Mungu alivyoumaliza Mgogoro wa miaka 6 uliotokana na aliyekuwa askofu mkuu masidizi wa EAGT

Пікірлер: 7

  • @isackakyoo6446
    @isackakyoo6446 Жыл бұрын

    Shetani ameshindwa sasa, Utukufu kwa Bwana Yesu

  • @florianmwaibabile2541
    @florianmwaibabile2541 Жыл бұрын

    Na Mimi sio muumini wa Eagt lakini kanisa la Eagt. Limekuwa baraka sana kwenye maisha yangu ila me ni WA dhehebu jingine!! Toa heshima ya cheo muweke YESU usije ukafa kwasababu ya kutenda uovu wa kuwakosea wazee wa Imani Yako hutaishi MUNGU atakupiga siku si nyingi na utaikosa mbingu. nimekuwa nikisikiliza mahubili Yako mara kadhaa ni mazuri ila hayatoshi kuwa kinyume na watangulizi wako waliohubili injili vichakani,. Kumbuka haluni na miliam walimsengenya Musa miliam akapigwa na ukoma. MUNGU anawaheshimu watumishi wake siku zoote

  • @nelsonchikoti3863
    @nelsonchikoti38632 жыл бұрын

    sifa na utukufu kwa Mungu wetu asante Baba kwa taarifa

  • @kingumakolo3069
    @kingumakolo30692 жыл бұрын

    Tuko salaama ashukuriwe MUNGU. EAGT ni Moja tu mwakipesile askofu wetu mkuu

  • @scholasticabusanya9704
    @scholasticabusanya9704 Жыл бұрын

    Mmekoswa maombi ndiomaana jamba roho ya msamaha rudini kwenye kusudi lamungu

  • @lemyzadockjesushigher7098
    @lemyzadockjesushigher70982 жыл бұрын

    Utukufu kwa Mungu