NIMESHAMBULIWA kwa ngumi kwenye TRENI kisa mi MWEUSI hakuna aliyesaidia - MTANZANIA aishie UJERUMANI
Ойын-сауық
Ijumaa ya April 29, John Jackson aka JJ anayeishi Leipzig, Ujerumani alijikuta akishambuliwa kwa kupigwa ngumi na Mjerumani akiwa kwenye treni. Ni tukio la kibaguzi la kwanza kwake ambalo limemshtua kwa kiasi kikubwa. Anamsimulia Sky kilichotokea
Пікірлер: 173
My brother lives in Frankfurt. He was denied to occupy an apartment kwa sababu ya rangi tu.
harafu wakija kwetu tunawanyenyekea..
@RuzoOwzy
2 жыл бұрын
Ilianza nq mababu zetu, miaka 500+ iliyopita. So ni km ipo ndani ya vinasaba vyetu. Itachukua muda kuondoka, na bila juhudi za dhati, itachukua muda zaidi.
@mariamdimosso621
2 жыл бұрын
@@RuzoOwzy ubaguzi hupo kote mimi mume wangu aliitwa nguruwe kariakoo
@lwanjiedna5233
Жыл бұрын
Wanaokuja huku wengi wana uelewa,dini na upendo ndio maana wamekuja
Kusema kweli mimi naishi Ujerumani now 7 years almost 8yrs, naishi Frankfurt am Main, kusema kweli watu nao ishi nao ndio kama ndugu zangu, wabaguzi wengi kwa mtazamo wangu asilimia kubwa sio wajerumani huwa na foreigners ambao wameishi huku miaka mingi au kuzalizwa huku. Mimi wajerumani huwa na watetea sometimes, most wabaguzi ni watu kutoka uturuki, Russia, Kosovo, Poland, hawa ndio wabaya, wajerumani wewe fata sheria zao tu. Pole sana kaka
@allexlunny7795
2 жыл бұрын
Na saizi wamekuja wa Ukraine hawa ndo wabaguzi komesha na warusi ndo ovyo kabisa yani
@makunja1985
2 жыл бұрын
Hiyo miaka 7 yako kwenda 8 bado mgeni tu kwenye maisha ya europer. Germany Netherland wote sawa . Na wote wabaguzi mitaa, mashuleni na hata kwenye kumbi za starehe.mimi nipo Holland miaka 20 na ndugu zangu hapa Holland na germany. Unatakiwa lazima uwe kibuli mzungu akitaka kukujaribu umuonyeshe kama wewe unapenda.Mimi nisha wapiga vibao wazungu wengi tu katika miaka yangu 20 ya hapa europer
@salimnjowoka4357
2 жыл бұрын
@@makunja1985 tupeane michongo basi kaka, mimi nipo Dubai. Kazi ni mpishi
@kamaalali4022
2 жыл бұрын
Yaani uko sawa sana Kaka. Hata Mimi nipo hapa Deutschland miaka 4. Wabaguzi si Wajerumani ila hao uliowataja ndio Wabaguzi haswa Waafghanistan ama kwa ujumla ni Waarabu wote. Nawatetea sana Wajerumani maana katika Kijiji ninachoishi Mimi Familia ya Watu weusi ni ya kwangu tu, na walionizunguka wote ni Wajerumani na napata ushirikiano mkubwa Mimi pamoja na Familia yangu kwa Ujumla
@allexlunny7795
2 жыл бұрын
@@makunja1985 kabisa bro ndio mana black America huwa hawawachekei akikuzingua unamzingua pia
Ngoz nyeus 🙌🙌🙌🙌tunataabka ! Yan mthn sana
Pole sana bro JJ cha msingi nikushaul jifunze ngumi kwaajili ya kujilinda mwenyewe!
@wakatiwaapolineapoline5508
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂Ngumi tena
@jimmymbella997
2 жыл бұрын
@@wakatiwaapolineapoline5508 kama sio ngumi nani atamlinda ana hela ya kulipa body guards??
@jimmymbella997
2 жыл бұрын
@@wakatiwaapolineapoline5508 ngumi ndo suluhisho la yote hayo sema bongo wengi wenu hamjui umuhim wa michezo kama hiyo.
@wakatiwaapolineapoline5508
2 жыл бұрын
@@jimmymbella997 😂😂😂😂😂😂Aaaaa weye jamaaa ni noma, ila mimi siyo mu bongo mimi ni mu burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Dah pole sana kaka hawa mbwa hawapendi watu weusi siji mimi huko ujerumani we sithubutu
Mtu mweusi hajawahi kupata uhuru mimi ni mtu mweusi nimezaliwa zanzibar na nishadharauliwa sana tu na watu weupe walozaliwa apo apo zanzibar, MTU MWEUSI ANA TABU DUNIA NZIMA KIUKWELI
Mimi nko Niedersachsen n leipzig ni City inajulikana kwa ubaguzi ujerumani
Pole Sana kaka ni Mungu tu amekusaidia mshukuru Sana Mungu kwa ulizi alokuwekea🙏🙏🙏
ubaguzi hupo kote duniani siku moja nilikuwa kariakoo mume wangu aliitwa nguruwe
@bettykageza1964
2 жыл бұрын
Hahahaaaa pole jamani
@mushimiyimanaclementine8109
2 жыл бұрын
Ndio nikote nawatzd ubaguzi kma wote Kabira zimekuwa kabira
@mariamdimosso621
2 жыл бұрын
@@bettykageza1964 Asante mwaya
@mariamdimosso621
2 жыл бұрын
@@mushimiyimanaclementine8109 Mimi ndio maana mtu akiongelea ubaguzi. Namuangalia Tu
Na kitu chengine Wajerumani wengi hawafahamu lugha ya Kiingereza. Wao wanafahamu Lugha yao tu.
Ilibidi lazima upigie police. Ni muhimu Sana. Ulaya watu huwa hawagombelezie Sana Mara nyingi. Cha kufanya ni kupiga simu police. Na kujifanya kama unaumwa Sana , ili huyo mtu apelekwe police. Na wewe uweze kulipwa kwa kushambuliwa. Watu weupe wanaogopa Sana police , self defense ni mbaya Sanaa, watakugeukia . Kuwa makini Sana. Namba ya Police international 112, halafu fanya pia utafiti wa local police number. Ili linapotokea jambo maramoja ni police.
Nashukuru nipo dubai akuna ubaguzi najivunia sana kukaha uku dubai
@EK-kp2np
2 жыл бұрын
Kasembe yupi?
Mi nilishawai piga ngumi mzungu for sexually harassment...damu zilimtoka sana mpaka nikajua prison inanifuata...lakini haikufika huko...Huyo kaka angemrushia ngumi tuu na na yeye aisee...
@alawifarahani4788
2 жыл бұрын
Ilikuaje polisi walikukamata..?
@patricialuande9540
2 жыл бұрын
@@alawifarahani4788 Huyu mzungu alini insult...nilikasirika sana..kwa hiyo nikampa ngumi ya uso!Police in a way walikuwa upande wangu..mimi nilijidefend tu..lakini si mkorofi😍
@josephstephen1079
Жыл бұрын
Alikuwa anakutaka kwa nguvu eeh?
Halafu mtu anaenda marekani kuzindua vitu vya ajabu kujipendekeza sijui tutaacha lini
Kakangu mbona utayakutana mengi,kama unasema ikitokea mala3 unarudi basi wakuandalie mkeka haya mambo hututokea mara nyingi sana sanaaaaa tena ugiriki ndo balaa kule train inapita mtu mweusi anasukumwa njia ya train na police 🚔 hawafanyi chochote,mimi mwenyewe hapa ujerumani yamenitokea majanga kibao,nashangaa wazungu wakienda tz wanaeshimiwa kinoma lakini wao hawatueshimu is very sad ever
Msibabaike sipeponi
Dh!!!! Wabaguzi sana
Duh
Ngumu sana kujisikia nyumbani, nchini mwa watu. Huyu braza sijui atakuwa anaishije baada ya hili tukio!!!!
jifunzeni kuishi makwetu izo nchi za wazungu ndo kazi Yao nanyie rudini makwenu shida kila sehem zipo bora upate shida upo nyumbani sio nchi za watu
Watu weusi sisi tutapitia haya mpk tujitambue sisi ni kina nani
@joyjilien5432
2 жыл бұрын
Yaani icho ndo nasemaga kila siku
@mrjohn4446
2 жыл бұрын
Umeongea ukweli ifikie mahala watu weusi tujitambie na tujenge kwetu tuache tegemezi kw wazungu
@Mpakauseme
2 жыл бұрын
@@mrjohn4446 Nyumbani utajenga na meno yako
Msaada toka kwa mbaguzi? Wewe hamia mji mwingine miji ipo mingi, sasa msiwashobokee sana wakija nyumbani bwana. Usirudi home but go to other cities, they are fine. Huko ilikuwa east 🇩🇪 kwa wakomunist.
17:13 kutemewa mata, iwe afadhari. 😳🤔. No way man. Sky usihalalishe mzee.
Duh pole sana aisee
Tafuta maisha Urudi nyumbani baba pole sana imeniumiza sana mimi f this people
Doh!
Here's a bit of background why the incident is not an isolated case; Leipzig is found in former East Germany in the state of Saxony where the far-right, anti-immigration political party known as AfD (Alternative für Deutschland) enjoys great support. This, amongst other historical factors like communism, mean that any foreigner is more likely to suffer varied forms of racial discrimination in Leipzig and/or in Dresden (both cities being in Saxony) than in any other state in Germany. There's more.. (to be cont'd).
@francisaban3873
2 жыл бұрын
True say
Sky tell him to buy pepper spray
Uko kwajulilana Umbagunzi wa rangi...pole kaka njoo Niedersachsen
Hawa watu weupe washenz sana
@salomewandya7257
2 жыл бұрын
Saana.aiseee
@joycegacheri5177
2 жыл бұрын
Na vile wakikuja Africa tunawaonyesha upendo wote
Tanzania 🇹🇿 Safi
Watu wa ujerumani wengi wanamatatizo ya akili😂😂😂
Subhana'Allah pole sana wallahi! Sasa weusi walimfanya nini!🤦♀️ Uzuri wa ulaya nivile sehem nyingi kuna camera
Jifunze kumfuu yaan ukipata hiyo ishu ck nyingine unamdunda kipigo Cha mbwa mwizi wasituchezee wabongo mbona kwetu wanaishi vizurii
Pole sana. Imeniuma kweli
Huyoooo mtuuu atapatikana keshoo utapokea sim trin zile kuna camera jina la tren na numb ya behewa ulipandaaa usijali ww nenda kwa doctar ila upewe Michele usizuber please jj ukikutwa na maumivu
Ujerumani, Ni mahali ambapo unasoma, Ni mahali Unafanya kazi, But sijaelewa kitu kimoja, kwa nini useme help? au ndo umegundua siku hiyo kwamba hawajui kingereza ama vipi. Epukeni kujibizana na hawa watu hasa Ujerumani, uchina, marekani maeneo ya texas na kwingineko, Bila kusahau uarabuni.
@mussakasela1937
2 жыл бұрын
Bado aujashi nchi zawatu zaidi ya miaka miwili ndio maana unaongea unacho kiona sawa kwa uelewa wako bloo,🙏🙏🙏
@salomewandya7257
2 жыл бұрын
Ni kweli ata waarabu wana ubaguzi sana,nipo dubai naona mengi
@Mpakauseme
2 жыл бұрын
@@salomewandya7257 Wewe umejuaje kama hajawai kuishi katika nchi za watu
@Juke995
2 жыл бұрын
Shida kubwa jamani mkiwa nchi za watu msome na lugha zao inasaidia Sana most ya wabaguzi ni wanatoka uturuki na Russia waliokuwepo toka vita ya pili
@salimnjowoka4357
2 жыл бұрын
@@salomewandya7257 tuwasiliane Salome, mimi nipo abudhabi
Jamani acheni kabisa kuishi nchi ambayo siyo yako huwezi kuwa huru hizi inchi tunaishi hz ubaguzi ni mkubwa mno mno kidogo hata ukiwa mchanganyiko kuna uafadhali kibaya zaidi wenyewe wakija nchini kwetu wananyenyekewa kama nn
pole Sana
Mzungu mzuri ni aliekufa tu maana hawazi kukuzuru tena kwasababu yupo kaburini
Skay huyo JJ hiyo inaitwa karibu europer, Hayo mambo ya kawaida tu huku europer.Hana haja ja kufikilia kurudi tanzania. Cha muimu huku unatakiwa lazima uwe na self -defense ability. Kufanya mazoezi ya ngumi kitu muhimu sana huku ughaibuni.
@jimmymbella997
2 жыл бұрын
BRO, MAKUNJA" UMEONGEA POINT KUBWA SANA, SHIDA WATU WENGI HASA WAAFRICA HAWAONI UMUHIM WA KUFANYA MAZOEZ YA SELF DEFENCE, MAKE NGUMI NDO UKINZI BINAFSI NI SIRAHA PANDIKIZI AMBAYO MTU HAWEZI KUJUA UNAYO!
@dayana5513story
2 жыл бұрын
Kabisaaaaa mbona Nigeria wako vzuri umzingui
Mmmh hii mijitu inaroho mbaya kwa nini
Hizooo Zipo sana Ugerman kwanza wamepunguza ubaguzi Njooo Israel utafikiria sio dunian
@Jeff_Tz
2 жыл бұрын
Israel kuna nn? Ubaguzi pia au
@RioIpo
2 жыл бұрын
@@Jeff_Tz Tena mwingi aseee
@RioIpo
2 жыл бұрын
@@ruuh5149 Asante kuishi mbali na jamii yako ni very challenging
@RioIpo
2 жыл бұрын
@@ruuh5149 Austria
@RioIpo
2 жыл бұрын
@@ruuh5149 very sorry
Mbona SouthAfrica Mweusi mwenyew (mzawa) anambagua mweusi mgeni..!?
Kwa marekani yani bola ata upigwe ngumi ila ukimtemea mtu mate walai ni very disrespect full mtu anaweza ata kukuuwa mm imenikuta kupigwa kwenye treni ivo ivo na black America but niliiandle mwenyewe yani nnchi za tu nishida ila tuna savaivu
@josephstephen1079
Жыл бұрын
Duh kumbe weusi kwa weusi mnabaguana?
Hayo mmb kweli yapo hata mm yamenitokea sio mara moja wala mara mbili ila pole sana bro
fanyeni royal tour na directors ni wazungu na Zanzibar wamepewa hifadhi WA Ukrainians 🤣🤣
Njoo uturuki uku huu enjoy show uku wabaguzi kama nini 😞…
@mrjohn4446
2 жыл бұрын
Ujalazimishwa bro ndomaisha jikaze Ukishapata urudi Africa ukawekeze huko so nyumbani
Washenzi saana hawa wazungu wengi waoo.....tumetawaliwa na tunazid kukandamizwa
Sijawahi kuwapenda wazungu
@muddymdigo5164
2 жыл бұрын
Sishangai south Africa wabongo kibao wanauliwa na wasouth kuchomwa moto kuchomwa visuu kila siku tunashuhudia taarifa za ajabu ajabu
@puregamers4215
2 жыл бұрын
Ila una jina LA kizungu
@cvanoedward3093
2 жыл бұрын
Namlaumu alie nipa hili jina ivi naweza badili cheti cha kuzaliwa? Maana mtaani naitwa Kiba Yine Mwa Fivawo
Duuuh ndo ujifunze halafu utasikia limtu oooh hawa wazungu watu wanzuri sana wana unzuri gani kama mbaka leo wamekumbatia ubaguzi basi na sisi wakija huku tuwabague wanauana huko wenyewe wanachocheana hovyo kabisa
@edwinelias8554
2 жыл бұрын
Sio kuwaua na kuwapiga nikikutana nao napiga ngumi nalipiza kwa muafrica mwenzamgu JJ
Ila wewe ulikua naive pia uko ujerumani lakini ulikua huelewi nchi ilivyo.Ina maana ulikua hujui hao wajerumani hawaongei kiingereza,eti help.Ukifika nchi ya kigeni unasoma taratibu zao,lugha,mila,historia kdg,n.k Ni kwa usalama wako pia.Huko hata usiku usipende kutembea.
Ubaguzi uko duniani kote jamani but tatizo la Africa tunabaguana wenyewe kwa wenyewe
Honestly kaka yangu haupo pekeyako.germany nzima ndoilivyo amna afadhali.tena huku norden westafalia unaonewa mbele ya black mwenzako na wakuangalia black hawakusaidii.inshort black tunachukiana sana ujerumani.mmi sijashangaa wwe kufanyiwa hivyo.inshort ubaguzi upo hata watu weusi niwabaguzi ujerumani.pole sana kaka but usishangae watu tumepitia worst than that.tuna vitabu tunafaa kuandika.
@SimuliziNaSauti mm nimeshashuhudia mtu mweusi amesikumwa ktk reli ya treni uko uko Leipzig ndio nazis wanapokaa be careful Jj
ila bc ilikuwa jpo cmu umrikodi
Ingemtokea kariakoo angesema ni ubaguzi wa nini wewe ndo mbaguzi sababu umejiwekea kichwani hata pengine huyo mtu alikua chizi
@hellenrichard6528
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 ni kweli sasa hivi panya road wanatuvamia kila leo, je hawa ni wabaguzi???
@dayana5513story
2 жыл бұрын
👏👏
Msaada NI polisi Tu siku zote
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌👍
Na huko tz wanamchukuwa mzungu vizuri
Wakija kwetu na tuwapige
Hello
Msibishie Ubaguzi uko sana, mimi nimefika nchi hizo na kusoma, kuna siku walihama behewa zima nikaachiwa kisa mweusi
@Mpakauseme
2 жыл бұрын
Ni weusi tu au kuna jambo jengine
@kisalaTV
2 жыл бұрын
Eeeh. Pole sana mwaya
@florameza1028
2 жыл бұрын
Pole sana halafu sisi kujipenddekeza kwa wazungu hatujambo
@josephstephen1079
Жыл бұрын
hahahaha kwaiyo ukawa unainjoi kuhama hama siti hongera sana
Ulaya siyo paradise.Tundu Lissu anatudanganya sisi hukue Kwa kujikomba na kutueleza kuwa kwao kuna demokrasia wakati sidio NI nyani Tu mbele ya mtu mweupe.Huko siyo paradise kama Lissu anavyowasifia
@erickzephania1030
Жыл бұрын
Mbona SouthAfrica mtu mweusi toka nchi nyingine anabaguliwa na mweusi mzawa..!?
Kumbeee🤔🤔
royo tuwa
Uyo angekutana na mimi ningemcapa 🤨
Ningemzibua huyo mpumbavu mpka ningerudishwa bongo Siku hyohyo.
natamani nipate namba ya uyu kaka Niko najambo langu
Mzeee baba unakwama wap ww unatokea bongo au mombasa ivi mtu anakuja kukushambulia unaachaje kumramba boksi mbili tatu na mtama mmoja km kujihami tu
Yaani mimi nakushauri ukimaliza kusoma hamia mji mwingine sio kote kunaubaguzi huku kwetu ni sharing tu
@allexlunny7795
2 жыл бұрын
mji gani huo
Hawajawahi kuwa na jema kwa mtu mweusi
Kumbuka historia.Natsis, Hitler alichokifanya
Tafuta loya kuna camera ndani utalipwa
Hakuna mjerumani hajui kiingereeza huyo alikuwa Nazi
@noorrajpar3928
2 жыл бұрын
Ujerumani hawashobokei kingereza sababu sio lugha yao asilimia 90 hawajui na hawataki kujua sababu hakiwasaidii
@janeschurmanns7364
2 жыл бұрын
Sio kweli wajerumani wengi hawajui kingereza kabisa wewe unakaa mji gani mwenzetu ambao wote wanajua kingereza
@Mpakauseme
2 жыл бұрын
Wewe ni muongo
@riosteven2406
2 жыл бұрын
Wazungu hawashobokei lugha za wageni kama nyinyi wa afrika
wasoma. na wafanya kazi ujarumani. na ujui kijarumani?,
@cocorita8367
2 жыл бұрын
Lugha ya ki deutsch ni ngumu sana. Hama huko bro kweli upo lakini sio kote.
Kumbe bora kuishi Afrika lol
So sad hawa watu ni mashetani
Anza gym mzee next tm akikufat una mpa za uso 😄😄
@apoloniaalex2825
Жыл бұрын
Mi ningemchinja kweli
Labda ni chizi huyo uliyekumbananaye
china nako watu weusi wanabaguliwa sana yani kama ingekua ni nchi raia wanamiriki silaha kama USA wangekua wanatushoot live..hahaa😂😂😂yani unakuta unaingia sehemu watu waziba pua.
@josephstephen1079
Жыл бұрын
Hata na wao pia wakienda ulaya na marekani huwa wanabaguliwa sana
huwezi amuwa ugomvi South Africa.ugerman.Ispanyol Italy uliza
@Mpakauseme
2 жыл бұрын
Kabisa
Kuna haja ya kufanya uchunguzi na kupata taarifa pande zote ili kujua tatizo ni nini watu wanashindwa kutofautisha ubaguzi na personal action ambazo hata nchini kwetu hua zinatokea sana na inaweza ikawa zaidi ila weusi tunalalama sana mi naishi uingereza naona jinsi namna ya hayo matukio wengi tunajudge pasipo kuona so wacha tusubiri report then tujue ni ubaguzi ama ni ajari ambazo mwengine anatokea kukufanyia hivyo kwasababu tofauti na ni nyingi kuna matukio yalikua yanatokea mtu mwengine anawachukia machangudoa so akikutana nao anapiga na hata kuuwa awe mweupe mweusi mwekundu so akipigwa black tunasema ubaguzi akipigwa mweupe tunakaa kimya ila lengo la huyo mtu ni yoyote kahaba anapiga so hivi vitu lazim tuviangalie sana mambo ni mengi kuyaelezea kwa maandishi ni ngumu mno
@janeschurmanns7364
2 жыл бұрын
Mimi nimeishi zaidi ya miaka 20 sijawahi kupata tatizo kama hilo itakuwa jamaa alivuta madawa au alilewa
@willykaovela5485
2 жыл бұрын
people train to hate.
@dayana5513story
2 жыл бұрын
Kinywa soda naja lipa
Kwani nani huyu alifariki ndani sasa kzread.info/dash/bejne/Ypp7qNB_ktO-iso.html
Huyo mtu angekutana na mnaigeria ndiyo.angepata habari yake
@dayana5513story
2 жыл бұрын
Nami nimefikiria ivoivo maji angeyaita maaa
Tanzania ni nchi pekee duniani yenye raia wenye ustaarabu na amani nyingi
@mushimiyimanaclementine8109
2 жыл бұрын
Hhhh na nyie hamupendani et phuuu muhamiaji awe nakirakitu kinachomuluhusu kuishi tzd lazima mumujadili asumbuliwe ......
@hanirashuwesu4239
Жыл бұрын
@@mushimiyimanaclementine8109 hii ni kawaida sana Kwa nchi yoyote ,fata taratibu na ishi kwa Amani . Hii unaipata Tanzania tu maana hutabaguliwa na utakuwa na uhuru wa kufanya Kila kitu . Huku kwengine watanzania au waafrika tunaenda kutafuta tu maisha ila deep down Kuna watu wapata hizi tabu zaubaguzi na wengine hawapati huo ubaguzi japo ni kwa uchache tu.
@miburoaaron1804
Жыл бұрын
Kila mtu anajipenda ila hakuna kusipokuwa upungufu , mbinguni pekee ndipo sehemu ina ustaarabu kuliko hapa duniani
Mara nyingi wazungu mtu anaweza akapigwa na wasingilie wako radhi wapgie simu police lakin si kuachanisha labda atokee mbabe ndio amzibiti huyo mtu. Si kwamba kwasababu wewe mweusi.
@africanproudly4004
2 жыл бұрын
Siku likikupata utaelewa
@hukuUJERUMANI
2 жыл бұрын
@@africanproudly4004 😅
@missmwayway4704
2 жыл бұрын
@@africanproudly4004 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣kwakweli
@Mpakauseme
2 жыл бұрын
Sio wazungu tu ata South Africa unaweza ukapigwa na hakuna mtu ambaye atakutetea
@Mpakauseme
2 жыл бұрын
@@africanproudly4004 Limpate vipi na hipo hivyo