NGUVU YA SHUKRANI || PASTOR GEORGE MUKABWA - JRC || 04/09/2022
Ойын-сауық
Pastor George Mukabwa -Senior Pastor-Jesus Restoration Centre (JRC), Mwanza Tanzania.
For Offering you can send from any Network to M-Pesa Lipa Namba 5252176
#jrcchurch #Tanzania #jrctz #PastorGeorgeMukabwa
Пікірлер: 58
nimekuwa nikifatilia masomo yako yamenitoa mahali na kubarikiwa sana
@haikamosha5653
3 ай бұрын
Kabssaa❤
Mungu akupe Maisha marefu pastor
BABA NAPOKEA NEEMA WA KUA MTU WA SHUKRANI....amina
Amen and amen humble in Jesus mighty name, thank you pastor for the wonderful teachering 🙏🙏
my mentor mungu akuinue zaidi hakika unanipa ufunuo wa kiroho
Mungu akubariki sana pastor
Amen. Amen❤❤
Ubarikiwee sanaa Mtumishi wa Mungu nimejifunzaa mengi saana kupitia wewe
Ameni ubarikiwe
Nimepona leo pastor Mungu akutunze
@samwelojwang3043
Жыл бұрын
Amen 🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 mungu akupe ulinzi
Amen 🙏🙏🙏🙏 shukurani ina mazuri sana sana imenifunguliya mazuri juyangu nitaendeleya kumushukuru mungu.
Hakika Mungu atukuzwe Mchungaji Munguakubarikisana
Amen 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Mungu akuinue na akupe maisha marefu sana
Amen ❤❤
Mtumishi ninamshukuru sanaYesu kwaajili yako. BWANA azidi kukutunza
@user-xc3sb4by5q
11 ай бұрын
Mungu ni mwema namshukuru kwa ajili ya mafuta yaliyoko ndani,Asante Yesu kwa kunipa hekima ya kushukurubarikiwa mtumishi
Amen 🎉
Mungu akubariki Baba
Amen wacha mungu ainuliwe na akubariki sana mtumishi kwa mafundisho unayo tufunza
Asante kwaneno la mungu
My Pastor My Mentor Mungu Akutunze Kwa Ajiri Yetu
Hakika mungu ameweka vitu ndani yako kwa ajili yetu mungu akupe afya njema
Namshukuru MUNGU kwaajili yako, Maana uwepo wa MUNGU nauona kwangu
wewe pia ni mmoja wa watumishi waliokuwa na msaada wa kiroho nauliza sadaka yangu naweza kuitoa aje kwa ajili ya kumshukru Mungu kwa mafundisho yako
nakushukru Mchungaji kwa mafundisho yako yamenifanya kuwa mtu mwingine Mungu akubaliki sana
Mchungaji umenibariki sana na Hilo SoMo la shukrani
Mungu akubariki sana Mtumishi na aendelee kukutumiaa zaidi
Ameen paster nimekuelewa sana Mungu akubariki sana Na Mungu atupe moyo wa shukrani
Asante kwa mahubiri mungu akubariki mtumishi wa mungu
Mungu akuongezee siku za kuishi
❤❤❤ BABA asante kwa mafunzo mazuri
Mungu andelee kukupa maaalifa mchungaji
Barikiwa mtumishi kwa hekima hii
Mtumishi mungu akusidie neema maana unanibariki sana
Mungu akuongezeee ck za kuishii
Kweli nilikuwa sijuwi maana ya shukurani
Amen baba yangu
Ubarikiwe mtumishi🙏
Hakika ndivyo hivyo
AMEN
Amina!!
Amina
Amen baba
Amen Amen
amen amen❤❤
🌷❤🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏❤🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amen
Amennnn
Najifunza kushukuru walio waaminifu kwako
Ameen
Ameeeen
Jamani nahombeni mnisaidiye namba za huyu mchungaji tafadhali namuhitaji
@onesmothimos2635
Жыл бұрын
George mukabwa uyu ana ubiri ukweli kabisa kuliko matapeli wengine
Amen baba