NAMNA YA KUISIKIA SAUTI YA MUNGU (Mungu anapoongea na wewe)

JE! UNAWEZA KUTAMBUA MUNGU ANAPO ONGEA NA WEWE?
KUPATA KITABU KINACHO ONGELEA NAMNA YA KUISIKIA SAUTI YA MUNGU PIGA SIM NUMBER +255759612430
MAREKANI NA CANADA PIGA +1515 441 4962

Пікірлер: 86

  • @theresiamwanamkejasiri6510
    @theresiamwanamkejasiri65103 ай бұрын

    Roho yangu ni toleo la zamani😢😢😢😢😢 Baada ya miaka minne nabarikiwa na hili hubiri,hadi nimeogopa,Tangu nimemjua Yesu 2007 labda bado sikumjua Mungu wangu😢😢😢😢😢,Barikiwa Pastor

  • @edwardmarro978
    @edwardmarro9784 жыл бұрын

    Machozi yananitoka moyoni Pr somo hili ni kama uliandaa kwa ajiri yangu, Eehh Mungu neema yako ikawe juu yetu na utupe macho ya kiroho katika pendo la Yesu kristo Amen.

  • @hondenisonmagufulinyabaro3923

    @hondenisonmagufulinyabaro3923

    4 жыл бұрын

    Mimi pia waimbaji wameguza moyo wangu,, choir gani 👆 hii!! Aliyembinguni hataniacha,,,Oh! My son

  • @nassorosimende8901

    @nassorosimende8901

    4 жыл бұрын

    Kweli zambi niyakukimbia kabisa

  • @mamybaby9873

    @mamybaby9873

    3 жыл бұрын

    Amina

  • @asharamadhan8806
    @asharamadhan88064 жыл бұрын

    Amina Mchungaji ubarikiwe na MUNGU wa MBINGUNI katika JINA LA YESU maana tunabarikiwa sana kwa NENO LA MUNGU unalo tuletea hakika rinatubadirisha maisha yetu MUNGU akupe afia NJEMA kila siku pamoja na familiya YAKO

  • @pauloropian3093
    @pauloropian30934 жыл бұрын

    Thanks Uwepo wa mungu hukaa juu ya sifa " may God bless all "

  • @catherinehenryameeen5977
    @catherinehenryameeen59772 жыл бұрын

    Ameeen.Asante Mungu kwa ajiri ya Mchungaji Mbanga.

  • @lenahasantemchungajiauko8811
    @lenahasantemchungajiauko88114 жыл бұрын

    Amina mchungaji nabarikiwa sana.naomba ubarikiwe Kwanza ndo ni fwatie nami.

  • @graceb2398
    @graceb23984 жыл бұрын

    I’m blessed to hear your massages always 🙏

  • @mn9484
    @mn94844 жыл бұрын

    Ni katika roho!! Kila siku najifunza zaidi kumsikiliza Mungu hatua kwa hatua. Mungu akubariki Mchungaji, hapa USA Grace.

  • @zipporahnyanchoka4291
    @zipporahnyanchoka42913 жыл бұрын

    Wah am blessed with your preaching,thanks pastor also b blessed

  • @MahubiriPrMmbaga

    @MahubiriPrMmbaga

    3 жыл бұрын

    Blessings to you

  • @hellenratemo2813
    @hellenratemo28133 жыл бұрын

    Nice message keep it up,I have learned many things from ur sermon pastor, God 🙏 bless you

  • @MahubiriPrMmbaga

    @MahubiriPrMmbaga

    3 жыл бұрын

    Amen

  • @kakajey6867
    @kakajey68674 жыл бұрын

    Pongezi kwangu wa kwanza kukoment

  • @MahubiriPrMmbaga

    @MahubiriPrMmbaga

    4 жыл бұрын

    Hongeraaaaaaa

  • @kakajey6867

    @kakajey6867

    4 жыл бұрын

    @@MahubiriPrMmbaga asante

  • @selfaakinyi7824
    @selfaakinyi78244 жыл бұрын

    Eeeh mungu wangu , nijalie macho ya rohoni. 🙏

  • @jaredmayaka2993
    @jaredmayaka29932 жыл бұрын

    Amen 🙏🙏 Thanks for good song

  • @maryosoro5497
    @maryosoro54974 жыл бұрын

    Really mchungaji huwa unanibariki sana sana na mahubiri yako

  • @roselele341
    @roselele3414 жыл бұрын

    Amina unanifungua kila siku nazidi kuwa na Imani asnt mchungaji mungu akubaliki sana

  • @franksikombe9860
    @franksikombe98604 жыл бұрын

    Tumebarikiwa sana huduma yenu mungu awape uvumilivu muimbe hadi mbinguni by FRANK SIKOMBE-Katavi

  • @KASICHANANDARO-ud1eh
    @KASICHANANDARO-ud1eh11 ай бұрын

    Mungu akubariki sana mchungaji

  • @sdawalokole9489
    @sdawalokole94894 жыл бұрын

    Amen,Mungu ni Roho na sisi ni roho pia

  • @teddymagori3779
    @teddymagori37792 жыл бұрын

    Ubarikiw paster

  • @maureenjovial6083
    @maureenjovial60834 жыл бұрын

    Amina asante mchungaji nimepata kuchua Mungu n nani.naomba uongozo Wa roho mtakatifu aniwezeshe niskie sauti ya Mungu

  • @daudnyore4696
    @daudnyore46964 жыл бұрын

    I hope one day I will talk, with you man of. God,may The Peace of God that passes all. Understanding keep you by the grace of God

  • @monniekevin9303

    @monniekevin9303

    3 жыл бұрын

    Amina Amina kweli mchungaji taji yako mbinguni itang'aa Sana.usife moyo chochea injili kabisa wengi wanainuliwa kiroho kupitia Yale maneno Mungu ameweka kwako.kama Mimi nashangaa nikama ndio naanza kusikia maneno ya Mungu Kwa mara ya Kwanza baada ya miaka mingi tangu kuamini.Mungu akubariki Sana.

  • @mossesjoseph2202
    @mossesjoseph22022 жыл бұрын

    Amen.

  • @petromabagala9186
    @petromabagala91864 жыл бұрын

    Hii kwaya huwa inanivuta karibu sana na Mungu. Mungu akubariki sana Pr Mmbaga

  • @Patience763
    @Patience7637 ай бұрын

    Amen Amen mchungaji

  • @magdalenamassangwa-qs3ie
    @magdalenamassangwa-qs3ie8 ай бұрын

    Naomba no zako mtumishi

  • @cutestpuppies6632
    @cutestpuppies66324 жыл бұрын

    Kila mara ninapokusikiliza, ninabarikiwa na kufunuliwa ukweli mpya, Mungu akubariki sana pastor

  • @user-ps7fy2oj7i
    @user-ps7fy2oj7i2 ай бұрын

    Amina

  • @hassanhussein6161
    @hassanhussein6161 Жыл бұрын

    amina sana

  • @janetfrancis7180
    @janetfrancis71804 жыл бұрын

    Amina tunabarikiwa na somo zuri

  • @janehlwjn9982
    @janehlwjn99824 жыл бұрын

    Asante kwa mahubiri yako nabarikiwa Sana nkiwa Saudi Arabia napenda Sana mafundisho yako pr ubariwe sana

  • @daviddotto327
    @daviddotto3274 жыл бұрын

    Mungu awabariki sana waimbaji wa kwaya hii ya sauti ya jangwani kutoka shinyanga ushirika

  • @hondenisonmagufulinyabaro3923

    @hondenisonmagufulinyabaro3923

    4 жыл бұрын

    Mungu akuzaidie ulipo ufanyapo,,,,,Nimejua Choir hii imenitoa jozi kubwa !! Mungu wangu Nani atakuwa juu yangu!!!

  • @royalpriestsmusic5685
    @royalpriestsmusic56852 жыл бұрын

    AMEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEN

  • @keziaranga6329
    @keziaranga63293 жыл бұрын

    Paster ninabrikiwa sana na masomo yako umenifungua sana macho ya rohini

  • @monicalaizer7596
    @monicalaizer759611 ай бұрын

    Amen

  • @lightnesslengine7499
    @lightnesslengine74994 жыл бұрын

    Mungu akubariki pastor

  • @randoguy-j9x
    @randoguy-j9x4 жыл бұрын

    Mchungaji nabarikiwa sana,Mkale Uk hapa

  • @lenahasantemchungajiauko8811
    @lenahasantemchungajiauko88114 жыл бұрын

    Kwaya nzuri sana mmbarikiwe

  • @mathiasfrancis2614
    @mathiasfrancis26144 жыл бұрын

    Amina barikiwa parsto

  • @anchepto8314
    @anchepto83144 жыл бұрын

    Amina tunabarikiwa kwa neno

  • @judithcherono2595
    @judithcherono25954 жыл бұрын

    Amen Mungu ni Roho👏👏

  • @barakachongera9705
    @barakachongera97052 жыл бұрын

    Hakika nimejua vitu vya thamani Thana"

  • @MTUMISHI-254
    @MTUMISHI-2544 жыл бұрын

    Hakika mchungaji masomo yako yananibariki nakunibadilisha Sana nami natumia fursa hii kuwambia watu ile Nuru ninayopata kupitia masomo yako

  • @aurolanyatambe215
    @aurolanyatambe2153 жыл бұрын

    Vitabu vyako kwa Zanzibar napataje

  • @felysytersonduso8064
    @felysytersonduso80644 жыл бұрын

    Aminaaa wimbo mxuri

  • @samsonngweina5048
    @samsonngweina50483 жыл бұрын

    😂😂😂 Amina pastor

  • @elishashillah9776
    @elishashillah97764 жыл бұрын

    Hili somo natamani Sana, Kulipata lote, Jamani, naomba nisaidiwe kulipita! Naomba Kama unaweza nitumia ktk Email ni elishashillah139@gmail.com au WhatsApp Number 0767522247 Nisaidie sana

  • @fredmselle2227
    @fredmselle22273 жыл бұрын

    Naomba kujua km hicho kitabu kipo moshi

  • @dausonmdee4303
    @dausonmdee43034 жыл бұрын

    somo halijaishaaaaaaa

  • @rehemaisaack1728
    @rehemaisaack1728 Жыл бұрын

    Hili somo sehemu ya pili yake inayofata naipata wapi nimetafuta humu nimekosa

  • @akwiliniswai5203
    @akwiliniswai52034 жыл бұрын

    Amina sana

  • @erastomarco8080

    @erastomarco8080

    4 жыл бұрын

    akwilini swai ubarikiwe sana mtmsh wa Mungu uwa nabarikiwa na mafundisho yako

  • @akwiliniswai5203

    @akwiliniswai5203

    4 жыл бұрын

    @@erastomarco8080 amina

  • @messagerkambale5830
    @messagerkambale58302 жыл бұрын

    Nina hitaji hiinyimbo ime ni jenga,

  • @charleskaselya7744
    @charleskaselya77444 жыл бұрын

    Habari mm sijaelewa hubiri la umiliki, nilikuwa nalisikiliza usiku baadaye nimeikuta inaniambia video hii ni private na naisearch haipo mmeifuta?

  • @patrickemmanuelemmanuel9354
    @patrickemmanuelemmanuel93543 жыл бұрын

    ubarikiwe mtumishi wa mungu ninawezaje kupata kitabu chako cha namna ya kusikia sauti ya mungu mm niko sumbawanga namba zangu za simu ni 0757392906 lkn pia ninachangamoto yakufanya maamzi yakuongoka nanilisha muapia mungu kwamba sitarudi tena ktk imani yangu ya zamani yaani imani ya Rc lkn kumekuwa napambano ndani yangu nakati ya watu ambao mmechangia kufungua imani mpya ndani ya roho yangu niww pr mmbanga Lawrence odondi wa kenya mchungaji Emmanuel mwakalinga wa iringa nimewafuatilisana mafundisho yenu

  • @suzanaagustinookelo4953
    @suzanaagustinookelo49533 жыл бұрын

    Lakini picha ya mzungu

  • @laithvayinga1122
    @laithvayinga11224 жыл бұрын

    Mchungaji naomba nambaako ninashida ...nashukuru kwa masomo

  • @rosepeter8996
    @rosepeter89963 жыл бұрын

    AMEN🙏mchugaji mmbaga ninalo swali,sasa nimesikiza mahubiri yaki yakaniguza kweli,hivi ikiwa mimi nim Catholic,na sali kwa rosary,ama kwa kanisa kuna ile picha ya yesu kama amesulubuwa,je nivyema kuviinamia au kuzishududu wakati wakuomba au ni dhambi?.

  • @MahubiriPrMmbaga

    @MahubiriPrMmbaga

    3 жыл бұрын

    Kutoka 20:4,5 Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu cho chote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini duniani, wala kilicho majini chini ya dunia. Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi, BWANA, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu; nawapatiliza wana maovu ya baba zao, hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao,

  • @rosepeter8996

    @rosepeter8996

    3 жыл бұрын

    @@MahubiriPrMmbaga asante sana naona nimeanza kufunguka macho sasa.hili somo la mchungaji nalisikiza like kika siku.limenufunia akili sana.mungu na akubariki pastor 🙏🙏🙏

  • @waltermakori5855
    @waltermakori58554 жыл бұрын

    How can i get the song very good song

  • @daviddotto327

    @daviddotto327

    4 жыл бұрын

    I have ana audio, can we communicate

  • @waltermakori5855

    @waltermakori5855

    4 жыл бұрын

    @@daviddotto327 yeah i need it but I don't know how to get it

  • @daviddotto327

    @daviddotto327

    4 жыл бұрын

    @@waltermakori5855 fall me in what's up

  • @waltermakori5855

    @waltermakori5855

    4 жыл бұрын

    @@daviddotto327 +254701506826 WhatsApp number

  • @hondenisonmagufulinyabaro3923
    @hondenisonmagufulinyabaro39234 жыл бұрын

    Hii kwaya gani 👆 please?? Niambie Naomba tu

  • @josephdaudy2766

    @josephdaudy2766

    4 жыл бұрын

    Sauti ya jangwani

  • @mashaelieazer6120

    @mashaelieazer6120

    4 жыл бұрын

    Sauti ya jabgwani from shinyanga Tanzania

  • @erickmahindu9198
    @erickmahindu91983 жыл бұрын

    Our father in heaven, means? He's a male

  • @MahubiriPrMmbaga

    @MahubiriPrMmbaga

    3 жыл бұрын

    No! God is Spirit ( John 4:24),Spirit has no gender

  • @roselele341
    @roselele3414 жыл бұрын

    Uku sijayajua makanisa yp ila sijui yapo wapi

  • @MahubiriPrMmbaga

    @MahubiriPrMmbaga

    4 жыл бұрын

    Uko wapi

  • @roselele341

    @roselele341

    4 жыл бұрын

    Niko Oman

  • @kusakabuga282

    @kusakabuga282

    4 жыл бұрын

    Fatilia tu kwa mtandao kila Siku, kila sabato

  • @aurolanyatambe215
    @aurolanyatambe2153 жыл бұрын

    Amina

  • @esthersimuli9952
    @esthersimuli99522 жыл бұрын

    Amen

  • @maureenkemei9254
    @maureenkemei92544 жыл бұрын

    Amen