MZEE ABDULL AFICHUA TABIA YA SARAH WA DIAMOND, NAMJUA VIZURI
Жүктеу.....
Пікірлер: 133
@MarthaBura-or8fe2 ай бұрын
Duhuuu umefanana na nasibu
@jasminewest68262 ай бұрын
No matter how the dad was Diamond needs to make peace with this guy. He doesn't owe him anything but a parent is no joke.
@happynkya97702 ай бұрын
nashukuru kumuona mzee abduli afya yake inarudi mdogo mdgogo safi sana
@kijitamfyomi55982 ай бұрын
Halafu mama diamond anaongopea dunia eti baba wa mzazi wa diamond ni nyange wakati kila kitu kiko wazi jinsi mzee abduli alivyofanana na diamond jamani kina mama muogopeni Mungu vitu vya dunia ni vya kupita tu
@@liberatusjackson5045we mjinga kweli sas watutukana kisa nn😂😂😂😂 yani pia mama wamtuka jamani pepo ya mamako huipati utaisikia tu au urudi uombe msamaha
@kadijaa7771
2 ай бұрын
Wacha kuogopea ni haramu kuchukua damu ya mtu kipelekea mtu mwengine watu wataingiq motoni na hio
@user-lz1md9ug6m2 ай бұрын
mzee babake diamond upo sawa mungu akuzidishe masiku za kuixhi duniani
@bintimohamed26462 ай бұрын
Asante sana baba diamond ❤❤
@joycemuhoja47292 ай бұрын
Uzee Mwisho Msata Umependeza jiweke ivyo ivyo Smat
@paschalsafari9747
2 ай бұрын
Kweli kabisa
@FarhanZay-sb4gv2 ай бұрын
Daimondi huyo baba yako mmefanana sana midomo jamani
@ElizabethMasala-op3vd2 ай бұрын
Ni kweli huyu mzee ana fanana na mwanae
@JumaMwachindiri-ut3qi2 ай бұрын
Si huyu Mzee Abdhull ni mond kabisa 😂 Hadi kunyoa😂😂😂😂
@joyhylton79012 ай бұрын
Diamond is ughhhhh just like his father.
@ashuramuhammed32572 ай бұрын
Ahh huyu mzee kweli. Diamond ndo baba ake kweli amefanana kwa asilinia 91 ila Mzee acha usharo umri umeenda Jua linazama tena
@paschalsafari9747
2 ай бұрын
Mwache ale bata
@user-pm7pj6zi6q2 ай бұрын
❤❤❤
@Brunn-mh2bq2 ай бұрын
Hivi huyu binti anaitwa "Sala" kweli? Mi nilidhani Sara😊
@mamanbinwashadrack2257
2 ай бұрын
😂😂😂
@user-mt2pn4ds9k2 ай бұрын
Uyu baba hajuwi chochote kuhusu sara😂😂😂😂😂
@warakawayohana28962 ай бұрын
Mama dangote alinyandiliwa na nyange mchana usiku akalala kwa abduli, inamchanganya bado mbegu niyanani
@HogaMasunga-ec2jw2 ай бұрын
Mzee kafanan na mwanae jmn
@paschalsafari9747
2 ай бұрын
Sanaa
@duasufiani27822 ай бұрын
Mzee akubali kushindwa) mwendo wa rasta
@liberatusjackson50452 ай бұрын
Dunian hakuna kama baba mama haerewekiiii nikamaa shetaniiii kunasikuuu atakuoa maisha kunaskuuu anataka roho yako😂😂😂😂😂..BABA ni BABA.atabakii kua na hekima
@aminaabdalla99492 ай бұрын
mpaka sauti ukisikiza nikm daimond
@fatmahraseid70192 ай бұрын
Hapo hakuna mapenzi ni Kiki tu miaka yote asitambulishwe atajwe leo wakati yupo Tz hii
@hassanmwallimu57672 ай бұрын
Mzee unajishushia hadhi yako wewe kwanini unapenda kuhojiwa kwanini na huyu mwandishi kama hajui kiswahili kwanini anafanya kazi hiyo sarah anasema sala na halafu kwanini ukamuulize mzee wa watu mambo ya Nasib yanamuhusu nini yeye
@NaomiMwampondele2 ай бұрын
Baba upo sahihi hayo Maisha tunayaishi Sana tu
@husnamohamed92452 ай бұрын
Huyu sara ndio alomtoa diamond umasikini mpaka kanyanyuka zamani toka mdogo waliimba wote
@user-zb2mj5nd5g2 ай бұрын
Mamake Mondi anadhambi kubwa sana kumdhurumu mtoto huyu mzee, huyu ndo babake halisi Lukuga
@petermanala6138
2 ай бұрын
Wewe baba wa mtoto anamjua mama msilaumu huwenda Mzee nyange alikuwa wa kwanza kula vitu dunian wawilwawil wew hujawah kufananishwa na mtu afu unakuwa hata humfaham
@user-pf7xj8cy3y2 ай бұрын
Ww mzee mfunde nasibu asitegemee fedha nihukumu ya mungu maisha nakuchezea wtt wawatu
@silvesterrichardhelenya1319
2 ай бұрын
Situmeshakubaliana kuwa siyo mwanae sasa amfunde Vipi mtoto wa Mtu
@petermangama330
2 ай бұрын
Hapo ndo shida ya wanaume ilipo yaani kutanguliza inferiority kwa wanawake eti angekuwa kachoka asingeweza kujitambulisha kwake! Kauli ya kinyonge sana
@salimakuyela78132 ай бұрын
Huyu ni baba ake na nasibu kabisa
@user-yv9xx1jw1q2 ай бұрын
7:23
@user-ce6ob6zh7k2 ай бұрын
Mzee bishooo
@awatifalghanim1106
2 ай бұрын
😂😂😂😂
@jaffjeff6912
2 ай бұрын
Kitambooo TU agaaaaa
@user-zi1gp6dc2q2 ай бұрын
Mzee abduri izo ras naviduku vyann tena nautu uzima huo jaman fanya ibada mzee uwe namwisho mwema achana namambo yadunia .hufanani namambo ayo
@user-cg3vf2bl6b
2 ай бұрын
😂Baba msani sana
@JulianaMushi-nq3kc2 ай бұрын
sas hapo la ajabu lipi tz bwn kuna vtu vya maan hamfatilii vya kipuuzi ndo mnafatilia
@bungi5657
2 ай бұрын
youtube.com/@bungi5657?si=v4JmxXd1Ohx7iNEI
@bungi5657
2 ай бұрын
youtube.com/@bungi5657?si=v4JmxXd1Ohx7iNEI
@UmmyLubna-rp6rv2 ай бұрын
Na we mtangazaji ovyoo sana..yaani baada ya kumwita SARA,unamwita SALA.
@MihidjahiAssoumani2 ай бұрын
Baba ni baba atacama ajakuzaa
@tatujuma47952 ай бұрын
Mwandishi unaniangusha kutaja jina ni Sarah sio Salah 😊
@sophiekindem9071
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@benjaminsanare-ug6ge2 ай бұрын
Mzee yuko kama Nassib
@PauloPeter-cp7cj2 ай бұрын
Pesa Soo upendo wale wapendanao
@user-jv1ch4tr8q2 ай бұрын
Elewa wangu mimi labda mama nasibu alienda kwa huyu ameshanasa kule ila huyu akamzidi dam kali akafanananae
@humphreynyiti5162 ай бұрын
Sala mwandishi kondoo sana,kiswahili kigumu mno
@clarencekhayira9876
2 ай бұрын
Lafudhi tu ustie lawama
@kiatu
2 ай бұрын
..waandishi ni kioo cha jamii husika, yaani ndio tulivyo wabongo? kiingereza hatuwezi na Kiswahili je? Huyo mzee hana uhakika na anachosema
@kimwerihamza41522 ай бұрын
Waandishi jitahidini kiswahili chenu kiendane jinsi ya kutamka,baadhi yetu mnachanganya herufi
@juniormembe6882 ай бұрын
Mzee wangu unaongea kama mwangu Chinu Bosingwa Kofia mbaya
@SalamaNauthar2 ай бұрын
Msimuhoji kuhusu Diamomd jamani' Diamond alishamkataa
@mamapeace67302 ай бұрын
Ila mnao mponda mzee abuduli kweli mna wivu kipi kibaya hapo make kama nikunyoa amenyoa vizuli 2 Mimi kwa upande wangu sijaona Kasi sijajua makasiliko yanatoka wapi
@annasolomon98552 ай бұрын
Mmh mwandishi jaman, by ze way😅😅😅😅
@DivinebabyDee2 ай бұрын
Ukiwa mwandishi wa habari hutakiwi hii katika r unaweka l
@muniraally40912 ай бұрын
.mtayamaliza sara ndo aloteka mtima wa jamaa
@LinahAlbert-xl5li2 ай бұрын
Kwani huyu Sara alikuwa wapi siku zote kwanini atambulishwe Leo?
@SharifaMohammed-el3ug2 ай бұрын
Made kaa kimya
@mgomatvshows74242 ай бұрын
Domo la juu lafanana na la mondi kabsaa 😂
@fatmahraseid70192 ай бұрын
Huyo mondi hana cha moyo kutekwa wala nini natafuta followers na keshawapata 😅😅😅😅😅 huyo Sarah ndo afananishwe na wema na Zari kweli eh Dunia simama we😅😅😅
@kadijaa7771
2 ай бұрын
Mi nashuka 😂😂😂
@KapandeKhairath2 ай бұрын
Unanyoa kihuni huni,mzee wa hovyo
@gracekagoma32312 ай бұрын
Wanafanana sana❤na Diamond🎉
@nadyasalim7956
2 ай бұрын
ndio
@jaffjeff6912
2 ай бұрын
Mama D amekataa mtoto kampa Nyange😂
@petermanala6138
2 ай бұрын
@@jaffjeff6912 🤣🤣🤣🤣🤣Mzee itakuwa alikuwa anasuasua mpira kapewa mwenye nguvu😂😂😂😂😂
@alsam48812 ай бұрын
Mwandishi nenda kwanza kajifunze tofauti ya R na L, huyo dada anaitwa SARA na siyo SALA.
@pillyseleman8090
2 ай бұрын
Marana kuwaambia ukweli Watangazaji 9:06 kua asilimia 99% Sio Watangazaji wazur ,Sio uongo hata sielewi kua ni maringo ila wanaharibia lugha na hali kiswahili Tanzania ni namba moja wajirekebishe
@nkubitojaffar5582 ай бұрын
sasa uyo mze ajioni kama kisha zeheka na penk za kijinga minyororo shingoni kama kica mze aca ujinga erekeyey kwa mwenyezi mungu toka mu ujinga
@thamani58422 ай бұрын
Huyu nae hajijui wala hajitambui. Mtu mzima ovyo
@silvesterrichardhelenya1319
2 ай бұрын
Ulitaka afanyeje situmeshakubaliana diamond siyo mwanae au hujui unataka aongee nn wakati siyo mwanae
@roseberryhamoud65422 ай бұрын
Mrangazaji kutangaza bado. La na Ra.
@hawahawa84412 ай бұрын
Uyu mzeee nae amna kitu kichwani
@halimamremi53752 ай бұрын
SASA MZEE WEEE UMESHAZEEKA RASTA ZA NINI NA HICHO KIDUKUU NYOA KAWAIDA TUU UTAESHIMIKAA
@IdarousPossy
2 ай бұрын
Usimpangie mtu maisha yake ya kuishi huna mamlaka hio fata maisha yako na yey afany yake
@silvesterrichardhelenya1319
2 ай бұрын
Kwani wewe unamalaka ya kumpangia Mtu jinsi ya kuishi wanadamu mbona hamuishiwi maneno
Hujui kufanyia watu interview mara utupia nano la kiingereza
@JosephuSwai
2 ай бұрын
Wewe mwenyewe umekosea sio nano SEMA neno mpuzi
@wanahawaShaban2 ай бұрын
Hapa Sasa ndomtaamini kama huyu baba akuwaikuwa na ukalibu na hile familia
@petermanala6138
2 ай бұрын
😂😂😂af mtu analaum ananyimwa ubaba unataka ubaba wa mafanikio kwendraaaaa Kuna haja gan tukutane Kwa Mungu atuhukumu
@ernestebaba79412 ай бұрын
We mjinga Salah njo nini sema Sarah pumba wewe
@JosephuSwai
2 ай бұрын
Wewe mwenye umekosea sio njoo SEMA sala ndio nini
@channyanjen90472 ай бұрын
Uyo sarah hana mapenzi anafata pesa angekuwa diamond amefuriya angemkumbuka
@fbr5113
2 ай бұрын
ANAYEJIPENDEKEZA NI DIAMOND KWA KIKI ZAKE KAONA ZIMEMUISHIA IMEBIDI AMFUKUNYUE HADI SARA
@fatmaahmed86372 ай бұрын
Mzee rudi nyuma..Upendo gani? Mmeigiza ya watuu HARAMU upo fini GANI? Kumkumbuka hali hio? OgOpeni saaana.KABURI HALINA STAR...RUFI KWA MUNGU WAKOOO MZEEEE
@kiatu2 ай бұрын
Sala, by ze way - duh
@amiroamiroboa87242 ай бұрын
Sii Sala ni Sara hivi nyinyi Wabongo mbona munapenda kubadilisha Lugha za Watu..kwenye R munatamka L na kwenye L munatamka R hivi ni kwa nini?
@whitetigerprincy5882
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@user-xn2sf6pv9o2 ай бұрын
Daaah wazee kama hawwa tukikosa tunaanza kuwaza wa kutusuluhsha sas mzee kiduku michen kibaoo
@user-mb2ln1et5w2 ай бұрын
Sio Sala ni Sara duh
@awatifalghanim1106
2 ай бұрын
Sala eti😂😂😂😂 Mtangazaji lazima ujifundishe kutamka majina vizuri… Sara au Sarah . Sala Mhhhh
@henryndosi20022 ай бұрын
Sala ni Nini wewe mwandishi kanjanja mbwa wewe
@silaspete2 ай бұрын
Mzee mzima ovyo,unanyoa kidukuu huna hata haya,ulikuwa wapi kufanya ivo ujanani,mjukuu wako atukuona vipi
@petermanala6138
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂kama baba angu simwamkiii
@whitetigerprincy5882
2 ай бұрын
nazani ushamba wako ndio tatizo
@omanoman20442 ай бұрын
Ujinga mtup uko hapa
@IslamKombo2 ай бұрын
Mzee anataka kua sharabaro
@liberatusjackson50452 ай бұрын
Dunian hakuna kama baba mama haerewekiiii nikamaa shetaniiii kunasikuuu atakuoa maisha kunaskuuu anataka roho yako😂😂😂😂😂..BABA ni BABA.atabakii kua na hekima
Пікірлер: 133
Duhuuu umefanana na nasibu
No matter how the dad was Diamond needs to make peace with this guy. He doesn't owe him anything but a parent is no joke.
nashukuru kumuona mzee abduli afya yake inarudi mdogo mdgogo safi sana
Halafu mama diamond anaongopea dunia eti baba wa mzazi wa diamond ni nyange wakati kila kitu kiko wazi jinsi mzee abduli alivyofanana na diamond jamani kina mama muogopeni Mungu vitu vya dunia ni vya kupita tu
@joycemuhoja4729
2 ай бұрын
Mpaka Sauti wamefanana Sana
@mycmeranyswai7957
2 ай бұрын
me nikitaka wakapime DNA
@liberatusjackson5045
2 ай бұрын
Wanawake nimikunduuuuu😂😂😂😂😂😂ndooo masetaniii yadunianiiiii
@kadijaa7771
2 ай бұрын
@@liberatusjackson5045we mjinga kweli sas watutukana kisa nn😂😂😂😂 yani pia mama wamtuka jamani pepo ya mamako huipati utaisikia tu au urudi uombe msamaha
@kadijaa7771
2 ай бұрын
Wacha kuogopea ni haramu kuchukua damu ya mtu kipelekea mtu mwengine watu wataingiq motoni na hio
mzee babake diamond upo sawa mungu akuzidishe masiku za kuixhi duniani
Asante sana baba diamond ❤❤
Uzee Mwisho Msata Umependeza jiweke ivyo ivyo Smat
@paschalsafari9747
2 ай бұрын
Kweli kabisa
Daimondi huyo baba yako mmefanana sana midomo jamani
Ni kweli huyu mzee ana fanana na mwanae
Si huyu Mzee Abdhull ni mond kabisa 😂 Hadi kunyoa😂😂😂😂
Diamond is ughhhhh just like his father.
Ahh huyu mzee kweli. Diamond ndo baba ake kweli amefanana kwa asilinia 91 ila Mzee acha usharo umri umeenda Jua linazama tena
@paschalsafari9747
2 ай бұрын
Mwache ale bata
❤❤❤
Hivi huyu binti anaitwa "Sala" kweli? Mi nilidhani Sara😊
@mamanbinwashadrack2257
2 ай бұрын
😂😂😂
Uyu baba hajuwi chochote kuhusu sara😂😂😂😂😂
Mama dangote alinyandiliwa na nyange mchana usiku akalala kwa abduli, inamchanganya bado mbegu niyanani
Mzee kafanan na mwanae jmn
@paschalsafari9747
2 ай бұрын
Sanaa
Mzee akubali kushindwa) mwendo wa rasta
Dunian hakuna kama baba mama haerewekiiii nikamaa shetaniiii kunasikuuu atakuoa maisha kunaskuuu anataka roho yako😂😂😂😂😂..BABA ni BABA.atabakii kua na hekima
mpaka sauti ukisikiza nikm daimond
Hapo hakuna mapenzi ni Kiki tu miaka yote asitambulishwe atajwe leo wakati yupo Tz hii
Mzee unajishushia hadhi yako wewe kwanini unapenda kuhojiwa kwanini na huyu mwandishi kama hajui kiswahili kwanini anafanya kazi hiyo sarah anasema sala na halafu kwanini ukamuulize mzee wa watu mambo ya Nasib yanamuhusu nini yeye
Baba upo sahihi hayo Maisha tunayaishi Sana tu
Huyu sara ndio alomtoa diamond umasikini mpaka kanyanyuka zamani toka mdogo waliimba wote
Mamake Mondi anadhambi kubwa sana kumdhurumu mtoto huyu mzee, huyu ndo babake halisi Lukuga
@petermanala6138
2 ай бұрын
Wewe baba wa mtoto anamjua mama msilaumu huwenda Mzee nyange alikuwa wa kwanza kula vitu dunian wawilwawil wew hujawah kufananishwa na mtu afu unakuwa hata humfaham
Ww mzee mfunde nasibu asitegemee fedha nihukumu ya mungu maisha nakuchezea wtt wawatu
@silvesterrichardhelenya1319
2 ай бұрын
Situmeshakubaliana kuwa siyo mwanae sasa amfunde Vipi mtoto wa Mtu
@petermangama330
2 ай бұрын
Hapo ndo shida ya wanaume ilipo yaani kutanguliza inferiority kwa wanawake eti angekuwa kachoka asingeweza kujitambulisha kwake! Kauli ya kinyonge sana
Huyu ni baba ake na nasibu kabisa
7:23
Mzee bishooo
@awatifalghanim1106
2 ай бұрын
😂😂😂😂
@jaffjeff6912
2 ай бұрын
Kitambooo TU agaaaaa
Mzee abduri izo ras naviduku vyann tena nautu uzima huo jaman fanya ibada mzee uwe namwisho mwema achana namambo yadunia .hufanani namambo ayo
@user-cg3vf2bl6b
2 ай бұрын
😂Baba msani sana
sas hapo la ajabu lipi tz bwn kuna vtu vya maan hamfatilii vya kipuuzi ndo mnafatilia
@bungi5657
2 ай бұрын
youtube.com/@bungi5657?si=v4JmxXd1Ohx7iNEI
@bungi5657
2 ай бұрын
youtube.com/@bungi5657?si=v4JmxXd1Ohx7iNEI
Na we mtangazaji ovyoo sana..yaani baada ya kumwita SARA,unamwita SALA.
Baba ni baba atacama ajakuzaa
Mwandishi unaniangusha kutaja jina ni Sarah sio Salah 😊
@sophiekindem9071
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂
Mzee yuko kama Nassib
Pesa Soo upendo wale wapendanao
Elewa wangu mimi labda mama nasibu alienda kwa huyu ameshanasa kule ila huyu akamzidi dam kali akafanananae
Sala mwandishi kondoo sana,kiswahili kigumu mno
@clarencekhayira9876
2 ай бұрын
Lafudhi tu ustie lawama
@kiatu
2 ай бұрын
..waandishi ni kioo cha jamii husika, yaani ndio tulivyo wabongo? kiingereza hatuwezi na Kiswahili je? Huyo mzee hana uhakika na anachosema
Waandishi jitahidini kiswahili chenu kiendane jinsi ya kutamka,baadhi yetu mnachanganya herufi
Mzee wangu unaongea kama mwangu Chinu Bosingwa Kofia mbaya
Msimuhoji kuhusu Diamomd jamani' Diamond alishamkataa
Ila mnao mponda mzee abuduli kweli mna wivu kipi kibaya hapo make kama nikunyoa amenyoa vizuli 2 Mimi kwa upande wangu sijaona Kasi sijajua makasiliko yanatoka wapi
Mmh mwandishi jaman, by ze way😅😅😅😅
Ukiwa mwandishi wa habari hutakiwi hii katika r unaweka l
.mtayamaliza sara ndo aloteka mtima wa jamaa
Kwani huyu Sara alikuwa wapi siku zote kwanini atambulishwe Leo?
Made kaa kimya
Domo la juu lafanana na la mondi kabsaa 😂
Huyo mondi hana cha moyo kutekwa wala nini natafuta followers na keshawapata 😅😅😅😅😅 huyo Sarah ndo afananishwe na wema na Zari kweli eh Dunia simama we😅😅😅
@kadijaa7771
2 ай бұрын
Mi nashuka 😂😂😂
Unanyoa kihuni huni,mzee wa hovyo
Wanafanana sana❤na Diamond🎉
@nadyasalim7956
2 ай бұрын
ndio
@jaffjeff6912
2 ай бұрын
Mama D amekataa mtoto kampa Nyange😂
@petermanala6138
2 ай бұрын
@@jaffjeff6912 🤣🤣🤣🤣🤣Mzee itakuwa alikuwa anasuasua mpira kapewa mwenye nguvu😂😂😂😂😂
Mwandishi nenda kwanza kajifunze tofauti ya R na L, huyo dada anaitwa SARA na siyo SALA.
@pillyseleman8090
2 ай бұрын
Marana kuwaambia ukweli Watangazaji 9:06 kua asilimia 99% Sio Watangazaji wazur ,Sio uongo hata sielewi kua ni maringo ila wanaharibia lugha na hali kiswahili Tanzania ni namba moja wajirekebishe
sasa uyo mze ajioni kama kisha zeheka na penk za kijinga minyororo shingoni kama kica mze aca ujinga erekeyey kwa mwenyezi mungu toka mu ujinga
Huyu nae hajijui wala hajitambui. Mtu mzima ovyo
@silvesterrichardhelenya1319
2 ай бұрын
Ulitaka afanyeje situmeshakubaliana diamond siyo mwanae au hujui unataka aongee nn wakati siyo mwanae
Mrangazaji kutangaza bado. La na Ra.
Uyu mzeee nae amna kitu kichwani
SASA MZEE WEEE UMESHAZEEKA RASTA ZA NINI NA HICHO KIDUKUU NYOA KAWAIDA TUU UTAESHIMIKAA
@IdarousPossy
2 ай бұрын
Usimpangie mtu maisha yake ya kuishi huna mamlaka hio fata maisha yako na yey afany yake
@silvesterrichardhelenya1319
2 ай бұрын
Kwani wewe unamalaka ya kumpangia Mtu jinsi ya kuishi wanadamu mbona hamuishiwi maneno
@bahrynbahry1138
2 ай бұрын
😂😂
@petermanala6138
2 ай бұрын
Mmmmmmhhhh🧎🧎🧎🧎🧎
@rehemamgata224
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂cjapenda na mim
Wanafanana sana na Diamond.
@jaffjeff6912
2 ай бұрын
Lakini mama amekataa mtoto kampa Nyange😂
Uongo
Inavyoonyesha uyu Mzee alikata mti na matunda yake..Yani uyu Mzee aliwatelekeza
@whitetigerprincy5882
2 ай бұрын
Kwa hiyo unaijua chanzo
Jmni kafnn nae
Mzee wa hv ni kati ya wazee wa hovyo hapa duniani
@paschalsafari9747
2 ай бұрын
Kwanini
@lodrickmwambene133
2 ай бұрын
Wewe Ndio wa maana bro kila mtu anaishi hatakavyo
Kwanini mondi amkataemzazi ao gopiatalanakubwayatokakwamzazi
Ni Sara sio sala mtangazaji
Mzee mwenyewe nae nywele kama jizi shetani mkubwa wewe
Waandishi bwana Awana Dogo hadi kero kabis
Sala ndiyo nini? Why waandishi wa Tz mnashindwaga kutofautisha L na R??? Mnaondoa ladha ya kusikilizwa
Shida yauyu mzee nae anajiona msani acha ushamba mzee Rasta micheni ataupendez
Hujui kufanyia watu interview mara utupia nano la kiingereza
@JosephuSwai
2 ай бұрын
Wewe mwenyewe umekosea sio nano SEMA neno mpuzi
Hapa Sasa ndomtaamini kama huyu baba akuwaikuwa na ukalibu na hile familia
@petermanala6138
2 ай бұрын
😂😂😂af mtu analaum ananyimwa ubaba unataka ubaba wa mafanikio kwendraaaaa Kuna haja gan tukutane Kwa Mungu atuhukumu
We mjinga Salah njo nini sema Sarah pumba wewe
@JosephuSwai
2 ай бұрын
Wewe mwenye umekosea sio njoo SEMA sala ndio nini
Uyo sarah hana mapenzi anafata pesa angekuwa diamond amefuriya angemkumbuka
@fbr5113
2 ай бұрын
ANAYEJIPENDEKEZA NI DIAMOND KWA KIKI ZAKE KAONA ZIMEMUISHIA IMEBIDI AMFUKUNYUE HADI SARA
Mzee rudi nyuma..Upendo gani? Mmeigiza ya watuu HARAMU upo fini GANI? Kumkumbuka hali hio? OgOpeni saaana.KABURI HALINA STAR...RUFI KWA MUNGU WAKOOO MZEEEE
Sala, by ze way - duh
Sii Sala ni Sara hivi nyinyi Wabongo mbona munapenda kubadilisha Lugha za Watu..kwenye R munatamka L na kwenye L munatamka R hivi ni kwa nini?
@whitetigerprincy5882
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂
Daaah wazee kama hawwa tukikosa tunaanza kuwaza wa kutusuluhsha sas mzee kiduku michen kibaoo
Sio Sala ni Sara duh
@awatifalghanim1106
2 ай бұрын
Sala eti😂😂😂😂 Mtangazaji lazima ujifundishe kutamka majina vizuri… Sara au Sarah . Sala Mhhhh
Sala ni Nini wewe mwandishi kanjanja mbwa wewe
Mzee mzima ovyo,unanyoa kidukuu huna hata haya,ulikuwa wapi kufanya ivo ujanani,mjukuu wako atukuona vipi
@petermanala6138
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂kama baba angu simwamkiii
@whitetigerprincy5882
2 ай бұрын
nazani ushamba wako ndio tatizo
Ujinga mtup uko hapa
Mzee anataka kua sharabaro
Dunian hakuna kama baba mama haerewekiiii nikamaa shetaniiii kunasikuuu atakuoa maisha kunaskuuu anataka roho yako😂😂😂😂😂..BABA ni BABA.atabakii kua na hekima
Wandishi mnafatilia ujinga wa wazinifu ujinga