Nguli wa nyimbo za Injili Cosmas Chidumle-Tazama alivyo imba kwa Madaa
Nakupenda mno mzee
Asante Mungu kweli huyu mzee ulimpa kipaji cha Muziki
😂😂😂Wasio kula Ugoro vigeregere tafadhali😂😂😂
Jamani wasiokula ugoro vigeregere
Amen 9:05
Jaman kuna watu wamebarkiwa Baba umebarikiwa wew
Hawa ndio wale wanaoimba kutoka moyoni
Mzee hazeeki toka enzi za DDc mliman park ezi za usipate taabu neema Mungu amlinde
Kipaji kikubwa sana
Baba umetasha
Wapo na madada wanaovaa suruali humo,miondoko ya kidunia,wanawake mapambo kibao. Hivi hapo ni kanisani au ukumbi wa muziki? Nijibuni please
Wewe kagua mavazi wenzako wanasonga mbele.Yesu ndo mwenye kipimo siyo mwanadamu
Mungu huangalia moyo. Wewe kama huna tamaa za kimwili kwa nini unakagua miili ya watu???
Namuonea huruma, anaacha kufurahia ujumbe anakagua mavazi, amekua mwalimu wa zamu. Maskinii.
@@spiritualhealing-tag9800 binadam tunatòfautiana sana aisee 😂😂
@@cmsa1r warumi 12:1-2. Soma hiyo,tatizo hamsomi biblia mnataka mchungaji ndiyo awasomee. Kama Mungu haangalii mwili iweje akuumbie mwili,vinginevyo angekuacha na nafsi pekee. Someni biblia
Пікірлер: 29
Nakupenda mno mzee
Asante Mungu kweli huyu mzee ulimpa kipaji cha Muziki
😂😂😂Wasio kula Ugoro vigeregere tafadhali😂😂😂
Jamani wasiokula ugoro vigeregere
@cmsa1r
Жыл бұрын
Amen 9:05
Jaman kuna watu wamebarkiwa Baba umebarikiwa wew
Hawa ndio wale wanaoimba kutoka moyoni
Mzee hazeeki toka enzi za DDc mliman park ezi za usipate taabu neema Mungu amlinde
Kipaji kikubwa sana
Baba umetasha
Wapo na madada wanaovaa suruali humo,miondoko ya kidunia,wanawake mapambo kibao. Hivi hapo ni kanisani au ukumbi wa muziki? Nijibuni please
@annehaysanday9214
Жыл бұрын
Wewe kagua mavazi wenzako wanasonga mbele.Yesu ndo mwenye kipimo siyo mwanadamu
@cmsa1r
Жыл бұрын
Mungu huangalia moyo. Wewe kama huna tamaa za kimwili kwa nini unakagua miili ya watu???
@spiritualhealing-tag9800
Жыл бұрын
Namuonea huruma, anaacha kufurahia ujumbe anakagua mavazi, amekua mwalimu wa zamu. Maskinii.
@faineskigahe9026
Жыл бұрын
@@spiritualhealing-tag9800 binadam tunatòfautiana sana aisee 😂😂
@josephmusagasa5566
Жыл бұрын
@@cmsa1r warumi 12:1-2. Soma hiyo,tatizo hamsomi biblia mnataka mchungaji ndiyo awasomee. Kama Mungu haangalii mwili iweje akuumbie mwili,vinginevyo angekuacha na nafsi pekee. Someni biblia