NIMEPENDA BODY LAKE, NITAMUITA DADDY HUYU, NATAMANI KUMJUA KIUNDANI ZAIDI - HELLO MR. RIGHT

Ойын-сауық

►Instagram / stbongotv
►TikTok / stbongotv.tz
►Facebook / stbongotv
►Twitter / stbongotv
ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder

Пікірлер: 50

  • @omanoman2044
    @omanoman20445 ай бұрын

    Hiv hawa wanawakenhawajui umaut upo nahuja ghafula eey mungu wangu tujalie mwisho mwema

  • @FatmaHamad-hs3tj
    @FatmaHamad-hs3tj5 ай бұрын

    Navuka mwaka kama sina zaddy😂Acha niendelee kulala kama panga kisolo😂😂😂

  • @JamieCarragher14..

    @JamieCarragher14..

    5 ай бұрын

    Haujamtaka t ety

  • @butondodavid2105

    @butondodavid2105

    5 ай бұрын

    Pleese your contact

  • @Ms05195
    @Ms051955 ай бұрын

    Anitha i love your voice /communication ❤

  • @pezasally8204
    @pezasally8204Ай бұрын

    Hiki n kipndi kizuri lakn m naona n kama wanahamasisha Ngono sana maana hat wakipatan wanapewa na mavidonge vya kubust sasa n vya nini kama n mr right kwann wasifnye n utaratibu wa ndoa kabisa maana hapo naona wakiptan wanaenda date na vidonge vyao en then utakuta baada ya one week or etc wanaachana wameshachokana wengne wanafika ndoa but wameshafanya hivyo vitu dah now n NGONO tu

  • @bulugubujashi6378
    @bulugubujashi63785 ай бұрын

    Mlisema waislam mnajisitiri na dada zetu wafuate mavazi Yao? 😂😂😂 Sio kwahayo matatu.sasa Mimi nasema fuateni mavazi ya wakristo cheki mc garaaaaaaaaaabiiii

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh5 ай бұрын

    Hichi kipindi hakina maadili ya kivazi mpaka kinachotangazwa ni umalaya tu watt wakike muko uchi mapaja wazi sasa munaonesha nini mbona gala b kavaa heshima

  • @hadiadaoman1981

    @hadiadaoman1981

    5 ай бұрын

    Yaan umeliona hili kama mm hata wasichana wa kiislam na hawavai stala yaan hapo wanaunga zinaa tuu 😢

  • @lenakassian-pr3dy

    @lenakassian-pr3dy

    5 ай бұрын

    Kiufupi wameenda kujiuza ata hizo sababu wanazotoa wanaume anae mtaka ni hovyo tuu​@@hadiadaoman1981

  • @cleavededajao4673

    @cleavededajao4673

    5 ай бұрын

    Mnajifanya mnamaadili kushinda wengine

  • @RoseKesi-zj4yy

    @RoseKesi-zj4yy

    5 ай бұрын

    Kwani umeambiwa hapo ni kanisani

  • @FatimaAli-of4gh

    @FatimaAli-of4gh

    5 ай бұрын

    @@RoseKesi-zj4yy Kuvaa heshima haitakiwi kanisani wala msikitini na wewe ni mmoja wapo si kwa povu hilo

  • @user-jj9xf7nt9k
    @user-jj9xf7nt9k5 ай бұрын

    Yani kama lulu diva acha kuvaa utupu mbona ukivaa kieshima unapendeza sana dada angu Yan mbaka matako yanakalibia kuonekana

  • @nzeyimanaabdallah131
    @nzeyimanaabdallah1315 ай бұрын

    Tunakutanisha watu na wanzao wakati sisi bado single kweli😂😂😂😂

  • @bebebebe5677
    @bebebebe56775 ай бұрын

    Kwa mavaz hayo we mbwa ten luludiva alokuambia kuvaa nusu uchi ndo ustaa kakudangany

  • @tabithamitsanze9124
    @tabithamitsanze91245 ай бұрын

    Lulu mtoto wa kislamu tattoos mamaa....mrudie Mungu ....mmmh mavazi apana

  • @soltv8268
    @soltv82685 ай бұрын

    Mmesha anza kuboa na vi klip visivyokua na mielekeo, alaf muendelezo hakuna

  • @MariaSalus
    @MariaSalus5 ай бұрын

    Huyo kaka siyo mchepuko,aliumwana nyoka mwenye sumu kali,alikuwa anauguza kidanda,kosa liko wapi,wake ndiyo hamna hapo

  • @user-fk5ni2up2s
    @user-fk5ni2up2s5 ай бұрын

    Kama unafanya ibada sio kwelii ibada zako zakuigiza but hayo mavaz sasa upendez atakidog kusema unasal

  • @QueenMishy
    @QueenMishy5 ай бұрын

    Matattos yote hayo😢😢

  • @user-mi2vl7tv6y
    @user-mi2vl7tv6y5 ай бұрын

    Tunaomba mbadilishe muwe mnavaa vizuri jamani mnazidiwa na wanaume kuazima kwa nyie waandaaji

  • @VabraJerome-fy6nf
    @VabraJerome-fy6nf5 ай бұрын

    Yan watu wanatafuta wanawake au malaya mana mitatoo uchiuchi ndo usiseme khas uyu mwanamke utakaempt umu sijui km utatoboa nae km mtu uloesrz

  • @user-gr2bh9yr2i
    @user-gr2bh9yr2i5 ай бұрын

    lulu diva yani ukejua kuka uchi sikupandeza 😂😂😂😂😂

  • @FatimaAli-of4gh

    @FatimaAli-of4gh

    5 ай бұрын

    Mimi nime comment zimeshuka comment kama zote wanasema hapo si kanisani kwa hiyo kanisani tu ndio panahitaji vazi la heshima tunaelewa hapo ni dangulo na si kanisani ndio maana wapo uchi ni danguro

  • @mwajumaalimasi2364
    @mwajumaalimasi23645 ай бұрын

    veheni nguhozaheshima

  • @user-ox7qy7wy7j
    @user-ox7qy7wy7j5 ай бұрын

    Jaman nyie watu

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla57725 ай бұрын

    Umalaya umekuwa mkubwa Tanzania kama chingu wanajiuza hazaran mpaka mitandaoni kweli njaa ikizidi na kukosa elimu na kujielewa ndio hayo mpumbavu wakubwa

  • @user-nn3ll5fr7s
    @user-nn3ll5fr7s5 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @SamirSaid-ip8nn
    @SamirSaid-ip8nn5 ай бұрын

    Lulu punguza kukaa uchi umtt wa kisram wewe

  • @gastondofra9151
    @gastondofra91515 ай бұрын

    Mnaongea sana kuliko shuguli inatakiwa ifanyike.mambo private ya nyumbani sio yakuongea on stage. Ona mnavyoongea na kusimamisha show without do anything.

  • @user-yq2hv2bq5j
    @user-yq2hv2bq5j5 ай бұрын

    Kwani wewe Lulu hauna nguo au?? Kwanini unapenda kutuvalia mavazi ya aibu wewe😢😢😢😢 jiheshimu we mwanamke 😢😢😢 sasa hapo unatuonesha nini 😢😢😢 Adabu hauna hata kidogo ,

  • @janethndunguru3538

    @janethndunguru3538

    5 ай бұрын

    Anakuwaga uchi tu Kila siku😢

  • @queensenya

    @queensenya

    5 ай бұрын

    @@janethndunguru3538 mwenzio anataka aoneshe tatuu hamuoni jmn😆😆😆😆

  • @rhodarichard4494

    @rhodarichard4494

    5 ай бұрын

    Ukisikia biashara matangazo huo ndio mfano wake! 😂😂

  • @user-yq2hv2bq5j

    @user-yq2hv2bq5j

    5 ай бұрын

    @@rhodarichard4494 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @ameenaoman
    @ameenaoman5 ай бұрын

    Jamani mimi namtaka aje tikto atafute hunayf mim napeda Wa baba

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio40545 ай бұрын

    HUKIONA HIVYO VITU VYA HOVYOHOVYO NI YEYE MADAM LULU

Келесі