NDARO na LEONARDO wawekewa MKWANJA kwenye SHOW yao/MSHINDI kuondoka nao/NDARO ataka kususia SHOW...
Ойын-сауық
_________________________________________________________________________________
Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe KZread channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
_________________________________________________________________________________
Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp
Пікірлер: 144
M naona Bora mmpe tu leornad kabisa kabla io Siku au wakuu mnasemaje
Leonardo master wa comedy TZ 💯🔥 (kwa mbili mbili kwa mbili mbili) kama huna D mbili huwez kuelewa 😂
Mm namkubali sana ndaro kwa kuwa hana mambo mengi na Wala haji feel sana kama Leonard
Team ndaro Gonga like
Nakubali Sana baba levo jambo ulilofanya liko good hawa vijamaa vinaleta makasiliko Kisa wanaugomvi on the stage hasa huyu ndaro kanajifanyafanya,,, km mmemdiss ndaro Weka like hapo maana anazingua kwenye press
@lukundolucas199
26 күн бұрын
Sio msomi kwanza , Leonardo nimsomi kwanza ndo Mana anachekesha kisomi
Ndaro naku kubali sana ndugu yangu. Toka Congo
Mbona tuna wakubali wote 🇨🇩🇨🇩🇨🇩♥️♥️♥️
Ndaro nakuombea sana pia nakuaminia kinoma
Ndaro namkubali sana mzee wa kutest kwanza
Leonardo -hata kama unajua usiongee sana kaza me nakukubali lakin unaongea sana ndaro mkimya mpaka raha kunasehemu zingine Leonardo unakaza sio kujichetua°
@Feel_better_stidio
Ай бұрын
Kinaongea kama mwajuma 😂
@juniorkamafa3391
Ай бұрын
Aliekua anaongea saana ni Ndaro..
Leonardo anaujua sana Ila ttzo lake anaonekan. Anajivuna sana anajiskia
@lukundolucas199
26 күн бұрын
Jamani hajivuni mbona
Mm ni muha na Niko upande wa ndaro lakin ndaro anaonekana kabaha na kumuogopa Leonardo na ukwer ndaro hamuwezi leonardo
Ndaro Jeshiii
Leonard ni zaidi ya ndaro , ilo ndaro analijua na kukataa kushiriki yupo sahihi maana ni wazi atashindwa na linaweza likawa anguko lake bora akatae
Ndaro anashinda
Ndaro m nakukubari kaka
Kama ni hivo nampa ndaro
Ila mnajua kuingiza. Hasa ndaro, yaani kama ana bifu kweli na Leonardo
Ndaaro ni bola huyo dogo hanakitu
Yani mtu yupo nyuma ya camera afu mnatuleteya kiki 👍👍
Leornaldo is the besty
Babalevo bangi dula awe jaji kura zote atampa daro😂😂😂😂😂😂 kesi ya nyani unapeleka kwa ngedere😢😢😢😢
Ndaro ni mkali sana jamani
Ndaro anajiona ameshakua star kwann ukatae kuhojiwa na waandishi anapaswa kuelewa ukisha kua na jina hapa bongo lazima waandishi wawashindanishe so unatakiwa kuzoea maisha ya umaarufu dogo
@mtutulaclassic6207
Ай бұрын
hivi nawewe unaamini unachokiona ni uhalisia
@Lilmbunah
Ай бұрын
Kila kitu unacho kiona hapo kime pangwa usiwe mshamba wa mitandao
@MariamuAmuri-dx9hz
Ай бұрын
Ndaro 😊😊😊🎉🎉🎉🎉 kapita God bless you Ndaro
@MariamuAmuri-dx9hz
Ай бұрын
6/8/2024 😊😊 ndaro
@KishoraKishoralimbu
Ай бұрын
Ndaro ana akili huyo kwanza ni anaenda na hesabu kila anachokifanya..
Kazi nzuri inaonekana hupaswi kuogofya Bro
We have😂😂😂 tuna mambo mengi ya kuja kuwambiaa😂😂😂
Mm nawakubali wote wawili hatar bora itokee draw ili wasigombane
🎉🎉🎉🎉🎉🎉 good
Namkubali saana Leonardo lakini kwa hili shindano inatakiwa ndaro ashinde.
Leonard nikafiki kamekaaa kiongo ongo ndio maana akinenepi
Kamtu kame konda hadi uso ila mdomo bwana ni ashura
Jamn, tuongeeni ukweli, ndaro namkubari ila siyo kwa leonard uyuui jamaa n moto kila cripu ana mpya Arfu anamalizia kama hauja d Mbili uwezi kuekewa
Nakuombea bro niko nyuma yko japokua nko kenya I wish all the best❤❤❤❤
@BornloveMethods
Ай бұрын
Ndaro baba
Mwanangu ndaro
Leodardo kinywa kita kuponza ndaro ni mkali sana!!
@lukundolucas199
26 күн бұрын
Pole saaana kwani hujaona mshindi
Ila mnajua kuigiza nyie watu😂😂😂 asee hii mmeifanya kama kweli vile😂😂😂 noumaa😂sana
Mwanang Leonardo hmuezi ng'oo w mshamba Ndaroo☆•••Acha nianze kmzomea ndaro iii ooo waaa 😮😮😮
@hermanndongolo1550
Ай бұрын
😆😆😆😆
Leonardo anajua kuchekesha Ila anazngua sana anaonekan mkolof
Fundi majumba ndani ya jumba
Huwezi shindana na Leonardo we muha
Team Leonardo 🔥🔥
Iyo ni vibaya sana mujiunge muwe wa moja kwa kazi yenu, muna
Huu mchezo nimesha ushtukia kitambo Hapo hao jamaa wa White skim ndo wanatafuta hela kwakutumia vipaji vya hao vijana Hamna bitu wala nini Kila kitu hapo kimetengenezwa tu
Ndaro mjeshi kikofia you are the best
@Ndaro ashauliwe atulie. Comedian hapaswi kuw na hasira krahis ivo anatushangaz sana
Mko vzr mnajua kutngeneza trick sana
Kama umekimbilia kuangalia comment umejua ndaro anapendwa sana gonga like apaaa
Hii ni promoshen ya show hakuna ugomvi afu wamefanya bora sana asey
Ndaro baba lao😂😂😂😂😂
Leornad ni master of comedy
Yan hayo maneno unajua asa km ni kiki baba levo ameitengeneza ndaro na leornAdo hawana bifu
Chibaba wangu ndaro
Leonardo is the best ndaro mwenyewe anaonekana anaogopa mwingine mpeni tu leonardo
Let me go 😂nikamchukue ila c e o
Nani ambaye alishindaka ? Naitaji kujuwa plz
Ndaro atashinda
@lukundolucas199
26 күн бұрын
Mbona hajashinda sasa
Leonardo anajua ❤❤❤ ndaro pia ana fanya vizuri ila kwangu mm Leonardo
yan kuna sura ukiziona tu zna chekesha aisee Tx dulla unaznguaga sana 😂😂😂
wanatofautiana settings kila mmoja anapoweza kufanya vizuri, kwa uchekeshaji wa kisomi Leonardo ana content za kufikirika saana Ndaro mzuri kuchekesha kitaani kwa watu wasosikiliza content kwa umakin huwez kuelewa kama huna D 2
Leonardo huyo Ni fundi wa mafundi 😁😂😂🇹🇿🇹🇿🇹🇿👑👑👑👑👑
Ndarooo
Wenye D mbili kamwe uwezi mwelewa Leonardo coz anatumia IQ kubwa kwenye comedy especially stending comedy✍✍✍✍✍
Uyo jamaa asipo jilekebisha atapotea hii ni zalau kubwa sana wakati wao waandishi wa abari ndio watuwao wakalibu
Mwanaume haongei ongei nina wasiwasi na ww leonady pengine sio riziki huwezi kunyamaza kama muimba taarabu
@ramadhanyoungki6207
Ай бұрын
Uyo .comedy
Huo mpambano ni linii jamn😀😀😀😀😀 3×3 😀😀😀
Leonard anazingua
Hahaha dakika ya 7sekunde ya 9 ndaro anaongea kuna mkono upande wa Leonard unamsukuma Leonard😅😅😅
Ndaro anawatu ww Leonardo atamfikia wap,,,
Leonard ucjali wakerewe cc huwa tunaanza na upole kwa kumheshimu kila mtu baada ya hapo tutafanya ya kwetu kwa kumwambia bb
Ila Leonardo
Namco Bali sana Ronaldo seal camera
Ndaro ntakuja kukushabikia ww
Wote ni wakali saana ila bro ndaro sijapenda kukataa kuhojiwa
Baba levo mnaleta ngumi kwenye maisha ya ela😅😅😅😅😅😅
Hahh yani hawa wanatafuta kiki tu hawajagombana
Ndro
Wanatengeneza bifu tuh hawa
😂😂😂3+3😂😂😂😂
Sasa watakua wanachekesha watu kwa kusemana tuu na sio vinginevyo
Waliosema ndaro ni mkali msijisahau nyote😂😂
3×3 😂😂😂😂
Mkuu wa machawa Tanzania
Oya ndaro ni mkali bana
Atakaeshinda hapo mpelekeni kwa eliud akajifunze
Iyo kiki la tangazo lao hao..Amna ugomvi hapo..ilo changa
Leonardo fundi
Kapumbavu ako ka ndarooo
Ndaro umezingua...hukuonesha nidham hata kidogo....tumia akili ndaro
@bilallemba1919
Ай бұрын
Anaanza kuvimba
Tuwa shindanishe baba lv na mwijaku nan zaid😅😅
Huyo ndaro ajua hamuezi huyo boy
@tediciousndunguru1283
Ай бұрын
Kwahy gar alichukua mbele ya nani
Ndaro mshamba😂
Leonardo kwanza kiswahili imenyooka
Eti 3*3 😂😂
Manatugawa mbona Ndaro na Leonardo wote wakali
😂😂
Kama huna D mbili huwez kuelewa mtu m bad
Ndaro ninomaaa moto wakuotea mbali
Leonard ajiamini ile 100
Km munataka kuwapa pesa wapeni sio kuwashindanisha hao jamaa wote wakali na hapaswi kushindana
@EmmanuelZenda-ji5gc
Ай бұрын
Mzee wanatengeneza promo ili wapate ela usiamini unachokiona mkuu.
@JimyMnyama
Ай бұрын
Hakunaa kuwapa hela ya bure lazima wafanyee kazii na hio ndo kazii yenyewee
Hivi kuna mtu aliesoma pcm ajui hesabu za leornado? Mbna watz wngi wnamshangaa wkt mi naona kawaida tu🤔🤔
@jorammalley1574
Ай бұрын
wewe umesoma PCM aya sas 35*155=
@KelvinConorard
Ай бұрын
Apreciate uwez wa mwingin iyo wanawez wachache
@thompsonkiputa6842
Ай бұрын
Sio wot wanajua wewe, acha uchizy 😂
@stephanocyrilo1384
Ай бұрын
Hesabu ni ugonjwa wa taifa mkuu ndio maana
@SteveneJoshua-eh7kv
Ай бұрын
Hesabu ya kwenye calculator au.