MZUNGU ALIYEUWA MAMBA MKUBWA DUNIANI,MBUNGE MPINA AFICHUA TUHUMA NZITO....

#OFFTRACKTV #offtracktv #wazirimkuu #kassimmajaliwa #bungelive #bungeni
Karibu kujiunga na Channel yetu ya WhatsApp kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 whatsapp.com/channel/0029VaDFvPE9RZAg9slXGy0e
KWA HABARI ZA KITAIFA,KIMATAIFA ELIMU,MAKALA NA BURUDANI KWA UHAKIKA MASAA 24,TUFUATILIE OFFTRACK TV.
PIA USISAHAU KUSUBSCRIBE OFFTRACK TV
kzread.info
Email | info@offtrack.co.tz
🔴 JE, NA WEWE UNA HABARI AU UNAHITAJI KUTANGAZA NASI?
🔴 WASILIANA NA OFFTRACK TV : (+255 769 612 166)
🔴 Email: info@offtrack.co.tz
Www.offtrack.co.tz
𝙏𝙝𝙖𝙣𝙠 𝙔𝙤𝙪 𝙁𝙤𝙧 𝙒𝙖𝙩𝙘𝙝𝙞𝙣𝙜
...............................................................................................
Subscribe:kzread.info

Пікірлер: 85

  • @samsonnyihita3985
    @samsonnyihita3985Ай бұрын

    Ila hili taifa wakat mwingine uzalendo ni mdogo asante Sana mheshimiwa mpina kaka

  • @benjaminkundy128
    @benjaminkundy12813 күн бұрын

    Mimi sijawahu kujua maana ya bunge

  • @barakambuzeyonja6935
    @barakambuzeyonja693515 күн бұрын

    Yaani Africa aliyesoma na asiyesoma kuna wakati unakosa tofauti nchi hii imezidi kabisa yaani MTU anafanya upuuzi huu kweli Acha wazungu waendelee kutuzalau

  • @Husenimuddi
    @Husenimuddi15 күн бұрын

    Huyu spika sio mzalendo kabisa hatuna mtu hapa

  • @noelimori4621
    @noelimori462115 күн бұрын

    Wabunge wa ccm hawana uruma hata kwenye mambo ya hii nchi

  • @MrGoatAi
    @MrGoatAiКүн бұрын

    Amna uzalendo hapo like serious mnajibu hivi

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo646423 күн бұрын

    Speaker huna uchungu na nchi .....shame on you

  • @JackiePaul-sd1jt

    @JackiePaul-sd1jt

    16 күн бұрын

    Tulia ni mwehu tu kila chenye haki anapinga tu

  • @FredymaswiMwita-oj6gv
    @FredymaswiMwita-oj6gv17 күн бұрын

    Tulia mbona unakuwa kama mtetezi wa serekali badala ya kutetea mwanainchi wa kawaida.. kutoka kwenye meno ya wachumia tumbo

  • @ErastoMaridadi
    @ErastoMaridadi15 күн бұрын

    Hicho chama kimetekwa na mafisadi hawana uchungu na taifa hili.toka huko hata kwa usalama wako

  • @aboudasilver6541
    @aboudasilver654120 күн бұрын

    Mnateteana ujinga mamba angeingiza Pesa nyingi sana Kuliko pesa alio itoa Huyo jamaa hii NCH Ina viongozi wa hovyo kabisa

  • @hamudshabani7801
    @hamudshabani780115 күн бұрын

    Siku zote mjadala wa mpina uwa unapigwa vita bungeni

  • @emmanuelkanyela275
    @emmanuelkanyela27521 күн бұрын

    hapo tumepigwa hila haya angekuwepo chuma msingeona mawindo hayo

  • @hongerakimbwala8650
    @hongerakimbwala865028 күн бұрын

    Angekuwa mtanzania wakawaida Angewinda hata mjusi angesimulia huko jela

  • @golebenson4597

    @golebenson4597

    12 күн бұрын

    😂😂😂mtumwa ndani ya nchi yake

  • @bazilmateru915
    @bazilmateru91516 күн бұрын

    Kwa afrika mashariki watanzania tupo nyuma sana kujielewa na kufuatilia rasilimali zetu

  • @cartersport_1362
    @cartersport_136214 күн бұрын

    Huyu spika ,, ngoja ninyamaze mwenye mwanasheria aendelee kuniongelea

  • @elvisoscar9912
    @elvisoscar99123 күн бұрын

    Poleni sana watanzania

  • @jide830
    @jide8303 күн бұрын

    Sijawahi kuona kitu kama hiki tangu kuzaliwa. Ee MUNGU I rehemu nchi yangu.😢

  • @kalengashoppingcenter1108
    @kalengashoppingcenter110822 күн бұрын

    Washakula rushwa 😂😂😂😂 nan wakutiwa kitanzi

  • @Flaviosafari
    @Flaviosafari3 күн бұрын

    Hamna bunge hapa.

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile323410 күн бұрын

    Hili bunge inafaa watanzania tulichome moto,hili ni bunge la hovyo mno

  • @user-ce5mi6zc9t
    @user-ce5mi6zc9t18 күн бұрын

    Hapo spika hatuna, hana uchungu na raslimali za Tanganyika, afu mibunge mingine imekaa kimyaaaa, looh !!!

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md4 күн бұрын

    Hapo kazi ipo shughuli ni moja tukicheza lafu huku tukishangiliwa na wakuu

  • @czarelija6114
    @czarelija61143 күн бұрын

    Mmmh mnatuandaa kuingia mtaani

  • @TeamKRX
    @TeamKRX3 күн бұрын

    Kwani I watanzanua musiwacharukie hawa wanunge hewa wee I Kama Kenya mamba Kwa tamaa zao wanacheka tu mbwa hawa😤😬

  • @MwemajaphetyZackalia
    @MwemajaphetyZackalia16 күн бұрын

    Ivi jamani sisi Watu weusi nani ameturoga ivi hii nchi Kuna Watu kweli Wana ubongo na wakikaa wanafikilia kabisa ivi kweli sisi kweli tana akili pore Mungu anajuta kweli kutuhumba poreni Watu wenye ngozi nyeusi

  • @manaseliberatus1347
    @manaseliberatus134712 күн бұрын

    Duuu!!!!!!, kazi kweli kweli

  • @omarifadhili651
    @omarifadhili6514 күн бұрын

    Bunge la kisenge kweli halifai hata kusikiliza

  • @user-oq6to7pf2u
    @user-oq6to7pf2u7 күн бұрын

    angekuwa mubongo angekuwa jera

  • @SalehAbuu-d6h
    @SalehAbuu-d6h4 күн бұрын

    Uyu ni mtetez wa selikar au ni spika wa bunge

  • @christianmwashala9760
    @christianmwashala976013 күн бұрын

    Spika kunamda anakua sawa kunamda anapinda pinda

  • @kalumunakalumuna7403
    @kalumunakalumuna740317 күн бұрын

    Hii nchi bhana

  • @ruzindazajonas8506
    @ruzindazajonas850614 күн бұрын

    Mh.Mpina anatoa hoja ya haibu kwa mtu anaesifiwa kua mtalamu

  • @wakayakaya6
    @wakayakaya67 күн бұрын

    Hamna kitu yaani nashindwa kuelewa hakili hiz

  • @elvisoscar9912
    @elvisoscar99123 күн бұрын

    Uyu mpina ni chama gani ni chadema au maana ana oja za msingi sana

  • @amanikwayu2808
    @amanikwayu280815 күн бұрын

    wanyama hubadilika kimaumbile kuenanda na mda haswa kutokana na changamoto za mazingira, hivyo ukisema kushakuwa na mamba wenye urefu zaidi ya 16 .2 feet wameshawindwa hiyo hoja haina uzito, kwenye ikolojia na wildlife management and conservations science, na mara nyingi jinsi mda unavyoenda ndivyo maumbile yanapungua na kuwa madogo zaidi.

  • @TM.Sullusi

    @TM.Sullusi

    12 күн бұрын

    Uko sawa

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo646423 күн бұрын

    Watanzania wakikutwa tu na nyama pori....jela inawahusu....leo mamba porini

  • @MagrethMallya-we8ui
    @MagrethMallya-we8ui5 күн бұрын

    Hili bunge kweli la ccmu😂 yaani badala muangalie mawala ya uchumi wetu mnawaza mamba, huu ni ufala

  • @ntegrity277
    @ntegrity27722 күн бұрын

    Huyo jamaa kwanini awinde huyo mwamba wa kipekee sasa mmebaki na kenge watumie sasa Kwa utalii

  • @HamzaGaudence

    @HamzaGaudence

    8 күн бұрын

    😂😂😂 saloot sana

  • @MrGoatAi
    @MrGoatAiКүн бұрын

    Bunge dhaifu

  • @madaiincubationcenter4947
    @madaiincubationcenter494710 күн бұрын

    Huyu speaker hatufai kabisa kuwa kiongoz zaidi ya dictator tu

  • @gibrilmongi5646
    @gibrilmongi564610 күн бұрын

    Kwani huyu SPOKU ANASHIDA GANI😂😂😂

  • @omarinyahegs4539
    @omarinyahegs453920 күн бұрын

    Sie ni mwabwege sana

  • @ChachaChacha-ne6yf
    @ChachaChacha-ne6yf11 күн бұрын

    Uyo waziri sijawai kumwerewa

  • @czarelija6114
    @czarelija61143 күн бұрын

    Hopeless kabisa dada yangu kutetea ubadhirifu

  • @bakarininga4100
    @bakarininga410014 күн бұрын

    Hao wawindaji hawana waongozaji🚮🚮🚮

  • @user-wq2fh5rx4s
    @user-wq2fh5rx4s2 күн бұрын

    Sio spika huyu kaingia kwenye mfumo viva mpina ww wazil lopolopo nenda marekan kawinde bas

  • @user-wq2fh5rx4s
    @user-wq2fh5rx4s2 күн бұрын

    Hakuna spika hapo

  • @romanambelle6356
    @romanambelle635617 күн бұрын

    Ila tulia khaa😮

  • @claudesimukoko1436
    @claudesimukoko143612 күн бұрын

    Mpina anaongea kitu cha maana sana alafu wengine wanaishia kucheka tu, na athabu yake ya kufukuzwa bungeni point kama izi zinachangia jama Hakiri nyingi saana

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary89311 күн бұрын

    Hampendagi ukweli sjui mpoje

  • @marcomayalla5138
    @marcomayalla513817 күн бұрын

    Hiii sio Tanzania hawajari kabisa achainyesheeeee

  • @user-eb3hf1lm9e
    @user-eb3hf1lm9e16 күн бұрын

    Sasa kwan tuna bunge 😅😅😅😅😅

  • @hosseasimon3887
    @hosseasimon388716 күн бұрын

    Na wanachaka wanaona hana maana!!😢😢😢

  • @hamismohamed3541
    @hamismohamed354115 күн бұрын

    Humo bungeni wangetoka wote tu coz mi naona kunamatahila tu humo ndani

  • @jiddahmaulidi3572
    @jiddahmaulidi357212 күн бұрын

    Haya huyo mamba wamemzika

  • @ErastoMaridadi
    @ErastoMaridadi15 күн бұрын

    Hata waziri anaona aibu,hawa watu hawana uchungu na taifa hili.wanajali masrahi binafsi

  • @robertmoshi2113
    @robertmoshi211315 күн бұрын

    mh spika 😢

  • @cosein
    @cosein13 күн бұрын

    Ningekuwa na mamlaka ningemtumbua spika

  • @hekimamtazamo4151
    @hekimamtazamo415117 күн бұрын

    Hatuna spika in hatuna wazalendo kabisa kwa taifa hili

  • @BARAKAJOSEPH-j4u
    @BARAKAJOSEPH-j4u11 күн бұрын

    Duh b😂😢

  • @ErastoMaridadi
    @ErastoMaridadi15 күн бұрын

    Wabunge wanatia aibu

  • @EmanuelMinja-fv9dn
    @EmanuelMinja-fv9dn18 күн бұрын

    Walimuua wa Nini mamba angetumika kma sehemu ya utalii

  • @blockchain1203
    @blockchain120315 күн бұрын

    Mpina Anahangaika sana anachokitafuta atakipata tu..Mzee wa Negativity tu anaweza akawa na hoja ila Timing yake Mbovu..! Anyway the end will justify 🚶🚶

  • @philemonmagesa5548

    @philemonmagesa5548

    14 күн бұрын

    Acha chuki zako binafsi

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda131912 күн бұрын

    All Tanzania population stand help mpina by full force change Tanzania from dictotaship to civilian tools reject such move chadema odinary Tanzania people stand behind mpina protest so that give ccm who are inside palament cames with capacity of understand they right into Tanzania Palament wekerup chadema use your capacity wekerup tanzania population difend mpina even if the ccm mp because has been difend tanzania people

  • @JackiePaul-sd1jt
    @JackiePaul-sd1jt16 күн бұрын

    Hilo ni bunge Haram na sio bunge tukufu

  • @user-xs3ko8pg2g
    @user-xs3ko8pg2g12 күн бұрын

    aliyemwoa huyu spika analo, anajua kupindisha mada

  • @saeedally268
    @saeedally26811 күн бұрын

    Tatizo nchi hii lipo kwa rais hana lolote ndo mambo kama haya yanatokeya tuna viongozi wa hovyo sana hawatufai naamini 2025 chadema watachukuwa wabunge wengi pumbavu zao hawa viongozi wa hovyo

  • @FredymaswiMwita-oj6gv
    @FredymaswiMwita-oj6gv17 күн бұрын

    mpina tunakutegea

  • @japhetmasatu6149

    @japhetmasatu6149

    15 күн бұрын

    Huyu kiti kikuu kinamfaa!

  • @user-ih9xy5vd5d
    @user-ih9xy5vd5d7 күн бұрын

    Watanzania ni maboya hakuna mfano majinga, si bdo mliwapeleka hawa bungeni wawakilishe, majinga milioni 65

  • @wilsonmoses2761
    @wilsonmoses276115 күн бұрын

    Mambo ya ajabu kabisa

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile323410 күн бұрын

    Jamaa ana akili sana huyu,ila hicho kispika kijinga mno

  • @manaseliberatus1347
    @manaseliberatus134712 күн бұрын

    NILITAMANI HATA MIMI KUFANYA UTALII WA NDANI ILI NIKAMUONE MAMBA MKUBWA DUNIANI, R. I. P CROCODILE🐊🐊

  • @ruzindazajonas8506
    @ruzindazajonas850614 күн бұрын

    Kenya, the worst Africana country in politics, human-rights , discipline, disrespect for God ect...

  • @user-lx7ez3rq4c
    @user-lx7ez3rq4c19 күн бұрын

    Hii ni spika ya kiredio labda

  • @IsakaMgeje
    @IsakaMgeje16 күн бұрын

    Nchi hii ishakua ya kifara na Inaboa kinoma yani .Wanaangalia Matumbo yao tyu .

Келесі