙏🙏🙏🙏
Amen I remember on 2020 I undergo medications bt no change or breakthrough ,I turn to lord Jesus immediately I was healed my sickness ,And now am okay nishike mkono bwana be blessed all who listen to this song
@danielsifuna7377
3 ай бұрын
Amen amen
Kweli hii hizi nyimbo zinatoa machozi sana zinanifaliji nikiwa hapa America ❤❤
@danielsifuna7377
3 ай бұрын
Amen amen..barikiwa zaidi🙏🙏🙏❤❤
AMEEEEEEEEEEEN AND AMEEEEEEEEEEEN ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@danielsifuna7377
3 ай бұрын
Amen amen
@RobertsonNandime-eo9fp
3 ай бұрын
Barikiwa mtumishi huwa unanibaliki sana you worship really teach 🙏 me
@danielsifuna7377
3 ай бұрын
@@RobertsonNandime-eo9fp Amen asante sana
Amen keep tje fire burnning
Zilizopendwa zilikua tamu sana
Hakika nimenikumbusha yale nimepitia miaka zilizopita,hakika wacha mungu aitwe mungu,sitarudi nyuma kamwe.😂
Amen Amen all glory be to God my the living God protect and bless you so much brother bila yesu siwezi nishike mkono bwana nitashidwa bila wewe hutuwezi
Amen
Amen amen
Amen