NAMNA YA KUSIKIA, KUTAMBUA NA KUIPAMBANUA SAUTI YA MUNGU (4) - Mchungaji Carlos Kirimbai

Semina ya Neno la MUNGU, iliyofanyika Kilongoni, wilaya ya Mkuranga mkoani pwani, tarehe 21/1/2019 hadi 3/2/2019
Ili kupokea mafundisho kama haya unakaribishwa kushiriki ibada kanisa la MANNA TABERNACLE BIBLE CHURCH (MTBC). Kanisa linakutanika Posta mpya mtaa wa kisutu jijini Dar es salaam, Ukumbi wa shule ya msingi Kisutu. Tunakutana kila jumapili kuanzia saa 4 asubuhi mpaka saa 7 mchana. Tunashawishika kukutangazia Maisha yako hayatabaki kama yalivyokuwa.

Пікірлер: 7

  • @richardkazungu6432
    @richardkazungu64323 жыл бұрын

    Ubarikiwe

  • @margaretfestokessy7470
    @margaretfestokessy74705 жыл бұрын

    Mungu akubariki saaana mchungaji

  • @nuruduma4954
    @nuruduma49544 жыл бұрын

    Nimebarikiwa.🙏🙏

  • @bahatinhigula4379
    @bahatinhigula43794 жыл бұрын

    Mungu amekutuma waziwazi kwaajili yetu,kwaajili ya kizazi hiki.nabarikiwa sana na namna unavodadavua neno.ubarikiwe sana kirimbai.

  • @emmanuelfatael287
    @emmanuelfatael2875 жыл бұрын

    Blessed Mwl

  • @nathanmroki4946
    @nathanmroki49463 жыл бұрын

    Willium Branham alifundisha mafundisho ya ajabu yapi? Tafadhali nijulishe.

  • @felixmathayo9921

    @felixmathayo9921

    2 жыл бұрын

    Fatilia mafundisho yake kwenye KZread. Sikiliza message William Branham "speaking in Tongues" na Why I stopped following the "message" of William Branham