MUSILE NYAMA YA PEDUU NI NAJISI KAMA NAJISI NYENGINE_ NAONA MASWALI YAMEKUA MENGI | SHEIKH MSELEM
#AdilTV
Жүктеу.....
Пікірлер: 40
@allyfutto876314 күн бұрын
SubhanAllah Mungu tunusuru na kujifanyia vitimbwi tusiwe gizani Aamin
@RashidNassor-v6o9 күн бұрын
Shekhe mselem mungu ampe maisha marefu azidi kutufudisha
@ShaibuchoumOmar4 күн бұрын
Assalam alaykum warahmatullah assante sana shekh wetu Allah akupe umri mrefu ambao anaurizia Allah uzidi kutuelimisha
@haidarimfinanga975513 күн бұрын
Asalaam alaykum warahmatullah Fanyeni mpango huyu wa lugha ya alama ainekane katika clip. Muonyesheni ktk frame ndogo pembeni. In shaa Allah.
@user-gr5vt5ru3k3 күн бұрын
Shukrani shekhe kwa mawaidha allah akulipe ktk haya angalau ktk 10 hata 1 mtu apata faida
@ImamHussein-y8m11 күн бұрын
Allah akulipe kila la kheri nasisi Atupe na Atujaze nurunya Qur"an katika Maisha yetu mafupi yaliyobakia
@RukiyaGharib11 күн бұрын
6:11 ASALAMU ALAYKUM WARAHMATULLAH WABARAKATUH tujuze sheikh wetu hatupendi vya haramu ila huwa hatujajua.
@fatmamsiliwa848513 күн бұрын
Mashallah mung akupe kila la kheri shekhe wetu
@user-xh6mt8xj9d12 күн бұрын
Kama utamsikiliza Imani Petro KTC media 201 ,13K views 3years ago Basi habakii mtu kwa sbb kupitia hiyo clip ya Imani Petro ni mitihani kweli sijuwi Kama na wewe sh wangu Kama utavuka kwenye hili Allah atuhurumie na atusamehe amin
@user-tk4es1uw7e7 сағат бұрын
Shee huko pwani ni balaa kubwa milaa za kina Babu matambiko, migoma ,na harusi zetu wakina mama Wana katika viouno hebu gusia mada
@user-ed3yb3cx1o8 күн бұрын
Allaah atulinde na adui shetani
@SleepyAnglerfish-yc6px13 күн бұрын
Naam baaraka llah fiykum shekhe
@sulumRashid
13 күн бұрын
Allah atuhifadhi
@RrrrRrrrwrw-wn3jj12 күн бұрын
Waislamu wengi nimeona hawazingatii kula halal waty wanapenda nyama sana hua hawafikiri uhalali wake.
@salimwanga5 күн бұрын
Asalam alaykum mashallah❤🎉❤
@OmarAyman-pn6ck11 күн бұрын
Peduu ni myama gani? Na kwa jina la kizungu anaitaka nini?
@vich2mussa99712 күн бұрын
Assalalam alaykum peduu ni kuku wanao ingizwa nchi zanzibar kutoka nje ya nchii
@abullahkabaka877413 күн бұрын
allah yahfidhak she, msalem, peduu ni mnyama gani? shukran
@sheikhanasser4714
13 күн бұрын
Allahuma Aameen Yaarb Alaameen 🤲 Ndugu Allah a disaster kwa herufi kubwa Shukran
@khamisidrisa4216
12 күн бұрын
Peduu ni Kuku wa Kubwa yanakuja mapaja vidari virigisi ni kutoka Brazil na nchi nyengine
@saeedmassoud256
12 күн бұрын
Peduu ni kuku wa nyama wanaoletwa kutoka nje wanakuja wakiwa washachinjwa
@abullahkabaka8774
12 күн бұрын
@@saeedmassoud256 shukran wa jazakumullah kher, allah izid yahfidhna jamia muslimin, amin
@chamyluna8030
11 күн бұрын
@@saeedmassoud256kwaiyo shida Iko wapi sasa
@nadiahassan799312 күн бұрын
Peduu ni nini???
@vich2mussa997
12 күн бұрын
Assalam alaykum peduu ni kuku wanao ingizwa nchini Zanzibar kutoka nje ya nchi
@IbrahimMohammed-xi2ix
12 күн бұрын
@@vich2mussa997Hapana sio kila kuku anaengizwa nchini ni peduu Kuna saadia na kabila nyengine inategemea inatokea nchi gani Peduu ni jina la kampuni moja tu
@mustafamsati959912 күн бұрын
Pidui ni nini?
@JazilaNjuki7 күн бұрын
Peduu ndo uyo kuku Apo au
@SmilingAnacondaSnake-sp8ct10 күн бұрын
Hakuna najisi shehe ambayo ukila haiwezi haikudhuru afya yako hata ukila hakuna najisi najisi na kitu kinacho zuru mwili na afya yako kama sigara pombe kali kwa nini mviache nabii issa alisema kimuingicho kisha kinatoka kwenda chooni hakiwezi kumtia unajizi haya ni makatazo ya binaadam na
@Kabeya410
8 күн бұрын
We hujui kitu hiyo aya inayosema najisi kitokacho ila si kiingiacho basi kula mavi ikiwa kiingiacho we kula usiulize ulize kila ukionacho sokoni kuleni hii maneno ni ya PAULO SIYO NABII ISSA YAPO KWENYE AGANO JIPYA NDO KWENYE UCHAFU MWINGI AGANO LA KALE UKISOMA WALAWI 11:7 NAJISI INATAJWA WAZI WAZI USILE NYAMA YA NGURUWE WALA USIGUSE MIZOGA YAO yani hata kugusa tu imekatazwa sembuse kula acha uongo. Kama hujui kitu nyamaza
@chamyluna803011 күн бұрын
Mbona mi cjasikia sehemu inasema peduu kharamu
@AbdushakuruMussa
11 күн бұрын
Hujaelewa mjomba uharamu upo kama huko walikochinja hawajataja jina la mungu basi itakuwa haifai kula
@coyancodavao4004
11 күн бұрын
@@AbdushakuruMussaww ulijuaje km halijatajwa jina la Mungu huko?
@ahz6907
10 күн бұрын
@@coyancodavao4004labda ni kampuni ya kikafiri 😂
@coyancodavao4004
6 күн бұрын
@@ahz6907 kampuni ya kikafiri ya aina gani? Wakristo au hawana Dini kabisa?
@SmilingAnacondaSnake-sp8ct10 күн бұрын
Mna hadisi nyingi sana lakini waliozindika walijawa na ubinafsi kuliko ukweli na makatazo yasiokua haki najisi ziko nyingi hata kuzini kutamani ni najisi najisi sio kitu unachokula tu kuhangaika kutafuta vitu kuvifanya najisi na hakina madhala kwa Warmingham wakila ni kuwanyika au kuzuika haki ya kutumia kitu ambacho hakina madhara
Пікірлер: 40
SubhanAllah Mungu tunusuru na kujifanyia vitimbwi tusiwe gizani Aamin
Shekhe mselem mungu ampe maisha marefu azidi kutufudisha
Assalam alaykum warahmatullah assante sana shekh wetu Allah akupe umri mrefu ambao anaurizia Allah uzidi kutuelimisha
Asalaam alaykum warahmatullah Fanyeni mpango huyu wa lugha ya alama ainekane katika clip. Muonyesheni ktk frame ndogo pembeni. In shaa Allah.
Shukrani shekhe kwa mawaidha allah akulipe ktk haya angalau ktk 10 hata 1 mtu apata faida
Allah akulipe kila la kheri nasisi Atupe na Atujaze nurunya Qur"an katika Maisha yetu mafupi yaliyobakia
6:11 ASALAMU ALAYKUM WARAHMATULLAH WABARAKATUH tujuze sheikh wetu hatupendi vya haramu ila huwa hatujajua.
Mashallah mung akupe kila la kheri shekhe wetu
Kama utamsikiliza Imani Petro KTC media 201 ,13K views 3years ago Basi habakii mtu kwa sbb kupitia hiyo clip ya Imani Petro ni mitihani kweli sijuwi Kama na wewe sh wangu Kama utavuka kwenye hili Allah atuhurumie na atusamehe amin
Shee huko pwani ni balaa kubwa milaa za kina Babu matambiko, migoma ,na harusi zetu wakina mama Wana katika viouno hebu gusia mada
Allaah atulinde na adui shetani
Naam baaraka llah fiykum shekhe
@sulumRashid
13 күн бұрын
Allah atuhifadhi
Waislamu wengi nimeona hawazingatii kula halal waty wanapenda nyama sana hua hawafikiri uhalali wake.
Asalam alaykum mashallah❤🎉❤
Peduu ni myama gani? Na kwa jina la kizungu anaitaka nini?
Assalalam alaykum peduu ni kuku wanao ingizwa nchi zanzibar kutoka nje ya nchii
allah yahfidhak she, msalem, peduu ni mnyama gani? shukran
@sheikhanasser4714
13 күн бұрын
Allahuma Aameen Yaarb Alaameen 🤲 Ndugu Allah a disaster kwa herufi kubwa Shukran
@khamisidrisa4216
12 күн бұрын
Peduu ni Kuku wa Kubwa yanakuja mapaja vidari virigisi ni kutoka Brazil na nchi nyengine
@saeedmassoud256
12 күн бұрын
Peduu ni kuku wa nyama wanaoletwa kutoka nje wanakuja wakiwa washachinjwa
@abullahkabaka8774
12 күн бұрын
@@saeedmassoud256 shukran wa jazakumullah kher, allah izid yahfidhna jamia muslimin, amin
@chamyluna8030
11 күн бұрын
@@saeedmassoud256kwaiyo shida Iko wapi sasa
Peduu ni nini???
@vich2mussa997
12 күн бұрын
Assalam alaykum peduu ni kuku wanao ingizwa nchini Zanzibar kutoka nje ya nchi
@IbrahimMohammed-xi2ix
12 күн бұрын
@@vich2mussa997Hapana sio kila kuku anaengizwa nchini ni peduu Kuna saadia na kabila nyengine inategemea inatokea nchi gani Peduu ni jina la kampuni moja tu
Pidui ni nini?
Peduu ndo uyo kuku Apo au
Hakuna najisi shehe ambayo ukila haiwezi haikudhuru afya yako hata ukila hakuna najisi najisi na kitu kinacho zuru mwili na afya yako kama sigara pombe kali kwa nini mviache nabii issa alisema kimuingicho kisha kinatoka kwenda chooni hakiwezi kumtia unajizi haya ni makatazo ya binaadam na
@Kabeya410
8 күн бұрын
We hujui kitu hiyo aya inayosema najisi kitokacho ila si kiingiacho basi kula mavi ikiwa kiingiacho we kula usiulize ulize kila ukionacho sokoni kuleni hii maneno ni ya PAULO SIYO NABII ISSA YAPO KWENYE AGANO JIPYA NDO KWENYE UCHAFU MWINGI AGANO LA KALE UKISOMA WALAWI 11:7 NAJISI INATAJWA WAZI WAZI USILE NYAMA YA NGURUWE WALA USIGUSE MIZOGA YAO yani hata kugusa tu imekatazwa sembuse kula acha uongo. Kama hujui kitu nyamaza
Mbona mi cjasikia sehemu inasema peduu kharamu
@AbdushakuruMussa
11 күн бұрын
Hujaelewa mjomba uharamu upo kama huko walikochinja hawajataja jina la mungu basi itakuwa haifai kula
@coyancodavao4004
11 күн бұрын
@@AbdushakuruMussaww ulijuaje km halijatajwa jina la Mungu huko?
@ahz6907
10 күн бұрын
@@coyancodavao4004labda ni kampuni ya kikafiri 😂
@coyancodavao4004
6 күн бұрын
@@ahz6907 kampuni ya kikafiri ya aina gani? Wakristo au hawana Dini kabisa?
Mna hadisi nyingi sana lakini waliozindika walijawa na ubinafsi kuliko ukweli na makatazo yasiokua haki najisi ziko nyingi hata kuzini kutamani ni najisi najisi sio kitu unachokula tu kuhangaika kutafuta vitu kuvifanya najisi na hakina madhala kwa Warmingham wakila ni kuwanyika au kuzuika haki ya kutumia kitu ambacho hakina madhara
@HafidhKhamis-ph8qg
8 күн бұрын
Wewe unasema nn mbona hufahamiki?