NILIKUWA NAUZA MADAWA YA KULEVYA NILIPIGWA NIKAFUFUKIA MOCHWARI |TULIKUWA WEZI |MAITI IMEFUFUKA

Пікірлер: 78

  • @skjjsj1889
    @skjjsj18892 жыл бұрын

    Huyu mwandishi nampenda sana Anahoji kwa hekma sana Kweli kz ya yk unaiweza👍👍

  • @mouwanahamisi8216

    @mouwanahamisi8216

    2 жыл бұрын

    Tunajifunza hasa

  • @mrsliverpool4235

    @mrsliverpool4235

    2 жыл бұрын

    yupo vizuri sana

  • @Johanah7721

    @Johanah7721

    Жыл бұрын

    Sanaaaaa adi raha ♥️♥️♥️

  • @noors7030

    @noors7030

    Жыл бұрын

    Mashaallah anastahili kua muandishi hongera kk

  • @uredipeter412
    @uredipeter4125 ай бұрын

    Pole Sana bro

  • @sitiabubakar2892
    @sitiabubakar28922 жыл бұрын

    Anavyoelezea ugumu wa maisha mpaka inaskitisha wallah maisha magumu jamani

  • @nahyialetomia9284
    @nahyialetomia92842 жыл бұрын

    Apime damu kwanza

  • @fathimamct232
    @fathimamct2322 жыл бұрын

    Ila inaonyesha madawa hajaacha kutumia sababu hiyo midomo ilivyoharika mtamgazaji mshuri huyo jamaa awe anampenda kutafuta Carrot 🥕 na awe anampenda kupika Cabbage 🥬 na alitie vitunguu vingi hiyo Hali itakwisha humor midomoni.

  • @jumanassoro1552

    @jumanassoro1552

    Жыл бұрын

    Asante sana kwa ushauri wako nazani utawasaidia watu wengi ushauri wako

  • @zidadumbepo1486

    @zidadumbepo1486

    Жыл бұрын

    labda bange Ila siyo heroen

  • @rajabu4692

    @rajabu4692

    Жыл бұрын

    Naomba namba yako ya simu nahitaj elimu Zaid katika hili

  • @naomysalim6477
    @naomysalim64772 жыл бұрын

    kuna story ya mkaka mmoja alikua anafanya kaz mochwari,alisema mwizi alipigwa wakajua amekufa bwana akafufuka..kumbe ndo uyu jaman🙌🏼🙌🏼

  • @nancyg8664

    @nancyg8664

    11 ай бұрын

    Maskin dah

  • @skjjsj1889
    @skjjsj18892 жыл бұрын

    Jamani anakiri makosa Anatakiwa asaidiwe sio kuhoji tuuu

  • @officialdoablej6455
    @officialdoablej64552 жыл бұрын

    Maskini huyu kaka anaumwa hayuko sawa kabisa 😔😔

  • @phibijuilus7748
    @phibijuilus77482 жыл бұрын

    hongereni madoctor kwa kz zuri

  • @mecksaloon81
    @mecksaloon812 жыл бұрын

    Mungu akufanyie wepesi

  • @ruthjohn4317
    @ruthjohn43172 жыл бұрын

    Kiukweli huyu mkaka anaakiri basi tu jamn ugumu wa maisha kweli kila jambo linasababu kbs Mungu amkumbuka tu.

  • @Tinatana30
    @Tinatana302 жыл бұрын

    Sawa tumewasikia na Polen sana ila sasa sisi kama wanafamilia wa Maximum Tv tunafanyaje ili kuwasaidia Hawa ndugu zetu ??

  • @skjjsj1889
    @skjjsj18892 жыл бұрын

    Jamani huyu mkk asaidiwe jamani Anatia huruma

  • @comedywaves1091
    @comedywaves10912 жыл бұрын

    Pole sana ndugu yangu

  • @aminaabdalla9949
    @aminaabdalla99492 жыл бұрын

    Huyujamaa akiongea anakaamgonjwaalafu pia anaupungufuwa afraid damu

  • @najmamosha7443
    @najmamosha74432 жыл бұрын

    Pole kaka

  • @telaamtauta2227
    @telaamtauta22272 жыл бұрын

    S sahihi kabisa lakini hamkuweka no yake tukitaka kumsaidia chochote

  • @josphatmwai1994
    @josphatmwai1994 Жыл бұрын

    Jesus Christ mtembelee huyu ndugu. Nairobi tupo

  • @zeddydaqueensy4612
    @zeddydaqueensy46122 жыл бұрын

    Duuh maisha haya jamani hadi huruma

  • @beathamahatane2205
    @beathamahatane22052 жыл бұрын

    Mungu anakuhitaji umtumikie sasa

  • @mwastimsingi9373
    @mwastimsingi93732 жыл бұрын

    Wanatakiwa wasaidiwe sio kuwauliza tuuu

  • @fatmaally7252

    @fatmaally7252

    2 жыл бұрын

    Kweli

  • @marryjonas6973
    @marryjonas69732 жыл бұрын

    Pole sana

  • @aminakawawa5800
    @aminakawawa5800 Жыл бұрын

    Dah pole sana huyu atakuwa ana ukosefu wa vitamin ndio maana mdomo huko hivyo 🤲🤲

  • @josemsafimusic3389
    @josemsafimusic33892 жыл бұрын

    YESU PEKEE TU NDO ALIYEFUFUKA KUTOKA KWENYE KIFO HAO WENGINE WALIPITIWA NA USINGIZI MZITO WATU WAKAJUA WAMEKUFA

  • @victoriankanue7849

    @victoriankanue7849

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣👍👍👍

  • @jacquilinenoah949

    @jacquilinenoah949

    Жыл бұрын

    nmecheka sanaa😂😂😂

  • @judithmelvinealuchio8968

    @judithmelvinealuchio8968

    Жыл бұрын

    kenya nikiwa mdogo sana kuna muchungaji alimuua muchungaji mwenzie sababu ya cheo na aliua mwenye alikuwa ameokoka kabisaa maziko muuaji mwenyewe akawa ndio anamusomea ile ya fumbi kwa kwa vumbi jeneza lilitoka likamukaa kichwani wakatwaa wote wakapotelea kwa mawingu haya mambo yapo ila mungu akiwapea second chance huwa wanaokoka huyu tuseme labda alipitiziwa na maumivu sio hata usingizi na ilikuwa njia ya kujiokoa mungu alimuokoa ubaya anatusi watu mungu ndiye mwamuzi siku zote

  • @stellah3844

    @stellah3844

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣Huyu alizimia

  • @aminaabdalla9949
    @aminaabdalla99492 жыл бұрын

    Inaoneka hanavidole maskini

  • @matishomateso4639
    @matishomateso46392 жыл бұрын

    Nice

  • @stevenkapanga7156
    @stevenkapanga71562 жыл бұрын

    Jaman maisha haya

  • @khadijakdj8640
    @khadijakdj8640 Жыл бұрын

    Ww mwenyewe unakunywa pombe uruka inaonyesha 😂🤣

  • @aminakipande5645

    @aminakipande5645

    Жыл бұрын

    Mdomo sasa huruma

  • @judithmelvinealuchio8968

    @judithmelvinealuchio8968

    Жыл бұрын

    @@aminakipande5645 hiyo ni mouth cancer kiss zinaambukiza na kuna hizi pombe kali pia husababisha

  • @jovanafidelis2802

    @jovanafidelis2802

    Жыл бұрын

    @@judithmelvinealuchio8968 ni cancer au makovu ya kuungua

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani36092 жыл бұрын

    Wacha na hizo sigara pia zote ni madhara makubwa sana

  • @user-hp7rx4zk4t
    @user-hp7rx4zk4t11 күн бұрын

    Weken namba zao tuwasaidie

  • @jaharaoman6478
    @jaharaoman64782 жыл бұрын

    Dua pole kaka mapito hayo

  • @hawa45kisula34
    @hawa45kisula343 ай бұрын

    Pole

  • @janethkomba4485
    @janethkomba4485 Жыл бұрын

    daaa inasikitisha Sanaa MH hi Dunia inachangamotoo pole Sanaa"

  • @saifal-harthi2080
    @saifal-harthi20802 жыл бұрын

    Kaka yangu namuonea huruma

  • @asmarajabu5786
    @asmarajabu57862 жыл бұрын

    pole

  • @tatoorashedi1787
    @tatoorashedi1787 Жыл бұрын

    Ipo siku mungu atakupa usikate tamaa mungu yuko na ww

  • @jasmineeomary2041
    @jasmineeomary20412 жыл бұрын

    Sema wanawake tuna huruma sana🙌

  • @mouwanahamisi8216

    @mouwanahamisi8216

    2 жыл бұрын

    Kwann 🙄

  • @aminakipande5645

    @aminakipande5645

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🙈

  • @hejmabohejhej9

    @hejmabohejhej9

    Жыл бұрын

    @@aminakipande5645 😅😅😅

  • @hejmabohejhej9

    @hejmabohejhej9

    Жыл бұрын

    😅😅😅😅

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania72582 жыл бұрын

    Subuhanallah polekaka

  • @rukiasaid2039

    @rukiasaid2039

    2 жыл бұрын

    Uwache sasa kazi iyo

  • @rukiasaid2039

    @rukiasaid2039

    2 жыл бұрын

    Umeamshwa ili utubu mwenyezi mungu kakupa muda ili utubu

  • @fatumakhalidi7066
    @fatumakhalidi70662 жыл бұрын

    We ni Eric mtoto wa herieti chumila mdogo wa rucy na caro na mashana?? Nijibu moyo wangu upoe mana kama ni wewe nimekukea sana pale yombo 😊😊

  • @neemazee1864
    @neemazee18642 жыл бұрын

    Sasa usharudi kwa Mola wako

  • @mamafau9806
    @mamafau98062 жыл бұрын

    Mbona kama mteja uyoo avuti unga kwer uyoo mmm

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali39182 жыл бұрын

    Hee

  • @mouwanahamisi8216
    @mouwanahamisi82162 жыл бұрын

    Mung mwema mochwar kabisa 🙄🙄🙄

  • @aishaally8062
    @aishaally80622 жыл бұрын

    Bonde la Muhimbili Hilo Nimekaa sana hapo Maisha Usikie mpaka Sasa hivi nipo Dubai namshukuru sana Mwenyezi mungu zaidi ya Sana.

  • @gracehamishamisikitundu7998

    @gracehamishamisikitundu7998

    2 жыл бұрын

    Pole na mm nipo Dubai tukuane kama hutajali

  • @fatmamsiliwa8485

    @fatmamsiliwa8485

    2 жыл бұрын

    Dubai sehem gani upo

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali39182 жыл бұрын

    Auwahu akibaru mtihani mkubwa mungu atunusuru

  • @kadeejadxbdxb5043

    @kadeejadxbdxb5043

    Жыл бұрын

    Siyo Auwahu akibaru bi hadija

  • @dottojafet9153
    @dottojafet91532 жыл бұрын

    Huyo Kaka Ni mkorof sn! Anapita kkoo akiombaomba ukimwambia sina anakutukana matus makubwa mpaka unakimbia,mshesz sn huyo

  • @maryhaule3665

    @maryhaule3665

    Жыл бұрын

    Ni kweli

  • @stellah3844

    @stellah3844

    Жыл бұрын

    Kheee🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mishwanwanmish8803
    @mishwanwanmish88032 жыл бұрын

    Pole

  • @aminaabdalla9949
    @aminaabdalla99492 жыл бұрын

    Inaoneka hanavidole maskini

Келесі