MWANAMKE MJASIRIAMALI ANAYEMILIKI KIWANDA KIDOGO-KIBAHA

KWA UFUPI: Mahojiano ya Afisa Habari wa UNIC Dar es Salaam, Stella Vuzo na Mwanamke Mjasiriamali, Bi. Asha Ruta wa Kibaha, ambaye anamiliki kiwanda kidogo cha kutengeneza mafuta ya nazi pamoja na karanga za kusaga.
Kiwanda chake kipo ndani ya eneo analoishi yeye pamoja na familia yake.

Пікірлер: 10

  • @comrademlewaisavile336
    @comrademlewaisavile3363 жыл бұрын

    Hongera mama Namie mjasiriamali najifunza sido soon ntakuwa nimewiva

  • @zawiajuma715
    @zawiajuma7153 жыл бұрын

    Mashaallah Allah akubariki sana

  • @ahmuhally4430
    @ahmuhally44303 жыл бұрын

    Ubarikiwe katika biashara yako

  • @maryammaram2612
    @maryammaram26124 жыл бұрын

    Mashallah sido wapo vizuri sana

  • @hasnuuahmed9834
    @hasnuuahmed98343 жыл бұрын

    how can i learn from sido and I

  • @georgematahimba5242
    @georgematahimba52423 жыл бұрын

    Mama naomba contact zako

  • @nkusachristian436
    @nkusachristian4362 жыл бұрын

    hi naomba contact zenu plz

  • @nassoralinassor1698
    @nassoralinassor16982 жыл бұрын

    Mashine ya mafuta kutengenezea bei gani

  • @jemakhalifa6807
    @jemakhalifa68075 жыл бұрын

    tukihitaji mafuta ya Nazi,tunayapataje

  • @matungwadaniel604

    @matungwadaniel604

    3 жыл бұрын

    Ongera mama penye nia pana njia Mimi Niko bukoba ni mjasilia Mali naomba tuwasiliane namba yangu ya simu 0754022353

Келесі