Huyu Mkojani anaeza kufanya ukasahau stress zote wallai....hongera sana😂
@nasraabdallah8503 жыл бұрын
Nampend baruti km mdog wang yani wanafanana sn weupe sura mpakakimo dah kaise duniani wawili wawili kwele utafika mbali my kaka 😍😍✌🏻✌🏻👌pia nawakubali wote tim nzima 🤗💕💕👌
@luwaluwachampionboy59663 жыл бұрын
Tin bhana eti mimi nimepanda ndege bule daah nyie noma aise big up
@marryvicent47413 жыл бұрын
Baruti hujawahi kunikosea hata siku moja kwa nyimbo zako ,,,hasa ileee nimefeli wapi daaah 💖 piga kelel TINY and mkojani
@fahmistonepemba7634
3 жыл бұрын
Brother km unayo ile nyimbo nitumie
@ashashaphy94133 жыл бұрын
Mmetufany turudie Tena kuangalia movie za kibongo wallah mko vzr tunawakubalii
@nicotalazy27933 жыл бұрын
Njoo mwanangu nagwa DURBAN NATAL 🇿🇦 wanao tupo 🤟
@joycerobart14633 жыл бұрын
Nawependa jmn nyie ndo mmenifanya nianze kuangalia movie za kibongo Mungu awainue
@youngrizzy74873 жыл бұрын
Wasanii mpoo tusiwo wajua na hamtaki kaz nyengne
@jonassteven45573 жыл бұрын
Uza ule kopesha ulale njaa like it
@sarafinakadege32693 жыл бұрын
Uza ule kopesha ulale njaa daaah,,!!misemo ya nagwa noma
@josephombayh6959
3 жыл бұрын
Oyh powa sana
@mikaellissu1389
3 жыл бұрын
Mchakamchaka chinja alisema hadija
@godfreysangawe14653 жыл бұрын
Kiukwl huyu barut anajua kuimba San.... Mtoen awe star nyimb zke nzur san
@tkmastertkmaster4000
2 жыл бұрын
Nqkubar mwamba yupo vizur
@saidfaki28943 жыл бұрын
Uzur wa movie zao unaweza kuangalia hata ukiwa na family 😂😂😂
@daudilukumai5247
2 жыл бұрын
Kunywa soda ulipo 2ma namb nikuwekee unajua kutoa point sana nimekukubali100%
@TALLUBOY3 жыл бұрын
Aisee mumetisha sana waun wa nagwa mumependeza movie kinoma
@aliyusufali25213 жыл бұрын
nakukubal bro kwaku litangaz kabila let wakojani 💕💕💕💕💕
@asadyhansi48443 жыл бұрын
Nzuli San kamaunamkubali kojan like zako
@abubakarmwalimu85043 жыл бұрын
Hahahaah waliuza maji ajentinaaaa unauponza ww
@iddikapala89663 жыл бұрын
Endeleeni Kukomaa Mpaka Bongo Movie Ipotee Kabisa Wazee Wa Kiki Wale Kaz Mbovu.
@kibasamohamedi80293 жыл бұрын
Mpoooo vizuri Sana Sina budi kiwasifia wote
@yasminayoukhan2700
3 жыл бұрын
Aise brdha njgwa nkukbar sana kalbu mwanz
@maasaimkisii90893 жыл бұрын
*FROM MOMBASA KENYA KAMA KAWA* 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰
@aliabdullah87713 жыл бұрын
Dah movie kali sana nmeipenda kwakweli akina harmonize wameanguka nakamba
@mariamshabani68533 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂Eti harmonize kanguka na kamba 🤣🤣🤣🤣🤣
@godfreylukanga81783 жыл бұрын
Mtu mpak mam yake anauza chini gong like
@malkiawafizi23943 жыл бұрын
😊😊😊kweli Tin nimekuona Copenhagen kipindi ulichofika Danmark adi Aalborg umefika.
@shabanisheka59733 жыл бұрын
Nmekubali.. Nmeanza kukufuatilia Mkojan.. Umepevuka sana ktk uchekeshaji
@dukeamos94833 жыл бұрын
Wataalam wa hizi kazi #100%
@mkandatv28013 жыл бұрын
Nice movie! Nimeipenda.
@imachiva14743 жыл бұрын
Duh hii muvie imenigusa san yaan naona kabisa kama nimetungiw mm duh jojo nikipengele kwakwel tunamajojo wengi sana uku mtwara nawakubari sana kaka zangu😰😰😰😭😭
@rithahonore90503 жыл бұрын
"6 na 9 zote namba foyauti mageuza" 😊
@wizzymartial34783 жыл бұрын
Nagwa kafunika sana humu
@ashaally36313 жыл бұрын
Daaah baruti nakupenda bure
@rashidkalabi82123 жыл бұрын
Na mfike mbali zaidi
@muddymsawila78573 жыл бұрын
Sana mabrouther achien vyuma mi nakubal kazi zenu mafundiiii
@baitomtweve37153 жыл бұрын
Nkubar san mkojan
@fanuelmgaya82153 жыл бұрын
Tini kwa uongo nakubali
@asilithemuhamikaelmikael89363 жыл бұрын
Waooooii Quality Nzur I Sana Mmejitaidi
@user-mm5tf7yn6p3 жыл бұрын
Poreni na kumutaja diamond saaana na hawezi kubasapoti 🙈🙈🙈🙈mutegemeye mungu tu atawabariki musitegemeye binadamu mwenziyo 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@saidissa6393 жыл бұрын
Nmekaa sana mauholanzi
@ibrahimresa36283 жыл бұрын
Dah hh mkojan unaongea 🤣🤣🤣
@danielntabaungu94913 жыл бұрын
Mko vizur nakubali
@singinggirl65543 жыл бұрын
Nawakubali sana Allah awasimamie wallah🙏🙏🙏
@sosterntulian4913 жыл бұрын
Anasuka nywere za zuchu🤣🤣🤣🤣
@winifrida88302 жыл бұрын
Jaman tiny white, mkojani nagwa na naruti nawakubalii from mexico
@saidissa6393 жыл бұрын
Nawakubali sana
@bhuzahope.26693 жыл бұрын
Weken basi na hiyo ya Mkojani,Tin na Mau
@gabrellkabuda83863 жыл бұрын
Big up mpo vizuri vipi chocho ame olewa
@figomata28063 жыл бұрын
Hii ngoma inaitwaje
@ramadhanibazu49033 жыл бұрын
Barut unajua kuimba
@user-et3by8td8f6 ай бұрын
uyo kijana❤huimba bahna
@ayshazsalim3973 жыл бұрын
Jaman mkaka anaimba huyu😋😋
@abdulhamidjuma9340
3 жыл бұрын
Hey
@simoncharles95073 жыл бұрын
Kama unampenda nagwa gongs like twende
@danielkalua55103 жыл бұрын
Wa kwanza leo
@glorianekesa69222 жыл бұрын
Filamu nzuri Sana nimeipenda
@officialelisha75243 жыл бұрын
Ila JoJo mzuri sana
@fatumaomy48583 жыл бұрын
🔥🔥🔥👌
@anwarally76113 жыл бұрын
Harrier lexus ile nyuma yenye kijiburuji 🤣
@muddyabdalah89683 жыл бұрын
Nakubali baluti
@khamoshmikidadi92623 жыл бұрын
Nimejua kucheka eti kwetu kuna weusi watupu😅😅😅
@badmanno.16503 жыл бұрын
Ngoma nagwa mhuni haswa😁.. ula ula usambe mbelenye miaka mingi hatujafilimba ulembe...
@mkombozijulio2945
3 жыл бұрын
msela ni wewe
@theopistambugi37353 жыл бұрын
Tin ni muongo haraf yuko serious
@jamalajamala282
3 жыл бұрын
Nakwambia mbingun haendi huy🤣🤣🤣
@mikaellissu1389
3 жыл бұрын
Daaa\aaah jamaa ni muongo sana alaf uongowake upo kama ukwel hyo ndio tin bhn
@shabanirajabu73433 жыл бұрын
Jamn mm naitwa shaban naomben angalau nifanye kaz nanyny mana mm napenda kuigiza plz naomben sapot yen u. Ila barut m nmemkubal huy nizaid ya daimond
Пікірлер: 246
Huyu Mkojani anaeza kufanya ukasahau stress zote wallai....hongera sana😂
Nampend baruti km mdog wang yani wanafanana sn weupe sura mpakakimo dah kaise duniani wawili wawili kwele utafika mbali my kaka 😍😍✌🏻✌🏻👌pia nawakubali wote tim nzima 🤗💕💕👌
Tin bhana eti mimi nimepanda ndege bule daah nyie noma aise big up
Baruti hujawahi kunikosea hata siku moja kwa nyimbo zako ,,,hasa ileee nimefeli wapi daaah 💖 piga kelel TINY and mkojani
@fahmistonepemba7634
3 жыл бұрын
Brother km unayo ile nyimbo nitumie
Mmetufany turudie Tena kuangalia movie za kibongo wallah mko vzr tunawakubalii
Njoo mwanangu nagwa DURBAN NATAL 🇿🇦 wanao tupo 🤟
Nawependa jmn nyie ndo mmenifanya nianze kuangalia movie za kibongo Mungu awainue
Wasanii mpoo tusiwo wajua na hamtaki kaz nyengne
Uza ule kopesha ulale njaa like it
Uza ule kopesha ulale njaa daaah,,!!misemo ya nagwa noma
@josephombayh6959
3 жыл бұрын
Oyh powa sana
@mikaellissu1389
3 жыл бұрын
Mchakamchaka chinja alisema hadija
Kiukwl huyu barut anajua kuimba San.... Mtoen awe star nyimb zke nzur san
@tkmastertkmaster4000
2 жыл бұрын
Nqkubar mwamba yupo vizur
Uzur wa movie zao unaweza kuangalia hata ukiwa na family 😂😂😂
@daudilukumai5247
2 жыл бұрын
Kunywa soda ulipo 2ma namb nikuwekee unajua kutoa point sana nimekukubali100%
Aisee mumetisha sana waun wa nagwa mumependeza movie kinoma
nakukubal bro kwaku litangaz kabila let wakojani 💕💕💕💕💕
Nzuli San kamaunamkubali kojan like zako
Hahahaah waliuza maji ajentinaaaa unauponza ww
Endeleeni Kukomaa Mpaka Bongo Movie Ipotee Kabisa Wazee Wa Kiki Wale Kaz Mbovu.
Mpoooo vizuri Sana Sina budi kiwasifia wote
@yasminayoukhan2700
3 жыл бұрын
Aise brdha njgwa nkukbar sana kalbu mwanz
*FROM MOMBASA KENYA KAMA KAWA* 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰
Dah movie kali sana nmeipenda kwakweli akina harmonize wameanguka nakamba
😂😂😂😂😂😂😂Eti harmonize kanguka na kamba 🤣🤣🤣🤣🤣
Mtu mpak mam yake anauza chini gong like
😊😊😊kweli Tin nimekuona Copenhagen kipindi ulichofika Danmark adi Aalborg umefika.
Nmekubali.. Nmeanza kukufuatilia Mkojan.. Umepevuka sana ktk uchekeshaji
Wataalam wa hizi kazi #100%
Nice movie! Nimeipenda.
Duh hii muvie imenigusa san yaan naona kabisa kama nimetungiw mm duh jojo nikipengele kwakwel tunamajojo wengi sana uku mtwara nawakubari sana kaka zangu😰😰😰😭😭
"6 na 9 zote namba foyauti mageuza" 😊
Nagwa kafunika sana humu
Daaah baruti nakupenda bure
Na mfike mbali zaidi
Sana mabrouther achien vyuma mi nakubal kazi zenu mafundiiii
Nkubar san mkojan
Tini kwa uongo nakubali
Waooooii Quality Nzur I Sana Mmejitaidi
Poreni na kumutaja diamond saaana na hawezi kubasapoti 🙈🙈🙈🙈mutegemeye mungu tu atawabariki musitegemeye binadamu mwenziyo 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Nmekaa sana mauholanzi
Dah hh mkojan unaongea 🤣🤣🤣
Mko vizur nakubali
Nawakubali sana Allah awasimamie wallah🙏🙏🙏
Anasuka nywere za zuchu🤣🤣🤣🤣
Jaman tiny white, mkojani nagwa na naruti nawakubalii from mexico
Nawakubali sana
Weken basi na hiyo ya Mkojani,Tin na Mau
Big up mpo vizuri vipi chocho ame olewa
Hii ngoma inaitwaje
Barut unajua kuimba
uyo kijana❤huimba bahna
Jaman mkaka anaimba huyu😋😋
@abdulhamidjuma9340
3 жыл бұрын
Hey
Kama unampenda nagwa gongs like twende
Wa kwanza leo
Filamu nzuri Sana nimeipenda
Ila JoJo mzuri sana
🔥🔥🔥👌
Harrier lexus ile nyuma yenye kijiburuji 🤣
Nakubali baluti
Nimejua kucheka eti kwetu kuna weusi watupu😅😅😅
Ngoma nagwa mhuni haswa😁.. ula ula usambe mbelenye miaka mingi hatujafilimba ulembe...
@mkombozijulio2945
3 жыл бұрын
msela ni wewe
Tin ni muongo haraf yuko serious
@jamalajamala282
3 жыл бұрын
Nakwambia mbingun haendi huy🤣🤣🤣
@mikaellissu1389
3 жыл бұрын
Daaa\aaah jamaa ni muongo sana alaf uongowake upo kama ukwel hyo ndio tin bhn
Jamn mm naitwa shaban naomben angalau nifanye kaz nanyny mana mm napenda kuigiza plz naomben sapot yen u. Ila barut m nmemkubal huy nizaid ya daimond
@hashirhamad2977
3 жыл бұрын
Barut zaid ya diamond ? ww acha kuzingua ww ximba unamjua ww
Nawakubali sana mkojani....tin white na nagwa....muko juuu🥰🥰🥰
Yaani huyu mkojan mim namkubali sna anajua nin anafanya
Safi sana quality nzr big up kwenu wote
Kazi nzuri
@shaabanimauya631
3 жыл бұрын
Mambo
Mkojani balaa
Nahic mkojan ni Zaid ya president king majuto Upo juu San mkojan
Sure mwana kulifind mwana kuliget .
Mkojani Kenya tunakumaind sanah
🔥🔥🔥
Nakubali mkojani
@yohanajoseph6526
3 жыл бұрын
Xaf xana
Nipo Kama kawa
Nice work
Nzuri Sana
Iko Sawa
Dub domo la tin white bange bange. Anamoka sana.
Nakubelieve mpk naumwa 😂😂😂
Yaani nawakubali sana nyie ndo mmebaki wenye bongo movie yenu hapo tz
Baruti mwenyewe mwee😋 BARUTI NAOMBA COLLABO NA WEWE ASEE UNAJUA
Panga kwetu toy tu😁😁
Kali sana
Jamani diamond baba lao kama unakubali gonga like
Et Mara waanguke na kamba😆😆
Oh!mkojani hatr niburudani zaidi ya pombe
Nagwa unaongea sanaaa hlf huna mantiki , inxhrt unafelii sanaa
Mkojaniiii dah! Umeuw
#imeweza sana
nangwa umekutuna na wahuni we zako sio poa wahun wanatembea na mapanga siopoa
Itikeli ndo nn nagwa 😂😂😂
Noma sana👊👊👊💯💯
Mkojani upoje lakini
Mkojani nakuelewa sana amini kwamba hakuna wakukufananisha nawewe dah utaniua kwakucheka
Baruti anajua nahii movie inamuhusu sana
More bless blood @nagwa ckuping since day 🇿🇦
kalii
Mademu wakali wapo kweny ndege
Barut big up unasauti Kali duuh
Duuh mkojani noma San big up
Mkojani Jamani nakupenda mpaka naumwa❤❤❤😂😂😂
Eti sikapend😀😀😀😀
Mkojani movie zake nzuri