Najua | Berry Black ft Shirko and NI | Official Video Song
Музыка
Watch and share hit track "Najua" by Tanzanian Artist Berry Black ft Shirko and NI. SUBSCRIBE Mziiki For Best African Music | bit.ly/MziikiTube
#LISTEN | #LOVE | #SHARE
Digital promotion by Ziiki Media!!
Subscribe us for unlimited entertainment
/ mziikitube
Like us on Facebook
/ mziiki
Follow us on Twitter
/ mziiki
Follow us on Instagram
/ mziiki
Пікірлер: 1 500
Wangapi tunaangalia mwezi wa 6 2024
@Star_Esto
Ай бұрын
we out here
@IkramsmartIkramsmart
Ай бұрын
@@Star_Esto I really see you
@user-zv7iy1xg8w
4 күн бұрын
nko ndani
Who is here 2024
@Najma_lily
Ай бұрын
24th liker ❤
@GraceMugisha-lk9hi
Ай бұрын
👋
@MeshakiAbdul-sp9uc
Ай бұрын
Mimi ĥapa😂
@josephmongo91
9 күн бұрын
Tunaachaje Mzee.!
Kama Bado unaitizama Ngoma hii 2024 gonga like
My husband alikuwa ananiwekea huu wimbo wakati tunataka kuowana was 2008 na Alhamdulilah tulifanikisha na tupo pamoja hadi Leo tunawatoto WA 3.
@HASHIMMAKUNGUHAMDANI
7 күн бұрын
Daaa mungu awafanyie wepesi katika ndoa yenu na akupeni nahitaji ya moyo wenu
@SudyKamonongo
15 сағат бұрын
Mnaishi wap saiv
Wenye mko present, 2024,show your love here
Berry Black still the best nipeni like nikiwa Somalia 🇸🇴🇸🇴🇸🇴
@weddykelvin2375
4 жыл бұрын
sana tuko pamoja wadau
@mod7668
4 жыл бұрын
Mc Nana you Somali?
@patrickmbelenzi493
4 жыл бұрын
@@mod7668 i work in somalia but my home land is Nairobi kenya
@nasraabdi1529
3 жыл бұрын
❤❤❤❤❤❤
@fahadfaraj6474
3 жыл бұрын
@@nasraabdi1529 hi
My husband 13 years ago alikua ananiimbia huu wimbo n finally we are married dis year.... naupenda paka naumwa
@unokaunoka47
4 жыл бұрын
Good for you, itunze hiyo ndoa sasa.
@mammwari903
4 жыл бұрын
Kama unakubali hii song ngonga like
@hassansuleiman407
4 жыл бұрын
endelea kuumwa
@salmaalimusa547
4 жыл бұрын
@@hassansuleiman407 hahaha asipone
@hassansuleiman407
4 жыл бұрын
@@salmaalimusa547 aendelee kuumwa
Kama bado unaicheki hii ngoma 2020 gonga like tujuane
@emanuelambaida8090
4 жыл бұрын
Nice song
@husnaadam3367
4 жыл бұрын
Mm moja wapo
@albundy2739
4 жыл бұрын
Ushagongwa
@kostantinomhagama5065
4 жыл бұрын
Nakmbk mbali sana bonge LA song,,,,,
@rajaissa5686
3 жыл бұрын
Inanikumbusha nikioa,wazelaaa
I was too young to realize that Shirko was spitting fire back then!!! Respect!
@mohamedgessan3729
5 ай бұрын
Same bro !!
@redemptusn
4 ай бұрын
Me too😂
@ifahbae4782
Ай бұрын
My childhood crush for real
hii nyimbo bado yanitowa machozi kweli🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@adamkapaya5914
5 жыл бұрын
Inakukumbusha nn
@zuhuramwawimo997
5 жыл бұрын
imenikumbusha mbali sanaaa😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@justinemico1871
4 жыл бұрын
Pole sana mapenzi tuyaache tu
@lizonemarury303
4 жыл бұрын
Zuhura Mwawimo so ww tyuu ata mm
@pendotarimo2062
4 жыл бұрын
@@zuhuramwawimo997 mimi pia huu wimbo unikumbusha mbal sana
Rest In Peace N.I thanks for making our childhood musical!! Allah akuswamehe makosa yako! 🙏🏽🤴🏽❤️🌹
@rosemwikali4022
Жыл бұрын
Nani alifariki
@flinchclassic1531
Жыл бұрын
The guy who sing the second verse N I
@alimalenge
10 ай бұрын
ooh may his soul rest in peace@@flinchclassic1531
@marknyachiro487
5 ай бұрын
Nani yule aliaga?
@ForodhaniZanzibar
2 ай бұрын
NI AMEFARIKI
Even In 2023 is still a Hit 🎵🎻🎧
@ahmedadan8274
Жыл бұрын
Currently listening to it It never gets old
@paulirungu9013
10 ай бұрын
Kweli old is gold
@georgelagoslagos7806
10 ай бұрын
Nachikicha jaba na ngoma. Hit of the century.
@Aboodjan4-
9 ай бұрын
Mwehu wewe😂
@victorsimba9850
7 ай бұрын
old jams hit different channel 5 eatv
Tunao check 2019 twende sawa na hizo like
@adelaidadeuskasinda2381
5 жыл бұрын
Tuko pa 1
@almachiuskaijage8578
5 жыл бұрын
Nmeamua kumalizia mb zangu pande izi
@dadymchambiko8146
4 жыл бұрын
Du yani hii nyimbo nineikubary toka enzihizo du awajamaa walikuwa balaaa
No rapper from east africa can manage to flow like shirkp to date..... #Respect to him ....🤝🤝
@user-kj5gy7fy8p
9 ай бұрын
Shirko was on another level
@Aboodjan4-
9 ай бұрын
Yu wapi cku hizi?
@dastonamichaels1854
9 ай бұрын
Ahead of time
@mustafamatata3795
3 ай бұрын
Amazing stly..hip-hop,rnb & ragga
@Heroes45
3 ай бұрын
That’s a stretch. He was good just like Redsan, Wyre, Peter Miles, etc
Vumilia baby we kijasiri ipo siku ntakupa kauli ulotaka yatakuwa tayari ndipo hapo tutafunga ndoa (rest in peace N. I 😭😭😭😭)
@GeorgeMahemba-el5gc
2 ай бұрын
pole sana
Zero nudity,zero negativity just a vibe n love still the best!!!!
@justuswangila7604
Жыл бұрын
Exactly good video you can watch it from anywhere without hiding 🙏🙏🙏
@georgelagoslagos7806
10 ай бұрын
Kizuri cha jiuxa. Kibaya chajitembeza.
daaaaa ngoma inanipeleka ukwen wanangu wa 2021 like zenu km tuko pamoja
Don't ask who is still here because we never left
2021 muko wpi, gonga like happo tuonaneee ,bonge la ngomaa. R.I.P RAIS John pombe Magufuli
This songs holds tonnes of memories - Listening in 2022 from the UK - Reminds me my golden days in Iringa during my primary education..! Back then music had feelings..
@marknyachiro487
5 ай бұрын
For real
Them baggy T-shirt and jean trousers was the swag back then😂😂😂.I miss them old days.Girls were naturally beatufull without layers of make-up
@abassali6949
4 жыл бұрын
Safi sana like it even now 2020 2030
@gabrielmukhwana-og4sq
Жыл бұрын
Hakukuwa na umalaya they were focused
Wazanzibar walikuwa wabaya sana wallah daah.. cjui walikwama wap yan
@ForodhaniZanzibar
2 ай бұрын
Kabisa sijui ilikuaje
@HASHIMMAKUNGUHAMDANI
7 күн бұрын
Daaa kweli kabisa
Nice song 2019 kama unachek gong like twende p 1
Asante sana wasanii wetu wazamani nyimbo hizi zilitushawishi sana kupenda nakujua wanaume wote wanapenda kama gisi mlivyoimba kwa hisia
Hii ngoma ntaiangalia miaka yote,naipenda mpaka basi
I love this song sending love from Zambia 🇿🇲 one Africa one nation one passport without visa
I loved this song in 2008❤ from congo. It's today that i hear it on tiktok . Oh my God! 2024❤❤
wahenga tujuane hapa ...2019april am here ...zaman kulikua na nyimbo not now
najua roho yako mamy inachoma najua ucli mamy tutaoana uuuuuu very nice music
I love that part of NI and Shirko amazing,much love from Birmingham Great Britain 🇬🇧,I remember my childhood memories back in Moyale Kenya 🇰🇪 home.
Waaoh it's 2023 here at Kenyatta University, KU, Kenya. The song just popped up in my head.. 😊😊
Back then when music was composed by super talented guys
Back in days when music was composed by real talented musicians as opposed today’s rubbish. Reminds me of my sweet early 2000.
@justuswangila7604
Жыл бұрын
Exactly 🙏🙏🙏
Dear my little princess am leaving this comment here for you ,when you grow up this is the kind of music I would recommend you to listen to
Mimi ni kati ya watoto waliokua wanaogerea hapo nipeni like 1000
@asiajuma8330
4 жыл бұрын
Hongera saivi umeshakua babu😜
*WASANII na MASHABIKI wa nyimbo za zamani ndio walikuwa na akili sio hawa wa mambo Leo* *Nyimbo za zamani hazikumhitaji msanii mwenye jina kubwa ili kuzibeba ila zilimhluhitaji MTU mwenye kipaji tu sio saivi wenye vipaji wanauza karanga waliotoboa ni makanjanja tu* Ukisikiliza hii nyimbo kuna msanii anaitwa *N.I* jamaa hana nyimbo nyingi ila kipaji kilinifanya nimfatilie sana 💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪😂😂😂😂 Gonga like kama tuko pamoja 2020 kuelekea uchaguzi
@jonathanpius036pius7
3 жыл бұрын
Dah N I namkubal mno best
@tracejeezy8917
3 жыл бұрын
Sema kafariki "NIGGA'' NI daaahh
@barnabamasigani221
3 жыл бұрын
R I p Rais John pombe Magufuli
@danieljoseph5472
2 жыл бұрын
Hakuweza kuimba matusi walikua na heshima
@omarimkanda8864
2 жыл бұрын
Kabisa
Sijawahi kuacha kuisikiliza hii ngoma... alafu sijui kwa nini kundi la "Two Berry" lilivunjika! Kama unasikiliza hii ngoma hadi leo 26/8/ 2020 gonga Like twende sawa!
Uyu shirko yupo vizuri jamani km umempenda gonga like 2020
@sabraali3156
3 жыл бұрын
Sana tu yaani
Jamani nami naomba like zenu mwenzenu nani yuko pamoja nami 2019
@ally1702
5 жыл бұрын
Ngapi unataka
@jenitajastin3166
5 жыл бұрын
2019
@abdulikadirnarrel2751
5 жыл бұрын
Konk yan
@mahirfauz1993
5 жыл бұрын
chukua na yangu hii hapa😄
@ezekiakidava1743
5 жыл бұрын
sana
Love this song love my wife long way this song has so much memories now have three kids lovely memories
@gazellethomson7522
6 жыл бұрын
congrats, may Allah bless you
@yvonneakimana9089
5 жыл бұрын
Nice
@jennygrace723
4 жыл бұрын
Woooow
@mariammariam1555
3 жыл бұрын
mashaallah heri yenu
@adanwario1312
3 жыл бұрын
@@mariammariam1555 hi
Kama nawewe ulishawahi kumuandikia mchumba ako kwenye kijikaratasi(barua)like tuwe wengi
@immanuelmapunda5650
4 жыл бұрын
Dah unanikumbuxha mbalii sana
@wemamwahima2527
3 жыл бұрын
Hhhhhh
@fabianbenardngatunga2713
2 жыл бұрын
Nimeandika san simu zimekuja india upendo
@auntiemylee3157
8 ай бұрын
😂😂😂🎉🎉🎉
@yahayatwaha2750
3 ай бұрын
😂😂😂😂😂
Old is good always ❤️🌹 yani iy ngoma still now nayipenda hadi raha burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮 turikuwag tunayipenda sana😢❤❤❤❤
I don't understand Kishawili but beats always move me to the peak.
I listen and feel emotional moved to just cry , crying with passion ,, golden voices...am in Kenya..1999 while in standard 7 ,when I was trying to understand what love is all about...🥰🥰
@brianayetsah
2 жыл бұрын
hehe the song itself says it all. alafu ikona beat tamu
Nothing beats old school bongo music nothing but classics
Dah nimekumbuka mbali sana leo😢❤
2Berry are Real music legends,, been listening to their songs since childhood to my adulthood
I can’t forget those days of primary school listening this hit 😭😭
Nyimbo ya kitambo ila bado unaweza bembelezea mchumba mpaka leo kipaji kilikuwepo kwao ❤
Young energetic Kenyan Somali American leaving in Ohio C. Really love ma country 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪.
My heart beats to a💕different rhythm whenever I hear this songs
We used to write and didicate to our lovers. And it always felt like you are singing and they listen. Love is something that causes one pain. I can't accept to go back to high school and genuingly express my love towards someones daughter. Niliteswa sana hizo siku. Loving someone and they don't love you back has always been the tragedy. While school life entails a lot. You are to attend classes, sit exams even when you are fully loaded with all sorts of stress. Staki kitu kwa hii maisha. Nataka Yesu Kristo pekee
@jenahando2747
Жыл бұрын
Ooh pole
@anthonynyongesa4187
10 ай бұрын
Kilikuramba😂😂
@wanyonyieric9373
4 ай бұрын
Eeeeh pole ako
This song reminds me of my fallen friend.I heard it back in 2007 when I was 8.At 2022,I feel like jumping out of my skin upon listening to it.💗💗💗
@mwanajumanyangasi1336
2 жыл бұрын
I was class 5
@abdulmajiid2101
2 жыл бұрын
I was class one 😪
@brianayetsah
2 жыл бұрын
this song reminds me of my ex mazee
@user-zb2vx6tj9i
Жыл бұрын
2023
@gracemadridista8636
6 ай бұрын
I heard it in congo in 2008❤! Then i lost its tittle but today i found it on tik tok. Very good song.
Pumzka kwa amani NI. Hii nyimbo kila mtu ilimgusa kivyake, 2020 tunakutana hapa🤣🤣
Am still in love with this song ❤
shirko killed it....reminds me of home
Shirko alikua anaplay part yake vzr Sana,hii aina yake ya kurap ilikua ya kipeee!
I love this song sana. It reminds me of the year 2006 when I was in form 3 I was suspended from school 🙁it played on every radio in Kenya. Much love from Kenya.
@mahmoodmohammed1679
Жыл бұрын
Why were u suspended tho?...did manage to finish?
WAKENYA Mpoo?? CLASSIC. Str8 outta Nairobi, Kenya [2k20] 💯🇰🇪🖤🤸🏾♂️
@sityomari8740
3 жыл бұрын
Tupo hatari,nikiwa darasa la nane 2007 penda hii nyimbo hatari
Kali Sana mpak imegusaa Kama nawew imekugusa gonga likee hapa👇👇👇
@zuhuramwawimo997
5 жыл бұрын
Hassani Mohamedi 😢😢😢😢
@muhsinmuhammad1099
2 жыл бұрын
mi naipenda sana hii.. hakuna nyimbo za kisasa inayofikia hii
Mwezi huyu Julai 2024 muko wapi?😊
@HASHIMMAKUNGUHAMDANI
7 күн бұрын
We are here ready
Let go 2021 I'm still listen this good music,( najuaaaa )😭😭
@halimamimarich3799
2 жыл бұрын
😍😘
@hakeemali6519
2 жыл бұрын
Brings old memories
@omarybakari2532
2 жыл бұрын
Memory
@omarybakari2532
2 жыл бұрын
@@halimamimarich3799 😭
@omarybakari2532
2 жыл бұрын
Best memory
20th of December 2023 still listing to track Berry Black for life 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇸🇴🇸🇴🇸🇴
Nampenda Berry black sana..Ni msanii mkali..nipe like Kama unamkubali
Whenever I listen to the songs of 2berry I remember the days we used to go to Pirates Beach every Eid of the year with friends,we were kids and it used to be so nice,,
Kuna demun wa kwanza alinizengua sana kwa kuwa aliitwa Saumu pia, na kipindi huu wimbo ulkuwa watamba sana Saumu popote ulipo, hili goma ni kama Berry Black aliutunza kwa ajili yako
2021 still🔥🔥 my childhood memories are 🔙 2008
@ahmedhussein9341
2 жыл бұрын
Usinione mashav yamenitoka..
@mariausman9468
2 жыл бұрын
Absolutely 💯. Those days were the best 👌
@agostnleon6685
2 жыл бұрын
I miss those days
still watching,,, zanikumbusha my boyfriend but he is no more,,,RIP salim
@BOOMAKFI
5 жыл бұрын
RIP to Salim
@adelaidadeuskasinda2381
5 жыл бұрын
So sorry my dear rip salim
@antonykariuki2108
5 жыл бұрын
Joan.may he R.i.p
@othumanlorenzo260
5 жыл бұрын
Pole sana
@ameirsuleiman5455
5 жыл бұрын
dah pole kwa asiv umeshaolewa
verse namba 2 so underrated... kwanza mpenzi wangu natafuta
Najua roho yako mama inachoma najua usjal mama ipo sku tutaowanaa🥰🥰Rahil 💑
We wanted to grow up faster now look at us!!! Can someone teleport me back to this era.
Still watching 2020 like twende sawa
Nikisiiiia hiii nyimbo natamani kulia jamon dahhhh
@zuweinaalhabsya8773
18 күн бұрын
Pole dear
nackiza hii ngoma nimewaka mbaya yooh kama imetoka leo 2023 here we go
The old songs are as gold.❤🔥❤🔥 🔥🔥🔥
4days to 2023 and still listening this masterpiece
Vitamin music Niko hapa 15/02/2023 kama kuna mwengine anipe like zangu
Pasta Max pale radio Jambo alikuwa anapenda Sana huu wimbo
R I p NI mungu ailaze roho yako pahali pema peponi😭😭😭🙏🙏🙏
@stephenlusekelo
5 жыл бұрын
😳
@rehema2018
5 жыл бұрын
Fibi Sasha nani huyo mweusi au mweupe?
@queenandchill91
4 жыл бұрын
@@rehema2018 mweusi
@zamzamahmed5718
4 жыл бұрын
Oh berry black ndo alifariki Rip
@queenandchill91
4 жыл бұрын
@@zamzamahmed5718 sio Berry Black..."N.I"
shirko 254 mkenya halisi bado anaifanya kazi freshi tanzania hadi leo gonga like kama unamuanimini huyu kaka
🎶unayota yatakuwa tayari ndipo hapo tutafunga ndoaa🎶
Hapa 2024 Rwanda 🇷🇼
Huyu NI alikua mwanangu sana mwishon mwishon mwa maisha yake pale mtaa wa jangombe.. Dah alikua mtu poa alinipa cd ambayo aliimba nyimbo zake zote na kuanzia hapo hatukuonana tena mana mm nilisepa nje ya nchi miaka 3 hadi nikapewa taarifa whatsap ola mwanao amekufa 🥺🥺🥺
@sawmu9536
7 ай бұрын
😮sorry
@dessyshylock1585
Ай бұрын
Aliaga mwaka mgani?na kifo kasababishwa na nini?
Who is still here 2021 Wale tuliandikiwaga dedication za hii nyimbo heheeh
Dah, bonge la wimbo yan, July 2024 bado halijachuja
How i wish mngekuwa bado pamoja😮
Nimeamua nimalizie mbs zangu huku, 2018 gonga like
@claymatthewswengawenga7808
6 жыл бұрын
interesting
@saumukhamis7415
3 жыл бұрын
😂😂😂😂
@dottoemanuel9697
3 жыл бұрын
tutaoana
Miaka kibao nyimbo ilikua mwangu damu nikiwa nampenz wangu mungu alijalia kweli tukaowana 😭😭😭😭lkn kashetani kalitupitia tulipo anza tu kujua kujitegemea kila nikiisikia machoz unitoka sidhan kama nitawahi sahau hayo mapenz kbs
Reminds me of Watamu..Malindi route Matatus. Dem years 2005 to 2009. Greetings from Germany 🇩🇪
Still fire🔥 2023 berry black talented
Rip my longtime girlfriend Noela Nimekumiss Sana Mungu akuondolee adhabu ya kaburi
R.I.P N.I nigga,,, ulikua zaidi ya artist👏👏
@huaweiphone1459
4 жыл бұрын
Kumbe amefariki kwani subuhanna lah
@abukiczan6600
4 жыл бұрын
@@huaweiphone1459 ni mwaka mmoja au moezi kumi tokea afariki uyo
Ni 2024 lakini wimbo huu walai ni moto💥💥
Wwwooi Shirko;i hope he is still that handsome and the way he sang🔥🔥🔥
@jamilayusufahmed2529
6 жыл бұрын
sheeba hal.. he is still handsome ako Zanzibar siku hizi
Nikiwa likizo kwa broo miaka hio Kisosora nikawa na mtoto wa kidigo, eti now umeolewa Saumu. More than pain 2019
Angalia nyimbo za zamani zilivyo kua,za kistaarabu,sio hizi za sasa za ukosefu wa adabu
What a song! My friend was singing this song with a lot of passion 😂😂 2023 here we go 🔥
Kama bado unaicheki hii ngoma 2022 gonga like tujuane R.I.P NI
Daah najikuta chozi linatoka jamani 😍😍😍🇹🇿
Hii nyimbo inanikumbusha nilkuwa natoroka homu naenda kuangalia mziki vibandan nikirud nakutana na kichapo cha kufa mtu