MWIZI || Salasala SDA choir

Ойын-сауық

Audio and Video by SRP Studios
Contacts:+255 756 646 464

Пікірлер: 125

  • @gloriousn6425
    @gloriousn6425Ай бұрын

    “Hata kama upo Katika kingo za mwisho”UJUMBE MZITO SANA HUU😢😢😢 Mimi na wewe hatuna tofauti na Yule mwizi pale msalabani , aliiona fursa na akaitumia vyema , haijalishi ni dakika ngapi umepata, TUSEME NA YESU KWA DHATI, na kwamwe hatotuacha Kama tulivyo. Asante sana SALASALA CHOIR 🙏🏿🙏🏿🇹🇿

  • @salasalasdachurchchoir4346

    @salasalasdachurchchoir4346

    Ай бұрын

    Barikiwa

  • @TaifaNchimbi
    @TaifaNchimbi18 күн бұрын

    Mnanibariki sana. Hiyo dada mwenye mwanya awe anasimama mbele siku zote. Mungu awabariki

  • @JacklineAlbano
    @JacklineAlbano2 ай бұрын

    Am an Anglican but I love you songs.always throughly blessed by your songs guys.Mungu awabariki

  • @salasalasdachurchchoir4346

    @salasalasdachurchchoir4346

    2 ай бұрын

    Barikiwa

  • @salasalasdachurchchoir4346

    @salasalasdachurchchoir4346

    2 ай бұрын

    You are welcome

  • @user-so5ro2vc2m

    @user-so5ro2vc2m

    Ай бұрын

    Wow amen be blessed guys wonderful song ❤❤

  • @AllysonDevid
    @AllysonDevid2 ай бұрын

    Waaaaaoooooo wimbo n mzri sana nawapenda sana salasala kwaya yangu pendwa

  • @salasalasdachurchchoir4346

    @salasalasdachurchchoir4346

    2 ай бұрын

    Barikiwa

  • @kyorubacentralsdachoir.1137
    @kyorubacentralsdachoir.11372 ай бұрын

    Kuna ujumbe mtamu sana kwenye huu wimbo, Barikiweni sana kwa kutupa nyimbo tamu na zenye ujumbe mzuri.

  • @theredemptionministerskenya
    @theredemptionministerskenya2 ай бұрын

    Amina.Ukipata nafasi ongea na Yesu hakika hautabaki kama ulivyokua

  • @toyotaqrcode
    @toyotaqrcode2 ай бұрын

    Naitwa Paul Malyosi , Nyie watu Mungu aendelee kuwatunza tu maana mnabariki walio wengi na tukumbuke tukipata nafasi tuongee na Mungu maana ni nyakati za mwisho sasa

  • @salasalasdachurchchoir4346

    @salasalasdachurchchoir4346

    2 ай бұрын

    Barikiwa

  • @nellymnzava5277
    @nellymnzava52772 ай бұрын

    Barikiweni kwa hiyo confidence, ujumbe ktk wimbo, mpangilio wa sauti na mavazi vyote vinamtukuza Mungu wetu!

  • @charleswangwe5703

    @charleswangwe5703

    2 ай бұрын

    AMEN

  • @winstonochenge2349
    @winstonochenge23492 ай бұрын

    This is a wonderful sermon. Salasala Mungu awabariki sana.

  • @salasalasdachurchchoir4346

    @salasalasdachurchchoir4346

    2 ай бұрын

    Amen. Be blessed

  • @Jedidja_IRANZI
    @Jedidja_IRANZI2 ай бұрын

    Mbali kiwe sana ndugu zetu, love from Burundi

  • @simanjiroanold6382
    @simanjiroanold63822 ай бұрын

    Mimi ni mkatoliki lakni nawakubali sana Salasala mnajua sana Mungu azidi kuwainua mumtukuze ktk viwango vya juu zaidi

  • @salasalasdachurchchoir4346

    @salasalasdachurchchoir4346

    2 ай бұрын

    Barikiwa

  • @eximamtv926
    @eximamtv9262 ай бұрын

    Bwana awabariki sana watoto wa Mungu! Hakika nyinyi ni viombo vinanyosikika

  • @salasalasdachurchchoir4346

    @salasalasdachurchchoir4346

    2 ай бұрын

    Amina barikiwa

  • @onikedavidelifuraha1902
    @onikedavidelifuraha1902Ай бұрын

    Nawapenda mpaka nawapenda tenahhhh!!!!! Bwana awabariki na kuwatunza salasalaaa

  • @ombenigodfrey1182
    @ombenigodfrey11825 күн бұрын

    Jamani msiache kuimba hizo nyimbo zinatubariki Mungu awabariki kwa kutumia karama zenu vizuri

  • @joshuaaggrey9142
    @joshuaaggrey9142Ай бұрын

    Any time I listen to SALASALA Choir, I get inspired as SDA member in Ghana

  • @salasalasdachurchchoir4346

    @salasalasdachurchchoir4346

    Ай бұрын

    Be blessed❤️

  • @user-jl4hn6bm6p
    @user-jl4hn6bm6p11 күн бұрын

    Nitakuja niwaone live...mimi nikiwa na stress nikisikiliza tu nyimbo zenu nabarikiwa😊

  • @user-gi6wr8mr2t
    @user-gi6wr8mr2t2 ай бұрын

    Kazi nzuri kweli ndugu sosteni na kikundi kizima❤

  • @salasalasdachurchchoir4346

    @salasalasdachurchchoir4346

    2 ай бұрын

    Barikiwa na Bwana

  • @NivekTz
    @NivekTz2 ай бұрын

    Amini nakwambia leo utakua nami peponi🔥🔥 Best song is out now🔥🔥🎧

  • @sabatojacob9620
    @sabatojacob96202 ай бұрын

    Mungu aendelee kuwabariki team❤

  • @gabrielsamweljr
    @gabrielsamweljr2 ай бұрын

    🔥🔥🔥🔥 mkumbuke kujiandaa na kambia Nyamongo central Sda Tunawasubilia ohooooo😂😂😂

  • @TheNashangaa
    @TheNashangaa2 ай бұрын

    Naam, hii ni fursa tuinue sauti ya toba #Praise #Bwanaunikumbuke

  • @fredrickotieno3934
    @fredrickotieno39342 ай бұрын

    God bless this choir I love the message in this song

  • @KASAHUNGASDACHOIR
    @KASAHUNGASDACHOIR28 күн бұрын

    MWALIMU HAKIKA ROHO MTAKATIFU ANAKUTUMIA SAWA SAWA ,,HATUNA CHA KUSEMA ZAIDI ...UNAJUA ...WIMBO MZURI SANA KASAHUNGA TUMEONA,,WAIMBAJI NAO NI HODARI ,,BWANA AWABARIKI SANA .

  • @violetadhiambo2995
    @violetadhiambo29952 ай бұрын

    Amen!🙏 A new favourite❤. God bless your ministry.

  • @VerociahMaroko
    @VerociahMaroko2 ай бұрын

    Watching from USA great work ❤❤

  • @salasalasdachurchchoir4346

    @salasalasdachurchchoir4346

    2 ай бұрын

    Amen be blessed

  • @GraceMkula
    @GraceMkula2 ай бұрын

    May God bless you for the wonderful message ❤️❤️❤️

  • @barakalevis31
    @barakalevis312 ай бұрын

    Amen, MUNGU awatunze

  • @salasalasdachurchchoir4346

    @salasalasdachurchchoir4346

    2 ай бұрын

    Amen nawe pia

  • @barnabasagar4071
    @barnabasagar40712 ай бұрын

    Amen! Great song,with words of hope

  • @VictorAbuoro
    @VictorAbuoro2 ай бұрын

    God bless you salasala choir for the good work

  • @salasalasdachurchchoir4346

    @salasalasdachurchchoir4346

    2 ай бұрын

    Amen

  • @DrMbonea
    @DrMbonea2 ай бұрын

    Kwaya yangu ya siku zote Barikiweni sana kwa kazi nzuri sana

  • @salasalasdachurchchoir4346

    @salasalasdachurchchoir4346

    2 ай бұрын

    Wewe ni mdau,,, ubarikiwe

  • @DrMbonea

    @DrMbonea

    2 ай бұрын

    @@salasalasdachurchchoir4346 amen

  • @aliceakinyi2304
    @aliceakinyi23042 ай бұрын

    Ninavyo penda huu wimbo Mungu tu ndio ajuaye..🥰🥰. asanteni sana Wana salasala Mwenyezi Mungu awabariki Kwa kazi safi🙏🙏

  • @salasalasdachurchchoir4346

    @salasalasdachurchchoir4346

    2 ай бұрын

    Amen. Barikiwa pia

  • @tivombodia2189
    @tivombodia21892 ай бұрын

    Amen, wimbo wa kuinua mioyo. Mungu Azidi kuwabariki

  • @salasalasdachurchchoir4346

    @salasalasdachurchchoir4346

    2 ай бұрын

    Amen barikiwa sana

  • @eunicenyandiko1389
    @eunicenyandiko13892 ай бұрын

    Mbarikiwe Aminaaaa❤🎉🎉🎉🎉

  • @NuruEvance-s6z
    @NuruEvance-s6z7 күн бұрын

    Amina msonge mbele nyuma mwiko,Mungu awe wakwanza kwenu.

  • @ruthstacey7576
    @ruthstacey75762 ай бұрын

    Amen.. Salasala to the world

  • @antonymachogu3051
    @antonymachogu30512 ай бұрын

    Huu nao umeweza ujumbe umefika barikiwa saana,

  • @salasalasdachurchchoir4346

    @salasalasdachurchchoir4346

    2 ай бұрын

    Amen

  • @dorismoraa9456
    @dorismoraa94562 ай бұрын

    Amen ame happy happy Sabbath lovely be blessed

  • @alvineolonde6154
    @alvineolonde61542 ай бұрын

    Salasala 🔥🔥🔥

  • @evaristgamba4204
    @evaristgamba42042 ай бұрын

    Amina amina Bwana apewe sifa ujumbe mzuri sana

  • @mcdieres189
    @mcdieres1892 ай бұрын

    Safi sana my good people

  • @salasalasdachurchchoir4346

    @salasalasdachurchchoir4346

    2 ай бұрын

    Barikiwa

  • @jeovanmatendo6167
    @jeovanmatendo61672 ай бұрын

    Favourite choir in Town

  • @ElizabethMhezi
    @ElizabethMhezi12 күн бұрын

    Nabarikiwa sana ninaposikiliza nyimbo zenu.🙏🙏

  • @marymhagama1597
    @marymhagama15972 ай бұрын

    Kazi nzuri 🔥🔥

  • @salasalasdachurchchoir4346
    @salasalasdachurchchoir43462 ай бұрын

    Great work of ours

  • @Godwin_Gideon
    @Godwin_Gideon2 ай бұрын

    The programming for me❤

  • @sundayjoseph7612
    @sundayjoseph76122 ай бұрын

    Mwizi mwizi mwizi

  • @RobzoWilshow-lx4hk
    @RobzoWilshow-lx4hk2 ай бұрын

    Enjoying just right now

  • @enockomwoyo3526
    @enockomwoyo35262 ай бұрын

    Waiting man

  • @nyakundijoseph8421
    @nyakundijoseph84212 ай бұрын

    Amen 🙏 glory be to God,indeed have been nourished through your music, it blesses me alot. 🙏

  • @enockomwoyo3526
    @enockomwoyo35262 ай бұрын

    Natoka kazi mapema ju ya huu wimbo

  • @LovelyFloatingIceberg-xj1fx
    @LovelyFloatingIceberg-xj1fx2 ай бұрын

    Kwekweli ujumbe umefika mahali pake

  • @josphineogaro6568
    @josphineogaro65682 ай бұрын

    praise the the Lord

  • @joashachochi7458
    @joashachochi74582 ай бұрын

    Pure bliss 😊

  • @luckysichone6705
    @luckysichone670512 күн бұрын

    Hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah be blessed sala sala

  • @Mc_bk_og
    @Mc_bk_og2 ай бұрын

    Amen Amen

  • @donalddonald45
    @donalddonald452 ай бұрын

    Amina Mungu awainue

  • @sumayiandrea775
    @sumayiandrea7752 ай бұрын

    Salasala waooiii

  • @phillipngano101
    @phillipngano1012 ай бұрын

    Amen

  • @user-op6dz9us5y
    @user-op6dz9us5y2 ай бұрын

    Barikiwen sana,hamjawah niangusha,Nawapenda saana,nataman niimbe nanyiee

  • @salasalasdachurchchoir4346

    @salasalasdachurchchoir4346

    2 ай бұрын

    Karibu sana tueneze injili kwa njia ya nyimbo

  • @rebeccaitssonicenyabonyi4140
    @rebeccaitssonicenyabonyi4140Ай бұрын

    Amen, God gives you guys strength to praise God ❤❤❤

  • @user-fz8pn1hk7b
    @user-fz8pn1hk7b2 ай бұрын

    Amin

  • @user-nw1cm5yg9d
    @user-nw1cm5yg9d2 ай бұрын

    I love you salasala Clinton from Kenya Kenya-re sda kisumu

  • @salasalasdachurchchoir4346

    @salasalasdachurchchoir4346

    2 ай бұрын

    We love you too. Be blessed

  • @user-gw9cs8km3o
    @user-gw9cs8km3oАй бұрын

    The song is ablessing to me and my family 🎉🎉🎉

  • @adventistcreativetz
    @adventistcreativetz2 ай бұрын

    TUNAISUBILIA😊

  • @FaustinaPhilimoni-wc4mc
    @FaustinaPhilimoni-wc4mcАй бұрын

    Kwa kweli napenda sana nyimbo zenu zina nibarki hasa nikimuona dada rinah mbarikiwe

  • @WashingtonOmondi-pr1lp
    @WashingtonOmondi-pr1lp2 ай бұрын

    Ameeeen mbarikiwe salasala 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @willmoherai
    @willmoherai2 ай бұрын

    Amina

  • @omodesigner
    @omodesigner2 ай бұрын

    ❤❤Amen.

  • @FloraKalinga-ft6dc
    @FloraKalinga-ft6dc2 ай бұрын

    Aminaaaaa

  • @idaliaakinyi9921
    @idaliaakinyi99212 ай бұрын

    You are always my favourite ❤. God bless you

  • @geofreyjoseph3190
    @geofreyjoseph31902 ай бұрын

    Wimbo wa maana sana dah!

  • @felixongeri5114
    @felixongeri51142 ай бұрын

    Amen wanasalasala Kwa ujumbe huu wa kweli

  • @salasalasdachurchchoir4346

    @salasalasdachurchchoir4346

    2 ай бұрын

    Amen ubarikiwe

  • @wisleymarube5510
    @wisleymarube55102 ай бұрын

    You always bless me . Mungu awabariki saana

  • @salasalasdachurchchoir4346

    @salasalasdachurchchoir4346

    2 ай бұрын

    Amina. ubarikiwe pia

  • @user-ng5hp5yt2p
    @user-ng5hp5yt2pАй бұрын

    ❤kweli nabarikiwa na nyimbozenu🎉🎉Mungu atukuzwe

  • @vanitete2399
    @vanitete2399Ай бұрын

    Mbarikiwe sana wana mfalme

  • @zithakusaya
    @zithakusaya2 ай бұрын

    👏👏

  • @verochazy3967
    @verochazy3967Ай бұрын

    Mungu awabariki sana

  • @OluochMillicent
    @OluochMillicentАй бұрын

    amen glory be to our almighty

  • @KASAHUNGASDACHOIR
    @KASAHUNGASDACHOIR28 күн бұрын

    May the Lord be with you always

  • @stanleymhozi7590
    @stanleymhozi7590Ай бұрын

    Amina nimebarikiwa

  • @kibecate2495
    @kibecate2495Ай бұрын

    ❤❤🎉 sooo blessing😊

  • @stanleymhozi7590
    @stanleymhozi7590Ай бұрын

    Amina nikumbuke krsto

  • @OfficialBustaniyaEdeniSdatz
    @OfficialBustaniyaEdeniSdatz2 ай бұрын

    Amen, mbarikiwe sana.

  • @salasalasdachurchchoir4346

    @salasalasdachurchchoir4346

    2 ай бұрын

    Amina. Barikiwa

  • @CharlesWanyeche-er6rw
    @CharlesWanyeche-er6rw2 ай бұрын

    Sauti zimepangiliwa vyema barikiweni.

  • @salasalasdachurchchoir4346

    @salasalasdachurchchoir4346

    2 ай бұрын

    Amina. barikiwa pia

  • @stanleymhozi7590
    @stanleymhozi75902 ай бұрын

    Amin asante sana

  • @nellymnzava5277
    @nellymnzava5277Ай бұрын

    Sauti ya tatu🎉🎉🎉

  • @faustinechegeni1454
    @faustinechegeni14542 ай бұрын

    Ameen

  • @Nyabodi
    @Nyabodi16 күн бұрын

    Aminaa

  • @berineolang1937
    @berineolang1937Ай бұрын

    Good song

  • @peterjabuya8249
    @peterjabuya82492 ай бұрын

    🙏🙏🙏

  • @ruthmwango3262
    @ruthmwango32622 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤

  • @cyrusmwachuma1073
    @cyrusmwachuma1073Ай бұрын

    Peponi ni wapi jameni...

  • @williammustdo
    @williammustdoАй бұрын

    God doesn't call the Qualified for his mission spread but he makes them Qualified for his mission work,for sure God is great and this is such a powerful song,Ama kwa kweli ukipata nafasi ni muhimu sana kuchukua muda wako na kuwasiliana naye .God bless you all for his righteousness is great.🙏🙏🙏🫶🫶

  • @kwaraauma5851
    @kwaraauma58513 күн бұрын

    No case is hopeless

  • @judynyanchama984
    @judynyanchama984Ай бұрын

    Amina

  • @esthermose9784
    @esthermose9784Ай бұрын

    Amen

  • @frankmapera67
    @frankmapera67Ай бұрын

    Kuna kijana kaonekana mara moja tu akapotea😂

  • @KimilaSayi
    @KimilaSayi2 ай бұрын

    Amen

Келесі