MZUNGU ALIYEUWA MAMBA MKUBWA DUNIANI,MBUNGE MPINA AFICHUA TUHUMA NZITO....
#OFFTRACKTV #offtracktv #wazirimkuu #kassimmajaliwa #bungelive #bungeni
Karibu kujiunga na Channel yetu ya WhatsApp kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 whatsapp.com/channel/0029VaDFvPE9RZAg9slXGy0e
KWA HABARI ZA KITAIFA,KIMATAIFA ELIMU,MAKALA NA BURUDANI KWA UHAKIKA MASAA 24,TUFUATILIE OFFTRACK TV.
PIA USISAHAU KUSUBSCRIBE OFFTRACK TV
kzread.info
Email | info@offtrack.co.tz
🔴 JE, NA WEWE UNA HABARI AU UNAHITAJI KUTANGAZA NASI?
🔴 WASILIANA NA OFFTRACK TV : (+255 769 612 166)
🔴 Email: info@offtrack.co.tz
Www.offtrack.co.tz
𝙏𝙝𝙖𝙣𝙠 𝙔𝙤𝙪 𝙁𝙤𝙧 𝙒𝙖𝙩𝙘𝙝𝙞𝙣𝙜
...............................................................................................
Subscribe:kzread.info
Пікірлер: 85
Ila hili taifa wakat mwingine uzalendo ni mdogo asante Sana mheshimiwa mpina kaka
Mimi sijawahu kujua maana ya bunge
Yaani Africa aliyesoma na asiyesoma kuna wakati unakosa tofauti nchi hii imezidi kabisa yaani MTU anafanya upuuzi huu kweli Acha wazungu waendelee kutuzalau
Huyu spika sio mzalendo kabisa hatuna mtu hapa
Wabunge wa ccm hawana uruma hata kwenye mambo ya hii nchi
Amna uzalendo hapo like serious mnajibu hivi
Speaker huna uchungu na nchi .....shame on you
@JackiePaul-sd1jt
16 күн бұрын
Tulia ni mwehu tu kila chenye haki anapinga tu
Tulia mbona unakuwa kama mtetezi wa serekali badala ya kutetea mwanainchi wa kawaida.. kutoka kwenye meno ya wachumia tumbo
Hicho chama kimetekwa na mafisadi hawana uchungu na taifa hili.toka huko hata kwa usalama wako
Mnateteana ujinga mamba angeingiza Pesa nyingi sana Kuliko pesa alio itoa Huyo jamaa hii NCH Ina viongozi wa hovyo kabisa
Siku zote mjadala wa mpina uwa unapigwa vita bungeni
hapo tumepigwa hila haya angekuwepo chuma msingeona mawindo hayo
Angekuwa mtanzania wakawaida Angewinda hata mjusi angesimulia huko jela
@golebenson4597
12 күн бұрын
😂😂😂mtumwa ndani ya nchi yake
Kwa afrika mashariki watanzania tupo nyuma sana kujielewa na kufuatilia rasilimali zetu
Huyu spika ,, ngoja ninyamaze mwenye mwanasheria aendelee kuniongelea
Poleni sana watanzania
Sijawahi kuona kitu kama hiki tangu kuzaliwa. Ee MUNGU I rehemu nchi yangu.😢
Washakula rushwa 😂😂😂😂 nan wakutiwa kitanzi
Hamna bunge hapa.
Hili bunge inafaa watanzania tulichome moto,hili ni bunge la hovyo mno
Hapo spika hatuna, hana uchungu na raslimali za Tanganyika, afu mibunge mingine imekaa kimyaaaa, looh !!!
Hapo kazi ipo shughuli ni moja tukicheza lafu huku tukishangiliwa na wakuu
Mmmh mnatuandaa kuingia mtaani
Kwani I watanzanua musiwacharukie hawa wanunge hewa wee I Kama Kenya mamba Kwa tamaa zao wanacheka tu mbwa hawa😤😬
Ivi jamani sisi Watu weusi nani ameturoga ivi hii nchi Kuna Watu kweli Wana ubongo na wakikaa wanafikilia kabisa ivi kweli sisi kweli tana akili pore Mungu anajuta kweli kutuhumba poreni Watu wenye ngozi nyeusi
Duuu!!!!!!, kazi kweli kweli
Bunge la kisenge kweli halifai hata kusikiliza
angekuwa mubongo angekuwa jera
Uyu ni mtetez wa selikar au ni spika wa bunge
Spika kunamda anakua sawa kunamda anapinda pinda
Hii nchi bhana
Mh.Mpina anatoa hoja ya haibu kwa mtu anaesifiwa kua mtalamu
Hamna kitu yaani nashindwa kuelewa hakili hiz
Uyu mpina ni chama gani ni chadema au maana ana oja za msingi sana
wanyama hubadilika kimaumbile kuenanda na mda haswa kutokana na changamoto za mazingira, hivyo ukisema kushakuwa na mamba wenye urefu zaidi ya 16 .2 feet wameshawindwa hiyo hoja haina uzito, kwenye ikolojia na wildlife management and conservations science, na mara nyingi jinsi mda unavyoenda ndivyo maumbile yanapungua na kuwa madogo zaidi.
@TM.Sullusi
12 күн бұрын
Uko sawa
Watanzania wakikutwa tu na nyama pori....jela inawahusu....leo mamba porini
Hili bunge kweli la ccmu😂 yaani badala muangalie mawala ya uchumi wetu mnawaza mamba, huu ni ufala
Huyo jamaa kwanini awinde huyo mwamba wa kipekee sasa mmebaki na kenge watumie sasa Kwa utalii
@HamzaGaudence
8 күн бұрын
😂😂😂 saloot sana
Bunge dhaifu
Huyu speaker hatufai kabisa kuwa kiongoz zaidi ya dictator tu
Kwani huyu SPOKU ANASHIDA GANI😂😂😂
Sie ni mwabwege sana
Uyo waziri sijawai kumwerewa
Hopeless kabisa dada yangu kutetea ubadhirifu
Hao wawindaji hawana waongozaji🚮🚮🚮
Sio spika huyu kaingia kwenye mfumo viva mpina ww wazil lopolopo nenda marekan kawinde bas
Hakuna spika hapo
Ila tulia khaa😮
Mpina anaongea kitu cha maana sana alafu wengine wanaishia kucheka tu, na athabu yake ya kufukuzwa bungeni point kama izi zinachangia jama Hakiri nyingi saana
Hampendagi ukweli sjui mpoje
Hiii sio Tanzania hawajari kabisa achainyesheeeee
Sasa kwan tuna bunge 😅😅😅😅😅
Na wanachaka wanaona hana maana!!😢😢😢
Humo bungeni wangetoka wote tu coz mi naona kunamatahila tu humo ndani
Haya huyo mamba wamemzika
Hata waziri anaona aibu,hawa watu hawana uchungu na taifa hili.wanajali masrahi binafsi
mh spika 😢
Ningekuwa na mamlaka ningemtumbua spika
Hatuna spika in hatuna wazalendo kabisa kwa taifa hili
Duh b😂😢
Wabunge wanatia aibu
Walimuua wa Nini mamba angetumika kma sehemu ya utalii
Mpina Anahangaika sana anachokitafuta atakipata tu..Mzee wa Negativity tu anaweza akawa na hoja ila Timing yake Mbovu..! Anyway the end will justify 🚶🚶
@philemonmagesa5548
14 күн бұрын
Acha chuki zako binafsi
All Tanzania population stand help mpina by full force change Tanzania from dictotaship to civilian tools reject such move chadema odinary Tanzania people stand behind mpina protest so that give ccm who are inside palament cames with capacity of understand they right into Tanzania Palament wekerup chadema use your capacity wekerup tanzania population difend mpina even if the ccm mp because has been difend tanzania people
Hilo ni bunge Haram na sio bunge tukufu
aliyemwoa huyu spika analo, anajua kupindisha mada
Tatizo nchi hii lipo kwa rais hana lolote ndo mambo kama haya yanatokeya tuna viongozi wa hovyo sana hawatufai naamini 2025 chadema watachukuwa wabunge wengi pumbavu zao hawa viongozi wa hovyo
mpina tunakutegea
@japhetmasatu6149
15 күн бұрын
Huyu kiti kikuu kinamfaa!
Watanzania ni maboya hakuna mfano majinga, si bdo mliwapeleka hawa bungeni wawakilishe, majinga milioni 65
Mambo ya ajabu kabisa
Jamaa ana akili sana huyu,ila hicho kispika kijinga mno
NILITAMANI HATA MIMI KUFANYA UTALII WA NDANI ILI NIKAMUONE MAMBA MKUBWA DUNIANI, R. I. P CROCODILE🐊🐊
Kenya, the worst Africana country in politics, human-rights , discipline, disrespect for God ect...
Hii ni spika ya kiredio labda
Nchi hii ishakua ya kifara na Inaboa kinoma yani .Wanaangalia Matumbo yao tyu .