Mwijaku afunguka mazito kuhusu Diamond 'Ulinifaa wakati wa shida na wakati wa mahitaji Muhimu'

Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe
play.google.com/store/apps/de...

Пікірлер: 115

  • @WycliffeAbdulLigare
    @WycliffeAbdulLigare6 ай бұрын

    Hapo umeongea kama mtu mzima mwenye akili...mola azidi kukubariki mwijaku chawa mkubwa

  • @amazitv2899
    @amazitv28996 ай бұрын

    Mwijaku kasema kutoka moyoni huwezi kusema maneno hayo kwa kukejeri alisema kweli maana kuna wengine Simba anawasaidia lakini hawa mshukuru hata siku moja mtu mpe mauwa yake ingari mzima kaongea mambo mazito na wengine mjifunza kushukuru watu ❤

  • @user-jt2xo5dw7e
    @user-jt2xo5dw7e6 ай бұрын

    Amekaa na harmo karibia miaka 5 lkn leo hii Anamshukuru mondi wkt mondi ni adui yake no 1 shout to simba big up brooo simba!!

  • @queenlinda255
    @queenlinda2556 ай бұрын

    Kafanya vizuri sana sana kukumbuka fadhila na kushukuru na kuweka wazi ni jambo zuri sana

  • @murekateteaza9524
    @murekateteaza95246 ай бұрын

    Mwijaku mungu akubariki na familiya yako.respect too you kwakushukuru sababu na mungu anapenda hivyo.

  • @khurlainashly5686
    @khurlainashly56866 ай бұрын

    Masha allah ❤ binadamu mzuri niwakushkuru

  • @ebengapierre8826
    @ebengapierre88266 ай бұрын

    Ndio uyo ndiye masani mwenye mafanyikio apo kwenu tanzania n'a ndomana kila mtu lazima atupe dongo kwa mondi alikiba zake zinaishi kwenye matope konde boi yy kazi yake kuchukua mademu wa ma DJ tu kuliko amupe Ibra nafasi yy tu daimond bwana nakupa ❤❤❤❤❤❤ 💪💪💪 wewe nimwamba nandoma wasani wengi apo kwenu awapendi gisi unavyo pewa sifa

  • @ebengapierre8826

    @ebengapierre8826

    6 ай бұрын

    🇨🇩🇨🇩🇨🇩 nipo kongo ❤❤❤

  • @user-ki7hd3lg2q

    @user-ki7hd3lg2q

    6 ай бұрын

    Acha na kiba ww . Kiba ndio aliyemtoa mond vurugu zote mondi hawezi msahau King kiba .Na kiba ana vitu vingi ila sio mtu wa show off

  • @user-jh9yv1zp1l

    @user-jh9yv1zp1l

    6 ай бұрын

    Kiba ana nn acha ushabiki mandazi

  • @user-ki7hd3lg2q

    @user-ki7hd3lg2q

    6 ай бұрын

    Ww ndio shabiki maandazi kiba yupo vizuri ww hujui kitu achana na wasanii wenye kufanya show off .Kiba ana vitu vingi

  • @soundmale

    @soundmale

    6 ай бұрын

    Umenena man..hata mond aliwahi kuimba kwamba.. Mm ni mti wenye matunda na siogopi kupigwa mawe😢 Binadamu wapo hivyo hata uwafanyie mazuri mangapi lkn wao kazi yao kuangalia makosa yako🧐

  • @ElizabethKiluvia
    @ElizabethKiluvia6 ай бұрын

    Hapo.umenena

  • @user-qq6mv6vh3e
    @user-qq6mv6vh3e6 ай бұрын

    Hapo mwijaku umeongea point

  • @geofreymalekana8000
    @geofreymalekana80006 ай бұрын

    Sasa hiki alichokifanya mwijaku kutoa shukrani kwa mtu aliyetoa mchango katika maendeleo yake ni jambo jema sana i real appreciate it

  • @gracewairimu800
    @gracewairimu8006 ай бұрын

    Kumbe mwijaku nae anakuanga na akili sometimes

  • @user-yq4sn6cq1l
    @user-yq4sn6cq1l6 ай бұрын

    MWENJAKU kuwanza leo nakuwa shabiki wako kindakindaki❤😊

  • @othmanmusilm
    @othmanmusilm6 ай бұрын

    Maisha haya yana siri kubwa sana yaani

  • @vincej9275
    @vincej92756 ай бұрын

    Ni kweli kutoka mwoyoni mwake. He is an entertainer but this time he really means it.

  • @espoirbesthope5727
    @espoirbesthope57276 ай бұрын

    Kama kweli ilo latoka moyoni mwake basi respect kwake DC mwijaku. Nimekufuraia leo mshenzi weeee😂. ❤🎉✊

  • @RichardCharo-zx3sy

    @RichardCharo-zx3sy

    6 ай бұрын

    😂

  • @khamissaid5525
    @khamissaid55256 ай бұрын

    Upoo sawa dc Munguu ndio anazidi kukupa baraka kwasababu ya shukurani

  • @bonifacewanyonyi3555
    @bonifacewanyonyi35556 ай бұрын

    😢kweli kapisa pro mwijaku

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no6 ай бұрын

    Huyo ndo DIAMOND mafaniko yake yanawafanya waishi mjini hata maadui wanaomtusi, sasa tunaposema tajiri tunamaanisha hiki hapa ila kusema ukweli hilo jumba 1Billion huo ni uongo kabisa😂

  • @AbdulGermany210

    @AbdulGermany210

    6 ай бұрын

    Ni kweli bilion na zaidi inafika,vifaa vimepanda bei sana na ukiangalia nyumba ilivyo ni haki kabisa

  • @MrTop-wj7no

    @MrTop-wj7no

    6 ай бұрын

    @@AbdulGermany210 😂😂😂 elewa neno Billion yaani 1000millions bro usifanye mchezo hilo jumba sio zaidi ya million 400 na uchafu

  • @soundmale

    @soundmale

    6 ай бұрын

    Mbongo akitumia milion 500 tu anaichukulia kama one bilion😎

  • @stanslausjohn8791
    @stanslausjohn87916 ай бұрын

    Daah! Kiukweli kabisa huwa namchukiaga sana Mwijaku kwa kauli zake mbovu kwa Mondi lkn kwa hili nmempenda. Diamond amekuwa ni nembo ya msaada na upendo kwa wengi. Unajua dunian huwez pendwa na wote hata uwe mwema kias gani na ndiyo hata Yesu aligeukwa kwa wale aliowatendea mema na kuteswa lkn kulikuwa na sababu nyuma. Ukiona mtu anamchukia Mondi, mchunguze vizuri maisha yake utagundua mtu huyo ana wivu na stress. Diamond ni Iconic figure ya mziki wa Tanzania na kijana mpambanaji. Mimi sijakuwa na mafanikio ktk ndoto zangu bado napambana lkn nikiwaza Maisha ya Mondi alipotoka na alipo sasa huwa naamin kuna siku na mimi Mungu atanitoa. Hongera sana Mwijaku kwa kuwa na moyo wa shukran lkn hongera sana Mondi kwa kuwa nembo ya msaada na mafanikio kwa wengi. Mungu azid kukubariki na kukulinda ili kupitia ww wafanikiwe wengi zaidi🙏🔥🙏 D

  • @zidaneibrahimbizimana814

    @zidaneibrahimbizimana814

    6 ай бұрын

    Yes

  • @PanchoValentino-wh7wt
    @PanchoValentino-wh7wt6 ай бұрын

    Hongera Sana sema Kuna muda unaboa Jaku boy

  • @davykundy3963
    @davykundy39636 ай бұрын

    Safi

  • @Duanny-jm8fr
    @Duanny-jm8fr6 ай бұрын

    SIMBAAAAAAHH🔥🔥🔥🔥🔥

  • @dayana5513story
    @dayana5513story6 ай бұрын

    Mtu atakikupa kz shukuru God bless you mwijaku

  • @silageorge1638
    @silageorge16386 ай бұрын

    yani ile matusi yote kwa diamond platinumz ni hela congratulations @mwijaku ànd Simba

  • @user-nh9hh3vq7d
    @user-nh9hh3vq7d6 ай бұрын

    Simbaaaaaaa mwenyewe baba lao Simba

  • @user-yq4sn6cq1l
    @user-yq4sn6cq1l6 ай бұрын

    Apo nakukubari saana mwenjaku kwakushukuru nirikuwa sikusapote ajili yakumutukana lakini ❤❤❤

  • @channyanjen9047
    @channyanjen90476 ай бұрын

    Afazali wewe munakumbuka fazila

  • @eddsonjeremiah6669
    @eddsonjeremiah66696 ай бұрын

    Shukurani nikitu muhimu sana Sasa mfundishe na yule mmakonde duniani mtu anaekutoa sehemu mmoja kwenda kwingine respect that maana snitch sio mwana na mwana sio snitch

  • @yasminoluoch169

    @yasminoluoch169

    6 ай бұрын

    Wewe nawe kambe hujielewi kwani hajawahi mshukuru ama wataka ambebe ndo ujue huwa yuwashkuru😂😂

  • @minicooper9642

    @minicooper9642

    6 ай бұрын

    Nyie ndio wale wapumbavu Harmonize kila akipata tuzo lazima amshukuru Diamond au hua mnajizima data? Harmonize hana chuki na Diamond nyie sasa kwa wivu wena mlizani atapotea baada ya kutoka WCB

  • @user-wp8ip4jn6j

    @user-wp8ip4jn6j

    6 ай бұрын

    Kwani huyo mmakonde hamshukuru?wewe mpumbavu ninj

  • @officialjohn5290

    @officialjohn5290

    6 ай бұрын

    Perfect

  • @karimjuma4019

    @karimjuma4019

    6 ай бұрын

    We mwehu mbna ujasema na mwambino amshukuru bob junia mana yy ndio aliemtoa mwambino

  • @user-pk2zr7om2p
    @user-pk2zr7om2p6 ай бұрын

    Safi sana

  • @hamadiayossy190
    @hamadiayossy1906 ай бұрын

    Umeongea fact,barikiwa sana,japo sikupendi kiviile, na sababu kubwa ni kumshambulia chibu dangote,

  • @JackChildishKE
    @JackChildishKE6 ай бұрын

    Simba La Masimba Dangote 🦁

  • @AbdallahPlatnumz
    @AbdallahPlatnumz6 ай бұрын

    First person ❤❤ to comment

  • @Gody360
    @Gody3606 ай бұрын

    Ok sio mbaya kazi kazi

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra6366 ай бұрын

    Nijambo jema. Ila hiyo nyumba bora ange jenga nyumba ya chini ya maana. Aikodishe ifanywe ofisi tu 🥱🫣

  • @minabuelysee8
    @minabuelysee86 ай бұрын

    MashaAllah

  • @jumabisale9974
    @jumabisale99746 ай бұрын

    Tegemea mwijaku kesho anaweza kuyakataa maneno yake

  • @manga9008
    @manga90086 ай бұрын

    Saut ya madini bro

  • @happynkya9770
    @happynkya97706 ай бұрын

    safi sana kama unakumbuka ulipotoka

  • @user-qk4lx4hg7g
    @user-qk4lx4hg7g6 ай бұрын

    Ni vizuri kabisa Kama hajamaanisha atakupa mwenyewe lkn Kikubwa kashashukuru

  • @mbigokabwere5251
    @mbigokabwere52516 ай бұрын

    Hermonise pole ikiwa nitakuwa nimekukosea tafakari ujumbe wa mwijaku wa shukrani baada ya mafanikio

  • @SophiaChmpaya

    @SophiaChmpaya

    6 ай бұрын

    Kwani yy mbna huwaga anamxhukuru mara nying tuu nyie macaws ndio mnayeunda chuki kwa wasanii wenu

  • @PrinceBonnyTz8
    @PrinceBonnyTz86 ай бұрын

    Mwijaku acha kuongeza SIFURI hiyo nyumba ni 135M wadanganye wasiojua ujenzi

  • @pillykupaza1098
    @pillykupaza10986 ай бұрын

    Wow nmependa

  • @emanuelandronicus2574
    @emanuelandronicus25746 ай бұрын

    Nakuelewa sana dc!! Wewe ni mtu mpambanaji uchagui silaha🎉🎉🎉

  • @aliyumuhammed6054
    @aliyumuhammed60546 ай бұрын

    Diamond hajawai kua na roho mbaya.❤

  • @feyiadam5210
    @feyiadam52106 ай бұрын

    Ndio kwa sababu ameongeya kwa hisiya ✌

  • @aaa64sa13
    @aaa64sa136 ай бұрын

    ✌️❤️❤️❤️🇹🇿👊

  • @aminmohammed4249
    @aminmohammed42496 ай бұрын

    Kuna time saa mbovu inasema ukweli

  • @nashommagwe5112
    @nashommagwe51126 ай бұрын

    Ee mola ubinadamu mzuri

  • @user-sh7er8ck1s
    @user-sh7er8ck1s6 ай бұрын

    sasa nyie mliamni kama kma mwinyijaku ana chuki na diamond kwa ss tulijuwa ni anampeleka mjini diamond kwa kumtaja kila siku

  • @user-dc1qh3nm5s
    @user-dc1qh3nm5s6 ай бұрын

    Safi sana ni vizuri kushukuru

  • @juniorchobobachaboba1581
    @juniorchobobachaboba15816 ай бұрын

    Anazidi kutuwekea fikra chanya kwenye uu ulimwengu wa kidigitali

  • @rashidrashidmaulid1129
    @rashidrashidmaulid11296 ай бұрын

    Mwijaku Sasa amekuwa

  • @muhseenmakpel5043
    @muhseenmakpel50436 ай бұрын

    Sasa wanasenaga simba la masimba akikupa mkono unapotea mbn mwijaku anangangania nakuuvutavuta 😂😂😂😂

  • @mansoorabdul332
    @mansoorabdul3326 ай бұрын

    Huyu jamaa MashaAllah mbali n ujinga wake wote hua unaofunya lkini hua ana akili mno Allah akuzidishie anajua ihsani n nn

  • @ramazanzibar8264
    @ramazanzibar82646 ай бұрын

    HILI JAMAA LINA AKILI INGAWA WA2 WANALIONA HALINA AKILI

  • @lwanzodieumerci3029
    @lwanzodieumerci30296 ай бұрын

    Ipo sahihi 🙌🏽

  • @frankngoloka5416
    @frankngoloka54166 ай бұрын

    Huyu jamaa Kwa kutafuta Antetion namkubari Yuko vzr

  • @nashommagwe5112
    @nashommagwe51126 ай бұрын

    kweli mwijaku

  • @Nihadshighadi
    @Nihadshighadi6 ай бұрын

    Daimond hanaga shida na mtu.

  • @user-ki5cq5do1v
    @user-ki5cq5do1v6 ай бұрын

    Bado hujasema mwijaki na bado

  • @hopemusictz9353
    @hopemusictz93536 ай бұрын

    🙏🙏🙏💪

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY6 ай бұрын

    KWERI DIAMOND ANAENDANA NA ZUCHU PEKEAKE NA SIYO MWINGINE WENGINE WAFUATA PESA TU!

  • @user-qv7cb3rf9i
    @user-qv7cb3rf9i6 ай бұрын

    Ukweli haukejeliwi huo ndo ukweli wake

  • @AloyiseAloyisy-nfa5g
    @AloyiseAloyisy-nfa5g6 ай бұрын

    🤝🤝🤝🤝

  • @burtonbrown5548
    @burtonbrown55486 ай бұрын

    ndiyo maneo ni yake

  • @piterasifa3757
    @piterasifa37576 ай бұрын

    Billion 😅😅😅

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray2776 ай бұрын

    Sasa mbona kila mara unamponda acha umafiki

  • @hopechidera
    @hopechidera6 ай бұрын

    Siku zote WEMA HUOZI. Ndo maana ya TENDA WEMA NENDA ZAKO🚶🏾‍♀️🚶🏾‍♂️

  • @DorcasNyakonga
    @DorcasNyakonga6 ай бұрын

    Simba la masimba dangote

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe6 ай бұрын

    Imagine mfanyakazi wa Mondi tu kajenga mjengo wa Bilioni alafu kuna mtu anasema Mondi hana hela. Ila Mondi it is time atambulishe mijengo yake maana bado ana rent alafu chawa anazindua mjengo. Na Wasafi Tower pia itambulishwe ili apate heshima anayostahili

  • @dominaferuzi3901
    @dominaferuzi39016 ай бұрын

    Mwijaku ni msema ukweli alichokisema anakimanisha

  • @user-fy9pw2zr8l
    @user-fy9pw2zr8l6 ай бұрын

    hapo ni kutafuta ugari tu maana hawezi kumusahau

  • @AliyFak
    @AliyFak6 ай бұрын

    Duh 😂😂😂😂

  • @Jonathanabedinego
    @Jonathanabedinego6 ай бұрын

    AME FANYA SAWA KABISA ATA ISIWE YA MOYONI AU NIYA MOYONI IŁA KUA NDIKA TUBINA ONESHA KWAMBA ANA JUA UMUIMU WA SIMBA LAMA DANGOTE

  • @Loggingman
    @Loggingman6 ай бұрын

    😂 I

  • @user-hi8ug8wr4c
    @user-hi8ug8wr4c6 ай бұрын

    😂😂,

  • @djmosikahayo
    @djmosikahayo6 ай бұрын

    tunajua kama ana changamsha game,ila baba tipha anakua mtu poa sana

  • @naimanimo4925
    @naimanimo49256 ай бұрын

    It's not real his a 2face everytime his bad mouthing diamond let him say in the press not everytime knows to read

  • @Mtazyinstrumental
    @Mtazyinstrumental6 ай бұрын

    Mondi amuoe zuchu

  • @mwanjumajongette8187
    @mwanjumajongette81876 ай бұрын

    Leo ni mekubali kumbe mwija anaku aga na akili

  • @msengasikaonga3039
    @msengasikaonga30396 ай бұрын

    Nazani utakuwa mtu mwema kwa kutoa shukurani

  • @richkaja3317
    @richkaja33176 ай бұрын

    Acha shobo mwijamu rundi kwa mond

  • @Jibambeshow254k
    @Jibambeshow254k6 ай бұрын

    Mnao mponda mwijaku eti nyumba sio y gharama jitokezeni n hatii tuone zenu WAFRICA hatijawahi furahia vya wenzetu ila angetokea mzungu hapa hata n kitu cha ovyo utaona wanavyo sifia 😂 WAFRICA wabongo tulirogwa

  • @barikilangoy4737
    @barikilangoy47376 ай бұрын

    Kama mwijaku amefaidika na wasafi bet,je diamond atakuaje?

  • @user-mp4oh8kz2k
    @user-mp4oh8kz2k6 ай бұрын

    𝐏𝐨𝐧𝐠𝐞𝐳𝐢 𝐤𝐰𝐚𝐤𝐞🙏

  • @munashabani
    @munashabani6 ай бұрын

    Shukurani ni kitu kizuri sanaaa

Келесі