Mwambola atoa neno zito"Tuhubiri injili tuache kurushiana vijembe"

Пікірлер: 56

  • @abilikehano
    @abilikehano8 ай бұрын

    Asnt mkuu wetu mungu azd kukupa hekima hiyhiy

  • @edinamwakitalu6115
    @edinamwakitalu61152 жыл бұрын

    Mungu azidi kuwainua musonge mbele muhubiri injili ya kweli Tena yenye Moto ulao

  • @timothymoshi5800
    @timothymoshi58002 жыл бұрын

    Mmeanza vizuri . Shikamaneni, Pendaneni, MUNGU yu pamoja nanyi..Nawapenda.

  • @sisterzumba9718
    @sisterzumba97182 жыл бұрын

    Amina mchungaji mwambola mungu awatiye nguvu tuko pamoja

  • @judymasunzu7517
    @judymasunzu75172 жыл бұрын

    Yesu Kristo alisema " Wacha Wafu Wazike Wafu Wao". Hakika maneno haya yanaishi na ndicho kinachoendelea huku.

  • @jonathanntare4787

    @jonathanntare4787

    2 жыл бұрын

    Wewe nimpumbavu martine Luther alipojitoa katoriki na kuanzisha kanisa alikufa au kanisa liliendelea, je aliitwa mfu ??? waombee jina la Mungu lihubiliwe siyo kukejeri.

  • @luganoatupele2346
    @luganoatupele23462 жыл бұрын

    mungu awabariki tuko pamoja.waache wanao lalama .kweli mumeupiga mwingi mno nimependa mno mungu awabarik

  • @markshoo1474
    @markshoo14742 жыл бұрын

    MALI NI ZA DIOSIS SIO ZA MWAKIHABA....MDA WAKE UKIISHA ATAZIACHANA YEYE.USIGEUZE MANENO

  • @obinasimbeye1750

    @obinasimbeye1750

    2 жыл бұрын

    Mali sio mtu na wsla sio zako uchu tu

  • @mwakaombi5085
    @mwakaombi50852 жыл бұрын

    Mungu aendelee kukulinda kwa kuipigania kweli

  • @oscarulotu9878
    @oscarulotu98782 жыл бұрын

    Nimependa mafafanuzi mazuri mtumishi uliyotoa ,hakkika hiyo ndiyo misimamo yetu hakika ,hii ndiyo kkam hakika

  • @nurumbilinyi53

    @nurumbilinyi53

    2 жыл бұрын

    HUMJUI HUYU SUBIRI Ila fanyeni haya --Rudisheni vyombo vya muziki mlivyoibaaa na viti vya ukumbi wa sherehe pale K.K.K.T Ruanda,,,Rudisheni na vyombo vya muziki mlivyoiba pale K.K.K.T MBEYA MJINI KANISA LA MAWE ,, Ruanda rudisheni vyote mmejaa hila mnajifanya watakatifu,, wazungu hao hao mwezi wa pili ulisema mwenyewe Nyibuko Mwambola wamekutumia 2milioni leo unawaita mashoga kwahiyo tusema hizo 2milioni walikuhonga?? msitake watu tumkosee Mungu kwa ujinga wenu

  • @gloryamani9723
    @gloryamani97232 жыл бұрын

    NI WENGI MNAONA KAMA NI MAMBO YA MWILINI HAYA NI ROHONI KWA MAJIRA HII MUNGU AMESHUKA MWENYEWE KUHUKUMU UOVU WOTE MWANZ 15 :16 LAZIMA MUMWABUDU MUNGU KIZAZI CHA 4 MAJIRA IMEFIKA SASA MALAKI SOMA YOTE MUNGU AMESHUKA MWENYEWE KANISA SIO JENGO NI MIMI NA WEWE NDIO MUMGU ANATUTAKA.

  • @hosealutangilo5058
    @hosealutangilo50582 жыл бұрын

    Mungu awe nanyi daima KKAM.!!

  • @mwaikalishukrani4752
    @mwaikalishukrani47522 жыл бұрын

    Mungu awabariki Sana watumishi wamungu

  • @atupelemwitiki
    @atupelemwitiki2 жыл бұрын

    Mungu awatie nguvu.

  • @ambonisyekajange3848
    @ambonisyekajange38482 жыл бұрын

    Kumbe Ni kweli kanisa hili Ni la Ushoga! Maana anasema, kuoana mwanamke na mwanaume Ni uchafu.

  • @lucymwaipungu8931
    @lucymwaipungu89312 жыл бұрын

    Amina babaa mwambola

  • @judymasunzu7517

    @judymasunzu7517

    2 жыл бұрын

    Wacha Wafu Wazike Wafu wao in Jesus Voice.

  • @judymasunzu7517
    @judymasunzu75172 жыл бұрын

    Huyu Chawa anahubiri Injili gani wakati hajatubu Uasi na Usaliti aliofanya KKKT Konde.🙄🙄🏃🏃 Walimsomesha, Wakampa na Kazi na Mshahara Kwa Sadaka zetu. Akaishi kifahari akiitwa Baba Mchungaji/Dean wa Konde. Wameanzisha Kanisa Kwa Chuki na Ubaguzi halafu eti anahubiri Injili huku ana Chuki Kwa Wengine. Muda utasema.

  • @elizampayo4057

    @elizampayo4057

    2 жыл бұрын

    Acha makasiliko Dada

  • @tusajigweashery351

    @tusajigweashery351

    2 жыл бұрын

    @@elizampayo4057 endelea kufuatilia comment hapo chini kuna. Dada alitakaga kumbaka sijui nayo utasema chuki?

  • @rehemafungo5042

    @rehemafungo5042

    2 жыл бұрын

    Mwache?🤔🤔

  • @queensamweli2114

    @queensamweli2114

    2 жыл бұрын

    Acha kukashifu watu wa MUNGu utamwitaje mtumishi.chawa?.washirika.waMwakihaba mna matusi

  • @henrytimothy3048
    @henrytimothy30482 жыл бұрын

    Bwana sio la kilutheri tafiteni jina lenu lakiluther linaongozwa na dr shoo

  • @tithomhagama
    @tithomhagama2 жыл бұрын

    TUPO PAMOJA MCHUNGAJI 🙏

  • @nurumbilinyi53
    @nurumbilinyi532 жыл бұрын

    Rudisheni vyombo vya muziki mlivyoibaaa na viti vya ukumbi wa sherehe pale K.K.K.T Ruanda,,,Rudisheni na vyombo vya muziki mlivyoiba pale K.K.K.T MBEYA MJINI KANISA LA MAWE ,, Ruanda rudisheni vyote mmejaa hila mnajifanya watakatifu,, wazungu hao hao mwezi wa pili ulisema mwenyewe Nyibuko Mwambola wamekutumia 2milioni leo unawaita mashoga kwahiyo tusema hizo 2milioni walikuhonga?? msitake watu tumkosee Mungu kwa ujinga wenu

  • @rehemafungo5042

    @rehemafungo5042

    2 жыл бұрын

    Acha makasiriko

  • @foundationforcommunityhope7327
    @foundationforcommunityhope73272 жыл бұрын

    Duuu kumbe Dr.Mwambola ..mkatae kabisa ushoga..

  • @lyseslausy4445

    @lyseslausy4445

    2 жыл бұрын

    Mbona Yeye hajaolewa

  • @henrytimothy3048
    @henrytimothy30482 жыл бұрын

    Alafu ulitakiwa uwe bondia cjui uchungaji umetoa wapi hata hufanani

  • @hildadavid7389
    @hildadavid73892 жыл бұрын

    Tutafika mbinguni tumechoka Sana

  • @henrytimothy3048
    @henrytimothy30482 жыл бұрын

    Yan wewe baba unaeitwa mwambola mm ni mlevi mvuta bangi lakini nakuona ni tapeli huna sura ya uchungaji hata kidogo

  • @williamhalinga3584

    @williamhalinga3584

    2 жыл бұрын

    Hujakosea kwakuwa mlevi,mvuta bangi hawezi kuwa na macho ya kiroho ndo maana mwambora huwezi kumuelewa hata kidogo mwambora baba wa kiroho tena mpiganaji wa dhati.

  • @henrytimothy3048

    @henrytimothy3048

    2 жыл бұрын

    Ujui kitu we mbung'o angekua wa kiroho asinge goma kiti kisihame mpk wametimuliwa tuliza mk..

  • @annajohn3700

    @annajohn3700

    2 жыл бұрын

    @@henrytimothy3048 😀😀😀😀 ulevi na kuvuta sigara siyo upungufu wa akili yaani haujakosea huyo ni tapeli kweli huenda siku ya mwisho ww ukawa wa kwanza kuingia mbinguni kuliko mwambola😀😀

  • @lusajoalison7617
    @lusajoalison76172 жыл бұрын

    Mwambola mungu anakuona roho ya usariti itawatafuna

  • @lucymwaipungu8931

    @lucymwaipungu8931

    2 жыл бұрын

    Gan usalityi

  • @lucymwaipungu8931

    @lucymwaipungu8931

    2 жыл бұрын

    Kama aunaneno tyulia nyamazisha watyotyo kwanza

  • @geraldtesha5816
    @geraldtesha58162 жыл бұрын

    Dhambi ya kuasi itawatafuna endeleeni kujifariji

  • @abilikehano

    @abilikehano

    8 ай бұрын

    Tena ww kija ulaniwe

  • @abilikehano

    @abilikehano

    8 ай бұрын

    Ssh kkam tunasonga mbele

  • @danielkamendu2153
    @danielkamendu21532 жыл бұрын

    Watu wakiamua wameamua

  • @agripamwakapesa386
    @agripamwakapesa3862 жыл бұрын

    Sijawaona watu kama hawa

  • @hurumaashely5598
    @hurumaashely55982 жыл бұрын

    Simpendagi Toka rohoni ni mnafki huyu

  • @marthamwaisumo5117

    @marthamwaisumo5117

    2 жыл бұрын

    Uzuri ujamuumba ww ungemuumba ww ungeminya uhai wake.

  • @annajohn3700
    @annajohn37002 жыл бұрын

    Waporaji wakubwa nyie tena ww mwambola muogope sana Mungu si ulitakaga kunibaka wewe? Mungu anakazi

  • @zeblufingo8361

    @zeblufingo8361

    2 жыл бұрын

    Heeeeeeee

  • @adkajisi4536

    @adkajisi4536

    2 жыл бұрын

    Dah Mungu tupiganie

  • @annajohn3700

    @annajohn3700

    2 жыл бұрын

    Sanaaaa mbio ziliniokoa baba hana haya huyo Acha waendee Mungu kaamua kupembua ngano na magugu

  • @rhodasamuel8334

    @rhodasamuel8334

    2 жыл бұрын

    Mmmmh haya lkn mbinguni kuna moto

  • @elizampayo4057

    @elizampayo4057

    2 жыл бұрын

    Alitaka kukubaka wapi acha chuki kwa watumishi wa mungu mbona hukuenda kwenye vyombo vya sheria

Келесі