Mawazo yanarudi nyuma kipindi tunainjoi music mzuri na mashairi yenye afya ya Ubongo. Inatufanya tukumbuke wapenzi wetu wa zamani. Nakukumbuka Jamila, sijui uko wapi siku hizi. Yale hayakuwa mapenzi bali ni mahaba. Mapenzi hata Shetani anayaogopa. Kila kukicha nafanya vituko lakini uliniganda zaidi ya ruba... Wanawake wa dizaini hii hawapo siku hizi.
@saidchaka8801
9 ай бұрын
Sure 💯 %
@shabanichalo732211 ай бұрын
Wimbo bora wa hiphop wa mapenzi wa kudumu Tanzania
@jamesgerald23 жыл бұрын
2021 hawajuw tulipotoka aysee wasanii wa zaman waliimba ujumbe wa maana jaman.gonga like twende pamojaa
@muchmashah2922
3 жыл бұрын
Kenya bado twaskiza bongo zamani....
@oswardnelson66792 жыл бұрын
Ambae Bado anasikilza goma Hili Kali weka like
@samolamsille39288 күн бұрын
2024 na sikiliza tena japo nilishasikiliza 2007
@davidmwai7062 жыл бұрын
2022 this song still on fire 🔥🔥🔥
@AliHassan-fy6zk24 күн бұрын
2024 june tuko hapa
@wizfbeb7 ай бұрын
Kazi nzuri mhe. Waziri
@barbarasara4033
4 ай бұрын
Nice flows ❤❤❤❤❤❤
@SoFrii2 жыл бұрын
This is a philosophical song aisee... nakumbuka zaman sana hili songi.... Binamu amekuwa na kawaida ya kutoa nyimbo za kufikirisha kama hizi tangu alipotoka na Ingekuwa vip. Hongera Binamu nakubali kazi zako tangu umetoka...
@marymimi17966 жыл бұрын
siwez kukwacha laaziz mwenyw siwez ishi tuliumbwa wote mpenz ww uje uish na mimi... dedication to my aboubakari😙😙
@TherealDINO200512 күн бұрын
2024 muxic alive like hapa ...young dinonizi
@fauziashabibu1467 Жыл бұрын
Daah mnanikumbusha nilipokua ninamiaka 9 nilikuwa naskiliza hizi nyimbo
@Tino_Official_tz2 жыл бұрын
I just remember this dope song today 27/03/2022
@scolastikachigonele49485 жыл бұрын
ya kwao yanawashindwa yetuuu hawataweza 😍😍😍
@emmanuelahmedbyona2353Ай бұрын
2024 again from My Congo naskia vinywele vinaruka...masiku hizi amapiano inajenga nini jameni...ni sawa tu kama Kayumba kafa sanaa ya movies mya 15 sijaona tena.
@brolinashiro27445 ай бұрын
Una mapenzi shetani anaweza ogopa 😂😂
@twahirnasa15744 жыл бұрын
Who else still listen to this song 2020
@catenzeki6785 жыл бұрын
Aisee!Wimbo wa zamaaani lkni mpk leo ni hit song. Ninavyokupenda jide na ngoma zako ni mola tu ndie ajue.Wimbo una vina vizito na ujumbe mzito haswa kwa dunia ya leo...imejaa wanafiki na wachonganishi wengi wa ndoa na mahusiano
@saumuhassan13656 жыл бұрын
Kitambo sana, hizi ndio ngoma ambazo azififii na zina Eat kila nikisikiliza
@officialmtangakingkassimu5291
5 жыл бұрын
We Dada unafatilia sana kwenye nyimbo za zamani uko vzr
@leonjuly8242
4 жыл бұрын
zina eat ama nn 😂😂
@dastonamichaels1854
Жыл бұрын
Namkubali sana uyu dada lakini skuizi sikutanagi na comments zake
@lichilasalumu79832 жыл бұрын
Jide sauti yko tamu sana ukiwa unaimba 🔥🔥🔥
@asserymmary26966 жыл бұрын
Mwanamke una mapenz Hadi shetani angeyaogopa... SALUTE FA + Bint Machozi
@jeniphamnyawami6928
4 жыл бұрын
Zamani sanaàà
@bobbymunda51082 ай бұрын
Mikono ya complex ilikua imebarikiwa sanaaa
@candycuthmboni25538 ай бұрын
November 2023 Keep the good music alive
@catenzeki6785 жыл бұрын
Naomba muirudie tena hii ngoma na mwana FA.Bado naupenda
@suhailaomari24936 жыл бұрын
Daah kitambo namuona mdogo angu Wardah katulia tuli daah maisha haya
@barbarasara4033
4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@ninjadamour55925 жыл бұрын
Hivi MwanaFA alimpiga Vipi KONKI MASTER humu...!? 😂😂
@ezratibore6512
4 жыл бұрын
😂😂😂😂
@jumanzige96442 жыл бұрын
FA, mashairi yamejaa sana ulikua vizuri na bado naamini uko vizuri, Lady jaydee nimmwanamuziki wa kike pekee ninaye mkubali zaid, wengine wanajaribu tu lkn bado sana kufikia level zako. KOMANDOOO
@loy118 Жыл бұрын
Humu tu 2023 🔥🔥🔥
@mariamusalum66806 жыл бұрын
Yakwao yanawashinda yeeetu hawatawezaaaaa
@ALOYCE0074 жыл бұрын
Nikitambo hicho wanamuziki walikuwa wanaimba 2019 hivi sasa wasanii wanafokafoka
@johnmwambasi2299 Жыл бұрын
Kweli nyimbo za kare zina afya ya ubongo still on fire 2023🔥🔥🔥
@user-od9qf6no2r8 ай бұрын
😅😅😅😅😅 kweli nimeamini sikuzinaenda mbele
@cooltobeconscious29732 жыл бұрын
Hizi ngoma zilikuwa na feelings sana. Yaani sai FA ni MP!
@josephmasenga77186 жыл бұрын
Nice song enz tupo ma young
@deusrobert13432 жыл бұрын
kuitafuta 2022 kwamaana ni 14/12/2021 ivi kweli unaweza kumpata mwana mke kama huyo jaman
@Anza_tz3 жыл бұрын
Tupo 2020 tuna sikiliza hizi ngoma
@yasserkhalfan7048
3 жыл бұрын
2021, we r legends aisee
@kuliray7650 Жыл бұрын
❤❤❤ c'était génial cette chanson,je me rappelle beaucoup de choses
@amadizoboss52796 жыл бұрын
Jide na binam,hii moja ya kaz zenu nzur keep on doing ningekua rais ningewaarika ikulu kwa ajil ya dina(ngoma inaujumbe)
@chachamadini93726 жыл бұрын
Mziki ulikua huu sasa hivi wanaimba madudu
@bertinaafonsorapaz8345
3 жыл бұрын
😂😂😂😂mwaga maji, chafua vumbi na mauchafu kibao
@bantuisolele2543
3 жыл бұрын
@@bertinaafonsorapaz8345 yaan hata siiufuatilii nyimbo zangu za old Kama ule wa bizzy man ametoroka mpenzi wangu lazima niupige everyday
@sundayulomi95475 жыл бұрын
january 2019 twende wote
@wycliffeoluoch436710 ай бұрын
True Love song of Endurance when you love someone Deeply......Good Song
@mabenzimabenzi43482 жыл бұрын
hili dude mnalionaje kiba akalipiga remix af jide na mwana Fa wawepo kwenye Remix wataua waifufue na hii ya zaman ijulikane kupitia remix itaenda kuwa hit
@cuprumkimwaga41072 жыл бұрын
Bado unaishi nackiliza 2022
@davidmanjuu20603 жыл бұрын
Mwanamke unamapenzi hadi shetani anayaogopa hahahahaha still enjoy 2021
@timothymikola23178 ай бұрын
Aliyemuona fa kamkalisha konk nani😂
@NASIRJONEZ2 жыл бұрын
Mwana FA now is an MP.Noma sana
@RamazaniMulongeca6 жыл бұрын
Still Loving the hit 2018June23 Tucson AZ. #MOFAYA
@RamazaniMulongeca
5 жыл бұрын
Am back again January 08 2019
@congoboymbeyas2440
4 жыл бұрын
Uku tucson seemu gani
@mariabasesela3710
3 жыл бұрын
Nice song 🎵👌👍👏♥❤
@RamazaniMulongeca
3 жыл бұрын
@@mariabasesela3710 Umeonaee ngoma Kali sana
@RamazaniMulongeca
3 жыл бұрын
@@congoboymbeyas2440 😂🤣😂😂😂
@jnote9283 Жыл бұрын
"waweza mkuta firauni peponi taulo langu niendapo bafuni nauli yangu niwapo safarini usiende mbali na mimi"
@milemo6045 жыл бұрын
Wanao hisikiliza Hadi 2019 tujuwane humu. 30/07/2019 3:00pm
@wycliffekasgon34623 жыл бұрын
When music was real !!
@sweetorekeАй бұрын
I was here 2024
@masoudissah5675 жыл бұрын
Nyimbo kama hii moja#imeburudisha watu wangapi?Imeburudisha watu wangapi!!!imewafunza wangapi?IMELETA AMANI KATIKA MIOYO YA WATU WANGAPI?lakini wamilki wa wimbo tumewalipa nini#kiasi gani?tunawaenzije?
@bantuisolele2543
3 жыл бұрын
Point wanaonufaika siku hzi ni wale wanaoimba matusi yaani ni ajabu halafu wanaaminishwa ndo wanajua
@karoltunduli1072 жыл бұрын
2021 on great Jam always . When music was music
@patrickmbogo78056 жыл бұрын
suruali inanifunguka vicheche wakikatiza...mistari hot sana
@wizhaytham18769 жыл бұрын
Very good mwana fa
@shireyusufducaleshireducal23675 жыл бұрын
Acha kabisa hapo ndo nachezea mtaji wangu wa Kwanza , yule rozi yule we acha tu.
@ezratibore6512
4 жыл бұрын
😂😂😂 saiv Rose yupo na jamaaa mwingine wanakala Maisha
@bantuisolele2543
3 жыл бұрын
@@ezratibore6512 😀😀😀
@leylakassim321210 жыл бұрын
I would like to see another good song from jay dee and mwana fa
@naimahhaule5896 Жыл бұрын
Kukosa ubinadamu hakukuvui thamani!!!cku hz hakuna wa kuongea hv
@jnote9283
Жыл бұрын
"kukosea ni ubinadamu hakukuvui thamani"
@vitaliswambura341811 ай бұрын
Nimaaaaaa
@francissilayo.3457 Жыл бұрын
Still in love with this song
@salomechekwaze88503 жыл бұрын
2021 what's good
@allykassim14556 жыл бұрын
dec 2017.nipo.hapo vichwa 2 takatifu.mziki mtamu
@michaelkapinga4957 Жыл бұрын
Music mtamu
@stevenlugojeremia23233 жыл бұрын
2021
@robertgordon75573 жыл бұрын
Kichupa hatari
@Yegon2546 жыл бұрын
Bonge LA kazi
@nassorseif50717 жыл бұрын
napenda kazi za jide coz hajawai kufanya mbaya
@jamesisack566
3 жыл бұрын
Nooma
@msodoktheson97082 жыл бұрын
nakubali sana ngoma za enzi hizo na cyo hizi za kipindi hiki
@andrekalunga24707 жыл бұрын
lady hajashindwa na kazi
@user-xm9xr5db1j9 ай бұрын
Best of complex ...
@mchiadarsizm10525 жыл бұрын
Unyama tupu FA 🔥🔥
@ashaaqarimqarim1316 Жыл бұрын
Tangu Niko mtoto mdogo
@fasterwalker14642 жыл бұрын
I end this year with this nice song throwback 2007 30th December 2021
@swabilmbatta56194 жыл бұрын
Damn this song💥💥💥
@jaquelinemunish3183 Жыл бұрын
Who listen 2023❤
@elardmadeez33825 жыл бұрын
tuliopo hapa 2019 june gonga like
@ppesampingo90423 жыл бұрын
2021 niko hapa jamani nampigania marehemu aamke ajue thamani yangu🤣🤣🤣
@rubbenmabuga30584 жыл бұрын
Kumbe smart za motorola kitambe zipo mtaani eh! Au naona vbaya mm
@jacklinmasawe26972 жыл бұрын
Du ngoma Kari sanaaaaa
@makondefinest6 жыл бұрын
Nachokumbuka ni kupenda hadi nikawa naimba darasani.
@alexnonya30052 жыл бұрын
mapenzi yalikuwa zaman sasa tunadanganyana2
@hermesmpawenayo92213 жыл бұрын
Kama unaangalia ngoma hi 2021 nipe like
@saidirashidimanot41422 жыл бұрын
Oya wadau mwenye kufahamu jina msanii alieimba song Sina nimpendae zaidi ya kinyonga wangu la kitambo kidogo 2007 ndio ilikua ya moto Sana please
@NASIRJONEZ7 ай бұрын
2023
@tatukachingwe17307 ай бұрын
19/12/2023
@mwaulambo11 жыл бұрын
Nani anawagombanisha Binamu na Jide?? hawa ni marafiki kitambo
@sakinandoile4758
7 жыл бұрын
Martin Mwaulambo i wish wapatanishwe oneday watoe heatsong zaidi ya hii...
@gregorymarisa67663 ай бұрын
2024
@mahesenitunduma2438 Жыл бұрын
5/1/2023
@boozwashingtonmorisho6259 Жыл бұрын
hii nyimbo ni kali
@shedracelia1267 Жыл бұрын
2023 tuna like hapa ,
@bossbillionare Жыл бұрын
What a hit with message in 2023 june
@mtemimagema6176 Жыл бұрын
2022 heshima Sana bro
@maryamkyando39567 жыл бұрын
true love never die
@ramachikoza6253 Жыл бұрын
The really music bila matusi 🔥 2022
@user-ez1ww7pw6g Жыл бұрын
Hizo ndizo nyimbo kutiko za xaxa ivi
@erickodhiambo69942 жыл бұрын
Legend
@mohamedmtimba50993 жыл бұрын
Legend@2021🎤
@nelsonnmwaipaja69804 жыл бұрын
inanikumbusha mbali xana salut kwako commando jide
Пікірлер: 184
Kama nawewe unasikiliza 😮2024 like tujuane
Mawazo yanarudi nyuma kipindi tunainjoi music mzuri na mashairi yenye afya ya Ubongo. Inatufanya tukumbuke wapenzi wetu wa zamani. Nakukumbuka Jamila, sijui uko wapi siku hizi. Yale hayakuwa mapenzi bali ni mahaba. Mapenzi hata Shetani anayaogopa. Kila kukicha nafanya vituko lakini uliniganda zaidi ya ruba... Wanawake wa dizaini hii hawapo siku hizi.
@saidchaka8801
9 ай бұрын
Sure 💯 %
Wimbo bora wa hiphop wa mapenzi wa kudumu Tanzania
2021 hawajuw tulipotoka aysee wasanii wa zaman waliimba ujumbe wa maana jaman.gonga like twende pamojaa
@muchmashah2922
3 жыл бұрын
Kenya bado twaskiza bongo zamani....
Ambae Bado anasikilza goma Hili Kali weka like
2024 na sikiliza tena japo nilishasikiliza 2007
2022 this song still on fire 🔥🔥🔥
2024 june tuko hapa
Kazi nzuri mhe. Waziri
@barbarasara4033
4 ай бұрын
Nice flows ❤❤❤❤❤❤
This is a philosophical song aisee... nakumbuka zaman sana hili songi.... Binamu amekuwa na kawaida ya kutoa nyimbo za kufikirisha kama hizi tangu alipotoka na Ingekuwa vip. Hongera Binamu nakubali kazi zako tangu umetoka...
siwez kukwacha laaziz mwenyw siwez ishi tuliumbwa wote mpenz ww uje uish na mimi... dedication to my aboubakari😙😙
2024 muxic alive like hapa ...young dinonizi
Daah mnanikumbusha nilipokua ninamiaka 9 nilikuwa naskiliza hizi nyimbo
I just remember this dope song today 27/03/2022
ya kwao yanawashindwa yetuuu hawataweza 😍😍😍
2024 again from My Congo naskia vinywele vinaruka...masiku hizi amapiano inajenga nini jameni...ni sawa tu kama Kayumba kafa sanaa ya movies mya 15 sijaona tena.
Una mapenzi shetani anaweza ogopa 😂😂
Who else still listen to this song 2020
Aisee!Wimbo wa zamaaani lkni mpk leo ni hit song. Ninavyokupenda jide na ngoma zako ni mola tu ndie ajue.Wimbo una vina vizito na ujumbe mzito haswa kwa dunia ya leo...imejaa wanafiki na wachonganishi wengi wa ndoa na mahusiano
Kitambo sana, hizi ndio ngoma ambazo azififii na zina Eat kila nikisikiliza
@officialmtangakingkassimu5291
5 жыл бұрын
We Dada unafatilia sana kwenye nyimbo za zamani uko vzr
@leonjuly8242
4 жыл бұрын
zina eat ama nn 😂😂
@dastonamichaels1854
Жыл бұрын
Namkubali sana uyu dada lakini skuizi sikutanagi na comments zake
Jide sauti yko tamu sana ukiwa unaimba 🔥🔥🔥
Mwanamke una mapenz Hadi shetani angeyaogopa... SALUTE FA + Bint Machozi
@jeniphamnyawami6928
4 жыл бұрын
Zamani sanaàà
Mikono ya complex ilikua imebarikiwa sanaaa
November 2023 Keep the good music alive
Naomba muirudie tena hii ngoma na mwana FA.Bado naupenda
Daah kitambo namuona mdogo angu Wardah katulia tuli daah maisha haya
@barbarasara4033
4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
Hivi MwanaFA alimpiga Vipi KONKI MASTER humu...!? 😂😂
@ezratibore6512
4 жыл бұрын
😂😂😂😂
FA, mashairi yamejaa sana ulikua vizuri na bado naamini uko vizuri, Lady jaydee nimmwanamuziki wa kike pekee ninaye mkubali zaid, wengine wanajaribu tu lkn bado sana kufikia level zako. KOMANDOOO
Humu tu 2023 🔥🔥🔥
Yakwao yanawashinda yeeetu hawatawezaaaaa
Nikitambo hicho wanamuziki walikuwa wanaimba 2019 hivi sasa wasanii wanafokafoka
Kweli nyimbo za kare zina afya ya ubongo still on fire 2023🔥🔥🔥
😅😅😅😅😅 kweli nimeamini sikuzinaenda mbele
Hizi ngoma zilikuwa na feelings sana. Yaani sai FA ni MP!
Nice song enz tupo ma young
kuitafuta 2022 kwamaana ni 14/12/2021 ivi kweli unaweza kumpata mwana mke kama huyo jaman
Tupo 2020 tuna sikiliza hizi ngoma
@yasserkhalfan7048
3 жыл бұрын
2021, we r legends aisee
❤❤❤ c'était génial cette chanson,je me rappelle beaucoup de choses
Jide na binam,hii moja ya kaz zenu nzur keep on doing ningekua rais ningewaarika ikulu kwa ajil ya dina(ngoma inaujumbe)
Mziki ulikua huu sasa hivi wanaimba madudu
@bertinaafonsorapaz8345
3 жыл бұрын
😂😂😂😂mwaga maji, chafua vumbi na mauchafu kibao
@bantuisolele2543
3 жыл бұрын
@@bertinaafonsorapaz8345 yaan hata siiufuatilii nyimbo zangu za old Kama ule wa bizzy man ametoroka mpenzi wangu lazima niupige everyday
january 2019 twende wote
True Love song of Endurance when you love someone Deeply......Good Song
hili dude mnalionaje kiba akalipiga remix af jide na mwana Fa wawepo kwenye Remix wataua waifufue na hii ya zaman ijulikane kupitia remix itaenda kuwa hit
Bado unaishi nackiliza 2022
Mwanamke unamapenzi hadi shetani anayaogopa hahahahaha still enjoy 2021
Aliyemuona fa kamkalisha konk nani😂
Mwana FA now is an MP.Noma sana
Still Loving the hit 2018June23 Tucson AZ. #MOFAYA
@RamazaniMulongeca
5 жыл бұрын
Am back again January 08 2019
@congoboymbeyas2440
4 жыл бұрын
Uku tucson seemu gani
@mariabasesela3710
3 жыл бұрын
Nice song 🎵👌👍👏♥❤
@RamazaniMulongeca
3 жыл бұрын
@@mariabasesela3710 Umeonaee ngoma Kali sana
@RamazaniMulongeca
3 жыл бұрын
@@congoboymbeyas2440 😂🤣😂😂😂
"waweza mkuta firauni peponi taulo langu niendapo bafuni nauli yangu niwapo safarini usiende mbali na mimi"
Wanao hisikiliza Hadi 2019 tujuwane humu. 30/07/2019 3:00pm
When music was real !!
I was here 2024
Nyimbo kama hii moja#imeburudisha watu wangapi?Imeburudisha watu wangapi!!!imewafunza wangapi?IMELETA AMANI KATIKA MIOYO YA WATU WANGAPI?lakini wamilki wa wimbo tumewalipa nini#kiasi gani?tunawaenzije?
@bantuisolele2543
3 жыл бұрын
Point wanaonufaika siku hzi ni wale wanaoimba matusi yaani ni ajabu halafu wanaaminishwa ndo wanajua
2021 on great Jam always . When music was music
suruali inanifunguka vicheche wakikatiza...mistari hot sana
Very good mwana fa
Acha kabisa hapo ndo nachezea mtaji wangu wa Kwanza , yule rozi yule we acha tu.
@ezratibore6512
4 жыл бұрын
😂😂😂 saiv Rose yupo na jamaaa mwingine wanakala Maisha
@bantuisolele2543
3 жыл бұрын
@@ezratibore6512 😀😀😀
I would like to see another good song from jay dee and mwana fa
Kukosa ubinadamu hakukuvui thamani!!!cku hz hakuna wa kuongea hv
@jnote9283
Жыл бұрын
"kukosea ni ubinadamu hakukuvui thamani"
Nimaaaaaa
Still in love with this song
2021 what's good
dec 2017.nipo.hapo vichwa 2 takatifu.mziki mtamu
Music mtamu
2021
Kichupa hatari
Bonge LA kazi
napenda kazi za jide coz hajawai kufanya mbaya
@jamesisack566
3 жыл бұрын
Nooma
nakubali sana ngoma za enzi hizo na cyo hizi za kipindi hiki
lady hajashindwa na kazi
Best of complex ...
Unyama tupu FA 🔥🔥
Tangu Niko mtoto mdogo
I end this year with this nice song throwback 2007 30th December 2021
Damn this song💥💥💥
Who listen 2023❤
tuliopo hapa 2019 june gonga like
2021 niko hapa jamani nampigania marehemu aamke ajue thamani yangu🤣🤣🤣
Kumbe smart za motorola kitambe zipo mtaani eh! Au naona vbaya mm
Du ngoma Kari sanaaaaa
Nachokumbuka ni kupenda hadi nikawa naimba darasani.
mapenzi yalikuwa zaman sasa tunadanganyana2
Kama unaangalia ngoma hi 2021 nipe like
Oya wadau mwenye kufahamu jina msanii alieimba song Sina nimpendae zaidi ya kinyonga wangu la kitambo kidogo 2007 ndio ilikua ya moto Sana please
2023
19/12/2023
Nani anawagombanisha Binamu na Jide?? hawa ni marafiki kitambo
@sakinandoile4758
7 жыл бұрын
Martin Mwaulambo i wish wapatanishwe oneday watoe heatsong zaidi ya hii...
2024
5/1/2023
hii nyimbo ni kali
2023 tuna like hapa ,
What a hit with message in 2023 june
2022 heshima Sana bro
true love never die
The really music bila matusi 🔥 2022
Hizo ndizo nyimbo kutiko za xaxa ivi
Legend
Legend@2021🎤
inanikumbusha mbali xana salut kwako commando jide
@omarymohamed6590
Ай бұрын
Best of Hipop romantic song
One of my best