Nikki Wa Pili Ft G Nako - Quality Time (Official Music Video)
Музыка
QUALITY TIME by Nikki Wa Pili
Beats by Bugalee Mixing and Mastering by Chizzan Brain
B RECORD
Shot In Tanzania East Africa as Directed by Hanscana
Follow Me:
Instagram: / nikkwapili
Twitter: / nikkwapili
Пікірлер: 301
kama umeshakula vitabu gonga like hapaaa
hatufanyi fanyi tunafanya kazi. BIG UP NIKKI WA 2 NA WARAWARA Zee la kupoteza kwenye viitikio.Ngoma imesimamia UKUCHA.######WEUSI KAMPUNI.
wanao kubaliana na mm kua hip hop is dad like hapa lkn ngoma Kali
Kama kuna mtu kaja kumsikiliza DC baada ya kuchaguliwa aje anipe like jmn
@imaniegno5621
3 жыл бұрын
Ni mm kabisa 😀😂😂😂😂😂
@khalef.al.sawafi941
3 жыл бұрын
😂😂😂
@kelvinmartin5302
3 жыл бұрын
😁😁
@user-yp6fw5vy7z
8 ай бұрын
@@kelvinmartin5302😊😊
@user-yp6fw5vy7z
8 ай бұрын
@@kelvinmartin5302😊😊
2024 still the best 🔥
wewe jamaa unaakili sana! nakukubali sana!!!
kweli nyimbo zote ukitoa wapinzani wanakaaga sio mama John tuu ata fans wako tunajuaaa.
Wasaniii wa bongo wanatakiwa kuheshimu uwepo wa G. nako hajawahi kukosea kwa korasiii
Asa ntaongea nini mana kila nalotanga kusema naona kila mtu kacomment daaah! Salute sana msomi Nikki wa Be ila G nako wewe ni fundi yani G wewe wakimataifa nakukubali miaka 700 Weusi Fans tupo kwa ajili yenu
wapinzani wote wamekaaa 🙌🙌🙌
ngoma nzuri kinoma mnazilisha ubora wenu ...kwl wapinzani wato watakaa
napenda sana indastry ya weusi sante sana warawara pamoja na baba shwalehe
Nikki nkki uko poah sanaa napenda kusikiliza hii nyimboo💯💯💯💯💯👏👏🚴👍👍👍👍👍
#Ndugu yangu kwa kweli Tumeshakula Vitabu na Tunaendelea kuvilaaaa #Myelimuonlyisthebestalways
Kaaah wanng sio kwa floo hizo mnaimba utafkir mmetumwa haha niki we kelele walah g nako nae kasimam vyema sijui nisemeje kifup ni bonge la pini asee keep it up u kill it
salute song limekaaaaa MUDA NI SAA NGAPI CTAKIWI KUJUA.........whole nackiliza QUALITY TIME weusiiiiii in my blood veins
🔥🔥🔥 kweli ni Quality time... Maana kila ki2 kwenye ii Ngoma ni HI quality kuanzia Uandishi, Michano,Mdundo had video yaan 🔥🔥 Lit
hii video ni level za kimataifa plus sauti ya Gnako basi tena mmemaliza, good song mistari noumah sana. #qualitytime, Asanteni kwa kutupa kile roho inapenda.
hii kitu nmeireplay ka mara 20 hivi...Niki umetisha pia Gnako hako ka chorus kokorikoo kazuri sana...wekeni ngoma huko tuinunue 300
Nikki Nikki Nikki.... SHIKAMOOO KICHWA CHA KIPEKEE NIKKI WA PILI THE DESTROYER!!!!!!
Nimekubali weusiiiiii
weusi mko vizuri yan ni noumaAAA
Mama John anajua vile unafanya,#tatizo mnako Hana kazi ndogo aiseeee
wana point 254 and 255 naesabu like kwa quality time
weuuuuusiiii ni fayaaaaaa
hii ngoma kali favourite now replay mingii sanaaaaaaaaa
Namkubali sana huyu jamaa huwa akosei
noma sana bonge la ngoma holaa Nick, G, Hanscana kwa video Kali"quality time" kill dem aise
Hanscana..🙌🙌 A-city inna di place..Big up machalii ya chuga
Mlichowafanya hao wazeee Mungu anawaona mmetisha sana ngoma kali mashairi 4figure kichupa hakina ubaguzi swager tofauti.. i apriciate you WEUSI
Kama kawaida ya weusi kaz yenu ni kutoa hit.
Dc kama Dc💪💪💪
Alieimba Chorus Tu Daaaah Katsha Sanaaa
from Canada weusi noumaaaa
Nikki my brother your a genius. Naelimu ni ufunguo wanaita keyz keyz... Kokorikoo oooho. Salute kwako fundi warawara G nako👌👌👌
Gifted music produced bY genious nikki wapili ft g.nako
Respect Niki wa pili & G nako bonge la song # kichupa usipime.
nikki wa pili hai sound tufanye uwe nikki wa kwanza hamjawahi kosea weusi the great
Nani Yuko hapa 2024
daaah.... ngoma kaliii inaingia hadi moyoni big up Niki wa Pili na chalii ako pemben G
demu wako 4 we mwenyewe 4 mnalala fofofo mkiota rav4 noma sana
@mohamedkissima4893
7 жыл бұрын
Mujahidhakeem Hakeem113 mama joni anajua kila nyimbo yangu wapinzani wanakaa
Nikki una flow hatari sana and word play it's on another level
MWEEEEE GNAKO NI HATAREEEEEE😧😧😧😧 Nikki wa piliii
untouchable sana kaka LA kaka huwa hukosei mkulu
Quality time..... Asanteee mmeuaaaa
kamaaaaa kawaaa ngoma kaliiiii sanaaaa
@robertgeorge6350
3 жыл бұрын
Weusi ni kati ya kundi linalo Fanya vzl xan
Bonge moja la ngoma,,hizo dislike ni za ma Four Four wakishalala Fofofo wanaota rava4
Nikki on a level of his own.
huyu mdogo wake joh hajawahi kuangushaga fans wake pia hii video imedhihirisha kua music video bila WABINUA MATA**O INA WEZEKANA big up vijanaa wa nyubani
2023 still 🔥🔥🔥
Nikki naye ni mwamba kama brother'ake
Dah! Director katisher sanah Hanscana... Nikki we genious!
@xxskullybonexxscapz7415
7 жыл бұрын
Aidan Leonce nl. Asassd
bonge moja la chorus🙌🙌🙌
ninomasana niaje watoto wa kitaa sema oooooyyyyyyyyyy
Kuna Nikki m1 tu hapa Bongo ... Nikki Wa bee .... capitalistic flowz....
ngoma Kali sana
niki upo sawa kinyama wenye Biff ni mashoga
subir afe ding urith milath na km unastress achakula nyas!koolikoooooooo
Fooo kabisaa
Tisha sanaaaaa ...
Wangapi tumekuja hapa baada ya kuchaguliwa kuwa DC wa kisarawe
AMINIA KAKA i love ur song hahahha ... hayo maneno like my life
ngoma Kali kinyama asante Sana hanscana pia kwa kufanya video Kali kuumiza kichwa kufanya kitu kizuri appreciate Sana Nikki wa pili asante Sana naplay nyimbo all time wee ni brandy kweli big up sanaa😍
nlijua ntakuwa top ten kwenye viewers..... aisee kababa umeua na hyo chorus George sixtus kamalizaaaa.....
G nako nakuheshimu sana kamanda wangu
Nikki the baddest....... Mi naombwa sadaka
kwel nimeamin G nako as a business ..i blv.. ht song
Quality time aixe nikk kwelii ulisema unakja kwa fujaa nmeuelewa sana G korasii ujakosea we ndo mklii wa korasi hapa tz balaa la video sasa mzee hascana me huwaga sinaga xhka npo ona jina director hascana big up mazee mmefny kitu cha tofautii WEUSI
Waooh is xo amazing, i don't knw Swahili bt Nikki ndakup salute nw is quality time
Am sorry to say this...nikki is number one in the whole world...this song is grammy status
we mkalii bro
The song deserved a third verse...its super dope...GMF
nimekubali sana gnako
one love, good song bro
Yap! tunaitaji mabadiliko kama haya katika muziki wa Tz safi wimbo mzr.
🎶kama me mweus paka rangi, acha nizibuke kama bangi🎶...dis song is 💣💣💣💣
@superdupaproducer4294
7 жыл бұрын
Hellen Larry wavuta bangi utawajua tu
@hellenlarry4095
7 жыл бұрын
Superdupa Producer 😂😂😂
Bong ya ngomaa G warawaraa
Bonge la ngomaaaaaaa
noma sana mkalii viburi flow
Ww nomaaaaaa
heshima kwenu weusi
Nikki wa pili hujawahi kosea,, umeua mangi mistari🔥🔥🔥
nimependaaa fofo wanawaza rav4
Goma kaaliii
2024 any one like here
ngoma ni noma
As always WEUSI ni hatari...Kudoz vijana
nice track ma bro, its dope
HAAA NIKI UKO JUU SANA
Wala school fees hawajawai baki salama....kokorikoooo
Jmn this song ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️🇫🇷🇹🇿 lots of love from Paris
Great Job.
I am still 🎧 this from zenji🤸🤸
Back again in 2021..nikki wapili mziki wako unabadirisha maisha ya watu. When I listen to this song...it motivates sana.
Respect 🖐🏾👐👍
Nna fill ndani deep the way una andika thus y Napenda kuandika hivo
bonge la song nimelikubali kuliko la waleee,,,,,,,,,
tisha gwarawara cancara
bonge moja LA chupa aaseeh,alaf kwenye dk ya 1:32 hapo ndolikanoga mbayaaaaa....
good song mzee aseeeee daaaah yani