Neema Jeckonia Chavala - JARIBU KAMA MLIMA (Official Video)
Kwa Mawasiliano call + 255 717 674346 #Pleas#Subscribe#Now
Жүктеу.....
Пікірлер: 167
@SurprisedBoombox-od9dr26 күн бұрын
Hakuna jambo linalodumu hapa chini ya jua, mbele ya macho yangu, jaribu langu litatoweka Amen
@maggiebaraka69273 жыл бұрын
Hata kama jaribu lako liwe kubwa.......siku moja mbele ya macho yako jaribu lako litatoweka......Haleluyaaaaaah
@faithikenda Жыл бұрын
Jamani Neema nyimbo zako zilitubariki na kutuiinua sana ..na upako uko pale pale...Mungu akuinue tena Praise power ilifanya kazi njema ya kuinua vipawa hivi!!!
@Francine3802 ай бұрын
Wauuu sijui mbona nalia mungu nice song has touched my heart
@zakiamseka96982 ай бұрын
Nina jaribu mwaka wa 20 sasa😢 Mungu nisaidie litoweke..amen
@silviak1776 Жыл бұрын
Nimetafuta hii nyimbo sna , Mungu ni mwema 🙏🙏🙏🙏
@user-st8vj7ml1o5 ай бұрын
Napataje mawasiliano na wewe Neema
@christinakilla8 ай бұрын
Hongera dada, Asante Kwa wimbo wa kutia moyo
@user-bw4pu3dx7g10 күн бұрын
Hakika huu wimbo ni tiba ya moyo ulioumia na ni baraka siku zote maana hauchuji Kila siku ni mpya.
@jobmwakijale74473 жыл бұрын
Umenibariki sana huu wimbo na umenifanya upya huu wimbo nilikuwa nimekata tamaa sana kwa mapito ninayopitia Mungu akubariki mtumishi
@elizabethagustino3592 ай бұрын
Wimbo huu nimetafuta miaka mingi hatimae leo nimeupata, jina la mungu libarikiwe, nawe dada mungu akuinue katika viwango vya juu.
@queenliz94824 жыл бұрын
Amen niko naimani siku moja maitaji yangu itajibiwa tu na Mungu Wangu 💞 Asante sana kwa wimbo mzuri wakutupatia moyo ubarikiwe sana 🙏🙏🙏🙏🇨🇩🇨🇩
@neemajeckoniachavala6437
4 жыл бұрын
Amen barikiwaaa
@yusterminga74484 жыл бұрын
hakika kila jaribu lina mlango wa kutokea!! hata mlango ukifungwa Mungu anazo funguo!!!!!!!!!!!
@user-sv1ow8ti3gАй бұрын
amina, nabarikiwa sn na ujumbe mzur toka kwa wimbo huu
@kenniaivuganeza650 Жыл бұрын
Mbere ya macho yako jaribu lita toeka sema Amen🙏🙏🙏
@eugenientakarutimana7940 Жыл бұрын
Asante sana dada kwa wimbo mungu akubaliki 😢🙏🏿🙏🏿🙏🏿🥰🥰❤️🧡
@sarahaamos6175 Жыл бұрын
Hii nyimbo nimeitafuta toka 2016 jaman naipenda hata Mungu anajua,Ubarikiwe kwa mafunuo ya wimbo huu ujumbe mkali sana uliongozwa na Roho katika utunzi huu
@marianyakanga-yw8fq
Жыл бұрын
Nyimbo hii nzr sana
@GedeonNdayipfukamiye
11 ай бұрын
na mimi nagupenda sana ubalikiwe sana mu imbaji
@stellahmwanjala Жыл бұрын
I always sing about this song ...God bless you with more encouraging songs...
@speshoman833 Жыл бұрын
Ameeeen 👏👏👏 asate dada kwawimbo mzuri wakutiya moyo Sana Sana mtumishi
@dinakyoma59772 ай бұрын
Barikiwa mno Neema
@bademacle85546 сағат бұрын
Amen 😂❤
@janethhendry67343 жыл бұрын
Ameeen nakumbuka wakati nipo katk jarb lang.lkn mungu ulinivusha mungu wangu Asante.
@MALILOLAMBERTMATWI5 күн бұрын
Anaimba vizur
@marianyahenge9529 Жыл бұрын
Wimbo umenitia nguvu Sana barikiwa mtumishi Mungu amekutumia
@stellastellamartin8822 Жыл бұрын
Amina pia nilalopitia kwasasa namini mungu ataniptisha 😭😭😭🙏🙏🙏
@anitakindole20513 жыл бұрын
Kweli kabisa linapita na unasahau kabisa
@mercymuranga817 Жыл бұрын
Pia mm jaribu hili ninalolipotea siku moja litatoweka mbele ya macho yangu
@beatricemaugo Жыл бұрын
Nice song with powerful massage God bless your ministry dada........siku moja mimi nakwambia mbele yà macho yako jaribu lako lítatoweka. Amen
@PendoElisha-lo1sw Жыл бұрын
Wimbo mzuri Sana unatia Moyo
@janetbahati3867 Жыл бұрын
Asante dada kwa wimbo mzuri wa kutia moyo na kumpa imani mtu. My God bless you forevermore 😭😭😭🙏🙏🙏 . Majaraibu n kwamuda tuu lkn MUNGU yuko atatendaa
@minister_goodsoul3264
Жыл бұрын
Barikiwa dada wimbo wako umekua dawa kwangu
@biabukasongo61333 ай бұрын
This song makes me strong I was pregnant
@lucyndare53194 жыл бұрын
Karibu hata liwe kubwa lazima litapita. Wimbo unatia moyo sana, barikiwa mtumishi
@happynyonga9328 Жыл бұрын
Hakika ht mm jaribu nililonalo linaenda kupita kwamaana Mungu wetu hashindwi nakitu kama alinioitisha jaribu lakwanza ht hili litapita
@BahatiRwabadukajeremie-tb5th2 ай бұрын
Ce chanson me souviens de passé en 2016 tu ne peux pas croire
@mwaramigila62782 жыл бұрын
Neema umenifanya moyo wangu utulie kila nisikilizapo nyimbo zako za faraja
@heriethmtangichafwakale546
Жыл бұрын
Inabariki sana
@MillicentJonas-wb6ts Жыл бұрын
Amen Mungu akubarik
@joselineapoma87303 жыл бұрын
Wow wow Amina, I was waiting for thise video, God is good all the time, Wow Amazing words , sikumoja Mimi na kwambia jipe moyo hilo jarabu niya muda tu,Mungu yuko Mungu yuko,Amen Amen hallelujah Hallelujah nimebarikiwa kwa huu wimbo.
@jennifermchodo1079 Жыл бұрын
Jipe moyo katika jaribu unalopitia 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@InnocentMutabazi-vl8xe5 ай бұрын
Na Hilo linapita kabisa, we vumilia tu
@mophatmwanje87092 жыл бұрын
Naomba kualika Kenya Dadaangu,uje uhudumu nitakufikiaje
@user-kt8pm9ds8z11 ай бұрын
acha mungu awe mungu tu
@user-tt1fk2cv7y10 ай бұрын
Unanipa nguvu sana huu wimbo ubarikiwe sana dada
@NzirubusaGrodien8 ай бұрын
Nikweli linapita.
@BelyseNiyodusaba-th5om9 ай бұрын
Naipenda sana
@user-kx9xk1jx3r9 ай бұрын
Asante dada kwa ujumbe mungu akubariki xana ktk huduma
@lidiamalesi62962 жыл бұрын
This song as rilly touched my heart no matter what iwill press on
@GLORY.BGOSPEL4 ай бұрын
Jesus blessed you mama
@Majembe12Ай бұрын
Hakika linapita....😢👉😂🙏.
@calvinidemili556 Жыл бұрын
...nice melody ... smooth!!
@IteritekaDivine-py9bs Жыл бұрын
Adupe zingine jamani
@janeongala66842 жыл бұрын
Nice song I love this song to much
@danstanmathayo13323 жыл бұрын
Barikiwa sana hakika kila jaribu lina mlango wa kutokea
@kagenitz Жыл бұрын
This song, I always look for it on You Tube. She ministers in Kiswahili in such a loving, and uplifting way. Asante sana Mtumishi Neema!!!
@fridahkn6193 Жыл бұрын
Was in great pain and betrayal,,, as I was praying the song came to my spirit. I had to look for it on you tube. It's my first time to hear the song. At 4:30 am.
@yehubahwere94667 ай бұрын
Asante sana kwa wimbo huu unanifariji sana
@MwakaziJanet-qq2be5 ай бұрын
Good luck
@saphynjaule4849 Жыл бұрын
Sure,wimbo huuu unanibarikiiii
@patrciakavihhsra57474 жыл бұрын
Ubarikiwe sana dada na Mungu akuzidishiye kipaji
@user-qw4om8us2e7 ай бұрын
Amen amen 🙏🙏🙏
@user-pd2xi1zj2r6 ай бұрын
Na mi nimebalikiwa na hiii nyimb na we ubalikiw na mung mam wetu
@saimonmatata93003 жыл бұрын
Dada yangu neema mungu azidi kukubaliki
@user-lg5ry9ro1i Жыл бұрын
Hii nyimbo imebarikiwa daima
@harrietboruwa6501 Жыл бұрын
AMEEEEEEEEEEN AMEEEEEEEEEEN SURE GOD BLESS BLESS YOU FOR EVERYTHING 😢😢
@erickngaiza83244 жыл бұрын
Safi sana shemeji yangu mungu hana kupigania sana
@elysenyonzima5685 ай бұрын
Amenaaaa❤❤
@user-hn7kz4yk5i Жыл бұрын
Nimeutafuta toka 2016 hatimae leo nimeupata baada ya huyu dada katuhudumia kwa viwango
@pieleamani40842 жыл бұрын
Najua mungu atanilinda na hili litatoweka
@christinamwambola93293 жыл бұрын
Barikiwa sana, nataka na ule wa tenda Bwana katika maisha yangu.
@user-kx9xk1jx3r9 ай бұрын
The great song is always encourage uuss be blessed neema
@AlexOnchwari-cf7sq Жыл бұрын
Nmeipenda hii nyimbo ubarikiwe
@jeanpierreimanishimwe77806 ай бұрын
May God bless you
@edinaaudax-kb3jd8 ай бұрын
Jaman madam ahasant nafalijika San na huu wimbo
@uwimanaesperance5280 Жыл бұрын
Asante saana kukutia moya dada!
@thomasmuzige1200 Жыл бұрын
Amen MUNGU ni mukubwa
@shikiroruhara29416 ай бұрын
Iposiku❤❤❤
@etonyemyaesau1433 Жыл бұрын
Asante sana dadayangu kwa huu wimbo huwa unanijenga kwa yale ninayo pitiya
@stellambilinyi5402 Жыл бұрын
Mama nimeelewa huo ujumbe barikiwa
@HawaMohamed-xp4om10 ай бұрын
Nimetafuta saan huu wimbo
@rizikijoyce3781 Жыл бұрын
Wawooo
@barakamlili77833 ай бұрын
Jaman
@user-lt7go8rf8o8 ай бұрын
Amina
@zefaniasombe52023 жыл бұрын
Dada hii nyimbo inanikosha sana
@neemajeckoniachavala6437
3 жыл бұрын
Barikiwa nayo
@HappyMwaigwisya Жыл бұрын
Ubarikiwe sana dada
@atupakisyemwamiko68913 жыл бұрын
Nafarijika kwa huu wimbo barikiwa sana
@mophatmwanje87092 жыл бұрын
Ni ukweli mtupu ,hakuna jambo linadumu
@hafsasaif80044 жыл бұрын
Yan Naishi Na Wewe Ata unambii Ndoleo sasa nakwambia 😁😁😁😁
@levismbasa22943 жыл бұрын
Nyimbo nzuri,bt tuwekee zote za album ya jaribu nimezitafuta Sana sizioni.
@lawinyamoga47564 жыл бұрын
Hongera sana dada unaimba vizuri
@joselineapoma87302 жыл бұрын
Amen Amen, shalom
@gloryngumbi23723 жыл бұрын
amina mama mungu akuzdishie
@samwelikaiga30963 жыл бұрын
Waoooo hakika linapita yesu yupo kweli mungu amekutumia vema
Пікірлер: 167
Hakuna jambo linalodumu hapa chini ya jua, mbele ya macho yangu, jaribu langu litatoweka Amen
Hata kama jaribu lako liwe kubwa.......siku moja mbele ya macho yako jaribu lako litatoweka......Haleluyaaaaaah
Jamani Neema nyimbo zako zilitubariki na kutuiinua sana ..na upako uko pale pale...Mungu akuinue tena Praise power ilifanya kazi njema ya kuinua vipawa hivi!!!
Wauuu sijui mbona nalia mungu nice song has touched my heart
Nina jaribu mwaka wa 20 sasa😢 Mungu nisaidie litoweke..amen
Nimetafuta hii nyimbo sna , Mungu ni mwema 🙏🙏🙏🙏
Napataje mawasiliano na wewe Neema
Hongera dada, Asante Kwa wimbo wa kutia moyo
Hakika huu wimbo ni tiba ya moyo ulioumia na ni baraka siku zote maana hauchuji Kila siku ni mpya.
Umenibariki sana huu wimbo na umenifanya upya huu wimbo nilikuwa nimekata tamaa sana kwa mapito ninayopitia Mungu akubariki mtumishi
Wimbo huu nimetafuta miaka mingi hatimae leo nimeupata, jina la mungu libarikiwe, nawe dada mungu akuinue katika viwango vya juu.
Amen niko naimani siku moja maitaji yangu itajibiwa tu na Mungu Wangu 💞 Asante sana kwa wimbo mzuri wakutupatia moyo ubarikiwe sana 🙏🙏🙏🙏🇨🇩🇨🇩
@neemajeckoniachavala6437
4 жыл бұрын
Amen barikiwaaa
hakika kila jaribu lina mlango wa kutokea!! hata mlango ukifungwa Mungu anazo funguo!!!!!!!!!!!
amina, nabarikiwa sn na ujumbe mzur toka kwa wimbo huu
Mbere ya macho yako jaribu lita toeka sema Amen🙏🙏🙏
Asante sana dada kwa wimbo mungu akubaliki 😢🙏🏿🙏🏿🙏🏿🥰🥰❤️🧡
Hii nyimbo nimeitafuta toka 2016 jaman naipenda hata Mungu anajua,Ubarikiwe kwa mafunuo ya wimbo huu ujumbe mkali sana uliongozwa na Roho katika utunzi huu
@marianyakanga-yw8fq
Жыл бұрын
Nyimbo hii nzr sana
@GedeonNdayipfukamiye
11 ай бұрын
na mimi nagupenda sana ubalikiwe sana mu imbaji
I always sing about this song ...God bless you with more encouraging songs...
Ameeeen 👏👏👏 asate dada kwawimbo mzuri wakutiya moyo Sana Sana mtumishi
Barikiwa mno Neema
Amen 😂❤
Ameeen nakumbuka wakati nipo katk jarb lang.lkn mungu ulinivusha mungu wangu Asante.
Anaimba vizur
Wimbo umenitia nguvu Sana barikiwa mtumishi Mungu amekutumia
Amina pia nilalopitia kwasasa namini mungu ataniptisha 😭😭😭🙏🙏🙏
Kweli kabisa linapita na unasahau kabisa
Pia mm jaribu hili ninalolipotea siku moja litatoweka mbele ya macho yangu
Nice song with powerful massage God bless your ministry dada........siku moja mimi nakwambia mbele yà macho yako jaribu lako lítatoweka. Amen
Wimbo mzuri Sana unatia Moyo
Asante dada kwa wimbo mzuri wa kutia moyo na kumpa imani mtu. My God bless you forevermore 😭😭😭🙏🙏🙏 . Majaraibu n kwamuda tuu lkn MUNGU yuko atatendaa
@minister_goodsoul3264
Жыл бұрын
Barikiwa dada wimbo wako umekua dawa kwangu
This song makes me strong I was pregnant
Karibu hata liwe kubwa lazima litapita. Wimbo unatia moyo sana, barikiwa mtumishi
Hakika ht mm jaribu nililonalo linaenda kupita kwamaana Mungu wetu hashindwi nakitu kama alinioitisha jaribu lakwanza ht hili litapita
Ce chanson me souviens de passé en 2016 tu ne peux pas croire
Neema umenifanya moyo wangu utulie kila nisikilizapo nyimbo zako za faraja
@heriethmtangichafwakale546
Жыл бұрын
Inabariki sana
Amen Mungu akubarik
Wow wow Amina, I was waiting for thise video, God is good all the time, Wow Amazing words , sikumoja Mimi na kwambia jipe moyo hilo jarabu niya muda tu,Mungu yuko Mungu yuko,Amen Amen hallelujah Hallelujah nimebarikiwa kwa huu wimbo.
Jipe moyo katika jaribu unalopitia 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Na Hilo linapita kabisa, we vumilia tu
Naomba kualika Kenya Dadaangu,uje uhudumu nitakufikiaje
acha mungu awe mungu tu
Unanipa nguvu sana huu wimbo ubarikiwe sana dada
Nikweli linapita.
Naipenda sana
Asante dada kwa ujumbe mungu akubariki xana ktk huduma
This song as rilly touched my heart no matter what iwill press on
Jesus blessed you mama
Hakika linapita....😢👉😂🙏.
...nice melody ... smooth!!
Adupe zingine jamani
Nice song I love this song to much
Barikiwa sana hakika kila jaribu lina mlango wa kutokea
This song, I always look for it on You Tube. She ministers in Kiswahili in such a loving, and uplifting way. Asante sana Mtumishi Neema!!!
Was in great pain and betrayal,,, as I was praying the song came to my spirit. I had to look for it on you tube. It's my first time to hear the song. At 4:30 am.
Asante sana kwa wimbo huu unanifariji sana
Good luck
Sure,wimbo huuu unanibarikiiii
Ubarikiwe sana dada na Mungu akuzidishiye kipaji
Amen amen 🙏🙏🙏
Na mi nimebalikiwa na hiii nyimb na we ubalikiw na mung mam wetu
Dada yangu neema mungu azidi kukubaliki
Hii nyimbo imebarikiwa daima
AMEEEEEEEEEEN AMEEEEEEEEEEN SURE GOD BLESS BLESS YOU FOR EVERYTHING 😢😢
Safi sana shemeji yangu mungu hana kupigania sana
Amenaaaa❤❤
Nimeutafuta toka 2016 hatimae leo nimeupata baada ya huyu dada katuhudumia kwa viwango
Najua mungu atanilinda na hili litatoweka
Barikiwa sana, nataka na ule wa tenda Bwana katika maisha yangu.
The great song is always encourage uuss be blessed neema
Nmeipenda hii nyimbo ubarikiwe
May God bless you
Jaman madam ahasant nafalijika San na huu wimbo
Asante saana kukutia moya dada!
Amen MUNGU ni mukubwa
Iposiku❤❤❤
Asante sana dadayangu kwa huu wimbo huwa unanijenga kwa yale ninayo pitiya
Mama nimeelewa huo ujumbe barikiwa
Nimetafuta saan huu wimbo
Wawooo
Jaman
Amina
Dada hii nyimbo inanikosha sana
@neemajeckoniachavala6437
3 жыл бұрын
Barikiwa nayo
Ubarikiwe sana dada
Nafarijika kwa huu wimbo barikiwa sana
Ni ukweli mtupu ,hakuna jambo linadumu
Yan Naishi Na Wewe Ata unambii Ndoleo sasa nakwambia 😁😁😁😁
Nyimbo nzuri,bt tuwekee zote za album ya jaribu nimezitafuta Sana sizioni.
Hongera sana dada unaimba vizuri
Amen Amen, shalom
amina mama mungu akuzdishie
Waoooo hakika linapita yesu yupo kweli mungu amekutumia vema
God bless you mtumishi.
Umekua kibonge
Amen🙏🙏🇧🇮
Huu wimbo unaniipa matumaini
Nice piece, congrats
Safi sana
Be blessed my dear
Safi.kabisa
Amen