nay and Roma nawakubali ndugu zangu,njoni Kenya mtukusolee hii inje yetu,much love from kenya
@johnsonchonja403211 ай бұрын
Media ya kwanza kusikia inazungumzia ngoma ya AMKENI big up tonny16 and EATV
@festusmgawe838611 ай бұрын
Ney wa mitego na Roma Hawa watu ni special sana kwenye hii inch wanatufanya tujue vingi kuhusu inch yetu mungu awabariki sana Hawa watu wawili
@christopherpablo367611 ай бұрын
ROMA (raisi) STAMINA (waziri mkuu) NAY (makamu wa raisi ) ebana iyo TANZANIA mpaka misiri wange kuja bongo 😂😂
@EzekiaMichael-jn5np11 ай бұрын
Ney uko sawa sana endelea Naamini Mungu atupatia Ney anamaana kubwa
@festusmgawe838611 ай бұрын
Keep do it Mr ney and Roma god bless you
@chrissabel365011 ай бұрын
for really were praying for you Big brother
@albertsospeter967011 ай бұрын
noma sana mwamba namwelewa kinoma natamani wapige stop ngoma za mapenzi zianze kusikika pini kama hizi wolaaaa
@lishuhamisi-ge2zm11 ай бұрын
Broo tunakuombea Sana wanao piga nyimbo yako ambayo iko na ujumbe Kwa watz washindwe wew nikijana unaependa nchi yako ifaa nawengine waige Kazi zako msanii asye kuwa natamaa l love ney❤❤❤❤❤
@batatukatotolabikay529611 ай бұрын
Kwa kweli mungu akubariki mr nay. Kweli Nay na Roma kweli lazima mujuwe ukweli waluma na nyinyi munatowa ni ushauri siyo kwa Tanzania tu bali ni kwa Africa nzima. Mubarikiwe kwa kweli. God bless you my brothers
@user-sh5kx1gv6s11 ай бұрын
True boy angekuwa Kenya dah tungejiproud sanaa
@NelsoniJuma-fs3eq11 ай бұрын
Nai me mkenya bana nakutambua sana bro good bless you brother 🎉🎉🎉
@indexchitanda447711 ай бұрын
Namkubali sana ney wa mitego nd Roma mupo vizul sana❤❤❤
@strangerskenya25411 ай бұрын
Namkubali huyu mwamba 🙏💪💪
@sesiliakanyelenge167611 ай бұрын
❤️♥️♥️my brother langerlover tuliizindua juz msiban iwambi mungu aendelee kubariki kaz ya mikono yako
@andrewmasanja745911 ай бұрын
Hakika watanzania tuamuke tunavyo pelekwa sielewi nikama tumebebwa kwenye jahazi vile tunayumbishwa upepo naupepo natunazama kabisaa watu kama hawa tuwaombee sana wanajitahid kutuokoa tuamuke jamani kaka Ney ,Roma nawakubarisan🇹🇿
@stevenwimbe3113
11 ай бұрын
Nakukubari Sana neyi na roma
@Bikhafija
11 ай бұрын
Wimbo mzuri
@nassoroyahaya821
11 ай бұрын
Ney na Roma ni wazuri katika nyimbo hususan upinzani si mbaya lakini waache chuki za udini na wamwache mama apige kazi ,kwakuwa huu mkataba wa DP World Ney kaaminishwa tu kwakuwa kuna watu anawaamni kama Slaa( mhuni,hana msimamo)
@wennceslausmushi2356
11 ай бұрын
@@nassoroyahaya821 na profesor nao vipi shivji,Lipumba hebu acheni unafiki tunampenda raisi wetu ila anapokosea ashauriwe kwa staha hukumuona kinana na waarabu loliondo?
@phredrichgelwin584511 ай бұрын
ney u killed it bruh
@Princelove25211 ай бұрын
Nay , Roma and king kaka big up sana 💥
@user-cr2hw3oi8t11 ай бұрын
Kazi nzito juya jaami respect kwa iyo kitu
@alfredmongo152111 ай бұрын
Keep it up nay from 🇰🇪
@filiberthkapembwa970211 ай бұрын
Msanii wa dunia big think go higher big kaka
@fiston-asifiwe11 ай бұрын
Wimbo msafi watu wanataka kuuchafua
@user-cr2hw3oi8t11 ай бұрын
Nay Mungu akulinde jili ya afrika❤
@user-fl6tg6dn9t11 ай бұрын
Ney and Roma you people you're G.O.A.T.S big up my big brothers....much love from kenya
@Wamoyothenumberone11 ай бұрын
Tumuombeeni ney watu wote ili MUNGU amlinde sana nakumusimamia ili wasimuzuru hawa watawala
@samwelimwaim7136
11 ай бұрын
Points
@user-tc5pu9vr4o11 ай бұрын
Big up Mr,nyimbo Kali sanaaa
@obalmussa5511 ай бұрын
Cool pamoja na nay
@jamesmolleljames733611 ай бұрын
Broo watanzania tuko kenya na tunaskiliza ngoma ya amkeni big up sana
@ezekielmirambo870411 ай бұрын
Thank you Ney
@davidwalalason763011 ай бұрын
Shout out to Roma
@christinenyagiro666211 ай бұрын
Mungu akubariki, wasio wazalendo tu ndiyo wanaona tatizo. Sisi tunakupenda na utaweza kuwa mkuu
@abdurahmankumbe442011 ай бұрын
Ney is true boy❤❤
@joselinejonathan881811 ай бұрын
Nay tunakuombea sana kaka, asante kwa ujumbe mzuri
@NelsoniJuma-fs3eq11 ай бұрын
Napenda sana Nay huyu mwamba ni mkali
@DirectorYG78611 ай бұрын
Nay wa mitego -fire🔥🔥 big up sn 💪
@CHRISTOPHERKIMWAGA11 ай бұрын
Tunakuombea sana mkubwa mungu atawapingani uko sahihi endelea kulitetea taifa mungu atawa Linda nyote
Acha nitafute pesa mana ROMA, STAMINA na NAY nimoja ya wasanii hatali malengo yangu ni kuwaunganisha na mm ndio nitakuwa doni
@melchiadenelson381111 ай бұрын
mungu akubaliki nay
@KomboD11 ай бұрын
Kaka safiiiii
@simonnyadwera859511 ай бұрын
Ney,uko Bora sana.Unagusa Rika zote,madaraja yote hata mazingira yote.Msalimie Roma
@athumankinguji586311 ай бұрын
Imeiaha iyo Uahapewa mauw yako Rais wa kitaa.Damu yetu Roma tupe Zawadi zetu sasa achia
@IbrahimsalimMae-vo8ly11 ай бұрын
Ywamkubali sana Nay Tena sana man angekua Kenya hakika huyu mtu angekua na cheo kikubwa sana apa
@ibrahimkombo904211 ай бұрын
Keep it up Ney.
@user-yd2hm2xe2i11 ай бұрын
Bro u did it
@gloirejeremiekarhendezi538011 ай бұрын
Naku amini sana tuna Ku miss Congo
@user-is6vc1tr4b11 ай бұрын
True boy
@user-yd2hm2xe2i11 ай бұрын
Aloh bro kipga ngoma kwel unachoma❤❤
@user-nq4md3sj6d11 ай бұрын
mwandishi mchochezi sana unataka amtusi Diamond mfurahi na hizo redio zenu mbovu
@DuniaDjuma-ff9rl11 ай бұрын
Bro tuko pamoja kwenye maombi Mungu yupo ata kusevu tu🙏🙏✌️✌️
@obedymwilenga749011 ай бұрын
Hiii imeenda imeenda sana
@user-qb9kz9rw6k11 ай бұрын
Somo somo somo natamaani sana kuonana na wew japo kua sina uwezo ila fanya kwajili yamshabiki wako ambae ni mim nakukubali sana broo
@salaita282910 ай бұрын
Angekuwepo john mjema nadhani angekuwa na furaha sana kuona kijana aliyemlea na kumkuza anafanya vyema.
@user-cr2hw3oi8t11 ай бұрын
Kweli bro wey niwa dunia nzima
@user-xz4hx8me5i11 ай бұрын
Amejitowa kwajili ya sisi dah kweli ni rais wetu wa kitaaa
@user-pv6gv6uw5j11 ай бұрын
The true boy mwanaharakati makini
@worldhappiness118111 ай бұрын
Ingekua namba 1 ofcause
@user-zs6kv6df3x9 ай бұрын
Niko nje ya nchi nimekubali Sana NY unaweza endelea kuelimisha wajinga tumia uzalendo wako
@fridalaswai100011 ай бұрын
❤❤❤❤
@fransismange109111 ай бұрын
Hata wakiushusha tumesha download
@givenessmitengo78911 ай бұрын
Mungu awalinde Ney na Roma kweli nyie ni watetezi wa wanyonge but wakubwa wanaogopa kuambiwa ukweli
@albertbaitu11 ай бұрын
poa sana ney auna baya kwa hili
@user-kf1nr3qu9z11 ай бұрын
Umetisha kaka
@user-kf1nr3qu9z
11 ай бұрын
Umetisha kaka
@dinyoabeli902811 ай бұрын
Dah kwel ngoma inakimbiza ila Trending atuoni kuna ktu hp
@medtech102011 ай бұрын
Nay
@JumaAlly-du1rn11 ай бұрын
Nakubali Rais wa kitaa umetisha atar mkar
@user-sm7ji5ff7w11 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@user-gw6zg5yx9e11 ай бұрын
Mzee tunakuombea
@philomenadavid929811 ай бұрын
Ni kweli ccm tusiwape kwakwel
@rafamiliyaarafamiliyaa470211 ай бұрын
Wakikosolewa wanakuwa wakali kwann munatunyonya matumbo yenu yanashiba kwa kutuzulumu mali za watanzania ,wakitete watu wanakuwa wabaya kwanin tubadilikeni😢😢😢
@agnessnkandi522911 ай бұрын
Rais
@greenermichael205711 ай бұрын
Ney we una kitu na MTU mwenye kitu daima hupigwa vita
@clavankalinga73411 ай бұрын
Sana tu board steg
@user-pd9zj6pj6t11 ай бұрын
Niko tunduma naitwa Joel hiii ngoma ya nay wa mitego amkeni inapga kila kona ya mtaaa Paige nyingine kama hii
@issakhan26011 ай бұрын
#Trending1 #Amkeni 🔥💯
@issakhan260
11 ай бұрын
#ney_wamitego_Amkeni_trending_one
@joachimngereja760811 ай бұрын
Kilicho wakasirishs ni nini?au Mungu ikimpendeza awachukue na hawa!
@issamelanyi453511 ай бұрын
Raisi wa kitaaa,nakukubali sana,wewe na Roma mkatholiki,
@user-qb9kz9rw6k11 ай бұрын
Oya oya piga ngoma kamanda
@IbrahimsalimMae-vo8ly11 ай бұрын
Salut San Mr nay uko wap khaligraph ukaokoa Kenya yetu hiii ama unaogopa
@bahatitumaini34711 ай бұрын
Leo yupo Tunduma songweukumbi Sami namkubali mwamba kwa kupiga show Kali leo 29/7/2023
@user-kz4ik3lg7t11 ай бұрын
Rais wetu tuseme🎈🎈🎈
@omarycosam376611 ай бұрын
Mnyama andelee kwelimisha
@florabuzoya394811 ай бұрын
Bonge la wimbo
@davidwalalason763011 ай бұрын
Bingwa la kitaa
@EmmaMakalwe11 ай бұрын
Naomba wawepo akina Ney 3 tu hii bongo 2naish Kama ulaya
@bobo_jr9535
11 ай бұрын
Yupo roma bado mmoja
@gimgimgim469411 ай бұрын
Nay hapaki poda mamaae😂😂
@wasaficlassicshoes11 ай бұрын
Mjanja kaachia bom af kasepa
@michaelkitundu148911 ай бұрын
sasa nyimbo za huyo mjinga ndo ulinganishe na wimbo wa ney wa mitego anatuimbia adi nyimbo za yese yese yese yaah.
@joesay25488 ай бұрын
Bingwa huyo
@user-wh6ru4cx6i11 ай бұрын
Unyama huu unaoendelea na best yake Roma mkatolik
@gloriamwalongo366111 ай бұрын
Ukweli unauma hahahaha muache aseme ukweli
@khalidhamka956711 ай бұрын
Duh
@user-xh2gj1wu6h11 ай бұрын
Nipowa sanaa kaka naitwa dog masaiii kutoka Simanjiro begp sanaaa
@emmanueltvmwakyesan4858
11 ай бұрын
duh unajiita mbwa kwann
@laizersam570
11 ай бұрын
@@emmanueltvmwakyesan4858 labda kataka kuandika Dogo Masai muelewe tu
Пікірлер: 163
nay and Roma nawakubali ndugu zangu,njoni Kenya mtukusolee hii inje yetu,much love from kenya
Media ya kwanza kusikia inazungumzia ngoma ya AMKENI big up tonny16 and EATV
Ney wa mitego na Roma Hawa watu ni special sana kwenye hii inch wanatufanya tujue vingi kuhusu inch yetu mungu awabariki sana Hawa watu wawili
ROMA (raisi) STAMINA (waziri mkuu) NAY (makamu wa raisi ) ebana iyo TANZANIA mpaka misiri wange kuja bongo 😂😂
Ney uko sawa sana endelea Naamini Mungu atupatia Ney anamaana kubwa
Keep do it Mr ney and Roma god bless you
for really were praying for you Big brother
noma sana mwamba namwelewa kinoma natamani wapige stop ngoma za mapenzi zianze kusikika pini kama hizi wolaaaa
Broo tunakuombea Sana wanao piga nyimbo yako ambayo iko na ujumbe Kwa watz washindwe wew nikijana unaependa nchi yako ifaa nawengine waige Kazi zako msanii asye kuwa natamaa l love ney❤❤❤❤❤
Kwa kweli mungu akubariki mr nay. Kweli Nay na Roma kweli lazima mujuwe ukweli waluma na nyinyi munatowa ni ushauri siyo kwa Tanzania tu bali ni kwa Africa nzima. Mubarikiwe kwa kweli. God bless you my brothers
True boy angekuwa Kenya dah tungejiproud sanaa
Nai me mkenya bana nakutambua sana bro good bless you brother 🎉🎉🎉
Namkubali sana ney wa mitego nd Roma mupo vizul sana❤❤❤
Namkubali huyu mwamba 🙏💪💪
❤️♥️♥️my brother langerlover tuliizindua juz msiban iwambi mungu aendelee kubariki kaz ya mikono yako
Hakika watanzania tuamuke tunavyo pelekwa sielewi nikama tumebebwa kwenye jahazi vile tunayumbishwa upepo naupepo natunazama kabisaa watu kama hawa tuwaombee sana wanajitahid kutuokoa tuamuke jamani kaka Ney ,Roma nawakubarisan🇹🇿
@stevenwimbe3113
11 ай бұрын
Nakukubari Sana neyi na roma
@Bikhafija
11 ай бұрын
Wimbo mzuri
@nassoroyahaya821
11 ай бұрын
Ney na Roma ni wazuri katika nyimbo hususan upinzani si mbaya lakini waache chuki za udini na wamwache mama apige kazi ,kwakuwa huu mkataba wa DP World Ney kaaminishwa tu kwakuwa kuna watu anawaamni kama Slaa( mhuni,hana msimamo)
@wennceslausmushi2356
11 ай бұрын
@@nassoroyahaya821 na profesor nao vipi shivji,Lipumba hebu acheni unafiki tunampenda raisi wetu ila anapokosea ashauriwe kwa staha hukumuona kinana na waarabu loliondo?
ney u killed it bruh
Nay , Roma and king kaka big up sana 💥
Kazi nzito juya jaami respect kwa iyo kitu
Keep it up nay from 🇰🇪
Msanii wa dunia big think go higher big kaka
Wimbo msafi watu wanataka kuuchafua
Nay Mungu akulinde jili ya afrika❤
Ney and Roma you people you're G.O.A.T.S big up my big brothers....much love from kenya
Tumuombeeni ney watu wote ili MUNGU amlinde sana nakumusimamia ili wasimuzuru hawa watawala
@samwelimwaim7136
11 ай бұрын
Points
Big up Mr,nyimbo Kali sanaaa
Cool pamoja na nay
Broo watanzania tuko kenya na tunaskiliza ngoma ya amkeni big up sana
Thank you Ney
Shout out to Roma
Mungu akubariki, wasio wazalendo tu ndiyo wanaona tatizo. Sisi tunakupenda na utaweza kuwa mkuu
Ney is true boy❤❤
Nay tunakuombea sana kaka, asante kwa ujumbe mzuri
Napenda sana Nay huyu mwamba ni mkali
Nay wa mitego -fire🔥🔥 big up sn 💪
Tunakuombea sana mkubwa mungu atawapingani uko sahihi endelea kulitetea taifa mungu atawa Linda nyote
Nakubal sananyimbo zakoko wakumbushe viongoz mafal
Huu uwezo wa kujibu maswali kitaaluma ya hali ya juu sana unaonesha wazi utunzi wa mwana si wa bahati mbaya.
Dah bro Nay tuko pamoja Xaaana good bless
Tunakupenda sana mkaliwetu ney mungu akupe maisha malefu sana
Sàana
🤝🤝🤝🤝one love bro u did it
Rapper’s from Kenya must learn from you mr nay wa mitego
❤,inchi hii wamejaa lushwa kuazia selekali za mitaa hadi ,gazi za njuu ,lushwa tupu
@Adamntisi
11 ай бұрын
Rushwa sio lushwa,,serikali sio selekali,,ngazi sio gazi,juu sio njuu,,nchi sio inchi,kuanzia sio kuazia
Acha nitafute pesa mana ROMA, STAMINA na NAY nimoja ya wasanii hatali malengo yangu ni kuwaunganisha na mm ndio nitakuwa doni
mungu akubaliki nay
Kaka safiiiii
Ney,uko Bora sana.Unagusa Rika zote,madaraja yote hata mazingira yote.Msalimie Roma
Imeiaha iyo Uahapewa mauw yako Rais wa kitaa.Damu yetu Roma tupe Zawadi zetu sasa achia
Ywamkubali sana Nay Tena sana man angekua Kenya hakika huyu mtu angekua na cheo kikubwa sana apa
Keep it up Ney.
Bro u did it
Naku amini sana tuna Ku miss Congo
True boy
Aloh bro kipga ngoma kwel unachoma❤❤
mwandishi mchochezi sana unataka amtusi Diamond mfurahi na hizo redio zenu mbovu
Bro tuko pamoja kwenye maombi Mungu yupo ata kusevu tu🙏🙏✌️✌️
Hiii imeenda imeenda sana
Somo somo somo natamaani sana kuonana na wew japo kua sina uwezo ila fanya kwajili yamshabiki wako ambae ni mim nakukubali sana broo
Angekuwepo john mjema nadhani angekuwa na furaha sana kuona kijana aliyemlea na kumkuza anafanya vyema.
Kweli bro wey niwa dunia nzima
Amejitowa kwajili ya sisi dah kweli ni rais wetu wa kitaaa
The true boy mwanaharakati makini
Ingekua namba 1 ofcause
Niko nje ya nchi nimekubali Sana NY unaweza endelea kuelimisha wajinga tumia uzalendo wako
❤❤❤❤
Hata wakiushusha tumesha download
Mungu awalinde Ney na Roma kweli nyie ni watetezi wa wanyonge but wakubwa wanaogopa kuambiwa ukweli
poa sana ney auna baya kwa hili
Umetisha kaka
@user-kf1nr3qu9z
11 ай бұрын
Umetisha kaka
Dah kwel ngoma inakimbiza ila Trending atuoni kuna ktu hp
Nay
Nakubali Rais wa kitaa umetisha atar mkar
❤❤❤❤❤❤
Mzee tunakuombea
Ni kweli ccm tusiwape kwakwel
Wakikosolewa wanakuwa wakali kwann munatunyonya matumbo yenu yanashiba kwa kutuzulumu mali za watanzania ,wakitete watu wanakuwa wabaya kwanin tubadilikeni😢😢😢
Rais
Ney we una kitu na MTU mwenye kitu daima hupigwa vita
Sana tu board steg
Niko tunduma naitwa Joel hiii ngoma ya nay wa mitego amkeni inapga kila kona ya mtaaa Paige nyingine kama hii
#Trending1 #Amkeni 🔥💯
@issakhan260
11 ай бұрын
#ney_wamitego_Amkeni_trending_one
Kilicho wakasirishs ni nini?au Mungu ikimpendeza awachukue na hawa!
Raisi wa kitaaa,nakukubali sana,wewe na Roma mkatholiki,
Oya oya piga ngoma kamanda
Salut San Mr nay uko wap khaligraph ukaokoa Kenya yetu hiii ama unaogopa
Leo yupo Tunduma songweukumbi Sami namkubali mwamba kwa kupiga show Kali leo 29/7/2023
Rais wetu tuseme🎈🎈🎈
Mnyama andelee kwelimisha
Bonge la wimbo
Bingwa la kitaa
Naomba wawepo akina Ney 3 tu hii bongo 2naish Kama ulaya
@bobo_jr9535
11 ай бұрын
Yupo roma bado mmoja
Nay hapaki poda mamaae😂😂
Mjanja kaachia bom af kasepa
sasa nyimbo za huyo mjinga ndo ulinganishe na wimbo wa ney wa mitego anatuimbia adi nyimbo za yese yese yese yaah.
Bingwa huyo
Unyama huu unaoendelea na best yake Roma mkatolik
Ukweli unauma hahahaha muache aseme ukweli
Duh
Nipowa sanaa kaka naitwa dog masaiii kutoka Simanjiro begp sanaaa
@emmanueltvmwakyesan4858
11 ай бұрын
duh unajiita mbwa kwann
@laizersam570
11 ай бұрын
@@emmanueltvmwakyesan4858 labda kataka kuandika Dogo Masai muelewe tu
@laizersam570
11 ай бұрын
ok