NI HUZUNI BABA NA WATOTO WAKE WATATU WALIOFARIKI KWA MOTO NIMFANYAKAZI WA TANAPA

Ойын-сауық

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 15

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709Ай бұрын

    Alhamdulillah innalillah wainnailayh rajiun. Angalia tofauti ya misiba Huu msiba unaonaa kabisa watu wana huzuni kiukweli hakuna aliyejipamba kwa makeup wala kwenda saloon sio misiba ya wenzetu wasanii ni show off tu sijui watajifunza lini!

  • @rebeccanyelezi5091
    @rebeccanyelezi5091Ай бұрын

    Dah pole saleni sana Mungu awatie nguvu

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6gАй бұрын

    Kazi ya Mungu haina makosa 😢😢😢 Mwenyezi Mungu awape pumziko la milele mbele yao nyuma yetu 😢😢

  • @jamilamholage4349
    @jamilamholage4349Ай бұрын

    Vijana wa fort mtaangalia mpira wapi Zuberi ww umetuweza wenzako eeh mwenyezi Mungu mpokee na watoto wake

  • @aaa64sa13
    @aaa64sa13Ай бұрын

    Inalillahi waina ilayhi rajioun Allah awalaze pahala pema kwenye wema. Amin ya Rab 🤲

  • @lightnessgamasa6039
    @lightnessgamasa6039Ай бұрын

    Mungu Awatunze wote jamani 🙏🏻🙏🏻

  • @VexMaizoOfficial
    @VexMaizoOfficialАй бұрын

    🧭🤳 Dah pole sana Mungu awalaze mahali pema peponi. Na Mungu awaokoe wagonjwa walio jaruiwa🕊️🕊️🕊️💫. Nawapata nikiwa Msumbiji 🇲🇿 Mozambique mkoa wa Cabo Delgado mjini Pemba CarioCa

  • @robertchachamuhere3505
    @robertchachamuhere3505Ай бұрын

    daaaah mungu awalaze mahal pem peponi

  • @vero57
    @vero57Ай бұрын

    Poleni sana family na friends

  • @user-mt7ss8tz5l
    @user-mt7ss8tz5lАй бұрын

    Pole san kbs

  • @Kibumpenda
    @KibumpendaАй бұрын

    😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @user-zl9lj5rw3c
    @user-zl9lj5rw3cАй бұрын

    Mungu wangu naandika nafuta kweli ntamuona wapi tena zuber baba mpole kaka msikivu watu aliishi nao kama ndg zake eee mungu mpole zuber pamoja na wanae wapunguzie adhabu ya kaburi

  • @user-kp6lz7zs1w
    @user-kp6lz7zs1wАй бұрын

    Poleni cn wafiwa wote jmn kz yamungu Aina makos

  • @vickytango5591
    @vickytango5591Ай бұрын

    😭😭

  • @ShumasikeMussolin
    @ShumasikeMussolinАй бұрын

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

Келесі