Nilikuwa kwa Uhusiano Na Bibi Ya Mtu, Sasa Amerudi Kwa Mzee Wake - Sam Part 2

Ойын-сауық

#MaishaAsubuhi #KesiMashinani #MwashumbeNaShugaboy

Пікірлер: 18

  • @lorraineatieno6544
    @lorraineatieno65442 жыл бұрын

    Dennis b mature. Your wf amekusaliti hakushikwa kwa force. Mkeo malaya..deal with your wf. Anadanganya hajaolewa..mara mume anamtesa. Deal with ur wf. Nway Asante Dennis kwa kumsamehe.. Mungu akubariki.

  • @syphroseshazala6854
    @syphroseshazala68543 жыл бұрын

    Thanks for part 2

  • @nyarsakwa1492
    @nyarsakwa14923 жыл бұрын

    Mob blessings judge wetu🙏🙏

  • @ronykulei3712
    @ronykulei37123 жыл бұрын

    Hiyo kitu ni uchungu saana, beshte yangu pia alikula dem wangu, blood friend alafu wanalaumu pombe 😭 but niliassume nikamove on

  • @eddahwamboi7683
    @eddahwamboi76833 жыл бұрын

    Kwani Kuna picha nzuri ya mtu na mke wa wenyewe kitandani jamani? Huyu Sam naye!

  • @aminabirik5764
    @aminabirik57643 жыл бұрын

    Barikiwa Denis mola akubariki,msamaha

  • @prayerchamber1600
    @prayerchamber16003 жыл бұрын

    Sam alijishasha jana eti wanapendana na ako tayari awachane na shamba ya bwanake... Leo ameambiwa achukue roho safi akaruka🤣🤣🤣Mke wa mtu sumuuu👌

  • @brendamoraa6499
    @brendamoraa64993 жыл бұрын

    Denno amefanya POA🙏

  • @ronykulei3712
    @ronykulei37123 жыл бұрын

    Part 1 iko wapi

  • @xjxjxnxn2673
    @xjxjxnxn26733 жыл бұрын

    Huyu Sam atachinjwa na huyu jamaa,juu ako na kiburi

  • @peterkrose672
    @peterkrose6723 жыл бұрын

    Uyu Dennis ana utu

  • @agnesladasha5641
    @agnesladasha56413 жыл бұрын

    Haya makubwa madogo yana nafuu

  • @maximillahbusoloshakwira8105
    @maximillahbusoloshakwira81053 жыл бұрын

    Sam ni fala sana

  • @xjxjxnxn2673
    @xjxjxnxn26733 жыл бұрын

    Free advice to you Sam,tafuta pp uhamie warabuni hapa hakuna life wewe ulijipeleka slaughter

  • @danielmauki5644
    @danielmauki56443 жыл бұрын

    Nipeeni number ya Dennis

  • @cynthiawanjiru559

    @cynthiawanjiru559

    2 жыл бұрын

    Huyo uncle ya Dennis, alikosea sana.

  • @cynthiawanjiru559

    @cynthiawanjiru559

    2 жыл бұрын

    I mean, uncle ya sam alikosea sana

Келесі