NAMNA YA KUISIKIA SAUTI YA MUNGU (Mungu anapoongea na wewe)
JE! UNAWEZA KUTAMBUA MUNGU ANAPO ONGEA NA WEWE?
KUPATA KITABU KINACHO ONGELEA NAMNA YA KUISIKIA SAUTI YA MUNGU PIGA SIM NUMBER +255759612430
MAREKANI NA CANADA PIGA +1515 441 4962
JE! UNAWEZA KUTAMBUA MUNGU ANAPO ONGEA NA WEWE?
KUPATA KITABU KINACHO ONGELEA NAMNA YA KUISIKIA SAUTI YA MUNGU PIGA SIM NUMBER +255759612430
MAREKANI NA CANADA PIGA +1515 441 4962
Пікірлер: 86
Roho yangu ni toleo la zamani😢😢😢😢😢 Baada ya miaka minne nabarikiwa na hili hubiri,hadi nimeogopa,Tangu nimemjua Yesu 2007 labda bado sikumjua Mungu wangu😢😢😢😢😢,Barikiwa Pastor
Machozi yananitoka moyoni Pr somo hili ni kama uliandaa kwa ajiri yangu, Eehh Mungu neema yako ikawe juu yetu na utupe macho ya kiroho katika pendo la Yesu kristo Amen.
@hondenisonmagufulinyabaro3923
4 жыл бұрын
Mimi pia waimbaji wameguza moyo wangu,, choir gani 👆 hii!! Aliyembinguni hataniacha,,,Oh! My son
@nassorosimende8901
4 жыл бұрын
Kweli zambi niyakukimbia kabisa
@mamybaby9873
3 жыл бұрын
Amina
Amina Mchungaji ubarikiwe na MUNGU wa MBINGUNI katika JINA LA YESU maana tunabarikiwa sana kwa NENO LA MUNGU unalo tuletea hakika rinatubadirisha maisha yetu MUNGU akupe afia NJEMA kila siku pamoja na familiya YAKO
Thanks Uwepo wa mungu hukaa juu ya sifa " may God bless all "
Ameeen.Asante Mungu kwa ajiri ya Mchungaji Mbanga.
Amina mchungaji nabarikiwa sana.naomba ubarikiwe Kwanza ndo ni fwatie nami.
I’m blessed to hear your massages always 🙏
Ni katika roho!! Kila siku najifunza zaidi kumsikiliza Mungu hatua kwa hatua. Mungu akubariki Mchungaji, hapa USA Grace.
Wah am blessed with your preaching,thanks pastor also b blessed
@MahubiriPrMmbaga
3 жыл бұрын
Blessings to you
Nice message keep it up,I have learned many things from ur sermon pastor, God 🙏 bless you
@MahubiriPrMmbaga
3 жыл бұрын
Amen
Pongezi kwangu wa kwanza kukoment
@MahubiriPrMmbaga
4 жыл бұрын
Hongeraaaaaaa
@kakajey6867
4 жыл бұрын
@@MahubiriPrMmbaga asante
Eeeh mungu wangu , nijalie macho ya rohoni. 🙏
Amen 🙏🙏 Thanks for good song
Really mchungaji huwa unanibariki sana sana na mahubiri yako
Amina unanifungua kila siku nazidi kuwa na Imani asnt mchungaji mungu akubaliki sana
Tumebarikiwa sana huduma yenu mungu awape uvumilivu muimbe hadi mbinguni by FRANK SIKOMBE-Katavi
Mungu akubariki sana mchungaji
Amen,Mungu ni Roho na sisi ni roho pia
Ubarikiw paster
Amina asante mchungaji nimepata kuchua Mungu n nani.naomba uongozo Wa roho mtakatifu aniwezeshe niskie sauti ya Mungu
I hope one day I will talk, with you man of. God,may The Peace of God that passes all. Understanding keep you by the grace of God
@monniekevin9303
3 жыл бұрын
Amina Amina kweli mchungaji taji yako mbinguni itang'aa Sana.usife moyo chochea injili kabisa wengi wanainuliwa kiroho kupitia Yale maneno Mungu ameweka kwako.kama Mimi nashangaa nikama ndio naanza kusikia maneno ya Mungu Kwa mara ya Kwanza baada ya miaka mingi tangu kuamini.Mungu akubariki Sana.
Amen.
Hii kwaya huwa inanivuta karibu sana na Mungu. Mungu akubariki sana Pr Mmbaga
Amen Amen mchungaji
Naomba no zako mtumishi
Kila mara ninapokusikiliza, ninabarikiwa na kufunuliwa ukweli mpya, Mungu akubariki sana pastor
Amina
amina sana
Amina tunabarikiwa na somo zuri
Asante kwa mahubiri yako nabarikiwa Sana nkiwa Saudi Arabia napenda Sana mafundisho yako pr ubariwe sana
Mungu awabariki sana waimbaji wa kwaya hii ya sauti ya jangwani kutoka shinyanga ushirika
@hondenisonmagufulinyabaro3923
4 жыл бұрын
Mungu akuzaidie ulipo ufanyapo,,,,,Nimejua Choir hii imenitoa jozi kubwa !! Mungu wangu Nani atakuwa juu yangu!!!
AMEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEN
Paster ninabrikiwa sana na masomo yako umenifungua sana macho ya rohini
Amen
Mungu akubariki pastor
Mchungaji nabarikiwa sana,Mkale Uk hapa
Kwaya nzuri sana mmbarikiwe
Amina barikiwa parsto
Amina tunabarikiwa kwa neno
Amen Mungu ni Roho👏👏
Hakika nimejua vitu vya thamani Thana"
Hakika mchungaji masomo yako yananibariki nakunibadilisha Sana nami natumia fursa hii kuwambia watu ile Nuru ninayopata kupitia masomo yako
Vitabu vyako kwa Zanzibar napataje
Aminaaa wimbo mxuri
😂😂😂 Amina pastor
Hili somo natamani Sana, Kulipata lote, Jamani, naomba nisaidiwe kulipita! Naomba Kama unaweza nitumia ktk Email ni elishashillah139@gmail.com au WhatsApp Number 0767522247 Nisaidie sana
Naomba kujua km hicho kitabu kipo moshi
somo halijaishaaaaaaa
Hili somo sehemu ya pili yake inayofata naipata wapi nimetafuta humu nimekosa
Amina sana
@erastomarco8080
4 жыл бұрын
akwilini swai ubarikiwe sana mtmsh wa Mungu uwa nabarikiwa na mafundisho yako
@akwiliniswai5203
4 жыл бұрын
@@erastomarco8080 amina
Nina hitaji hiinyimbo ime ni jenga,
Habari mm sijaelewa hubiri la umiliki, nilikuwa nalisikiliza usiku baadaye nimeikuta inaniambia video hii ni private na naisearch haipo mmeifuta?
ubarikiwe mtumishi wa mungu ninawezaje kupata kitabu chako cha namna ya kusikia sauti ya mungu mm niko sumbawanga namba zangu za simu ni 0757392906 lkn pia ninachangamoto yakufanya maamzi yakuongoka nanilisha muapia mungu kwamba sitarudi tena ktk imani yangu ya zamani yaani imani ya Rc lkn kumekuwa napambano ndani yangu nakati ya watu ambao mmechangia kufungua imani mpya ndani ya roho yangu niww pr mmbanga Lawrence odondi wa kenya mchungaji Emmanuel mwakalinga wa iringa nimewafuatilisana mafundisho yenu
Lakini picha ya mzungu
Mchungaji naomba nambaako ninashida ...nashukuru kwa masomo
AMEN🙏mchugaji mmbaga ninalo swali,sasa nimesikiza mahubiri yaki yakaniguza kweli,hivi ikiwa mimi nim Catholic,na sali kwa rosary,ama kwa kanisa kuna ile picha ya yesu kama amesulubuwa,je nivyema kuviinamia au kuzishududu wakati wakuomba au ni dhambi?.
@MahubiriPrMmbaga
3 жыл бұрын
Kutoka 20:4,5 Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu cho chote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini duniani, wala kilicho majini chini ya dunia. Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi, BWANA, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu; nawapatiliza wana maovu ya baba zao, hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao,
@rosepeter8996
3 жыл бұрын
@@MahubiriPrMmbaga asante sana naona nimeanza kufunguka macho sasa.hili somo la mchungaji nalisikiza like kika siku.limenufunia akili sana.mungu na akubariki pastor 🙏🙏🙏
How can i get the song very good song
@daviddotto327
4 жыл бұрын
I have ana audio, can we communicate
@waltermakori5855
4 жыл бұрын
@@daviddotto327 yeah i need it but I don't know how to get it
@daviddotto327
4 жыл бұрын
@@waltermakori5855 fall me in what's up
@waltermakori5855
4 жыл бұрын
@@daviddotto327 +254701506826 WhatsApp number
Hii kwaya gani 👆 please?? Niambie Naomba tu
@josephdaudy2766
4 жыл бұрын
Sauti ya jangwani
@mashaelieazer6120
4 жыл бұрын
Sauti ya jabgwani from shinyanga Tanzania
Our father in heaven, means? He's a male
@MahubiriPrMmbaga
3 жыл бұрын
No! God is Spirit ( John 4:24),Spirit has no gender
Uku sijayajua makanisa yp ila sijui yapo wapi
@MahubiriPrMmbaga
4 жыл бұрын
Uko wapi
@roselele341
4 жыл бұрын
Niko Oman
@kusakabuga282
4 жыл бұрын
Fatilia tu kwa mtandao kila Siku, kila sabato
Amina
Amen
Amen