Nakupenda saaaaannah ukhty arafah Allah akujaze kila lakher akuondoshe na Shari inshaallhaah
@ALIMOHD-bk9lr3 жыл бұрын
ARAFA come back mama ktk kaswida zako zenye maudhui. We missed them alot 😭
@ibnuqassim16143 жыл бұрын
مشاالله Hongra sana dada
@fatmashaaban41033 жыл бұрын
Mashaallah bint hussein
@ahmadmhando25253 жыл бұрын
Maaashallah Babdeo uko vzr
@hassanabdallah74993 жыл бұрын
Apita mapito vizuri sana sika na rast na nahawwan
@abubakarkhamis38843 жыл бұрын
MashaAllah
@Mohammad_shidogo Жыл бұрын
Masha Allah 🥺
@AbdullahAbdullah-fz9xg3 жыл бұрын
Doohh doohh doohh hz ladha jaman htr Sana
@abubakryabubakry58533 жыл бұрын
Uko vyema sana MashaAllah
@lovedeetz44613 жыл бұрын
Mashallah
@hassanambarakmbarak87593 жыл бұрын
Sauti nzuri nawanaume waumia tobaaa
@husseinally5550
2 жыл бұрын
Kwan mama yako hana sauti nzuri?
@othmanidrisa66073 жыл бұрын
Innalillah Dada yangu achana na mambo ya music rud kwa bwana mungu wako
@mohammadkassim99373 жыл бұрын
Jameni mbona tunaelew mambo kisha tunafany yasokuwa ukhtiy arafa kma wataka kujionesha fan yako jioneshe kwa wanawake wezako usifanye yasokuwa na msimamo na allh kuridhish viumbe
@hassanambarakmbarak87593 жыл бұрын
Staghfirullah
@jumanasoro89033 жыл бұрын
Haistahiki kabisa kusema Mashallah twatakiwa tuseme kwa pamoja إنا لله وإنا إليه راجعون Innna lillahi wa inna ilayhi raajiuun kwasababu huu ni msiba
@omarsaid6784
3 жыл бұрын
nihakikaa
@hassanambarakmbarak87593 жыл бұрын
Vinanda vyampandisha Morry mwanamke
@hassanmuseallahuakbar57493 жыл бұрын
Allahu Akbar
@kingmansule65733 жыл бұрын
Dad Yang umenifurahish sana ile Siku nyumban hotel
@kingmansule6573
3 жыл бұрын
Mmb dd yng
@mukrimkidume443 жыл бұрын
Arafa anaimba vizuri ila anapokuwa mbele ya camera ni mapepe sana hatulii kabisa
@al-nnisaamuhaajiriin21013 жыл бұрын
يا الله اسر علينا .لان هذا الطريق ليس طريق الإسلام
@yasiniselemani3917 Жыл бұрын
Kheri ngumu sana mbele ya maslahi ya kidunia hii siyo sawa kabisa mm napenda sana kaswida lakini hii yakusimama na kutunzwa na wanaume hapana hapana hapana haipo katika dini kabisa tuzingatia namna ya kaswida zetu tukiambiwa na wenzetu ni haramu tunakuwa wakali
@Al_tamim5483 жыл бұрын
Mashallah ❤️🇿🇦
@hassanambarakmbarak87593 жыл бұрын
Tobaaa
@ahmadmadaai13572 жыл бұрын
Mwanmk anaregez saut mbele ya wanaum hii hamn ktk dini ww dada jiheshim wacha ujing huo na kupat sifa Mungu anakukasirikia
@hassanambarakmbarak87593 жыл бұрын
Ahh ummukulthum wacha ehh
@jumanasoro89033 жыл бұрын
Huu ni mziki hivyo ni Haram, Amesema mtume صلى الله عليه وسلم :Moto umezungukwa na vitu vyenye kupendwa na kutamaniwa na watu kama huu mziki, watu wanashabikia bila ya kujuwa kwamba wanashabikia jambo la haram
@hassanambarakmbarak87593 жыл бұрын
La haulaa mazumari mapiano na mwanamke huyu nakihijabu wanaume wamemzunguka Mambo gani hayaa moyo wako Una kutuu
@user-id1me9ve1o
2 жыл бұрын
☺️😂😂
@hamzaadrin941 Жыл бұрын
Mtoto wangu ladhima nimuite sanjari
@mwajabukambangomaaashaalla83233 жыл бұрын
Mmmmh muswiba huuuu
@rayasalimhemed92502 жыл бұрын
Uislam hauko pamoja na weee kwenye hili uctafute kicngizio
@ramamtetu23273 жыл бұрын
هذا هو الموسيقى فقد حرمه الله
@hamzasafiabuu64513 жыл бұрын
إنا لله وإنا إليه راجعون Ama kw hakika watu wapo ktk upotevu na wamezamia haswa ktk kina kirefu cha upotevu..!!
@yusuphtwaha83863 жыл бұрын
Kwa Tanzania mzima bara na visiwan hakuna alotoa toa qaswida zikafanya vizur kama arafa
@musamusa6374
3 жыл бұрын
arafa wapo wawil
@sleimanwtwaha99833 жыл бұрын
huyu ndo arafa wa sanjary
@fettykilango2814
Жыл бұрын
Sio yule wa sanjarii anaitwa arafa abdillah huyu ni arafa hussein
Пікірлер: 49
Mashaallah dada arafa mung akupe afya njema inshaallah
Maashaa Allah Allah akuzidishie achana nao Wasio jua ndin yao Husema kwamiamko yao Anaetaka anitafute
Maasha Allah... Ummu kulthum wa Tanzania... Ningependekeza aitwe jina hilo mimi kama shabiki wake
Maashaallah walhamdulilla jazakillahu khayra zaadaka llah khirswaa fiiy ddiyn inshaallah
Nakupenda saaaaannah ukhty arafah Allah akujaze kila lakher akuondoshe na Shari inshaallhaah
ARAFA come back mama ktk kaswida zako zenye maudhui. We missed them alot 😭
مشاالله Hongra sana dada
Mashaallah bint hussein
Maaashallah Babdeo uko vzr
Apita mapito vizuri sana sika na rast na nahawwan
MashaAllah
Masha Allah 🥺
Doohh doohh doohh hz ladha jaman htr Sana
Uko vyema sana MashaAllah
Mashallah
Sauti nzuri nawanaume waumia tobaaa
@husseinally5550
2 жыл бұрын
Kwan mama yako hana sauti nzuri?
Innalillah Dada yangu achana na mambo ya music rud kwa bwana mungu wako
Jameni mbona tunaelew mambo kisha tunafany yasokuwa ukhtiy arafa kma wataka kujionesha fan yako jioneshe kwa wanawake wezako usifanye yasokuwa na msimamo na allh kuridhish viumbe
Staghfirullah
Haistahiki kabisa kusema Mashallah twatakiwa tuseme kwa pamoja إنا لله وإنا إليه راجعون Innna lillahi wa inna ilayhi raajiuun kwasababu huu ni msiba
@omarsaid6784
3 жыл бұрын
nihakikaa
Vinanda vyampandisha Morry mwanamke
Allahu Akbar
Dad Yang umenifurahish sana ile Siku nyumban hotel
@kingmansule6573
3 жыл бұрын
Mmb dd yng
Arafa anaimba vizuri ila anapokuwa mbele ya camera ni mapepe sana hatulii kabisa
يا الله اسر علينا .لان هذا الطريق ليس طريق الإسلام
Kheri ngumu sana mbele ya maslahi ya kidunia hii siyo sawa kabisa mm napenda sana kaswida lakini hii yakusimama na kutunzwa na wanaume hapana hapana hapana haipo katika dini kabisa tuzingatia namna ya kaswida zetu tukiambiwa na wenzetu ni haramu tunakuwa wakali
Mashallah ❤️🇿🇦
Tobaaa
Mwanmk anaregez saut mbele ya wanaum hii hamn ktk dini ww dada jiheshim wacha ujing huo na kupat sifa Mungu anakukasirikia
Ahh ummukulthum wacha ehh
Huu ni mziki hivyo ni Haram, Amesema mtume صلى الله عليه وسلم :Moto umezungukwa na vitu vyenye kupendwa na kutamaniwa na watu kama huu mziki, watu wanashabikia bila ya kujuwa kwamba wanashabikia jambo la haram
La haulaa mazumari mapiano na mwanamke huyu nakihijabu wanaume wamemzunguka Mambo gani hayaa moyo wako Una kutuu
@user-id1me9ve1o
2 жыл бұрын
☺️😂😂
Mtoto wangu ladhima nimuite sanjari
Mmmmh muswiba huuuu
Uislam hauko pamoja na weee kwenye hili uctafute kicngizio
هذا هو الموسيقى فقد حرمه الله
إنا لله وإنا إليه راجعون Ama kw hakika watu wapo ktk upotevu na wamezamia haswa ktk kina kirefu cha upotevu..!!
Kwa Tanzania mzima bara na visiwan hakuna alotoa toa qaswida zikafanya vizur kama arafa
@musamusa6374
3 жыл бұрын
arafa wapo wawil
huyu ndo arafa wa sanjary
@fettykilango2814
Жыл бұрын
Sio yule wa sanjarii anaitwa arafa abdillah huyu ni arafa hussein
,
Huyu ni fundi aachwe tu kama alivyo
Tofauti yako na zuchu no ipi