Umeeleweka kamanda, nakukumbusha "wamekopa tena" nchi ya hovyo sana hii.
Hii dunia huwezi ukahubiri kabisha kabisha na ukawa salama,pia nimegundua kuwa dunia haitaki watu wema
Serikali hii nadhani inataka watu wote wawe vibaka,Mbarikiwa ni mtu mwema sana na anaishi kwa haki
Пікірлер: 3
Umeeleweka kamanda, nakukumbusha "wamekopa tena" nchi ya hovyo sana hii.
Hii dunia huwezi ukahubiri kabisha kabisha na ukawa salama,pia nimegundua kuwa dunia haitaki watu wema
Serikali hii nadhani inataka watu wote wawe vibaka,Mbarikiwa ni mtu mwema sana na anaishi kwa haki