NDARO na LEONARDO wawekewa MKWANJA kwenye SHOW yao/MSHINDI kuondoka nao/NDARO ataka kususia SHOW...

Ойын-сауық

_________________________________________________________________________________
Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe KZread channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
_________________________________________________________________________________
Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp

Пікірлер: 144

  • @highman2839
    @highman2839Ай бұрын

    M naona Bora mmpe tu leornad kabisa kabla io Siku au wakuu mnasemaje

  • @thompsonkiputa6842
    @thompsonkiputa6842Ай бұрын

    Leonardo master wa comedy TZ 💯🔥 (kwa mbili mbili kwa mbili mbili) kama huna D mbili huwez kuelewa 😂

  • @NoelCharles-vu9zx
    @NoelCharles-vu9zx28 күн бұрын

    Mm namkubali sana ndaro kwa kuwa hana mambo mengi na Wala haji feel sana kama Leonard

  • @SmartVicenzo
    @SmartVicenzoАй бұрын

    Team ndaro Gonga like

  • @Fredmbawala-hq3pd
    @Fredmbawala-hq3pdАй бұрын

    Nakubali Sana baba levo jambo ulilofanya liko good hawa vijamaa vinaleta makasiliko Kisa wanaugomvi on the stage hasa huyu ndaro kanajifanyafanya,,, km mmemdiss ndaro Weka like hapo maana anazingua kwenye press

  • @lukundolucas199

    @lukundolucas199

    26 күн бұрын

    Sio msomi kwanza , Leonardo nimsomi kwanza ndo Mana anachekesha kisomi

  • @RibinByamungu
    @RibinByamungu20 күн бұрын

    Ndaro naku kubali sana ndugu yangu. Toka Congo

  • @jeanbyelongo7830
    @jeanbyelongo7830Ай бұрын

    Mbona tuna wakubali wote 🇨🇩🇨🇩🇨🇩♥️♥️♥️

  • @gotardntambara9602
    @gotardntambara9602Ай бұрын

    Ndaro nakuombea sana pia nakuaminia kinoma

  • @fransyvedas9830
    @fransyvedas9830Ай бұрын

    Ndaro namkubali sana mzee wa kutest kwanza

  • @felicianboss6953
    @felicianboss6953Ай бұрын

    Leonardo -hata kama unajua usiongee sana kaza me nakukubali lakin unaongea sana ndaro mkimya mpaka raha kunasehemu zingine Leonardo unakaza sio kujichetua°

  • @Feel_better_stidio

    @Feel_better_stidio

    Ай бұрын

    Kinaongea kama mwajuma 😂

  • @juniorkamafa3391

    @juniorkamafa3391

    Ай бұрын

    Aliekua anaongea saana ni Ndaro..

  • @user-qk5tr8dt7j
    @user-qk5tr8dt7jАй бұрын

    Leonardo anaujua sana Ila ttzo lake anaonekan. Anajivuna sana anajiskia

  • @lukundolucas199

    @lukundolucas199

    26 күн бұрын

    Jamani hajivuni mbona

  • @ErickChristopher-rx6lq
    @ErickChristopher-rx6lqАй бұрын

    Mm ni muha na Niko upande wa ndaro lakin ndaro anaonekana kabaha na kumuogopa Leonardo na ukwer ndaro hamuwezi leonardo

  • @yusuphmsigwa
    @yusuphmsigwaАй бұрын

    Ndaro Jeshiii

  • @charlesmtitu5606
    @charlesmtitu5606Ай бұрын

    Leonard ni zaidi ya ndaro , ilo ndaro analijua na kukataa kushiriki yupo sahihi maana ni wazi atashindwa na linaweza likawa anguko lake bora akatae

  • @MgayaTwebe
    @MgayaTwebeАй бұрын

    Ndaro anashinda

  • @MgayaTwebe
    @MgayaTwebeАй бұрын

    Ndaro m nakukubari kaka

  • @Chriss_lo.
    @Chriss_lo.Ай бұрын

    Kama ni hivo nampa ndaro

  • @user-zd5pc5nc9c
    @user-zd5pc5nc9cАй бұрын

    Ila mnajua kuingiza. Hasa ndaro, yaani kama ana bifu kweli na Leonardo

  • @HASHIM-rt4mf
    @HASHIM-rt4mfАй бұрын

    Ndaaro ni bola huyo dogo hanakitu

  • @HamzaPresident-mt9mk
    @HamzaPresident-mt9mkАй бұрын

    Yani mtu yupo nyuma ya camera afu mnatuleteya kiki 👍👍

  • @GodfreyKunambi
    @GodfreyKunambiАй бұрын

    Leornaldo is the besty

  • @AllyBabu-kr6lg
    @AllyBabu-kr6lgАй бұрын

    Babalevo bangi dula awe jaji kura zote atampa daro😂😂😂😂😂😂 kesi ya nyani unapeleka kwa ngedere😢😢😢😢

  • @CharamKabul
    @CharamKabulАй бұрын

    Ndaro ni mkali sana jamani

  • @musamwambara6835
    @musamwambara6835Ай бұрын

    Ndaro anajiona ameshakua star kwann ukatae kuhojiwa na waandishi anapaswa kuelewa ukisha kua na jina hapa bongo lazima waandishi wawashindanishe so unatakiwa kuzoea maisha ya umaarufu dogo

  • @mtutulaclassic6207

    @mtutulaclassic6207

    Ай бұрын

    hivi nawewe unaamini unachokiona ni uhalisia

  • @Lilmbunah

    @Lilmbunah

    Ай бұрын

    Kila kitu unacho kiona hapo kime pangwa usiwe mshamba wa mitandao

  • @MariamuAmuri-dx9hz

    @MariamuAmuri-dx9hz

    Ай бұрын

    Ndaro 😊😊😊🎉🎉🎉🎉 kapita God bless you Ndaro

  • @MariamuAmuri-dx9hz

    @MariamuAmuri-dx9hz

    Ай бұрын

    6/8/2024 😊😊 ndaro

  • @KishoraKishoralimbu

    @KishoraKishoralimbu

    Ай бұрын

    Ndaro ana akili huyo kwanza ni anaenda na hesabu kila anachokifanya..

  • @FredrickJohho
    @FredrickJohhoАй бұрын

    Kazi nzuri inaonekana hupaswi kuogofya Bro

  • @kaingunashon-ph3wo
    @kaingunashon-ph3woАй бұрын

    We have😂😂😂 tuna mambo mengi ya kuja kuwambiaa😂😂😂

  • @gillandfrancis9612
    @gillandfrancis9612Ай бұрын

    Mm nawakubali wote wawili hatar bora itokee draw ili wasigombane

  • @Faldofamily
    @FaldofamilyАй бұрын

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉 good

  • @drisakamwakitalima1937
    @drisakamwakitalima1937Ай бұрын

    Namkubali saana Leonardo lakini kwa hili shindano inatakiwa ndaro ashinde.

  • @hanifakassim8036
    @hanifakassim8036Ай бұрын

    Leonard nikafiki kamekaaa kiongo ongo ndio maana akinenepi

  • @user-vf6on5dk4t
    @user-vf6on5dk4tАй бұрын

    Kamtu kame konda hadi uso ila mdomo bwana ni ashura

  • @Khany_voice417
    @Khany_voice417Ай бұрын

    Jamn, tuongeeni ukweli, ndaro namkubari ila siyo kwa leonard uyuui jamaa n moto kila cripu ana mpya Arfu anamalizia kama hauja d Mbili uwezi kuekewa

  • @WilliamSirya
    @WilliamSiryaАй бұрын

    Nakuombea bro niko nyuma yko japokua nko kenya I wish all the best❤❤❤❤

  • @BornloveMethods

    @BornloveMethods

    Ай бұрын

    Ndaro baba

  • @fredrickLuoga-zb5ib
    @fredrickLuoga-zb5ibАй бұрын

    Mwanangu ndaro

  • @j...876
    @j...876Ай бұрын

    Leodardo kinywa kita kuponza ndaro ni mkali sana!!

  • @lukundolucas199

    @lukundolucas199

    26 күн бұрын

    Pole saaana kwani hujaona mshindi

  • @lumo9999
    @lumo9999Ай бұрын

    Ila mnajua kuigiza nyie watu😂😂😂 asee hii mmeifanya kama kweli vile😂😂😂 noumaa😂sana

  • @ngalenalojanjalo296
    @ngalenalojanjalo296Ай бұрын

    Mwanang Leonardo hmuezi ng'oo w mshamba Ndaroo☆•••Acha nianze kmzomea ndaro iii ooo waaa 😮😮😮

  • @hermanndongolo1550

    @hermanndongolo1550

    Ай бұрын

    😆😆😆😆

  • @user-qk5tr8dt7j
    @user-qk5tr8dt7jАй бұрын

    Leonardo anajua kuchekesha Ila anazngua sana anaonekan mkolof

  • @ZainabuIdrisa
    @ZainabuIdrisaАй бұрын

    Fundi majumba ndani ya jumba

  • @deblacktz2981
    @deblacktz2981Ай бұрын

    Huwezi shindana na Leonardo we muha

  • @hubertmwemezi8426
    @hubertmwemezi8426Ай бұрын

    Team Leonardo 🔥🔥

  • @user-yl3ud4et1y
    @user-yl3ud4et1yАй бұрын

    Iyo ni vibaya sana mujiunge muwe wa moja kwa kazi yenu, muna

  • @johnchitete
    @johnchiteteАй бұрын

    Huu mchezo nimesha ushtukia kitambo Hapo hao jamaa wa White skim ndo wanatafuta hela kwakutumia vipaji vya hao vijana Hamna bitu wala nini Kila kitu hapo kimetengenezwa tu

  • @Zpauljr994
    @Zpauljr994Ай бұрын

    Ndaro mjeshi kikofia you are the best

  • @lusakejackson1515
    @lusakejackson1515Ай бұрын

    @Ndaro ashauliwe atulie. Comedian hapaswi kuw na hasira krahis ivo anatushangaz sana

  • @amanlenatus9067
    @amanlenatus9067Ай бұрын

    Mko vzr mnajua kutngeneza trick sana

  • @Tulizombago7633
    @Tulizombago7633Ай бұрын

    Kama umekimbilia kuangalia comment umejua ndaro anapendwa sana gonga like apaaa

  • @user-wu9zh1hc3i
    @user-wu9zh1hc3iАй бұрын

    Hii ni promoshen ya show hakuna ugomvi afu wamefanya bora sana asey

  • @WilliamSirya
    @WilliamSiryaАй бұрын

    Ndaro baba lao😂😂😂😂😂

  • @user-mu5cc9rl2i
    @user-mu5cc9rl2iАй бұрын

    Leornad ni master of comedy

  • @issahaji8715
    @issahaji871529 күн бұрын

    Yan hayo maneno unajua asa km ni kiki baba levo ameitengeneza ndaro na leornAdo hawana bifu

  • @HawaJuma-cp2dn
    @HawaJuma-cp2dnАй бұрын

    Chibaba wangu ndaro

  • @lazarofredy
    @lazarofredyАй бұрын

    Leonardo is the best ndaro mwenyewe anaonekana anaogopa mwingine mpeni tu leonardo

  • @Josephkp629
    @Josephkp62928 күн бұрын

    Let me go 😂nikamchukue ila c e o

  • @SamuelKashindi
    @SamuelKashindi15 күн бұрын

    Nani ambaye alishindaka ? Naitaji kujuwa plz

  • @HenryPaul-zm6pf
    @HenryPaul-zm6pfАй бұрын

    Ndaro atashinda

  • @lukundolucas199

    @lukundolucas199

    26 күн бұрын

    Mbona hajashinda sasa

  • @BaltazaryAssenga
    @BaltazaryAssengaАй бұрын

    Leonardo anajua ❤❤❤ ndaro pia ana fanya vizuri ila kwangu mm Leonardo

  • @user-xw2vu2mt2p
    @user-xw2vu2mt2pАй бұрын

    yan kuna sura ukiziona tu zna chekesha aisee Tx dulla unaznguaga sana 😂😂😂

  • @kenedytheonest2798
    @kenedytheonest2798Ай бұрын

    wanatofautiana settings kila mmoja anapoweza kufanya vizuri, kwa uchekeshaji wa kisomi Leonardo ana content za kufikirika saana Ndaro mzuri kuchekesha kitaani kwa watu wasosikiliza content kwa umakin huwez kuelewa kama huna D 2

  • @japhetmwangwa2145
    @japhetmwangwa2145Ай бұрын

    Leonardo huyo Ni fundi wa mafundi 😁😂😂🇹🇿🇹🇿🇹🇿👑👑👑👑👑

  • @EzekielDebora-cd2ib
    @EzekielDebora-cd2ibАй бұрын

    Ndarooo

  • @DanielMollel-mi4yg
    @DanielMollel-mi4ygАй бұрын

    Wenye D mbili kamwe uwezi mwelewa Leonardo coz anatumia IQ kubwa kwenye comedy especially stending comedy✍✍✍✍✍

  • @OmarySamata
    @OmarySamataАй бұрын

    Uyo jamaa asipo jilekebisha atapotea hii ni zalau kubwa sana wakati wao waandishi wa abari ndio watuwao wakalibu

  • @user-ij2po2jw2f
    @user-ij2po2jw2fАй бұрын

    Mwanaume haongei ongei nina wasiwasi na ww leonady pengine sio riziki huwezi kunyamaza kama muimba taarabu

  • @ramadhanyoungki6207

    @ramadhanyoungki6207

    Ай бұрын

    Uyo .comedy

  • @FatumaBakari-ye6tl
    @FatumaBakari-ye6tlАй бұрын

    Huo mpambano ni linii jamn😀😀😀😀😀 3×3 😀😀😀

  • @musaamos2431
    @musaamos243125 күн бұрын

    Leonard anazingua

  • @ramadhanijuma2691
    @ramadhanijuma2691Ай бұрын

    Hahaha dakika ya 7sekunde ya 9 ndaro anaongea kuna mkono upande wa Leonard unamsukuma Leonard😅😅😅

  • @user-er2if3dl9d
    @user-er2if3dl9d23 күн бұрын

    Ndaro anawatu ww Leonardo atamfikia wap,,,

  • @FucianeBulemo-nd4wc
    @FucianeBulemo-nd4wcАй бұрын

    Leonard ucjali wakerewe cc huwa tunaanza na upole kwa kumheshimu kila mtu baada ya hapo tutafanya ya kwetu kwa kumwambia bb

  • @FURAHA_NI_HAKI_YAKO
    @FURAHA_NI_HAKI_YAKOАй бұрын

    Ila Leonardo

  • @AnthonyManyonge-qj9wz
    @AnthonyManyonge-qj9wzАй бұрын

    Namco Bali sana Ronaldo seal camera

  • @OscarMuhumenya-yc4ot
    @OscarMuhumenya-yc4otАй бұрын

    Ndaro ntakuja kukushabikia ww

  • @Fran3pen
    @Fran3penАй бұрын

    Wote ni wakali saana ila bro ndaro sijapenda kukataa kuhojiwa

  • @SamwelMnaga
    @SamwelMnagaАй бұрын

    Baba levo mnaleta ngumi kwenye maisha ya ela😅😅😅😅😅😅

  • @issahaji8715
    @issahaji871529 күн бұрын

    Hahh yani hawa wanatafuta kiki tu hawajagombana

  • @user-od7yn5hv7z
    @user-od7yn5hv7zАй бұрын

    Ndro

  • @YusuphLyatenga
    @YusuphLyatengaАй бұрын

    Wanatengeneza bifu tuh hawa

  • @user-uh6og9fj7b
    @user-uh6og9fj7bАй бұрын

    😂😂😂3+3😂😂😂😂

  • @HafssaMbwambo
    @HafssaMbwamboАй бұрын

    Sasa watakua wanachekesha watu kwa kusemana tuu na sio vinginevyo

  • @ELEONE2023
    @ELEONE2023Ай бұрын

    Waliosema ndaro ni mkali msijisahau nyote😂😂

  • @Jayboy_billions_
    @Jayboy_billions_Ай бұрын

    3×3 😂😂😂😂

  • @keshenidaniel770
    @keshenidaniel770Ай бұрын

    Mkuu wa machawa Tanzania

  • @brothermuadhwam890
    @brothermuadhwam890Ай бұрын

    Oya ndaro ni mkali bana

  • @emmanuelkyandochali990
    @emmanuelkyandochali990Ай бұрын

    Atakaeshinda hapo mpelekeni kwa eliud akajifunze

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481Ай бұрын

    Iyo kiki la tangazo lao hao..Amna ugomvi hapo..ilo changa

  • @user-du8rh6dd9h
    @user-du8rh6dd9hАй бұрын

    Leonardo fundi

  • @ndrwdotts4347
    @ndrwdotts4347Ай бұрын

    Kapumbavu ako ka ndarooo

  • @djbegge_tz
    @djbegge_tzАй бұрын

    Ndaro umezingua...hukuonesha nidham hata kidogo....tumia akili ndaro

  • @bilallemba1919

    @bilallemba1919

    Ай бұрын

    Anaanza kuvimba

  • @hussenihamisi2862
    @hussenihamisi2862Ай бұрын

    Tuwa shindanishe baba lv na mwijaku nan zaid😅😅

  • @abubakarmwachuo1337
    @abubakarmwachuo1337Ай бұрын

    Huyo ndaro ajua hamuezi huyo boy

  • @tediciousndunguru1283

    @tediciousndunguru1283

    Ай бұрын

    Kwahy gar alichukua mbele ya nani

  • @mathayourio6879
    @mathayourio6879Ай бұрын

    Ndaro mshamba😂

  • @swadatimmbaga7435
    @swadatimmbaga7435Ай бұрын

    Leonardo kwanza kiswahili imenyooka

  • @fadhiligasper4067
    @fadhiligasper4067Ай бұрын

    Eti 3*3 😂😂

  • @lumistarboy8499
    @lumistarboy8499Ай бұрын

    Manatugawa mbona Ndaro na Leonardo wote wakali

  • @juniorking7123
    @juniorking7123Ай бұрын

    😂😂

  • @user-bb4ie5vw3o
    @user-bb4ie5vw3o29 күн бұрын

    Kama huna D mbili huwez kuelewa mtu m bad

  • @danieljoseph273
    @danieljoseph273Ай бұрын

    Ndaro ninomaaa moto wakuotea mbali

  • @Baira240
    @Baira240Ай бұрын

    Leonard ajiamini ile 100

  • @salimkigarimbwe4911
    @salimkigarimbwe4911Ай бұрын

    Km munataka kuwapa pesa wapeni sio kuwashindanisha hao jamaa wote wakali na hapaswi kushindana

  • @EmmanuelZenda-ji5gc

    @EmmanuelZenda-ji5gc

    Ай бұрын

    Mzee wanatengeneza promo ili wapate ela usiamini unachokiona mkuu.

  • @JimyMnyama

    @JimyMnyama

    Ай бұрын

    Hakunaa kuwapa hela ya bure lazima wafanyee kazii na hio ndo kazii yenyewee

  • @johmziwanda985
    @johmziwanda985Ай бұрын

    Hivi kuna mtu aliesoma pcm ajui hesabu za leornado? Mbna watz wngi wnamshangaa wkt mi naona kawaida tu🤔🤔

  • @jorammalley1574

    @jorammalley1574

    Ай бұрын

    wewe umesoma PCM aya sas 35*155=

  • @KelvinConorard

    @KelvinConorard

    Ай бұрын

    Apreciate uwez wa mwingin iyo wanawez wachache

  • @thompsonkiputa6842

    @thompsonkiputa6842

    Ай бұрын

    Sio wot wanajua wewe, acha uchizy 😂

  • @stephanocyrilo1384

    @stephanocyrilo1384

    Ай бұрын

    Hesabu ni ugonjwa wa taifa mkuu ndio maana

  • @SteveneJoshua-eh7kv

    @SteveneJoshua-eh7kv

    Ай бұрын

    Hesabu ya kwenye calculator au.

Келесі