Huyu mwandishi nampenda sana Anahoji kwa hekma sana Kweli kz ya yk unaiweza👍👍
@mouwanahamisi8216
2 жыл бұрын
Tunajifunza hasa
@mrsliverpool4235
2 жыл бұрын
yupo vizuri sana
@Johanah7721
Жыл бұрын
Sanaaaaa adi raha ♥️♥️♥️
@noors7030
Жыл бұрын
Mashaallah anastahili kua muandishi hongera kk
@uredipeter4125 ай бұрын
Pole Sana bro
@sitiabubakar28922 жыл бұрын
Anavyoelezea ugumu wa maisha mpaka inaskitisha wallah maisha magumu jamani
@nahyialetomia92842 жыл бұрын
Apime damu kwanza
@fathimamct2322 жыл бұрын
Ila inaonyesha madawa hajaacha kutumia sababu hiyo midomo ilivyoharika mtamgazaji mshuri huyo jamaa awe anampenda kutafuta Carrot 🥕 na awe anampenda kupika Cabbage 🥬 na alitie vitunguu vingi hiyo Hali itakwisha humor midomoni.
@jumanassoro1552
Жыл бұрын
Asante sana kwa ushauri wako nazani utawasaidia watu wengi ushauri wako
@zidadumbepo1486
Жыл бұрын
labda bange Ila siyo heroen
@rajabu4692
Жыл бұрын
Naomba namba yako ya simu nahitaj elimu Zaid katika hili
@naomysalim64772 жыл бұрын
kuna story ya mkaka mmoja alikua anafanya kaz mochwari,alisema mwizi alipigwa wakajua amekufa bwana akafufuka..kumbe ndo uyu jaman🙌🏼🙌🏼
Kiukweli huyu mkaka anaakiri basi tu jamn ugumu wa maisha kweli kila jambo linasababu kbs Mungu amkumbuka tu.
@Tinatana302 жыл бұрын
Sawa tumewasikia na Polen sana ila sasa sisi kama wanafamilia wa Maximum Tv tunafanyaje ili kuwasaidia Hawa ndugu zetu ??
@skjjsj18892 жыл бұрын
Jamani huyu mkk asaidiwe jamani Anatia huruma
@comedywaves10912 жыл бұрын
Pole sana ndugu yangu
@aminaabdalla99492 жыл бұрын
Huyujamaa akiongea anakaamgonjwaalafu pia anaupungufuwa afraid damu
@najmamosha74432 жыл бұрын
Pole kaka
@telaamtauta22272 жыл бұрын
S sahihi kabisa lakini hamkuweka no yake tukitaka kumsaidia chochote
@josphatmwai1994 Жыл бұрын
Jesus Christ mtembelee huyu ndugu. Nairobi tupo
@zeddydaqueensy46122 жыл бұрын
Duuh maisha haya jamani hadi huruma
@beathamahatane22052 жыл бұрын
Mungu anakuhitaji umtumikie sasa
@mwastimsingi93732 жыл бұрын
Wanatakiwa wasaidiwe sio kuwauliza tuuu
@fatmaally7252
2 жыл бұрын
Kweli
@marryjonas69732 жыл бұрын
Pole sana
@aminakawawa5800 Жыл бұрын
Dah pole sana huyu atakuwa ana ukosefu wa vitamin ndio maana mdomo huko hivyo 🤲🤲
@josemsafimusic33892 жыл бұрын
YESU PEKEE TU NDO ALIYEFUFUKA KUTOKA KWENYE KIFO HAO WENGINE WALIPITIWA NA USINGIZI MZITO WATU WAKAJUA WAMEKUFA
@victoriankanue7849
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣👍👍👍
@jacquilinenoah949
Жыл бұрын
nmecheka sanaa😂😂😂
@judithmelvinealuchio8968
Жыл бұрын
kenya nikiwa mdogo sana kuna muchungaji alimuua muchungaji mwenzie sababu ya cheo na aliua mwenye alikuwa ameokoka kabisaa maziko muuaji mwenyewe akawa ndio anamusomea ile ya fumbi kwa kwa vumbi jeneza lilitoka likamukaa kichwani wakatwaa wote wakapotelea kwa mawingu haya mambo yapo ila mungu akiwapea second chance huwa wanaokoka huyu tuseme labda alipitiziwa na maumivu sio hata usingizi na ilikuwa njia ya kujiokoa mungu alimuokoa ubaya anatusi watu mungu ndiye mwamuzi siku zote
@stellah3844
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣Huyu alizimia
@aminaabdalla99492 жыл бұрын
Inaoneka hanavidole maskini
@matishomateso46392 жыл бұрын
Nice
@stevenkapanga71562 жыл бұрын
Jaman maisha haya
@khadijakdj8640 Жыл бұрын
Ww mwenyewe unakunywa pombe uruka inaonyesha 😂🤣
@aminakipande5645
Жыл бұрын
Mdomo sasa huruma
@judithmelvinealuchio8968
Жыл бұрын
@@aminakipande5645 hiyo ni mouth cancer kiss zinaambukiza na kuna hizi pombe kali pia husababisha
@jovanafidelis2802
Жыл бұрын
@@judithmelvinealuchio8968 ni cancer au makovu ya kuungua
@fatmaalnabhani36092 жыл бұрын
Wacha na hizo sigara pia zote ni madhara makubwa sana
@user-hp7rx4zk4t11 күн бұрын
Weken namba zao tuwasaidie
@jaharaoman64782 жыл бұрын
Dua pole kaka mapito hayo
@hawa45kisula343 ай бұрын
Pole
@janethkomba4485 Жыл бұрын
daaa inasikitisha Sanaa MH hi Dunia inachangamotoo pole Sanaa"
@saifal-harthi20802 жыл бұрын
Kaka yangu namuonea huruma
@asmarajabu57862 жыл бұрын
pole
@tatoorashedi1787 Жыл бұрын
Ipo siku mungu atakupa usikate tamaa mungu yuko na ww
@jasmineeomary20412 жыл бұрын
Sema wanawake tuna huruma sana🙌
@mouwanahamisi8216
2 жыл бұрын
Kwann 🙄
@aminakipande5645
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🙈
@hejmabohejhej9
Жыл бұрын
@@aminakipande5645 😅😅😅
@hejmabohejhej9
Жыл бұрын
😅😅😅😅
@hanifatanzania72582 жыл бұрын
Subuhanallah polekaka
@rukiasaid2039
2 жыл бұрын
Uwache sasa kazi iyo
@rukiasaid2039
2 жыл бұрын
Umeamshwa ili utubu mwenyezi mungu kakupa muda ili utubu
@fatumakhalidi70662 жыл бұрын
We ni Eric mtoto wa herieti chumila mdogo wa rucy na caro na mashana?? Nijibu moyo wangu upoe mana kama ni wewe nimekukea sana pale yombo 😊😊
@neemazee18642 жыл бұрын
Sasa usharudi kwa Mola wako
@mamafau98062 жыл бұрын
Mbona kama mteja uyoo avuti unga kwer uyoo mmm
@kadijahajali39182 жыл бұрын
Hee
@mouwanahamisi82162 жыл бұрын
Mung mwema mochwar kabisa 🙄🙄🙄
@aishaally80622 жыл бұрын
Bonde la Muhimbili Hilo Nimekaa sana hapo Maisha Usikie mpaka Sasa hivi nipo Dubai namshukuru sana Mwenyezi mungu zaidi ya Sana.
@gracehamishamisikitundu7998
2 жыл бұрын
Pole na mm nipo Dubai tukuane kama hutajali
@fatmamsiliwa8485
2 жыл бұрын
Dubai sehem gani upo
@kadijahajali39182 жыл бұрын
Auwahu akibaru mtihani mkubwa mungu atunusuru
@kadeejadxbdxb5043
Жыл бұрын
Siyo Auwahu akibaru bi hadija
@dottojafet91532 жыл бұрын
Huyo Kaka Ni mkorof sn! Anapita kkoo akiombaomba ukimwambia sina anakutukana matus makubwa mpaka unakimbia,mshesz sn huyo
Пікірлер: 78
Huyu mwandishi nampenda sana Anahoji kwa hekma sana Kweli kz ya yk unaiweza👍👍
@mouwanahamisi8216
2 жыл бұрын
Tunajifunza hasa
@mrsliverpool4235
2 жыл бұрын
yupo vizuri sana
@Johanah7721
Жыл бұрын
Sanaaaaa adi raha ♥️♥️♥️
@noors7030
Жыл бұрын
Mashaallah anastahili kua muandishi hongera kk
Pole Sana bro
Anavyoelezea ugumu wa maisha mpaka inaskitisha wallah maisha magumu jamani
Apime damu kwanza
Ila inaonyesha madawa hajaacha kutumia sababu hiyo midomo ilivyoharika mtamgazaji mshuri huyo jamaa awe anampenda kutafuta Carrot 🥕 na awe anampenda kupika Cabbage 🥬 na alitie vitunguu vingi hiyo Hali itakwisha humor midomoni.
@jumanassoro1552
Жыл бұрын
Asante sana kwa ushauri wako nazani utawasaidia watu wengi ushauri wako
@zidadumbepo1486
Жыл бұрын
labda bange Ila siyo heroen
@rajabu4692
Жыл бұрын
Naomba namba yako ya simu nahitaj elimu Zaid katika hili
kuna story ya mkaka mmoja alikua anafanya kaz mochwari,alisema mwizi alipigwa wakajua amekufa bwana akafufuka..kumbe ndo uyu jaman🙌🏼🙌🏼
@nancyg8664
11 ай бұрын
Maskin dah
Jamani anakiri makosa Anatakiwa asaidiwe sio kuhoji tuuu
Maskini huyu kaka anaumwa hayuko sawa kabisa 😔😔
hongereni madoctor kwa kz zuri
Mungu akufanyie wepesi
Kiukweli huyu mkaka anaakiri basi tu jamn ugumu wa maisha kweli kila jambo linasababu kbs Mungu amkumbuka tu.
Sawa tumewasikia na Polen sana ila sasa sisi kama wanafamilia wa Maximum Tv tunafanyaje ili kuwasaidia Hawa ndugu zetu ??
Jamani huyu mkk asaidiwe jamani Anatia huruma
Pole sana ndugu yangu
Huyujamaa akiongea anakaamgonjwaalafu pia anaupungufuwa afraid damu
Pole kaka
S sahihi kabisa lakini hamkuweka no yake tukitaka kumsaidia chochote
Jesus Christ mtembelee huyu ndugu. Nairobi tupo
Duuh maisha haya jamani hadi huruma
Mungu anakuhitaji umtumikie sasa
Wanatakiwa wasaidiwe sio kuwauliza tuuu
@fatmaally7252
2 жыл бұрын
Kweli
Pole sana
Dah pole sana huyu atakuwa ana ukosefu wa vitamin ndio maana mdomo huko hivyo 🤲🤲
YESU PEKEE TU NDO ALIYEFUFUKA KUTOKA KWENYE KIFO HAO WENGINE WALIPITIWA NA USINGIZI MZITO WATU WAKAJUA WAMEKUFA
@victoriankanue7849
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣👍👍👍
@jacquilinenoah949
Жыл бұрын
nmecheka sanaa😂😂😂
@judithmelvinealuchio8968
Жыл бұрын
kenya nikiwa mdogo sana kuna muchungaji alimuua muchungaji mwenzie sababu ya cheo na aliua mwenye alikuwa ameokoka kabisaa maziko muuaji mwenyewe akawa ndio anamusomea ile ya fumbi kwa kwa vumbi jeneza lilitoka likamukaa kichwani wakatwaa wote wakapotelea kwa mawingu haya mambo yapo ila mungu akiwapea second chance huwa wanaokoka huyu tuseme labda alipitiziwa na maumivu sio hata usingizi na ilikuwa njia ya kujiokoa mungu alimuokoa ubaya anatusi watu mungu ndiye mwamuzi siku zote
@stellah3844
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣Huyu alizimia
Inaoneka hanavidole maskini
Nice
Jaman maisha haya
Ww mwenyewe unakunywa pombe uruka inaonyesha 😂🤣
@aminakipande5645
Жыл бұрын
Mdomo sasa huruma
@judithmelvinealuchio8968
Жыл бұрын
@@aminakipande5645 hiyo ni mouth cancer kiss zinaambukiza na kuna hizi pombe kali pia husababisha
@jovanafidelis2802
Жыл бұрын
@@judithmelvinealuchio8968 ni cancer au makovu ya kuungua
Wacha na hizo sigara pia zote ni madhara makubwa sana
Weken namba zao tuwasaidie
Dua pole kaka mapito hayo
Pole
daaa inasikitisha Sanaa MH hi Dunia inachangamotoo pole Sanaa"
Kaka yangu namuonea huruma
pole
Ipo siku mungu atakupa usikate tamaa mungu yuko na ww
Sema wanawake tuna huruma sana🙌
@mouwanahamisi8216
2 жыл бұрын
Kwann 🙄
@aminakipande5645
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🙈
@hejmabohejhej9
Жыл бұрын
@@aminakipande5645 😅😅😅
@hejmabohejhej9
Жыл бұрын
😅😅😅😅
Subuhanallah polekaka
@rukiasaid2039
2 жыл бұрын
Uwache sasa kazi iyo
@rukiasaid2039
2 жыл бұрын
Umeamshwa ili utubu mwenyezi mungu kakupa muda ili utubu
We ni Eric mtoto wa herieti chumila mdogo wa rucy na caro na mashana?? Nijibu moyo wangu upoe mana kama ni wewe nimekukea sana pale yombo 😊😊
Sasa usharudi kwa Mola wako
Mbona kama mteja uyoo avuti unga kwer uyoo mmm
Hee
Mung mwema mochwar kabisa 🙄🙄🙄
Bonde la Muhimbili Hilo Nimekaa sana hapo Maisha Usikie mpaka Sasa hivi nipo Dubai namshukuru sana Mwenyezi mungu zaidi ya Sana.
@gracehamishamisikitundu7998
2 жыл бұрын
Pole na mm nipo Dubai tukuane kama hutajali
@fatmamsiliwa8485
2 жыл бұрын
Dubai sehem gani upo
Auwahu akibaru mtihani mkubwa mungu atunusuru
@kadeejadxbdxb5043
Жыл бұрын
Siyo Auwahu akibaru bi hadija
Huyo Kaka Ni mkorof sn! Anapita kkoo akiombaomba ukimwambia sina anakutukana matus makubwa mpaka unakimbia,mshesz sn huyo
@maryhaule3665
Жыл бұрын
Ni kweli
@stellah3844
Жыл бұрын
Kheee🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Pole
Inaoneka hanavidole maskini