NIMEKUWA NKIMALIZIA KUUA MAITI AMBAO HAWAJAKUFA VIZURI MORTUARY - OSUFUCHE REVEALS
Ойын-сауық
Watch, like, Share. For mentions and content collaborations, text us at +254733290656
Part 2 : • TULIKUWA TUKIZIKUA MAK...
Subscribe to Osufuche channel @magwanjaosufuche
_____________________________________________________________
►Support our shows on PayPal: bit.ly/ZadkDonate
►Subscribe NOW if you are new: bit.ly/3nKxDpK
►Follow Zack on Instagram: zad_ke
Пікірлер: 265
Plz plz plz plz watu wa mortuary nawaomba tu Kwa Imani kuu ya Mungu mtu yeyote masikini au tajili akiletwa kwenu kama ajakufa plz mrudishe hos atipiwe apone aone njamii yake wezake wafurahie Wacha tamaa ya Dunia akuna mahali itawapeleka mtakufa tu na hiyo uaji yenu
@user-gj7cd8lf6g
3 ай бұрын
Unapewa story unakasirika we tembea Kila mortuary Fanya education kwa hao watu
@lucymutua9525
3 ай бұрын
You are rude@@user-gj7cd8lf6g
@RuthMuli-wh1vc
2 ай бұрын
kindly don't kill
@Fayolafaya254
2 ай бұрын
My brother hakuwa amekufa na wakamumalizia his story is true .
this is a criminal activity DCI should investigate
@Mina.15
3 ай бұрын
They’re lying about views
@user-ul6do9nc5o
2 ай бұрын
@@Mina.15 GThey shoujld be put in they confessed
Jesus is coming soon many people are now confessing their sins
@MukonyiDan17
10 ай бұрын
Does your statement apply with this
@TheVadFamily
10 ай бұрын
@@MukonyiDan17huyu wachana na yeye😂😂
Mortuary job inatakiwa sasa wote wakaguliwe Vifaa wanavyoingia navyo ndani maana hii si sawa, haikubaliki.
What a testimony
Hii ni story real cuzo wangu wawili huwa wanafanya job mochari but kitu huyu jamaa anasema wao pia husema na imagine mmoja yuko Busia na mmoja yuko Kisumu .
@user-yz9qt7fr7r
11 ай бұрын
😢😢😢😢😢😢waaaaa
Subuhanallah sijuikwa minguwatu watasema nini hizo hazabu watapata watajuta kuuwa wenzao Duniani
this man kwa Obinna Show ako sykeless
Hey guys! Pride of Africa. Kitambo vile hatukukuwa na mortuary. Watu walikuwa hawakufi OVYO! BT mortuary vile nilifunguliwa. IKEA ni job. Sio poa lsay.# business #
😂😂😂😂😂bibi ya huyu wanalala kwa bed moja
Interesting espesially sufuche
Hospitali Zina Siri kubwa jamani.
Oooh God
Wah😢 osufuche looks tough. Even your wife can fear you if she hears how you are KAMALIZA
Pole kijana. Kazi ni ngumu iyo umefanya.
Baba ya wanjiku the brand ,ndio maana alikuwa na mapesa
@ombegomourine1715
10 ай бұрын
😅😅😅 kumbe ni pesa ya haramu
@martinakemunto7785
3 ай бұрын
He was also very insensitive he is used to atrocities
Mungu akusamehe kuua watu
@marthalyimo634
2 ай бұрын
Kwa nini asamehewe na anafanya kusudi
Yesoooo😭
Mungu akusamee
Does this Man know that he is talking about lives of People . People loose their loved ones not knowing that they are killed physically in the Morgue . It's so sad .
@ongachiclare
10 ай бұрын
Acha tu ,my mum alipewa Dawa imeandikwa dangerous to rats and Mause 😭😭😭 ,nilishindwa Na huyo daktari Wa Mbale hospital,my mum aliuliwa Na simu hosi,Kwa hivo ukiwa namgonjwa wako hosi chunguza Dawa anapewa,mungu atusaidie😭😭
@jaredjohn3061
8 ай бұрын
He's not ready to change, just by listening to his story
Every single day. A lot happens in this world. Both extremes
Waaah God intervine 😢😢😢muimbee si kupenda kwake
Don’t post part one if you don’t have 2 🤷🏾♂️ U think we gonna look for part 2 a week from now 😤 ?
NEXT PART MKUU
Huyu jamaa jina Tu linashinda KAZI anafanya,😂😂bt story zingine Mimi uwa Tomaso
Wooh
This is what is called cultism 😢😢 Believe in Jesus Christ and He will set you free. Ecclesiastes 9:5
Wanjiku the brand.. Tell yur father to repent😭😭
Aki mungu muurumie huyu jamaa hii story imenitola machozi but mungu akuurumie aki 😭😭🙏🙌🙌🙌
Hii story c jaba ni kweli😮😮😮🙄🙄😳😳😳😥😥na ujue damu itakuandama kwenye maisha yako ,, enda utubu dhambi wewe , ila kizazi chako kiko kwa hatari😢
@everlinemuhadia2754
3 ай бұрын
True kitambo watu walikuwa wanafufuka bt now?? Weeee watubu
@johnkimani7944
3 ай бұрын
Help us by going to "report" and report this fake story at least ten times to have this fake channel with very lowly dangerous ⚡ misinformation shut immediately 😮😮😮
@Mina.15
3 ай бұрын
Comment yako ni ya jaba pia
@bantkmaca5756
3 ай бұрын
@@Mina.15 Yako ni ya njugu au pk
@bantkmaca5756
3 ай бұрын
@@Mina.15 yako ni ya njugu au pk
ATI mwili aikufa vizuri wee
Could it be true. I doubt very many questions??????
@Fayolafaya254
2 ай бұрын
True my sister I can tell you they finished my brother.
Ey kazi yako ni finishing 😂😂😂
@salimsaleh6587
3 ай бұрын
Very sad 😢 very funny at the same time😂😂😂
Wengine wao wanakuaga wamefaint
Wow 😳
@ckudy
10 ай бұрын
Huyu yko jabaa 😂
This true story coz my brother was not dead fully walimumalizia huko...wacha nisionge but naeza sema mtu asipelekwe mortuary haraka after kukufa they need to wait kidogo for 72 hours
@techpunditke1
2 ай бұрын
It's true they are in business the mortuary itself
This is a sad story😢kumalizia watu hawajakufa
Hizi ni jaba
Part 2
Wee mtoto wangu nimrefi kabisa nisaidie
Niko na my story kali
Aki Dunia Mungu anaona maajabu mnafanya Hadi ndio maana amekasilika kurud mara ya pili njameni
Working tools????..
Hapo kwa shoosho kukuongelesha ati ulimuua kabla hajakufa sielewi, alikuwa spirit ama juu anakuambia ulimua kabla hajafa
@Mina.15
3 ай бұрын
You’re asking a stupid and lying person a question. Don’t believe this is NONESENCE
This true,bt now its your time
Ghai..working tools
Story za jaba 🥺
At some point inakaa jaba ju how do you reveal their secrets confidently,,what if wakutafute?
@njerichristine9491
3 ай бұрын
Ee hii ni story za jaba why expose the institution you worked for.or alifutwa akaamua kuexpose
Baba wajiku
Meaning hata hosy hua hawaconfirm vizuri mtu kama amekufa!!!!! Waaaah
@harrietajiambo229
11 ай бұрын
Daktari pia hupanga na watu wa mochari
@faithrehema4767
11 ай бұрын
Eeeh imgn Io si poa aki
@ongachiclare
10 ай бұрын
Hosi wakiona mgonjwa anasumbua anapewa sumu
Mungu wangu kumbe watu wanafanya kazi baya hivi jameni yaani badala urudishe mtu kwa hospital ww unamalizia ngoja hukumu uliua ww
@lizykwekwe3144
11 ай бұрын
Mungu n mwingi wa rehema akitubu atasamehewa
@christineakiru7002
11 ай бұрын
True coz yy hakujua ni kazi ngani atubu atasamehewa
This man is criminal,
God of Heaven prevent my children from this evils
@tauhidajumahamad1218
3 ай бұрын
Ameen Ameen🙏
Waa Kenya Kenya
In Kenya , that can happen and even media will be so obsessed with him. The killer will even get likes. Police will even watch this video and clap for him.....A failed state is a failed state jamani.
Jaba
I think DCI should get this character for these atrocities.
Huyo jamaa anatembea !!!!!!!maiti inatembea!!!!!!!!😮😮😮😮
Innalilah wa ina elehi rajioon 😮
Pls this are creative story,aache uongo.nafanya kazi kwa morgue na hakuna mtu acha fufuka akikufa.respect your work you don't deserve this work.working in morgue is a passion not finding contrnt my friend
Huyu brother anaongea uwongo sana. Kama si mlevi wa pombe ni mvutaji wa bangi ama mkuka. Haiwesekani kuuwa mtu ambaye hajafa kwa kutumia shoka . DCI fuateni huyu jamaa aongee vizuri, Luna uzekano alikuwa akifanya kazi ya kikosi cha wahalifu wa kuuza viungo vya binadamu. Mortuary attendants ni professional ambao wanafanya kazi yao kwa ustadi mkubwa Kujieni Hutu jamaa aeleze vizuri kisha ashitakiwe kwa mauwaji
@julieluziga4773
10 ай бұрын
Ameconfess ili awe huru. Mungu amrehemu
@janewanjira-ki6ib
10 ай бұрын
He is speaking the the world we live in wicked only God can save us:::this is a confession God is forgiving
@MaryMbugua-wd3ev
3 ай бұрын
Mambo na shika ata Mimi nilianza kuskiza kitambo Sana, mbona ukane?
KilMfanyakazi wa. Muchwali uwa anasemaga hivyo wanauwa sana watu na nyundo au sindano uakuchomwa kwa shingo
Reason ya kuwamalizia
Is this Baba Breda Wanjiku of loyalty test???, ama mimi ndio naona zangu😮
@emmaachieng-dg7fx
9 ай бұрын
Ni yeye
😂😂😂😂😂😂osufuche anauza sufuria
@nyakwarshotT
3 ай бұрын
Haha😂😂😂
😢😢😢 tubu zambi za kuua
Kwanini mwaua insted of kuwasaidia
Huyu sino baba wanjiru
Liongoooooo
That why nowadays people don't raise from dead samani watu walikuwa wanafufuka God have mercy on us. Hii ni Morgue gani?
Woooii is this not baba wanjiku the brand???
Why do you like? Because the postmortem will State otherwise your axe blow
This is Nonsense this things Don’t happen this are paid actors kupeana story a mortician is usually trained sio kutolewa kwa streets to job
Mimi ziezi olewa na mtu anafanya kazi mortuary 😢😢😢😢 may God forgive you 😢😢
@user-yz9qt7fr7r
11 ай бұрын
I support you
@HadijaZabroni-pu1lt
11 ай бұрын
Kabisa yaani mtihani sana 😢😢😢😢😢
@Emnaibei-bp6fk
10 ай бұрын
Wanjiku the brand your dad speaking
@user-dv7vg1wm9c
3 ай бұрын
Na butcherman
Part2 pls
@tereciahm8741
11 ай бұрын
Ni mauongo yote hii I know this guy
Uyu ni babake wanjiku the brand
@zawadig4235
11 ай бұрын
Ni yeye baba wanjiku the brand wenye walikula bibi mumoja na mutoto wake kumbe hii ndio ilikua kazi waa mungu onekana
Story ya uongo hata haimake Sense,,, Bodies brought to mortuary when doctor's confirm they are dead how come msee anapelekwa mortuary hajakufa.
@machakuroger7068
10 ай бұрын
I support you, the story is non c sense, he said it is a true story- he is a big lier
@idleProm
9 ай бұрын
Some people were brought directly from scene
@user-cf4xe1qp8e
6 ай бұрын
Ni ukweli anaongea samani watu walikuwa wanafufuka siku hizi watu awafufukangi kwa nini
@jennifergeorge8917
3 ай бұрын
My dear s8z ni ukweli mtu ufufuka my grammar alikufa we confirmed she's no more since morning till 8pm usiku tukapeleka mochari mazishi ikapangwa tunaendea mwili let me tell maina aliamka but hakuwa in her senses huyu mtu alikuwa on duty was a nice person aliitisha nguo akapitishwq mlango ya nyuma ..ni God si wote huuwa but alikuuja akaaga 2022 I wish I had time ningekupeq stori vile alifika heaven chenye aliambiwa time yake bado kufika ni binadamu anataka kukatiza huai wake
Mmmmmmm wapi na hicho nicha kimigori halloooooooo
My God what this ??
Kazi ya mortuary n laana tupu Hadi Kuna wale hulala na maiti
@peshkaris1801
10 ай бұрын
Exactly sister 😢
Ana ona NI sifa but ni upuzi wako wata malizwa hivyo tu
He doesn't want to say the name ot that morgue
Tubi dhambi zako hizo. Kwani mtu akipelekwa bahati akawa mzima si unamrudisha tu kwa ndugu zake? Jamani!
😢😢😢
Script..respect kazi za morgue and stop discrimination hkn mtu huenda kwa morgue kama hajakufa and anatomy law prohibits kudamage mwili
Wa Kenya wabaya kwa nini uuwe
How he even got the job position is questionable... Out here so many trained morticians are busy tarmacing kutafuta kazi... Huyu ni story za jaba ako nazo kutuharibia jiná us trained morticians...
😮😮😮😮
Good morning 😊
Toba yarabi😢
Huyu si yule acting baba Wanjiku the Brand? Kumbe hizi huwa tu story za Jaba? 🙄🙄🙄😂😂😂
Eee
How can you kill a dead person I don't gerrit
Hii ni morgue gani aki watu wanaenda mbiguni bila fare 😅😅😅
😱😱😱
Wewe nimuongo kabisa nauodoke kwenye mitadao yetu kwanini Kuna mutuanaberekagwo mok akiwa hai nakama nikweri sema niwAbi,
@Imana.ninziza
11 ай бұрын
Nikweri sio muongo kuna watu wanaberekwa mok wakiwa hai ,kuna MTU tanzania arikua anafanya kazi kama hii mok ya kumarizia ,,sasa yeye warimpa sindano zakuadunga iri wafe,dunia ina mambo😢😢
@sophiamakani6133
11 ай бұрын
@@Imana.ninzizabut huyu ni acting mkubwa 😂😂tushamujua
Guilty
He talks like mr ongiri
C huyu n baba wanjiko mwenye alikuwa ameoa brendah
@maggieenock4762
11 ай бұрын
😂😂😂😂Aki ni yeye
Hapana , cheating is not