Haya nimaombi yangu kwa Jehovah Mungu wetu kwa ajili ya wale wote wampendao Jehovah Mungu Baba yetu. Kristo Yesu tutiye nguvu nyakati zinakuwa ngumu😭😭🙏 big up Pascal cassian wetu. Tusisahau ku like na ku share na wengine unaeneza injili bila kujuwa please tu share na ku like kwa utukufu wa Mungu Baba yetu.
@azizanyiranzeyimana7073
Ай бұрын
Yehovah munguwakweli anayekujuwasana ndaninainje na asikiekiliochako .na akupe yaleunayohitaji yamsigi ili uzidikuwa nanguvu yaku pazasauti kuwa ambia watu. Asante
@user-ii1qk9xn9zАй бұрын
Mungu ndie nguvu yetu na msaidizi wa kila kitu. Bila Yesu hakuna lolote linalowezekana. Mungu atutie nguvu tuweze yote kwa uweza wake. Ubarikiwe mtumishi kazi njema
@lyndambzigha-a5847Ай бұрын
Please can you always translate you songs in English for your none Swahili fangs? I love your music too much and I only enjoy the rhythm and not getting the message that you are transmitting. Please also preach to us through this music by writing the meaning or the message on the screen so we can follow as we watch your music. Thank you for such good sounds of praise.
@mhenitvАй бұрын
Haleluyaah!! Ubarikiwe sana mtumishi kwa wimbo wa kutia na kufariji moyo
@goodluckjackson5564Ай бұрын
Nisaidie Mungu wangu
@obedimunguachiza8434
Ай бұрын
Amen. Atusaidiye kweli.
@user-lt1kd7zo1k15 күн бұрын
Amen mungu akubaliki sana mtumish nyimbo zako zinanibaliki sana❤
@AbbahCostaabbahCostaabbahАй бұрын
Niliisubili sana hii nyimbo hatimae leo ❤❤❤🎉
@obedimunguachiza8434
Ай бұрын
Hata nami moyo wangu umetulia sasa.
@GossesMwambene-eg8lo27 күн бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi , huduma yako izidi kusonga mbele Kwa viwango vya juu zaidi
@FedrisiGeradi-25Ай бұрын
Kazi nzuli sana hujawahi kosea umenibaliki wimbo huu
@jovettedenise2591Ай бұрын
So powerful wimbo muzuli sana Mungu nipe mwoyo mwenye ngufu na sbila❤❤❤🎉🎉🎉🎉 from 🇺🇸🇺🇲🇺🇸🇺🇲🇺🇸
@ChancyLuhasa29 күн бұрын
Unajuaka imba vizuri mtumishi, uko toooop
@user-ci6js4yt5q13 күн бұрын
Powerful song be blessed bro amen 🙏🙏
@clintonlmakanga20 күн бұрын
This my situation God nitie nguvu , l sung this song and started crying 😢 😢😢 oooh God bless us all
@PetroLupumbweАй бұрын
Barikiwa Sana mtumishi Wa Mungu MUNGU akutie nguvu
@gib3888Ай бұрын
mtumishi wa mungu simama tu na mungu hivo usirudi nyuma Wimbo za huwa zinani nipa nguvu may God bless you
@user-gg6ix9ug3dАй бұрын
Moja kati ya watumishi wa mungu wanaonipa furaha kusikiliza nyimbo za mungu barikiwa sana
@user-lt2su4kh4gАй бұрын
Hii nzuri sana nimeipenda imetulia sana ❤❤❤ like naombeni jamani
@harmshizomuziki254Ай бұрын
Uwa nazikubali sana kazi zako sana aisee kenya ipo nyuma yako 🇰🇪🇰🇪
@christinasebastian9546Ай бұрын
amen amen nitie nguvu nami Mungu wangu univushe kwenye hili pito gumu ninalo pitia🙏
@obedimunguachiza8434
Ай бұрын
Usijali ndugu yangu yatapita maana niliyo yapitia mwaka 2021,hadi 2023haikuwa rahisi kwangu nilijuwa huu ndio mwisho wangu, kumbe yuko Jehovah Mungu ambaye hakawii wala hachelewi hayo nayo yatapita amini tu, hakuna marefu yasio kuwa må mwisho.
@helenmsokeleАй бұрын
MUNGU WANGU BABA YANGU nitie NGUVU Kwenye jaribu hili siwezi MUNGU WANGU 😭😭😭
@costofamily4861Ай бұрын
Best song ila kiapo cha damu hatuioni jmn
@jeffersonmwandima93747 күн бұрын
Siwezi peke yangu Mungu
@jameselizabeth9852Ай бұрын
Nimekukubali mtumishi nyimbo imeturia sana iyo
@eliamtinda7222Ай бұрын
Much blessings. Powerful song.
@LucyNdungi-yy3rhАй бұрын
Oh yes napita kweli menitia moyo song in season I'm passing thr lord help me amen
@linaxkavaya323516 күн бұрын
Powerful song 🙏🙏
@bonfaceokanga9452Ай бұрын
Blessed 🙏 song man of God and God bless you 🙏
@NyarikiDamahАй бұрын
Amina.. 🙏🙏🙏Nimeshindwa bila wewe Mungu wangu nami nionekanie lepo hii n huonekanie watu wako
@gaspalcharles4865Ай бұрын
Muñgu akubariki mtumishi wa Mungu, ni wimbo mzuri wa kutufañya tusongembele ktk nyakati ngumu tukiwa na Kristo. Umenibariki
@devidrashidiАй бұрын
Ameen mungu akutie nguvu katika huduma uliyo nayo
@YamunguYothamuАй бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa mungu
@sarahmwakipembe5033Күн бұрын
Mungu so kiziwi Anasikia Mungu akusaidie
@MiekenyaАй бұрын
Bila ww mungu mm siwezi nisaidie nishike mkono uniongoze hatuwa zngu ❤ barikiwa sana mtumishi wa mungu kwa wimbo mzuri❤❤❤ 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 tunakupata loud and clear.
@PaschalMwabilaАй бұрын
Ameen mtumish wa mungu Linda Sanaa kusud la mungu lillo ndan mwako ,,,, paschal endlee kuisema kwel . Me naitwa pascal mwabila kutoka shnyinga nafatlia sana nymbo zako naahubr yako
@IsaacNgalama-lj6gf29 күн бұрын
Ubarikiwe mtumishi🎉
@hongerapatrickmtweve6765Ай бұрын
Amen, Nitie nguvu Mungu wangu.
@lusogoalbert138Ай бұрын
Mwimbaji na mpiga vyombo wamekutana❤🎉🎉🎉
@nicholaswaemmanuel7221Ай бұрын
HAKIKA NGUVU YETU NI MUNGU TU.. UBARIKIWE SANA MTU WA MUNGU. AMEN.
@RobartLukasАй бұрын
Huyu mtumishi kwangu ninamba moja♥️♥️♥️
@KaviraMulumbiАй бұрын
Amen amen ubarikiwe mtumishi
@DjrewreubeАй бұрын
kali tamu kama MUNGU
@aggybona7658Ай бұрын
AMEN MUNGU nitie nguvu MUNGU nishinde vita hii.
@NANA-xf1ecАй бұрын
Amen pia ubarikiwe 🙏🙏🙏🙏
@user-xl4zf8gi2iАй бұрын
❤❤❤❤❤ kweli naitaji msada wa MUNGU WANGU
@emmymatigula4870Ай бұрын
🙏 🙏 Very powerful and full of anointing ❤
@joycemughogho3773Ай бұрын
Amina mungu akubariki mtumishi wa Mungu
@Chachaamos-lh4xoАй бұрын
Mungu atakushindia
@iweningogoofficial3733Ай бұрын
swezi Jehovah bila wewe
@wycliffemuloma991124 күн бұрын
Amazing job God bless you man of God🎉🎉
@erickchaula5084Ай бұрын
God bless you man of God
@JulietShamala12 күн бұрын
Kweli wewe nimpakwa mafuta wa mungu bro
@samsonemmanuelmwakatage8951Ай бұрын
Amina Baba angu nisaidie
@eliudsylvesterking19819 күн бұрын
Barikiwa
@sundimalekwa8391Ай бұрын
Amin , il mtumishi umenenp san
@aloyceJilesАй бұрын
Kazi nzuri sana
@SambiKiloma-dj4gmАй бұрын
Nakuombea ulinzi wa kimungu kwako mtumishi wa MUNGU maan hapo malaika walioko zamu na wale wasikuwa zamu wakulinde na roho mtakatifu kiongoz na msaidiz awe nawewe daima maan wapo wanaokuchuki ila naamn baba wa yote anakupenda namm pia nakupenda
@jeryniyi3934Ай бұрын
Barikiwa sana, Mungu atupe kuishida vita hii
@jxcandle1451Ай бұрын
Naamini mtumishi wamungu
@gggghhhbh5755Ай бұрын
Vmungu ndie anayetupingania Kwa kila hali tumtumainie yeye ttuu tutashinda
@isakashega6056Ай бұрын
Good job
@JanethSanga-hj8krАй бұрын
Amina mtumishi
@MakaliusNgua-vb5sbАй бұрын
Eee MUNGU majaribu ni mengi ninayo pitia naomba nitie nguvu hakika huu wimbo umenigusa naomba iokoe familia yangu
@MichaelJoashiАй бұрын
Good song
@dusesebaseba1623Ай бұрын
Ubarikiwe sana kwa jina lake yesu 🇲🇿🇲🇿
@user-dz8qh6yb2xАй бұрын
Amen Amen🙏🙏
@MichaelJoashiАй бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa mungu
@protasdmassaweАй бұрын
Mungu akutiye nguvu mtumishi!
@Visionofeagle9689Ай бұрын
Amen Amen Amen
@JehovarohibandАй бұрын
Amena ❤❤❤much from Canada 🇨🇦 😊
@ruthkhalayi509719 күн бұрын
🇰🇪🇰🇪 Amen 🙏
@psttitonakazaelimjema.9562Ай бұрын
Ee Mungu wangu siwezi bila wewe..
@kashidimaope559Ай бұрын
Hivi kiapo cha damu mpaka sasa video Hakuna Kwli Mtumish 😢😢
@AnawayMtumishiАй бұрын
Ubarikiwe sana
@user-ee9ye3qt6lАй бұрын
Baba nisaidie😢
@shinenekomasalumhangwa3646Ай бұрын
Tutashinda
@DavidMushaga-xj3bf29 күн бұрын
Oh yesu !!!🤦♂🤦♂🤦♂
@JamesNackor-xx8og9 күн бұрын
Amen
@edgarpius9111Ай бұрын
Very nice
@user-uo6me4tx7nАй бұрын
Uimbaji ndio witowako sio uinjilist
@stephennganga4827
Ай бұрын
Hapana, yote katika kristo yesu yanawezekana,ako safi kotekote.
@SelinaDorcas
Ай бұрын
Aliitwa akaitika ...maan anamwamini yy anaye mtia nguvu
@PendopasilikaАй бұрын
Tunapozidiwa na kuishiwa nguvu MUNGU wa mbinguni ukimwomba anatutia nguvu ili tushinde vita iliyo mbele yetu barikiwa mtumishi
Пікірлер: 94
Haya nimaombi yangu kwa Jehovah Mungu wetu kwa ajili ya wale wote wampendao Jehovah Mungu Baba yetu. Kristo Yesu tutiye nguvu nyakati zinakuwa ngumu😭😭🙏 big up Pascal cassian wetu. Tusisahau ku like na ku share na wengine unaeneza injili bila kujuwa please tu share na ku like kwa utukufu wa Mungu Baba yetu.
@azizanyiranzeyimana7073
Ай бұрын
Yehovah munguwakweli anayekujuwasana ndaninainje na asikiekiliochako .na akupe yaleunayohitaji yamsigi ili uzidikuwa nanguvu yaku pazasauti kuwa ambia watu. Asante
Mungu ndie nguvu yetu na msaidizi wa kila kitu. Bila Yesu hakuna lolote linalowezekana. Mungu atutie nguvu tuweze yote kwa uweza wake. Ubarikiwe mtumishi kazi njema
Please can you always translate you songs in English for your none Swahili fangs? I love your music too much and I only enjoy the rhythm and not getting the message that you are transmitting. Please also preach to us through this music by writing the meaning or the message on the screen so we can follow as we watch your music. Thank you for such good sounds of praise.
Haleluyaah!! Ubarikiwe sana mtumishi kwa wimbo wa kutia na kufariji moyo
Nisaidie Mungu wangu
@obedimunguachiza8434
Ай бұрын
Amen. Atusaidiye kweli.
Amen mungu akubaliki sana mtumish nyimbo zako zinanibaliki sana❤
Niliisubili sana hii nyimbo hatimae leo ❤❤❤🎉
@obedimunguachiza8434
Ай бұрын
Hata nami moyo wangu umetulia sasa.
Ubarikiwe sana mtumishi , huduma yako izidi kusonga mbele Kwa viwango vya juu zaidi
Kazi nzuli sana hujawahi kosea umenibaliki wimbo huu
So powerful wimbo muzuli sana Mungu nipe mwoyo mwenye ngufu na sbila❤❤❤🎉🎉🎉🎉 from 🇺🇸🇺🇲🇺🇸🇺🇲🇺🇸
Unajuaka imba vizuri mtumishi, uko toooop
Powerful song be blessed bro amen 🙏🙏
This my situation God nitie nguvu , l sung this song and started crying 😢 😢😢 oooh God bless us all
Barikiwa Sana mtumishi Wa Mungu MUNGU akutie nguvu
mtumishi wa mungu simama tu na mungu hivo usirudi nyuma Wimbo za huwa zinani nipa nguvu may God bless you
Moja kati ya watumishi wa mungu wanaonipa furaha kusikiliza nyimbo za mungu barikiwa sana
Hii nzuri sana nimeipenda imetulia sana ❤❤❤ like naombeni jamani
Uwa nazikubali sana kazi zako sana aisee kenya ipo nyuma yako 🇰🇪🇰🇪
amen amen nitie nguvu nami Mungu wangu univushe kwenye hili pito gumu ninalo pitia🙏
@obedimunguachiza8434
Ай бұрын
Usijali ndugu yangu yatapita maana niliyo yapitia mwaka 2021,hadi 2023haikuwa rahisi kwangu nilijuwa huu ndio mwisho wangu, kumbe yuko Jehovah Mungu ambaye hakawii wala hachelewi hayo nayo yatapita amini tu, hakuna marefu yasio kuwa må mwisho.
MUNGU WANGU BABA YANGU nitie NGUVU Kwenye jaribu hili siwezi MUNGU WANGU 😭😭😭
Best song ila kiapo cha damu hatuioni jmn
Siwezi peke yangu Mungu
Nimekukubali mtumishi nyimbo imeturia sana iyo
Much blessings. Powerful song.
Oh yes napita kweli menitia moyo song in season I'm passing thr lord help me amen
Powerful song 🙏🙏
Blessed 🙏 song man of God and God bless you 🙏
Amina.. 🙏🙏🙏Nimeshindwa bila wewe Mungu wangu nami nionekanie lepo hii n huonekanie watu wako
Muñgu akubariki mtumishi wa Mungu, ni wimbo mzuri wa kutufañya tusongembele ktk nyakati ngumu tukiwa na Kristo. Umenibariki
Ameen mungu akutie nguvu katika huduma uliyo nayo
Barikiwa sana mtumishi wa mungu
Mungu so kiziwi Anasikia Mungu akusaidie
Bila ww mungu mm siwezi nisaidie nishike mkono uniongoze hatuwa zngu ❤ barikiwa sana mtumishi wa mungu kwa wimbo mzuri❤❤❤ 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 tunakupata loud and clear.
Ameen mtumish wa mungu Linda Sanaa kusud la mungu lillo ndan mwako ,,,, paschal endlee kuisema kwel . Me naitwa pascal mwabila kutoka shnyinga nafatlia sana nymbo zako naahubr yako
Ubarikiwe mtumishi🎉
Amen, Nitie nguvu Mungu wangu.
Mwimbaji na mpiga vyombo wamekutana❤🎉🎉🎉
HAKIKA NGUVU YETU NI MUNGU TU.. UBARIKIWE SANA MTU WA MUNGU. AMEN.
Huyu mtumishi kwangu ninamba moja♥️♥️♥️
Amen amen ubarikiwe mtumishi
kali tamu kama MUNGU
AMEN MUNGU nitie nguvu MUNGU nishinde vita hii.
Amen pia ubarikiwe 🙏🙏🙏🙏
❤❤❤❤❤ kweli naitaji msada wa MUNGU WANGU
🙏 🙏 Very powerful and full of anointing ❤
Amina mungu akubariki mtumishi wa Mungu
Mungu atakushindia
swezi Jehovah bila wewe
Amazing job God bless you man of God🎉🎉
God bless you man of God
Kweli wewe nimpakwa mafuta wa mungu bro
Amina Baba angu nisaidie
Barikiwa
Amin , il mtumishi umenenp san
Kazi nzuri sana
Nakuombea ulinzi wa kimungu kwako mtumishi wa MUNGU maan hapo malaika walioko zamu na wale wasikuwa zamu wakulinde na roho mtakatifu kiongoz na msaidiz awe nawewe daima maan wapo wanaokuchuki ila naamn baba wa yote anakupenda namm pia nakupenda
Barikiwa sana, Mungu atupe kuishida vita hii
Naamini mtumishi wamungu
Vmungu ndie anayetupingania Kwa kila hali tumtumainie yeye ttuu tutashinda
Good job
Amina mtumishi
Eee MUNGU majaribu ni mengi ninayo pitia naomba nitie nguvu hakika huu wimbo umenigusa naomba iokoe familia yangu
Good song
Ubarikiwe sana kwa jina lake yesu 🇲🇿🇲🇿
Amen Amen🙏🙏
Ubarikiwe mtumishi wa mungu
Mungu akutiye nguvu mtumishi!
Amen Amen Amen
Amena ❤❤❤much from Canada 🇨🇦 😊
🇰🇪🇰🇪 Amen 🙏
Ee Mungu wangu siwezi bila wewe..
Hivi kiapo cha damu mpaka sasa video Hakuna Kwli Mtumish 😢😢
Ubarikiwe sana
Baba nisaidie😢
Tutashinda
Oh yesu !!!🤦♂🤦♂🤦♂
Amen
Very nice
Uimbaji ndio witowako sio uinjilist
@stephennganga4827
Ай бұрын
Hapana, yote katika kristo yesu yanawezekana,ako safi kotekote.
@SelinaDorcas
Ай бұрын
Aliitwa akaitika ...maan anamwamini yy anaye mtia nguvu
Tunapozidiwa na kuishiwa nguvu MUNGU wa mbinguni ukimwomba anatutia nguvu ili tushinde vita iliyo mbele yetu barikiwa mtumishi
Ameena, Ameena
AMINA
❤
Ubalikiwe mtumishi wa Mungu
Amen
❤
Amen
❤