NIMEKUWA NKIMALIZIA KUUA MAITI AMBAO HAWAJAKUFA VIZURI MORTUARY - OSUFUCHE REVEALS

Ойын-сауық

Watch, like, Share. For mentions and content collaborations, text us at +254733290656
Part 2 : • TULIKUWA TUKIZIKUA MAK...
Subscribe to Osufuche channel ‪@magwanjaosufuche‬
_____________________________________________________________
►Support our shows on PayPal: bit.ly/ZadkDonate
►Subscribe NOW if you are new: bit.ly/3nKxDpK
►Follow Zack on Instagram: zad_ke

Пікірлер: 265

  • @user-kz4dz4ff6q
    @user-kz4dz4ff6q4 ай бұрын

    Plz plz plz plz watu wa mortuary nawaomba tu Kwa Imani kuu ya Mungu mtu yeyote masikini au tajili akiletwa kwenu kama ajakufa plz mrudishe hos atipiwe apone aone njamii yake wezake wafurahie Wacha tamaa ya Dunia akuna mahali itawapeleka mtakufa tu na hiyo uaji yenu

  • @user-gj7cd8lf6g

    @user-gj7cd8lf6g

    3 ай бұрын

    Unapewa story unakasirika we tembea Kila mortuary Fanya education kwa hao watu

  • @lucymutua9525

    @lucymutua9525

    3 ай бұрын

    You are rude​@@user-gj7cd8lf6g

  • @RuthMuli-wh1vc

    @RuthMuli-wh1vc

    2 ай бұрын

    kindly don't kill

  • @Fayolafaya254

    @Fayolafaya254

    2 ай бұрын

    My brother hakuwa amekufa na wakamumalizia his story is true .

  • @HappyBigWaterfall-nj6ef
    @HappyBigWaterfall-nj6ef3 ай бұрын

    this is a criminal activity DCI should investigate

  • @Mina.15

    @Mina.15

    3 ай бұрын

    They’re lying about views

  • @user-ul6do9nc5o

    @user-ul6do9nc5o

    2 ай бұрын

    @@Mina.15 GThey shoujld be put in they confessed

  • @user-ry2th6rf9d
    @user-ry2th6rf9d11 ай бұрын

    Jesus is coming soon many people are now confessing their sins

  • @MukonyiDan17

    @MukonyiDan17

    10 ай бұрын

    Does your statement apply with this

  • @TheVadFamily

    @TheVadFamily

    10 ай бұрын

    ​@@MukonyiDan17huyu wachana na yeye😂😂

  • @Myright888
    @Myright8884 ай бұрын

    Mortuary job inatakiwa sasa wote wakaguliwe Vifaa wanavyoingia navyo ndani maana hii si sawa, haikubaliki.

  • @judithambuli2675
    @judithambuli267520 күн бұрын

    What a testimony

  • @harrietajiambo229
    @harrietajiambo22911 ай бұрын

    Hii ni story real cuzo wangu wawili huwa wanafanya job mochari but kitu huyu jamaa anasema wao pia husema na imagine mmoja yuko Busia na mmoja yuko Kisumu .

  • @user-yz9qt7fr7r

    @user-yz9qt7fr7r

    11 ай бұрын

    😢😢😢😢😢😢waaaaa

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania725811 ай бұрын

    Subuhanallah sijuikwa minguwatu watasema nini hizo hazabu watapata watajuta kuuwa wenzao Duniani

  • @makimudoubledouble5605
    @makimudoubledouble56052 ай бұрын

    this man kwa Obinna Show ako sykeless

  • @everlinemuhadia2754
    @everlinemuhadia27543 ай бұрын

    Hey guys! Pride of Africa. Kitambo vile hatukukuwa na mortuary. Watu walikuwa hawakufi OVYO! BT mortuary vile nilifunguliwa. IKEA ni job. Sio poa lsay.# business #

  • @AshbabeMuigai-wv2vo
    @AshbabeMuigai-wv2vo4 ай бұрын

    😂😂😂😂😂bibi ya huyu wanalala kwa bed moja

  • @WorldLesson
    @WorldLesson3 ай бұрын

    Interesting espesially sufuche

  • @maswamills3161
    @maswamills316110 ай бұрын

    Hospitali Zina Siri kubwa jamani.

  • @irinemudasia8387
    @irinemudasia83872 күн бұрын

    Oooh God

  • @MargaretOmondi-pf3uz
    @MargaretOmondi-pf3uzАй бұрын

    Wah😢 osufuche looks tough. Even your wife can fear you if she hears how you are KAMALIZA

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura57632 ай бұрын

    Pole kijana. Kazi ni ngumu iyo umefanya.

  • @everlineakinyiogolla5599
    @everlineakinyiogolla559911 ай бұрын

    Baba ya wanjiku the brand ,ndio maana alikuwa na mapesa

  • @ombegomourine1715

    @ombegomourine1715

    10 ай бұрын

    😅😅😅 kumbe ni pesa ya haramu

  • @martinakemunto7785

    @martinakemunto7785

    3 ай бұрын

    He was also very insensitive he is used to atrocities

  • @jacklinelihabi5535
    @jacklinelihabi553511 ай бұрын

    Mungu akusamehe kuua watu

  • @marthalyimo634

    @marthalyimo634

    2 ай бұрын

    Kwa nini asamehewe na anafanya kusudi

  • @MourineOori
    @MourineOori3 ай бұрын

    Yesoooo😭

  • @BendettaKatheu
    @BendettaKatheu9 ай бұрын

    Mungu akusamee

  • @lillianmasinza1787
    @lillianmasinza178711 ай бұрын

    Does this Man know that he is talking about lives of People . People loose their loved ones not knowing that they are killed physically in the Morgue . It's so sad .

  • @ongachiclare

    @ongachiclare

    10 ай бұрын

    Acha tu ,my mum alipewa Dawa imeandikwa dangerous to rats and Mause 😭😭😭 ,nilishindwa Na huyo daktari Wa Mbale hospital,my mum aliuliwa Na simu hosi,Kwa hivo ukiwa namgonjwa wako hosi chunguza Dawa anapewa,mungu atusaidie😭😭

  • @jaredjohn3061

    @jaredjohn3061

    8 ай бұрын

    He's not ready to change, just by listening to his story

  • @user-zv2ky7dv8q
    @user-zv2ky7dv8q2 ай бұрын

    Every single day. A lot happens in this world. Both extremes

  • @rehemamoseti995
    @rehemamoseti9953 ай бұрын

    Waaah God intervine 😢😢😢muimbee si kupenda kwake

  • @daddyvmusic
    @daddyvmusic11 ай бұрын

    Don’t post part one if you don’t have 2 🤷🏾‍♂️ U think we gonna look for part 2 a week from now 😤 ?

  • @TheVadFamily
    @TheVadFamily10 ай бұрын

    NEXT PART MKUU

  • @user-cg3vf2bl6b
    @user-cg3vf2bl6b10 ай бұрын

    Huyu jamaa jina Tu linashinda KAZI anafanya,😂😂bt story zingine Mimi uwa Tomaso

  • @jeffkaranjafilms6441
    @jeffkaranjafilms644111 ай бұрын

    Wooh

  • @mwalimubenardotieno5703
    @mwalimubenardotieno57033 ай бұрын

    This is what is called cultism 😢😢 Believe in Jesus Christ and He will set you free. Ecclesiastes 9:5

  • @naomishivere7838
    @naomishivere78389 ай бұрын

    Wanjiku the brand.. Tell yur father to repent😭😭

  • @user-ms7ws6sd4q
    @user-ms7ws6sd4q5 ай бұрын

    Aki mungu muurumie huyu jamaa hii story imenitola machozi but mungu akuurumie aki 😭😭🙏🙌🙌🙌

  • @bantkmaca5756
    @bantkmaca57563 ай бұрын

    Hii story c jaba ni kweli😮😮😮🙄🙄😳😳😳😥😥na ujue damu itakuandama kwenye maisha yako ,, enda utubu dhambi wewe , ila kizazi chako kiko kwa hatari😢

  • @everlinemuhadia2754

    @everlinemuhadia2754

    3 ай бұрын

    True kitambo watu walikuwa wanafufuka bt now?? Weeee watubu

  • @johnkimani7944

    @johnkimani7944

    3 ай бұрын

    Help us by going to "report" and report this fake story at least ten times to have this fake channel with very lowly dangerous ⚡ misinformation shut immediately 😮😮😮

  • @Mina.15

    @Mina.15

    3 ай бұрын

    Comment yako ni ya jaba pia

  • @bantkmaca5756

    @bantkmaca5756

    3 ай бұрын

    @@Mina.15 Yako ni ya njugu au pk

  • @bantkmaca5756

    @bantkmaca5756

    3 ай бұрын

    @@Mina.15 yako ni ya njugu au pk

  • @rhthrhrh6896
    @rhthrhrh689610 ай бұрын

    ATI mwili aikufa vizuri wee

  • @annemaina7328
    @annemaina73283 ай бұрын

    Could it be true. I doubt very many questions??????

  • @Fayolafaya254

    @Fayolafaya254

    2 ай бұрын

    True my sister I can tell you they finished my brother.

  • @user-rg8fq8fc3k
    @user-rg8fq8fc3k11 ай бұрын

    Ey kazi yako ni finishing 😂😂😂

  • @salimsaleh6587

    @salimsaleh6587

    3 ай бұрын

    Very sad 😢 very funny at the same time😂😂😂

  • @user-st8qe7ny8n
    @user-st8qe7ny8n3 ай бұрын

    Wengine wao wanakuaga wamefaint

  • @ymefay
    @ymefay10 ай бұрын

    Wow 😳

  • @ckudy

    @ckudy

    10 ай бұрын

    Huyu yko jabaa 😂

  • @Fayolafaya254
    @Fayolafaya2542 ай бұрын

    This true story coz my brother was not dead fully walimumalizia huko...wacha nisionge but naeza sema mtu asipelekwe mortuary haraka after kukufa they need to wait kidogo for 72 hours

  • @techpunditke1

    @techpunditke1

    2 ай бұрын

    It's true they are in business the mortuary itself

  • @christinekelly8756
    @christinekelly87563 ай бұрын

    This is a sad story😢kumalizia watu hawajakufa

  • @ericonyango9595
    @ericonyango95953 ай бұрын

    Hizi ni jaba

  • @osidephrauline6680
    @osidephrauline668011 ай бұрын

    Part 2

  • @BendettaKatheu
    @BendettaKatheu9 ай бұрын

    Wee mtoto wangu nimrefi kabisa nisaidie

  • @AngoSheriff-be5mq
    @AngoSheriff-be5mq9 ай бұрын

    Niko na my story kali

  • @user-kz4dz4ff6q
    @user-kz4dz4ff6q4 ай бұрын

    Aki Dunia Mungu anaona maajabu mnafanya Hadi ndio maana amekasilika kurud mara ya pili njameni

  • @TheMainakin
    @TheMainakin21 күн бұрын

    Working tools????..

  • @periasakimba7892
    @periasakimba78923 ай бұрын

    Hapo kwa shoosho kukuongelesha ati ulimuua kabla hajakufa sielewi, alikuwa spirit ama juu anakuambia ulimua kabla hajafa

  • @Mina.15

    @Mina.15

    3 ай бұрын

    You’re asking a stupid and lying person a question. Don’t believe this is NONESENCE

  • @cicinho6157
    @cicinho61577 ай бұрын

    This true,bt now its your time

  • @belinegriffiths7427
    @belinegriffiths742711 ай бұрын

    Ghai..working tools

  • @felitussitoki6918
    @felitussitoki69183 ай бұрын

    Story za jaba 🥺

  • @TheVadFamily
    @TheVadFamily10 ай бұрын

    At some point inakaa jaba ju how do you reveal their secrets confidently,,what if wakutafute?

  • @njerichristine9491

    @njerichristine9491

    3 ай бұрын

    Ee hii ni story za jaba why expose the institution you worked for.or alifutwa akaamua kuexpose

  • @carowambua4832
    @carowambua483210 ай бұрын

    Baba wajiku

  • @andyken8404
    @andyken840411 ай бұрын

    Meaning hata hosy hua hawaconfirm vizuri mtu kama amekufa!!!!! Waaaah

  • @harrietajiambo229

    @harrietajiambo229

    11 ай бұрын

    Daktari pia hupanga na watu wa mochari

  • @faithrehema4767

    @faithrehema4767

    11 ай бұрын

    Eeeh imgn Io si poa aki

  • @ongachiclare

    @ongachiclare

    10 ай бұрын

    Hosi wakiona mgonjwa anasumbua anapewa sumu

  • @anastasiamumbi739
    @anastasiamumbi73911 ай бұрын

    Mungu wangu kumbe watu wanafanya kazi baya hivi jameni yaani badala urudishe mtu kwa hospital ww unamalizia ngoja hukumu uliua ww

  • @lizykwekwe3144

    @lizykwekwe3144

    11 ай бұрын

    Mungu n mwingi wa rehema akitubu atasamehewa

  • @christineakiru7002

    @christineakiru7002

    11 ай бұрын

    True coz yy hakujua ni kazi ngani atubu atasamehewa

  • @sharonmukami8984
    @sharonmukami89842 ай бұрын

    This man is criminal,

  • @naomi7552
    @naomi755210 ай бұрын

    God of Heaven prevent my children from this evils

  • @tauhidajumahamad1218

    @tauhidajumahamad1218

    3 ай бұрын

    Ameen Ameen🙏

  • @queenyakinangop4096
    @queenyakinangop4096Ай бұрын

    Waa Kenya Kenya

  • @mohamednagib2594
    @mohamednagib259422 күн бұрын

    In Kenya , that can happen and even media will be so obsessed with him. The killer will even get likes. Police will even watch this video and clap for him.....A failed state is a failed state jamani.

  • @divinahogendi6076
    @divinahogendi60763 ай бұрын

    Jaba

  • @demungate
    @demungate3 ай бұрын

    I think DCI should get this character for these atrocities.

  • @maswamills3161
    @maswamills316110 ай бұрын

    Huyo jamaa anatembea !!!!!!!maiti inatembea!!!!!!!!😮😮😮😮

  • @fsaad5116
    @fsaad511611 ай бұрын

    Innalilah wa ina elehi rajioon 😮

  • @NaomiMuthoni-sv6bs
    @NaomiMuthoni-sv6bs2 ай бұрын

    Pls this are creative story,aache uongo.nafanya kazi kwa morgue na hakuna mtu acha fufuka akikufa.respect your work you don't deserve this work.working in morgue is a passion not finding contrnt my friend

  • @robertwaliaula8880
    @robertwaliaula888011 ай бұрын

    Huyu brother anaongea uwongo sana. Kama si mlevi wa pombe ni mvutaji wa bangi ama mkuka. Haiwesekani kuuwa mtu ambaye hajafa kwa kutumia shoka . DCI fuateni huyu jamaa aongee vizuri, Luna uzekano alikuwa akifanya kazi ya kikosi cha wahalifu wa kuuza viungo vya binadamu. Mortuary attendants ni professional ambao wanafanya kazi yao kwa ustadi mkubwa Kujieni Hutu jamaa aeleze vizuri kisha ashitakiwe kwa mauwaji

  • @julieluziga4773

    @julieluziga4773

    10 ай бұрын

    Ameconfess ili awe huru. Mungu amrehemu

  • @janewanjira-ki6ib

    @janewanjira-ki6ib

    10 ай бұрын

    He is speaking the the world we live in wicked only God can save us:::this is a confession God is forgiving

  • @MaryMbugua-wd3ev

    @MaryMbugua-wd3ev

    3 ай бұрын

    Mambo na shika ata Mimi nilianza kuskiza kitambo Sana, mbona ukane?

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania725811 ай бұрын

    KilMfanyakazi wa. Muchwali uwa anasemaga hivyo wanauwa sana watu na nyundo au sindano uakuchomwa kwa shingo

  • @Godneverfailed
    @GodneverfailedАй бұрын

    Reason ya kuwamalizia

  • @veronicamutheu5253
    @veronicamutheu525310 ай бұрын

    Is this Baba Breda Wanjiku of loyalty test???, ama mimi ndio naona zangu😮

  • @emmaachieng-dg7fx

    @emmaachieng-dg7fx

    9 ай бұрын

    Ni yeye

  • @flovianodongo5877
    @flovianodongo58773 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂osufuche anauza sufuria

  • @nyakwarshotT

    @nyakwarshotT

    3 ай бұрын

    Haha😂😂😂

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam43252 ай бұрын

    😢😢😢 tubu zambi za kuua

  • @maggieshi690
    @maggieshi6902 ай бұрын

    Kwanini mwaua insted of kuwasaidia

  • @moreenrugendo4954
    @moreenrugendo495411 ай бұрын

    Huyu sino baba wanjiru

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter820011 ай бұрын

    Liongoooooo

  • @user-cf4xe1qp8e
    @user-cf4xe1qp8e6 ай бұрын

    That why nowadays people don't raise from dead samani watu walikuwa wanafufuka God have mercy on us. Hii ni Morgue gani?

  • @nancynyaboke2719
    @nancynyaboke27193 ай бұрын

    Woooii is this not baba wanjiku the brand???

  • @ezramwakio8322
    @ezramwakio83223 ай бұрын

    Why do you like? Because the postmortem will State otherwise your axe blow

  • @dennismusila5165
    @dennismusila51653 ай бұрын

    This is Nonsense this things Don’t happen this are paid actors kupeana story a mortician is usually trained sio kutolewa kwa streets to job

  • @najmahnajmah2165
    @najmahnajmah216511 ай бұрын

    Mimi ziezi olewa na mtu anafanya kazi mortuary 😢😢😢😢 may God forgive you 😢😢

  • @user-yz9qt7fr7r

    @user-yz9qt7fr7r

    11 ай бұрын

    I support you

  • @HadijaZabroni-pu1lt

    @HadijaZabroni-pu1lt

    11 ай бұрын

    Kabisa yaani mtihani sana 😢😢😢😢😢

  • @Emnaibei-bp6fk

    @Emnaibei-bp6fk

    10 ай бұрын

    Wanjiku the brand your dad speaking

  • @user-dv7vg1wm9c

    @user-dv7vg1wm9c

    3 ай бұрын

    Na butcherman

  • @pauj9v
    @pauj9v11 ай бұрын

    Part2 pls

  • @tereciahm8741

    @tereciahm8741

    11 ай бұрын

    Ni mauongo yote hii I know this guy

  • @puritykyalo1575
    @puritykyalo157511 ай бұрын

    Uyu ni babake wanjiku the brand

  • @zawadig4235

    @zawadig4235

    11 ай бұрын

    Ni yeye baba wanjiku the brand wenye walikula bibi mumoja na mutoto wake kumbe hii ndio ilikua kazi waa mungu onekana

  • @Huncho_taitan_breezy
    @Huncho_taitan_breezy10 ай бұрын

    Story ya uongo hata haimake Sense,,, Bodies brought to mortuary when doctor's confirm they are dead how come msee anapelekwa mortuary hajakufa.

  • @machakuroger7068

    @machakuroger7068

    10 ай бұрын

    I support you, the story is non c sense, he said it is a true story- he is a big lier

  • @idleProm

    @idleProm

    9 ай бұрын

    Some people were brought directly from scene

  • @user-cf4xe1qp8e

    @user-cf4xe1qp8e

    6 ай бұрын

    Ni ukweli anaongea samani watu walikuwa wanafufuka siku hizi watu awafufukangi kwa nini

  • @jennifergeorge8917

    @jennifergeorge8917

    3 ай бұрын

    My dear s8z ni ukweli mtu ufufuka my grammar alikufa we confirmed she's no more since morning till 8pm usiku tukapeleka mochari mazishi ikapangwa tunaendea mwili let me tell maina aliamka but hakuwa in her senses huyu mtu alikuwa on duty was a nice person aliitisha nguo akapitishwq mlango ya nyuma ..ni God si wote huuwa but alikuuja akaaga 2022 I wish I had time ningekupeq stori vile alifika heaven chenye aliambiwa time yake bado kufika ni binadamu anataka kukatiza huai wake

  • @TeresiaWangui-sy1oh
    @TeresiaWangui-sy1oh3 ай бұрын

    Mmmmmmm wapi na hicho nicha kimigori halloooooooo

  • @scholakilonzo2906
    @scholakilonzo290611 ай бұрын

    My God what this ??

  • @flezzyroshan9380
    @flezzyroshan938011 ай бұрын

    Kazi ya mortuary n laana tupu Hadi Kuna wale hulala na maiti

  • @peshkaris1801

    @peshkaris1801

    10 ай бұрын

    Exactly sister 😢

  • @TeresiaWangui-sy1oh
    @TeresiaWangui-sy1oh3 ай бұрын

    Ana ona NI sifa but ni upuzi wako wata malizwa hivyo tu

  • @jaredjohn3061
    @jaredjohn30618 ай бұрын

    He doesn't want to say the name ot that morgue

  • @lilianluhasi311
    @lilianluhasi31110 ай бұрын

    Tubi dhambi zako hizo. Kwani mtu akipelekwa bahati akawa mzima si unamrudisha tu kwa ndugu zake? Jamani!

  • @user-mw2th3cu7t
    @user-mw2th3cu7t9 ай бұрын

    😢😢😢

  • @shyeepaul4859
    @shyeepaul485924 күн бұрын

    Script..respect kazi za morgue and stop discrimination hkn mtu huenda kwa morgue kama hajakufa and anatomy law prohibits kudamage mwili

  • @salminasalim5630
    @salminasalim563011 ай бұрын

    Wa Kenya wabaya kwa nini uuwe

  • @maureenwanjiku7669
    @maureenwanjiku76693 ай бұрын

    How he even got the job position is questionable... Out here so many trained morticians are busy tarmacing kutafuta kazi... Huyu ni story za jaba ako nazo kutuharibia jiná us trained morticians...

  • @stellahluyiakha
    @stellahluyiakha11 ай бұрын

    😮😮😮😮

  • @user-wc9zi6rz3v
    @user-wc9zi6rz3v9 ай бұрын

    Good morning 😊

  • @safiyasafiya5014
    @safiyasafiya50143 ай бұрын

    Toba yarabi😢

  • @carolineotenyo5888
    @carolineotenyo588810 ай бұрын

    Huyu si yule acting baba Wanjiku the Brand? Kumbe hizi huwa tu story za Jaba? 🙄🙄🙄😂😂😂

  • @priscaopondo1307
    @priscaopondo1307Ай бұрын

    Eee

  • @fotycows3830
    @fotycows38303 ай бұрын

    How can you kill a dead person I don't gerrit

  • @user-eh5oh1lh7r
    @user-eh5oh1lh7r10 ай бұрын

    Hii ni morgue gani aki watu wanaenda mbiguni bila fare 😅😅😅

  • @roseney5779
    @roseney577910 ай бұрын

    😱😱😱

  • @rosejambi2713
    @rosejambi271311 ай бұрын

    Wewe nimuongo kabisa nauodoke kwenye mitadao yetu kwanini Kuna mutuanaberekagwo mok akiwa hai nakama nikweri sema niwAbi,

  • @Imana.ninziza

    @Imana.ninziza

    11 ай бұрын

    Nikweri sio muongo kuna watu wanaberekwa mok wakiwa hai ,kuna MTU tanzania arikua anafanya kazi kama hii mok ya kumarizia ,,sasa yeye warimpa sindano zakuadunga iri wafe,dunia ina mambo😢😢

  • @sophiamakani6133

    @sophiamakani6133

    11 ай бұрын

    ​@@Imana.ninzizabut huyu ni acting mkubwa 😂😂tushamujua

  • @nureathman3921
    @nureathman39213 ай бұрын

    Guilty

  • @kerubomachora4621
    @kerubomachora46213 ай бұрын

    He talks like mr ongiri

  • @PerizKorir-st1nc
    @PerizKorir-st1nc11 ай бұрын

    C huyu n baba wanjiko mwenye alikuwa ameoa brendah

  • @maggieenock4762

    @maggieenock4762

    11 ай бұрын

    😂😂😂😂Aki ni yeye

  • @emmaculatekyakashow
    @emmaculatekyakashow11 ай бұрын

    Hapana , cheating is not

Келесі