Mzanzibari atikisa Uturuki

Muhammad Salim Al Hinai (22) aliiwakilisha Zanzibar hivi karibuni kwenye mashindano ya uimbaji ya IC-STAR nchini Uturuki.

Пікірлер: 62

  • @mbaroukkhelefkhamis401
    @mbaroukkhelefkhamis4012 жыл бұрын

    Hongera sana ndugu ALLAH atakuongoza na atakufanikisha,,, Itangaze vyema Zanzibar na Tz kwa ujumla kiukweli nimefurah mpaka nakaribia kutokwa na machozi kwa furaha ya kumuona Mzanzibar mwenzangu katika majukwaa ya kimataifa tena yaliyo ya kheri. Mahali popote kujiamini kama unaweza ukiamini hilo ipo cku itafanya makubwa na kufika mbali sana.

  • @iddibama6819
    @iddibama68192 жыл бұрын

    BIG UP SPREAD THE WORD

  • @allyzanzibar8983
    @allyzanzibar89832 жыл бұрын

    Mashallah mashallah kaka unaweza na kama utapiga kwa kiarabu utatoka kaka kimaisha inshallah

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim11062 жыл бұрын

    Jamani tunataka utuimbie nyimbo moja nzuri ya OLD IS GOLD ya Marehem Seif Salum...na wengine Mungu awaraham na wote.. Amin

  • @maysoonothman5223
    @maysoonothman52232 жыл бұрын

    Mashallah Mashallah Kaka kazikonga nyoyo, aisee kaka habahatishi, anajua kabisaaaa, Zanzibaaaaaaaaaaaa Kwanzaa Tunajifakhiri kuwa wazanzibari, Allah katukurimu wingi wa viipaji na fani mbali mbali... hapan chezea Zanzibar we we.... Ilove you Zanzibar ❤️💜 Bila kusahau broo kazi nzuri, umezikonga nyoyo

  • @mbaroukkhelefkhamis401

    @mbaroukkhelefkhamis401

    2 жыл бұрын

    Hakika kabisa ilikuwa najiuliza huyu mzenji au Muhammad twaariq,, katukosha na kutuwakilisha vyema sana wadamu wetu maa shaa ALLAH...

  • @gyeong5972
    @gyeong59722 жыл бұрын

    Go go go bro

  • @haroubrashid3167
    @haroubrashid31672 жыл бұрын

    Good broo pamoja inshaallah Allah wepesi ushinde

  • @aishasuleman7186
    @aishasuleman71862 жыл бұрын

    Tuko pamoja.& Ahsante sana utashinda🙏🏽 lakini ushashinda tayari. #ZanzibarKwanza ❤️💙💚

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo6232 жыл бұрын

    🤔Mungu akubariki umetupandisha hadhi kiusanii kwa kweli. Hongera

  • @zarihasaleh3401
    @zarihasaleh34012 жыл бұрын

    Mashallah keep it up

  • @fatmaalsharge3257
    @fatmaalsharge32572 жыл бұрын

    Mashallah mashallah Mungu akuzidishie ishallah

  • @issarashidiferuziferuzi9201
    @issarashidiferuziferuzi92012 жыл бұрын

    Saafi saana kazi ya swahaba Hassan bn thabiti mungu akuhifadhi

  • @shifaaal-baity4503

    @shifaaal-baity4503

    2 жыл бұрын

    Hassaan bin thabit alikua mshairi radhia Allah anhu

  • @nailamohd7693
    @nailamohd76932 жыл бұрын

    Hongera sana Allah azidi kukuzidishia ari na uwezo wa kufika mbali tunafurahi kuona kijana mwenzetu wa zanzibar kua miongoni wanaoshiriki.

  • @barghashally7791
    @barghashally7791 Жыл бұрын

    Kijana yupo vizuri sana maashallh na sauti ya asili kabisa

  • @dullaabri9432
    @dullaabri94322 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @kassimomar7589
    @kassimomar75892 жыл бұрын

    Love you kwa tukuwakilisha Zanzibar

  • @aliali-wc3sg

    @aliali-wc3sg

    2 жыл бұрын

    Mashallah

  • @saidalsalmi9313
    @saidalsalmi93132 жыл бұрын

    Maashallah this voice heaven

  • @idrissajuma7308
    @idrissajuma73082 жыл бұрын

    I❤️zanzibr

  • @kibwetere8147
    @kibwetere81472 жыл бұрын

    Love zanzibar forever

  • @omarkhelef7631
    @omarkhelef76312 жыл бұрын

    Kazi iendelee hongera sana dogo

  • @samiraqudaymy8654
    @samiraqudaymy86542 жыл бұрын

    Mashaallah mashaallah mungu akuhifadhi baba

  • @awatifalghanim1106

    @awatifalghanim1106

    2 жыл бұрын

    Amin...Mungu amhifadhi amlinde kila hatuwa anayo kweli....🥰

  • @mahfoudhcalender2747
    @mahfoudhcalender27472 жыл бұрын

    Najifakharisha kuwa Muislam kisha kuwa Mzanzibar

  • @tauhidasheha1118
    @tauhidasheha11182 жыл бұрын

    Maashallah maashallah maashallah maashallah

  • @rdanmohd8003
    @rdanmohd80032 жыл бұрын

    Maashaallahhh

  • @allyzanzibar8983
    @allyzanzibar89832 жыл бұрын

    Soma kwa kiarabu brother kwa East Africa utatisha sana kaka kuliko kiswahili amani hilo brother utaingia top 5 hata 1 pia unaweza kuchukua

  • @adamabubakar7569
    @adamabubakar75692 жыл бұрын

    Inshallah Allah akujaalie mafanikio mema tuko papoja broo

  • @mohamedhaji2200
    @mohamedhaji22002 жыл бұрын

    Hongera kwa kufika Turkey lakini usisahau kua hizo ni nyimbo na vinanda si katika dini. Safari yako hiyo si ya kidini ulikumbuke hilo. Ukirudi uache mangoma na vinanda, uitumie sauti yako kwa kusoma Quran.

  • @rastafare878

    @rastafare878

    2 жыл бұрын

    Yes ni kweli kabisa

  • @riasudi110
    @riasudi1102 жыл бұрын

    Safi sana

  • @yahyashaib5116
    @yahyashaib51162 жыл бұрын

    Maasha llah

  • @faaabuboy1900
    @faaabuboy19002 жыл бұрын

    Mashalllah

  • @safarsafari68
    @safarsafari682 жыл бұрын

    Mashaallah Wazanzibar

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim97732 жыл бұрын

    MA SHAA ALLAH MA SHAA ALLAH MA SHAA ALLAH

  • @RehemaSalimu-wv2ov
    @RehemaSalimu-wv2ov Жыл бұрын

    😍😍

  • @calimahad9274
    @calimahad92742 жыл бұрын

    Kijana huyu anajielewa vizuri sana, sana !

  • @ebrahimosman5477
    @ebrahimosman54772 жыл бұрын

    💯🙏🙏🙏

  • @ahmadgharib9886
    @ahmadgharib98862 жыл бұрын

    SASA HIZI NASHED NA NYIMBO ZA KIARABU ZINATAFAUTI GANI KWANI ANAIMBA PIA NA ALA ZA MUSIC ZIMO.UNA SAUTI NZURI MASHAALLAH INGELIKUWA UNAITUMIA KWA KUSOME QURA,N NI BORA ZAID KULIKO KUIMMBA.

  • @AP-uk3mq

    @AP-uk3mq

    2 жыл бұрын

    Unajuaje kama hasomi Quran? Usivunje moyo kijana sisemi kama aache kusoma Quran lakini na kuimba pia aendelee "Dini na Dunia" Huwezi jua Allah kamuandikia nini. Good job, Keep it up na endelea kupeperusha bendera ya znz......# zanzibar kwanza😍

  • @issarashidiferuziferuzi9201

    @issarashidiferuziferuzi9201

    2 жыл бұрын

    Musome Hassan bn thabiti alokua alkiimba mashairi mbele ya mtume je quruan aliiacha wap

  • @awatifalghanim1106

    @awatifalghanim1106

    2 жыл бұрын

    Brother kwanza umewahi kumsikiya mtoto wangu akiisoma Qur'an??? kama hukuwahi kumsikiya basi ingia kwenye KZread kwenye Mauli ya Malindi Zanzibar ya mwaka huu...

  • @ahmadsayyeed7910
    @ahmadsayyeed79102 жыл бұрын

    Unaimba kawaida sana nyota tu ila mungu akusimamie

  • @riasudi110
    @riasudi1102 жыл бұрын

    👍👍👍

  • @adamaliali2206
    @adamaliali22062 жыл бұрын

    Assalamalaykum ndugu zangu tuongeze bidii tunaweza zanzibar kwanza

  • @awatifalghanim1106

    @awatifalghanim1106

    2 жыл бұрын

    Amin.. Kwa wote...

  • @adamaliali2206
    @adamaliali22062 жыл бұрын

    Tusikubali kukatishwa tamaa na watu wasio jielewa tunaweza zanzibar kwanza

  • @drabdi6806
    @drabdi68062 жыл бұрын

    Sheikh Hafidhi na yy anaweza fursa hiyo sheikh hafidh

  • @hassanmussa3664
    @hassanmussa36642 жыл бұрын

    Nice but kinanda are not fine kaka

  • @awatifalghanim1106

    @awatifalghanim1106

    2 жыл бұрын

    Bro... unaonesha na wewe mkubwa wa kinanda basi si UJITOKEZE tuku support pia...Au....

  • @farijalakhalid5558
    @farijalakhalid55582 жыл бұрын

    Dogo jiangalie usije anza kuimba kidole juu

  • @abuanmarabubakar
    @abuanmarabubakar2 жыл бұрын

    sasa wapi alipoitikisa uturuki ? nyie watangazi wapumbavu kweli .

  • @rashid3562
    @rashid356211 ай бұрын

    Wambie wakupe uraia uturuki utaimba mpk na iyo lugha haitokuwa kikwazo

  • @ashaomar9558
    @ashaomar95582 жыл бұрын

    Mbona Kama amevaa herini au vp?

  • @mufa4994

    @mufa4994

    2 жыл бұрын

    Imam wa msikitini angevaa heri ni wangelishamfukuza maamuma wake imam huyo usimdharau

  • @awatifalghanim1106

    @awatifalghanim1106

    2 жыл бұрын

    Bora ukavae Darbini Bi. Asha...Tunataka support hatutaki....Mbona kavaa au vipi....

  • @asiakhamisi469
    @asiakhamisi4692 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @sabrinaali9750
    @sabrinaali97502 жыл бұрын

    Mashaallah

Келесі