Alhamdulillah innalillah wainnailayh rajiun. Angalia tofauti ya misiba Huu msiba unaonaa kabisa watu wana huzuni kiukweli hakuna aliyejipamba kwa makeup wala kwenda saloon sio misiba ya wenzetu wasanii ni show off tu sijui watajifunza lini!
@rebeccanyelezi5091Ай бұрын
Dah pole saleni sana Mungu awatie nguvu
@user-xk7vy4gb6gАй бұрын
Kazi ya Mungu haina makosa 😢😢😢 Mwenyezi Mungu awape pumziko la milele mbele yao nyuma yetu 😢😢
@jamilamholage4349Ай бұрын
Vijana wa fort mtaangalia mpira wapi Zuberi ww umetuweza wenzako eeh mwenyezi Mungu mpokee na watoto wake
@aaa64sa13Ай бұрын
Inalillahi waina ilayhi rajioun Allah awalaze pahala pema kwenye wema. Amin ya Rab 🤲
@lightnessgamasa6039Ай бұрын
Mungu Awatunze wote jamani 🙏🏻🙏🏻
@VexMaizoOfficialАй бұрын
🧭🤳 Dah pole sana Mungu awalaze mahali pema peponi. Na Mungu awaokoe wagonjwa walio jaruiwa🕊️🕊️🕊️💫. Nawapata nikiwa Msumbiji 🇲🇿 Mozambique mkoa wa Cabo Delgado mjini Pemba CarioCa
@robertchachamuhere3505Ай бұрын
daaaah mungu awalaze mahal pem peponi
@vero57Ай бұрын
Poleni sana family na friends
@user-mt7ss8tz5lАй бұрын
Pole san kbs
@KibumpendaАй бұрын
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@user-zl9lj5rw3cАй бұрын
Mungu wangu naandika nafuta kweli ntamuona wapi tena zuber baba mpole kaka msikivu watu aliishi nao kama ndg zake eee mungu mpole zuber pamoja na wanae wapunguzie adhabu ya kaburi
Пікірлер: 15
Alhamdulillah innalillah wainnailayh rajiun. Angalia tofauti ya misiba Huu msiba unaonaa kabisa watu wana huzuni kiukweli hakuna aliyejipamba kwa makeup wala kwenda saloon sio misiba ya wenzetu wasanii ni show off tu sijui watajifunza lini!
Dah pole saleni sana Mungu awatie nguvu
Kazi ya Mungu haina makosa 😢😢😢 Mwenyezi Mungu awape pumziko la milele mbele yao nyuma yetu 😢😢
Vijana wa fort mtaangalia mpira wapi Zuberi ww umetuweza wenzako eeh mwenyezi Mungu mpokee na watoto wake
Inalillahi waina ilayhi rajioun Allah awalaze pahala pema kwenye wema. Amin ya Rab 🤲
Mungu Awatunze wote jamani 🙏🏻🙏🏻
🧭🤳 Dah pole sana Mungu awalaze mahali pema peponi. Na Mungu awaokoe wagonjwa walio jaruiwa🕊️🕊️🕊️💫. Nawapata nikiwa Msumbiji 🇲🇿 Mozambique mkoa wa Cabo Delgado mjini Pemba CarioCa
daaaah mungu awalaze mahal pem peponi
Poleni sana family na friends
Pole san kbs
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Mungu wangu naandika nafuta kweli ntamuona wapi tena zuber baba mpole kaka msikivu watu aliishi nao kama ndg zake eee mungu mpole zuber pamoja na wanae wapunguzie adhabu ya kaburi
Poleni cn wafiwa wote jmn kz yamungu Aina makos
😭😭
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭