NAMNA YA KUSIKIA, KUTAMBUA NA KUIPAMBANUA SAUTI YA MUNGU (4) - Mchungaji Carlos Kirimbai
Semina ya Neno la MUNGU, iliyofanyika Kilongoni, wilaya ya Mkuranga mkoani pwani, tarehe 21/1/2019 hadi 3/2/2019
Ili kupokea mafundisho kama haya unakaribishwa kushiriki ibada kanisa la MANNA TABERNACLE BIBLE CHURCH (MTBC). Kanisa linakutanika Posta mpya mtaa wa kisutu jijini Dar es salaam, Ukumbi wa shule ya msingi Kisutu. Tunakutana kila jumapili kuanzia saa 4 asubuhi mpaka saa 7 mchana. Tunashawishika kukutangazia Maisha yako hayatabaki kama yalivyokuwa.
Пікірлер: 7
Ubarikiwe
Mungu akubariki saaana mchungaji
Nimebarikiwa.🙏🙏
Mungu amekutuma waziwazi kwaajili yetu,kwaajili ya kizazi hiki.nabarikiwa sana na namna unavodadavua neno.ubarikiwe sana kirimbai.
Blessed Mwl
Willium Branham alifundisha mafundisho ya ajabu yapi? Tafadhali nijulishe.
@felixmathayo9921
2 жыл бұрын
Fatilia mafundisho yake kwenye KZread. Sikiliza message William Branham "speaking in Tongues" na Why I stopped following the "message" of William Branham