Mwanahawa Ally - Nimekinai Umaskini Wangu (Official Taarab Lyrics Video)

Музыка

🎵 Step back in time with the timeless Taarab classic, "Nimekinai Umaskini Wangu," performed by the legendary Mwanahawa Ally and the illustrious Zanzibar Taarab band. 🌟
📜 Song: Nimekinai Umaskini Wangu
🎤 Artist: Mwanahawa Ally
🎶 Genre: Taarab
🕰️ Release Date: 2010
Experience the soul-stirring essence of vintage Taarab as Mwanahawa Ally's emotive vocals breathe life into this cherished old gem. "Nimekinai Umaskini Wangu" translates to "I've Bid Farewell to My Poverty," and its lyrics resonate across generations, capturing the enduring spirit of Taarab music.
✅ Don't forget to HIT the LIKE button, SHARE this timeless Taarab masterpiece, and SUBSCRIBE to our channel for more vintage Taarab treasures and musical journeys.
Join us in celebrating the rich heritage of Taarab music as we pay homage to Mwanahawa Ally's unforgettable rendition of "Nimekinai Umaskini Wangu." Let the music transcend time and touch your heart with its enduring beauty. 🎶
#MwanahawaAlly #NimekinaiUmaskiniWangu #TaarabMusic #ZanzibarTaarab #LyricsVideo #AfricanMusic #VintageTaarab #TimelessClassics #OldSong #TaarabGoldenAge #zanzibarmusic

Пікірлер: 4

  • @ChamaziMusic
    @ChamaziMusic10 ай бұрын

    umaskini wangu haunipi tahayuri(fedheha/haya) bure mkinikebehi ndie molla takadir umaskini wangu haunipi tahayuri(fedheha/haya) bure mkinikebehi ndie molla takadir naamini kupata na kukosa nijaala yake mungu sizijali istizah zenu walimwengu naamini kupata na kukosa nijaala yake mungu sizijali istizah zenu walimwengu sitobadilika nikauza utu wangu sitobadilika nikauza utu wangu natangaza hadharani nimekinai nimekinai umaskini wangu natangaza hadharani nimekinai nimekinai umaskini wangu naapa sitobadilika nikauza utu wangu naapa sitobadilika nikauza utu wangu naapa sitobadilika nikauza utu wangu naapa sitobadilika nikauza utu wangu japo mimi masikinii kwani lipi la ajabu nimeumbwa nimeumbwa hakuna mtimilifu wote ni waja wa mungu yake mola mitihanii nita pass naamini siinyongi roho yangu inshallah mola muweza atanipa langu fungu japo mimi masikinii kwani lipi la ajabu nimeumbwa nimeumbwa hakuna mtimilifu wote ni waja wa mungu yake mola mitihanii nita pass naamini siinyongi roho yangu inshallah mola muweza atanipa langu fungu japo mimi masikini katu sijiweki nyuma sababu naziamini rehema zake karima ipo siku nita win mtanyamaza kusema nitamegewa na mimi zilizo njema rehema japo mimi masikini katu sijiweki nyuma sababu naziamini rehema zake karima ipo siku nita win mtanyamaza kusema nitamegewa na mimi zilizo njema rehema nimekinai umasikini wangu wala sina choyo na walichonacho wenzangu nimekinai umasikini wangu wala sina choyo na walichonacho wenzangu umaskini wangu haunipi tahayuri(fedheha/haya) bure mkinikebehi ndie molla takadir umaskini wangu haunipi tahayuri(fedheha/haya) bure mkinikebehi ndie molla takadir mi sizijali istizah zenu walimwengu mi sizijali istizah zenu walimwengu sitobadilika nikauza utu wangu sitobadilika nikauza utu wangu tiktok: barakachaplin kwa majaliwa yake rabana yake rabana siweki fundo moyoni kwa kuwa majaliwa yake rabana yake rabana siweki fundo moyoni yeye ndio anaetoa humpa amtakeye yeye ndio anaetoa humpa amtakeye yeye ndio anaetoa humpa amtakeye yeye ndio anaetoa humpa amtakeye wala hata muoneaa ni muda unapostahil nalia na manani naapa sitokufuru nikakesha ugangani nipatacho nashukuru ndio riziki yangu iliyopangwa aridhini yanifariji ghafur abaa na suudu zake wala hata muoneaa ni muda unapostahil nalia na manani naapa sitokufuru nikakesha ugangani nipatacho nashukuru ndio riziki yangu iliyopangwa aridhini yanifariji ghafur abaa na suudu zake umaskini haunidhuru wala haunipi joto uliotanda nimepoa kwa kipi nidhalilike nina deni si tatizo nguzo yangu mola peke hakuna lililo na mwanzo likakosa mwisho wake umaskini haunidhuru wala haunipi joto uliotanda nimepoa kwa kipi nidhalilike nina deni si tatizo nguzo yangu mola peke hakuna lililo na mwanzo likakosa mwisho wake nimekinai umaskini wangu nadio maana na nawili mwili wangu nimekinai umaskini wangu nadio maana na nawili mwili wangu umaskini wangu haunipi tahayuri(fedheha/haya) bure mkinikebehi ndie molla takadir umaskini wangu haunipi tahayuri(fedheha/haya) bure mkinikebehi ndie molla takadir mi sizijali istizah zenu walimwengu mi sizijali istizah zenu walimwengu sitobadilika nikauza utu wangu sitobadilika nikauza utu wangu anabia na kaari yatakaziba yatakaziba hamtupi mja wake anabia na kaari yatakaziba yatakaziba hamtupi mja wake sitochoka kusubiri neema zangu zishukee sitochoka kusubiri neema zangu zishukee sitochoka kusubiri neema zangu zishukee sitochoka kusubiri neema zangu zishukee naamini ata kheri ihilahi zihondoke kebehi na zenu shari mola ata ni auni itafika mwisho wake mabaya mlio bashiri dhidi yangu yafutike mola ndio mwenye siri ata ni stiri katika hatima ya yoote naamini ata kheri ihilahi zihondoke kebehi na zenu shari mola ata ni auni itafika mwisho wake mabaya mlio bashiri dhidi yangu yafutike mola ndio mwenye siri ata ni stiri katika hatima ya yoote humnyanyua wa chini na wajuu aanguke hamjui takadir yaja na nyingi makeke temeni mate chini viumbe msinicheke mimi nitashushiwa nuru mkitaka msitakee humnyanyua wa chini na wajuu aanguke hamjui takadir yaja na nyingi makeke temeni mate chini viumbe msinicheke mimi nitashushiwa nuru mkitaka msitakee nimekinai umaskini wangu ipo siku nitapata langu fungu nimekinai umaskini wangu ipo siku nitapata langu fungu umaskini wangu haunipi tahayuri(fedheha/haya) bure mkinikebehi ndie molla takadir umaskini wangu haunipi tahayuri(fedheha/haya) bure mkinikebehi ndie molla takadir mi sizijali istizah zenu walimwengu mi sizijali istizah zenu walimwengu sitobadilika nikauza utu wangu sitobadilika nikauza utu wangu instagram : @barakachaplin maskini nae mtu japo kuwa hana kitu maskini nae mtu japo kuwa hana kitu nyie kwenu mi sina jema maskini nae mtu ata nikifanya nini maskini nae mtu na hamuishi kunisema maskini nae mtu kwa sababu masikini maskini nae mtu ipo siku nitashushiwa rehema maskini nae mtu waja mtafanya nini maskini nae mtu hamtazami utu wangu maskini nae mtu sibabaiki na kitu maskini nae mtu

  • @peterelias1374
    @peterelias137410 ай бұрын

    Taarabu murua kabisa

  • @Fatmazungu-im2rb
    @Fatmazungu-im2rb6 ай бұрын

    ❤😢

  • @user-ro5qu3tj7g
    @user-ro5qu3tj7g8 ай бұрын

    Nime kinai umaskini

Келесі