NGULI WA NYIMBO ZA INJILI COSMAS CHIDUMLE-TAZAMA ALIVYO IMBA

Nguli wa nyimbo za Injili Cosmas Chidumle-Tazama alivyo imba kwa Madaa

Пікірлер: 29

  • @nuruanafisoo4220
    @nuruanafisoo4220 Жыл бұрын

    Nakupenda mno mzee

  • @charlesmapunda5905
    @charlesmapunda5905 Жыл бұрын

    Asante Mungu kweli huyu mzee ulimpa kipaji cha Muziki

  • @charlesmapunda5905
    @charlesmapunda5905 Жыл бұрын

    😂😂😂Wasio kula Ugoro vigeregere tafadhali😂😂😂

  • @nikodemmwahangila3334
    @nikodemmwahangila3334 Жыл бұрын

    Jamani wasiokula ugoro vigeregere

  • @cmsa1r

    @cmsa1r

    Жыл бұрын

    Amen 9:05

  • @consolatamedard6593
    @consolatamedard6593 Жыл бұрын

    Jaman kuna watu wamebarkiwa Baba umebarikiwa wew

  • @pastadandan3569
    @pastadandan3569 Жыл бұрын

    Hawa ndio wale wanaoimba kutoka moyoni

  • @hurumajosephat6333
    @hurumajosephat6333 Жыл бұрын

    Mzee hazeeki toka enzi za DDc mliman park ezi za usipate taabu neema Mungu amlinde

  • @williamuphilipo7447
    @williamuphilipo7447 Жыл бұрын

    Kipaji kikubwa sana

  • @luganongogo5426
    @luganongogo5426 Жыл бұрын

    Baba umetasha

  • @josephmusagasa5566
    @josephmusagasa5566 Жыл бұрын

    Wapo na madada wanaovaa suruali humo,miondoko ya kidunia,wanawake mapambo kibao. Hivi hapo ni kanisani au ukumbi wa muziki? Nijibuni please

  • @annehaysanday9214

    @annehaysanday9214

    Жыл бұрын

    Wewe kagua mavazi wenzako wanasonga mbele.Yesu ndo mwenye kipimo siyo mwanadamu

  • @cmsa1r

    @cmsa1r

    Жыл бұрын

    Mungu huangalia moyo. Wewe kama huna tamaa za kimwili kwa nini unakagua miili ya watu???

  • @spiritualhealing-tag9800

    @spiritualhealing-tag9800

    Жыл бұрын

    Namuonea huruma, anaacha kufurahia ujumbe anakagua mavazi, amekua mwalimu wa zamu. Maskinii.

  • @faineskigahe9026

    @faineskigahe9026

    Жыл бұрын

    @@spiritualhealing-tag9800 binadam tunatòfautiana sana aisee 😂😂

  • @josephmusagasa5566

    @josephmusagasa5566

    Жыл бұрын

    @@cmsa1r warumi 12:1-2. Soma hiyo,tatizo hamsomi biblia mnataka mchungaji ndiyo awasomee. Kama Mungu haangalii mwili iweje akuumbie mwili,vinginevyo angekuacha na nafsi pekee. Someni biblia